NDOA NI YA WATU WAWILI: KIPINDI HUBBUL HALAL
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Jazzaka Allahu Khairan
MashaAllah MashaAllah najifunza mengi kupitia hiki kipindi .shukran sana
Kweli huyu Dada hapo ndo kaharibu kuweka mapambo yake wake ingawa Alhamdulillah Hana makeup Allah Subhaana amuongoze yeye na hata siye tunamokoseya In Shaa Allah
Mashallah somo nzuri Allah anijlii na mimi kuwa mwema kwa mume na Familia yake duuh, tabia hizo na ziona huku oman
Sio kweli dadangu na hao wanaume wanahaki ya kutambua wajibu wao kwa wenzao,wanaume wengi hawana elimu ya ndoa wanataka kuwakandamiza wanawake kwa kutumia kigezo Cha Aya "arrijali kawwamuna ghala nnissai"
Lakini kuna wanaume wengine pia hawana mahaba wala pia ukiwafanyia hawayapokei kwa uzuri kazi yao ni kuwafanya wanawake zao kama watumwa 😢 innalillah
Dada hongera Sana wambie wasojielewa
Mashaallah
Mwanamke wakiislamu funika hina yako na udhihirish kwa mume wako sio dunia nzima waone
Ni kweli nae abadilike kwà kuficha hayo mapambo yake.
Sheh Rashid unaongea point icho kipindi kizur Sana
usidhihrishe pambo lako kwa watu wote ni haramu
Sio wanawake tu shekhe Rashid na wanaume pia wanawanyima haki wake zao sasa munalizungumziaje na hili
Asalaam alaykum-Mimi nasema pande zote mbili zinatakiwa kuelimishwa kukaa na mwezi wake! Sio kulaumiwa mwanamke tuu!
Somo zur lakin dada bado stara kwako ni mtihani,. umeenda kwenye kipindi umejipodoa mwenyew mashaalah lakin haujajistir urembo wako unajionesha tena walegeza hadi jicho, siyo sawa hayo ni mambo ya shemeji hayo
Yaani majumba mingi haki za ndoa hadi mume aombe kama hakuomba ,itafika mwaka watu wanaingia ndani na kutona ,,yaani mume tu ndie mwenye shida na mkewe lakini mke kawaida hua hana shida na mumewe
Hahahaha
Na wanaume jee
Ndoa ni watu 2 haki na wajibu ni watoto pacha na wanaume waambie wajibu wao ili wapate haki zao
Kajistiri kwanza kama wampenda mumeo kisha ufungue hiyo darsa ya ndoa nyumbani kwako sio kujianika hapo bila ya stara
Daaaa ndio mle mle. Kwakweli hatari
Rashid asifiae mvua ?
ما شاء الله تبارك الله
Bora uwafahamishe mana now is too much
Hio hina ni yamtu moja tu kavyaye sokisi usituoneshe sote
Tunataka namba za kungwi
😂
Vikuba somo mtoto Instagram unampata uyu dada
Vikuba OG❤
Ficha Hina ficha uso sauti Yako nayo mtihani Dada wewe unayaingia madhambi weye na we mkaka Allah akusamehe
Kuficha sura sio lazima acheni mambo ya fitna Tumuokopeni Allah
Kuna watu wanautia uzito uislamu jamani kwaiyo hata vitanga vyake vya mkono pia ni dhambi kuonekana uso pia
Astaghafirullah
@@zainabuliza2664ishu hayo mapiko na mahina yako wazi ni haramu kuonyesha kwà kila asyekuwa harimu wako
@@zainabuliza2664pia tafuta somo linalohusu ubora wa kufunika sura kwà mwanamke na sauti yake ndio utafahamu. No research no right to speak. hapo kapewa ushauri tu hakulazimishwa kuvaa au kuficha amefikishiwa tu kama yeye anavyowafikishia wenzie.so kuwa mpole dada zaina tusiishi kwà kufata mkumbo. Usipende wanaume waizoee sura yako ikiwa tu umeolewa ni fitna. Ndio maana bb Aisha r.a alikuwa anaweka pazia.
Somo nataka kujuwa hili umesema amelaaniwa mwanamke anaemnyima haki ya ndoa mumewe na hana sabab ya msingi jee ikiwa mume nd anafanya hivyo ya n kumnyima mkewe pasi na sabab ya msingi hii imekaaje??
Nae Pia Analaniwaa,Uislam Unaongelea Sanah Kuhusu Mwanamke Kwa Sababu Sie Ndio Waalimu Majumbani Kwetu,Xoo Ukianza Mume kama kakupenda kweli Atabadilika Tuh,ila Kama Habadiliki Ni Hasidi na Yeye Pia Siku ya Kiama Ataenda Ulizwa,Ndoa Ni Nusu Ya Dini,na Wanawake Tuh Ndio Tumepewa Yale Mambo Manne Ukiyatekeleza unapata Pepo,(Uswali,Ufunge,Ukihifadhi ,Na Umtwiii Mumeo ila Tuh Katika Mambo ya Haraam Usimtwii,)ila Wanaume Hawakupewa,Soo let's work Towards Jannah
Na nyie wenye nyote mmepinda
Mwalimu una mume ww ? mana makungwi wng hua wameachika niswali tu kama huna mume tujitolee