HUU NDIO MWAROBAINI WA KUMKAMATA MUME

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 26

  • @MwanajumaShaban-z2x
    @MwanajumaShaban-z2x 25 днів тому

    Maa shaa Allah mada nzuri❤❤❤

  • @salmamahfoudhsalum2650
    @salmamahfoudhsalum2650 11 місяців тому +3

    Mashaallah kipindi kimeenda vzr Allah awabariq muweze kutuongoza inshaallah kwa hayo na mengine Allah atawalipa ujira wenu
    Somo mtoto umemaliza kila kitu👌

  • @user-pt9uw3nz8c
    @user-pt9uw3nz8c 2 місяці тому

    Maa Shaa Allah,kipindi kizuri

  • @HalimaJira
    @HalimaJira 10 місяців тому +1

    Shuran sana mafunzo mazurka some mtoto mashallah

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 10 місяців тому +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤

  • @RamadhanRamadhanShabn
    @RamadhanRamadhanShabn 4 місяці тому

    Nzuur

  • @halimahassan8582
    @halimahassan8582 11 місяців тому

    Ma sha Allah uqti atiya! JazakiLLAH...Happy to follow u guys..... keep going ❤❤❤❤

  • @user-tb2gp5jf6g
    @user-tb2gp5jf6g 11 місяців тому

    Alhamdulillah mashaallah mada nzuri imegusa kila sehem❤❤

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk 4 місяці тому

    Assalaam alaykum tunawapigia cm hamupokei twahitaji bidhaa kwa somo mtoto

  • @mamamamam4723
    @mamamamam4723 11 місяців тому

    Asante Sana kipindi cha Leo ni kizur mpak nakos cha kusem somo mtoto huna baya❤❤❤❤

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 10 місяців тому

    Alhamdulillah. Shukran

  • @salma_74
    @salma_74 11 місяців тому

    Hapa tuna somo mtoto mashaallah basi na kwa upande wa kiume akuwepo

  • @safiasuliman5136
    @safiasuliman5136 11 місяців тому

    ❤❤mada nzur sna

  • @salma_74
    @salma_74 11 місяців тому +1

    Asalam aleikum, mashaallah kipindi kizuri pamoja na mafunzo.
    Ningependa kusikia pia na wanaume wanapata mafunzo sawa na wanawake. Ndoa ni ya wawili hakuna mmoja kuwa juu mmoja chini.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 11 місяців тому +1

      Mwalimu mzur wa mume ni mke wake ndo maana tunadeal na wanawake zaid 🥰

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 місяців тому

      ​@@AttiyaHassan_somomtotohpana hya masomo wapewe wanaume ndio yanawafaa .

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 10 місяців тому

      @@malak-lz6kxmm nimechagua wanawake 🥰🥰🥰ww unaweza kuwapa wanaume nchi huru hii kipenzi 🙏

  • @tasnimmaalim8532
    @tasnimmaalim8532 11 місяців тому

    MaashaaAllah

  • @ummurasul8230
    @ummurasul8230 11 місяців тому

    Alhamdulillah

  • @abuusaid511
    @abuusaid511 11 місяців тому

    mashllh.. hii siku nilikuona mtendeni umevaa nguo hizo hizo #somo_mtoto nilitamani japo nikusalimie ila nilikuhofia sn dadaangu

  • @zuwenasaleh9613
    @zuwenasaleh9613 5 місяців тому

    Hakuna bora kwenye wakwe kuingilia ndoa za watoto wao ila imayoumiza zaid ni ya wakwe kufanya ushirikina ndoa ivunjike kwakua tu mke si chaguo lake......

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx 10 місяців тому

    Hta mm alhmdullah mkwe wng ananiona wa familia yke na ana wakwe wengi lkn alhmdullah mm na yy kma mtu na mwanawe heshima ni kitu kizur snaaa.

  • @muaminimsina
    @muaminimsina 11 місяців тому

    Kipindi munaqasha kabsa.. yaan ndo mule mule.......
    Tuongeze muda hasa kwa vile mada zinazojafiliwa ni nyeti na ni muhimu sn kwa maisha ya kla sku.

  • @HalimaJira
    @HalimaJira 10 місяців тому

    Allah awahifadh muwe na afya njema murder kuelimisha