LEMA AMVAA MAKONDA MKUTANONI, ATANGAZA KUTOKUOGOPA TENA "ANASUMBUA WATU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 231

  • @elviswebbo1164
    @elviswebbo1164 Місяць тому +28

    Bahati mbaya umekuwa mbunge wetu Kwa miaka 10 lakini hakuna Cha maana ulichofanya mzee Lema....hawa wanasiasa ifike mahali mjue tunajua mnawatafutia watoto wenu chakula.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Місяць тому +5

      Wewe jitambue at kifanyaa nn wakati yeye akiomba bajetii kwa ccm awa toi ela Kila ukiomba Wana toa haadii Sasa ata uwe mbunge Ina saidia nn sio lawama zakee izooo vip uliona mpina walicho mfanyia au uwangaaliii

    • @user-le1gv4wb1n
      @user-le1gv4wb1n Місяць тому +3

      amnaa kitu hapaa huyuu ni siasaa za njaaa tu

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Місяць тому

      Mujinga ni Gabo hakuna mbunge yure, rema piga misumari

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Місяць тому

      Akili yako imeganda yy ilikua kusimamia serikali itoe hela ambayo ni mapato ya kodi za wananchi yafanye utekelezaji wa miundombinu na serikali haitaki inapeleka kwenye misafara ya kichama na kiserikali iliyopo madarakani , mwananchiii amka utajikojoleaaa🎉

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Місяць тому

      Kumbe basi bora apewe mbunge wa ccm ambaye atasikilizwa kwa maneno yako uliyoandika​@@RomanMwinyi

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Місяць тому +12

    Anasema kwamba et vijana wanakuwa wezi kutokana na maisha magumu kwani marekani wezi hawapo na marekani ni nchi tajiri?? Tabia ya wizi ni moyo wa mtu sio umaskini.

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Місяць тому +1

      Kuna tamaa na Njaaa. Wezi wengi wa kitanzania wezi wa njaaa na sio tamaa

    • @ConfusedFrog-lc9db
      @ConfusedFrog-lc9db 27 днів тому

      Usiupalilie unafki

  • @user-ev5xw1ev6f
    @user-ev5xw1ev6f Місяць тому +12

    Rema hapo kwa makonda mtakaa chini tu kushindana na makonda ni sawa na kujilisha upepo hamumuwezi ni mtu mwenye kipaji na karama ya ajabu kutoka kwa MUNGU❤❤❤❤ makonda

    • @irenemollel4363
      @irenemollel4363 Місяць тому

      Makonda ana karama gani😂 mpuuzi sana wewe. Akili huna wewe

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 Місяць тому +17

    Maneno mengi hamna hata Cha maana ww si ulikuwa mbunge hapo Arusha ?, umefanya nini Cha maana Cha kutushawishi

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому +1

      @@Lushinge27 chamaana kamuulize mamako

    • @markoshem-ij6cf
      @markoshem-ij6cf Місяць тому

      Kamuurize mtoto wako mubwa wewe

    • @Kalunirashidi
      @Kalunirashidi Місяць тому

      uyujama anawasaidi sana wakinamama mtaji wabisha

  • @frankndendu2570
    @frankndendu2570 Місяць тому +18

    Pigeni porojo mtuachie Makonda wetu

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 Місяць тому +10

    Wewe muongo na ni mnafiki mvunjifu wa amani kazi zipo watu asie na kaz mvivu wewe unahamasisha vijana wasifanye kaz

  • @JacksonTemba
    @JacksonTemba Місяць тому +10

    Makonda mtu na nusu ❤❤

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Місяць тому +1

      Huo umtu unaouona wew ni kwa sababu ya umaskini anaousema Lema , unayaona mamb kwa udogo kwa sababu unaangalia kushiba tuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba Місяць тому +1

      @@ayoubsanga315 unataka nani akuletee utajiri baba, piga kazi kama unaona boda sio kazi ni umasikini, jikwamue huko ufanye kazi zingine, hata kufuga, kulima pia ni kazi mkuuu

    • @JacksonTemba
      @JacksonTemba Місяць тому

      @@ayoubsanga315 jitahidi sana mtu asikufunze kuzarau kazi yako mwamba,

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@JacksonTemba mtu na nusu nyumbani kwenu

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz Місяць тому +10

    Huyuu anaongeaga tu halete tufanyeje? Anaangalia makosa tu! Nilionaga anaongea point kumbe ni ufala tu,nchi hii upinzani mtaisikia tu nchi.

    • @ayoubsanga315
      @ayoubsanga315 Місяць тому

      Akili yako imeganda na aliyegandisha ni umaskini anaouongelea Lema ndo maana mtazamo wako umekua mdogo

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      @@ayoubsanga315 wee unauonaje mtizamo Wang? Wakati mwisho wa mawazo yako ni ilipoishia chupi yako.

    • @jerominalfonce
      @jerominalfonce Місяць тому

      ​@@Sisopotashiumz umasikin huo ulio nao mpaka unatukana

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Місяць тому +9

    We pumbavu sana achana na Makonda WETU pumbavu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@hawakazimoto2949 mpumbavu ni wewe na huyo mfoji vyeti bashite

    • @elimishanyamoga6797
      @elimishanyamoga6797 Місяць тому

      Makonda na ww wote wangese

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Місяць тому +9

    Sasa ww ulifanya nini wakati ukiwa mbunge mbona muongo sana ww

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Місяць тому +11

    Yan hili lijamaaa kila cku sera yake n boda boda😂😂

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      @@Ibrahim-ne3in lema mahubiri yake ni usenge tu haji na chakufanya anakuja na malalamiko tu?

    • @mlayson5281
      @mlayson5281 Місяць тому

      @@Sisopotashiumz -wanakufa sana hawa boda tunapoteza nguvu kazi ya kesho-nyie hamjui mnafurahia watu kufa wanaacha familia zinateseka..why serikali isitafute vuwanda vya kutosha waka ajiri vijana wetu -acha ung* wewe.

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      Unaonekana ww hicho kichwa ni cha kukausha na mafuta ya moto saana,alikuja magufuli kaanza kutafuta umeme wa kutosha kufungua viwanda wakaponda sasa unaweza kuwa ma viwanda bila umeme???? Acha ulimbukeni wa kisikiliza na kubeba kila unachoambiwa mbwa wee

    • @Ibrahim-ne3in
      @Ibrahim-ne3in Місяць тому

      @@Sisopotashiumz panya kweli wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      @@Ibrahim-ne3in njoo na sera alf niambie umepata nini au kimefanywa kipi na wabunge wa upinzani,alf nipe maana ya kua mbunge?? Malaya mjane ww

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Місяць тому +6

    Sasa ww umefanya nini hebu sema na ww ulisho kifanya wakati mbunge mbona unaongea pumba

  • @amonalexander1513
    @amonalexander1513 Місяць тому +8

    Wape suluhu Cha kufanya sio kupiga porojo zako,watu wanataka suluhisho sio kulalamika kiongozi gan wewe?

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Місяць тому

      Hujamsikia akisema tuondoe umaskini au unataka aseme nini

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Місяць тому

      ​@@Kwelihukuwekahuru mavi yakuondoa umasikini.anayo?

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Місяць тому

      ​@@Kwelihukuwekahuru eti kuondoa umasikini.nitajie nchi moja duniani watuwake wanasema wao matajili kwasababu ya mtawala alie madarakani.

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele42 Місяць тому +8

    wakati wako ulisha pita waachie na wenzako

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Місяць тому

      Co wakati wao ume pita ayo wanaongea Kwa Wana mnchiinmaisha magu eti au we ume pewa kiajila una pagawa

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      Machoko ya ccm

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Місяць тому +7

    Lema hakikisha unasoma hizi comment za wenye nchi

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 Місяць тому +6

    Lema magufuli huyo kimbia

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Місяць тому +6

    Ni nchi gani ambayo haina maskini Duniani? Hata marekani kwenyewe kuna maskini tena umaskini uliokithiri, wanaitwa homeless, wanalala mabarabarani tu.

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Місяць тому +1

      Hakika kabisa tatizo wanasiasa wanatuona wananchi wote ni wajinga pumbavu sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Місяць тому +2

    Hahahaha kimeo kingine hiki zile zama za kuleta taharuki zimeisha, ulikuwa Mbunge hapo nini umefanya Zaid ya mapishano na marumbano, Lema kaaa kimyaaa tena utulie, hivi familia imerudi tokea Canada?

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Місяць тому +5

    Uhuni mwingi sana.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@user-qi7px6nb8r machoko ya ccm

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 Місяць тому +3

    Mutuache na makonda wetu

  • @venaritovenance9468
    @venaritovenance9468 Місяць тому +3

    Uyu ana jipya anaongea utumbo ,tafuta sere zingine

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Місяць тому +1

    Huna hoja wewe shoga, Mama Samia ndio chaguo letu wa Tz 2025 - 2530 pamoja na viongozi wasaidizi wake wenye kututatulia matatizo yetu kwa vitendo sio porojo. Umaskini ni wakujitakiamwenyewe kwa kutojiengeza. Arzi kupwa tonayo serikali haiwezi kuajiri raia wote milioni (67) serikali imewapa wakulima mbolea bure kwanini wasiende kulima na kuwapandishia bei mazao yao ?...

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Місяць тому +1

    Kweli kabisa mheshimiwa lema sukar imepanda sh 4000 kilo moja, afu pombe Lita sh, 1000 Bora ninywe pombe

  • @yohanajackson4160
    @yohanajackson4160 Місяць тому +9

    Lema 😂😂😂 comedian

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 Місяць тому +2

    TUNAMSHUKURU RAIS SAMIA , SHULE KILA KATA, HOSPITALI KILA KATA, MAJI YAPO YAKUTISHA, BARABARA ZIMEBORESHWA, AJIRA ZINATOLEWA KILA SIKU, DARAJA LA KIGONGO BUSISI LIMEKAMILIKA, SGR INAFANYA KAZI BWAWA LA UMEME LIMEKAMILIKA NK, NK

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Місяць тому +2

    Ww lema nchi gani haina wizi mbona unapotosha watu walio kuwa hawajawahi kusafiri nje ya nchi wakajionea wizi huku wanapiga bunduki ijekua huko wacha kupotosha watu ww wacha upuuzi huo

  • @perpetuamlula8567
    @perpetuamlula8567 Місяць тому +1

    LEMA IMEKUWA MBUNGE ARUSHA UMEFANYA NINI ACHENI MAKELELE MAKONDA YUPO POA SANA IMEKULA KWENU

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z Місяць тому +2

    Ww lema usidanganye watu sisi tupo nchi za watu huku ndio hayo hayo tu wacha uwongo

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Місяць тому

      Liongo sana hili jamaa wanasiasa wanatuona watu wote wajinga maskini wapo kila nchi hata marekani wanalala nje homeless

  • @SimuliziDhahiri
    @SimuliziDhahiri Місяць тому

    Kwa mara ya kwanza millard kuposti upinzani😂😂😂😂

  • @user-hh4us7kb5q
    @user-hh4us7kb5q Місяць тому

    tnataka makonda awe rais, ukitaka kujua tnampenda Makonda, gombea naye uone moto

  • @BarakaKihongosi
    @BarakaKihongosi Місяць тому +1

    Huyu atakuwa alilewa maana ameongea utumbo

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 Місяць тому +3

    Huna loloteee,,,wanaojiuza wapo dunia nzimaaa

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 Місяць тому

    Una akili sana MUNGU akuweke achana na hao mashoga

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Місяць тому

    Lema ,Lema,lema ulitawala miaka 10 ulifanya nini,Mimi ni Chadema Lakin mnazingua,Mnaongea mengi Lakin hamtoi ufumbuzi,Shenzi na Nusu

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r Місяць тому +11

    Lema hakuna kitu.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому +1

      @@user-qi7px6nb8r kitu anacho mamako

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      @@emmapaul1766 hata mama hakosi ukikiona kwa wazazi wawenzako.

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@Sisopotashiumz kitu anacho mamako choko la Samia wewe

    • @Sisopotashiumz
      @Sisopotashiumz Місяць тому

      @@emmapaul1766 umehamia kwa samia sababu ww ndio unamshukuru samia badala ya mungu,choko ni yule baba ako ambae kashindwa kumtomba mama ako kama zamani

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@Sisopotashiumz choko wewe utandelea kuliwa huko ccm huku ukihongwa buku kwaajiri ya bando wakati wenzio wanakula matrillion ya Dpworld jinga wewe

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Місяць тому

    Watanzania wengi walinyimwa elimu ya uzalendo ,wengi awaelew maskin awajui wajibu wa selikali

  • @AdamuJuma-tp1xr
    @AdamuJuma-tp1xr Місяць тому +3

    Yani wewe huna jipiy mropokajitu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Місяць тому +1

    Watu sasa hivi hawa angalii unatoka chama gani wana angalia jnafanya nn magufuli amebadilisha fikra za watu wengi

  • @habaccucisrael5328
    @habaccucisrael5328 Місяць тому +1

    Viwanda 🏭 kwa vijana 2025-2050

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Місяць тому

    Lema ndio Rais wa Arusha

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Місяць тому +1

    Wakati ww ni mbunge arusha hakukua na bodaboda

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 Місяць тому +1

    Lema umepoteza radha umepwaya

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Місяць тому +2

    Wewe ulitaka wafanye nini

  • @jacksonsulle6673
    @jacksonsulle6673 Місяць тому +1

    Unampigania nani Lema ,acha hizo blablaa.

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Місяць тому

    Makonda kaja mda mfupi kwetu kafanya Mambo makubwa arusha wewe ulipo kuwa mbunge ulifanya nn huna jipya kwa makonda.

  • @hansbukuku762
    @hansbukuku762 Місяць тому

    Wajumbe ni noma sana aiseee, yaani wale wanaojaa kwenye mikutano ya Mkuu wa Mkoa na wanashangilia kwa kusema “SEMA BABA” na ndo hawa hawa wanaoitikia “PEOPLE’s, POWEEER.”
    Ukiwategemea wajumbe kuanzisha “VAGI” haki ya mama ndo utayastaajabu ya walimwengu utakapojikuta uko pekee yako eneo la tukio 😄😄😄

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Місяць тому

      Umeona eeee 😅😅😅😅😅 yaani akili mkichwa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Місяць тому

    Kenya imemshinda Ruto wewe Tz utaiweza.,...kwetu smani ni bora kuliko ajira....chakula tumezoea kutafuta wenyewe

  • @BennihinnyHerman
    @BennihinnyHerman Місяць тому

    Jamaaa umechelewa sana, tatizo wakati umepita na ushawishi umepotea!!!! Wanasema kila jambo na wakati wake kama mlitumia wakati wenu kujitaftia basi kwa sasa ni Makonda time.

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Місяць тому +1

    9:

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial Місяць тому

    Wew kama unasoma sms hii acha kusema mambo ya utoto kama hayo njaa nikwamtu na iko kila mahari duniani vitu vilipanda bei kote so acha kujichosha tafuta kura kwanjia nyingine mi nakuona uko nanjaa sasa ukipewa chakwanza sikujijenga nawako acha hio siansa niya kitoto

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Місяць тому

    Ww acha uongo kwan ww ukiwa rais utawapa ajila ote ulipokwa mbunge nn ulifanya ???

  • @mwasavevo
    @mwasavevo Місяць тому

    UTATUMIA NJIA GANI KUWAPA WATU AJIRA

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Місяць тому

    Hamna sera kwani wanao uza michicha hawana miili ya kuuza ?"eti boda boda wanaua watu watu wanakufa kwa ahadi ya Mungu ama kweli mmekosa sera
    Wamekosa ajira kuendesha boda boda ulitaka wakaibe ?ulitaka waje kuomba kwako ?

  • @geey7893
    @geey7893 Місяць тому

    Humjui mtu unayemuita Boya wewe😂😂umeyanyaga. Makonda ni chizi kuliko wewe, utajamba Moshi kumaninaa...unafkiri Mchaga mwenzio Yule😂

  • @eliudramale5075
    @eliudramale5075 Місяць тому

    Arusha kaisaidia nn huyu falaa amwachee mtetes wetu makonda kaishiwa sera boyaa huyooo

  • @boboonesmo5431
    @boboonesmo5431 Місяць тому

    Umeferi kk 😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Місяць тому +1

    HUYU JAMAA NIMEMSIKILIZA VIZURI SANA KAONGEA VITU VYOTE PAFECT UBALIKIWE KIONGOZI KWA MANENO MAZURI ❤❤❤❤❤😢😢😢😢

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi Місяць тому

    kweli mmekwisha akuna jipya

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp Місяць тому +2

    Uhuni mtupu

  • @AzizMangara
    @AzizMangara Місяць тому

    Kwani Lema nchi Ya chadema au ya Ccm?! Nchi hii ni ya wananchi wa Tz, mkiona wananchi ndo tunaochagua, mnavyo sema wananchi wanawaangusha, si muache siasa na kung'ang'ania madaraka kama mbowe, kwani kunautamu gani wa kuwa madarakani !! Make mnataka kwa udi na uvumba. Akuna mjinga, binadamu wote atujakamilika ila tunaangalia mwenye Afazali, ndo tumeona CCM Wananafuu kuliko nyinyi😂😂🎺🎤

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z Місяць тому +1

    Kuhusu swala la mlo ukiona nigarama nenda shambani ukalime ili uondokane na garama za kupima robo ya Michele.

  • @user-kd3mk4to2h
    @user-kd3mk4to2h Місяць тому

    Kiukweli nchi hii inatakiwa watu shupavu ilintupate mabadiliko ya kweli. Tuwaombee Mungu sanasana

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Місяць тому

    Rema kweli Ccm wanazngua ila makonda usimguse utatoka maana

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Місяць тому

    Ila lema Mtata sana Aisee

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Місяць тому

    Lema na mwenzako Gambo wote hamtakiwi tena ubunge Arusha mjini nendeni mkagombee mlipotoka maana nikama mnabeba watu ufala, hamna uchungu wowote na jimbo na mkoa kwa ujumla. Unamuwaza Makonda maana unajua anapata ushawishi kwa wananchi wengi maana ni mtu mwenye msaada kwa wengi.

  • @magdalenampanda1426
    @magdalenampanda1426 Місяць тому

    Acha mambo muda wote mkoa una watu wenye roho mbaya ulikuwa unaangalia tu, . Sema ukweli acha siasa Maya. Mmeshindwaaaaa

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Місяць тому +1

    9

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Місяць тому

    Chefuuu

  • @bilid4128
    @bilid4128 Місяць тому

    Toa kelele hapa tunajua wewe mwenyewe unatafuta ugali kupitia matatizo ya watu kwa ahadi za uwongo kuwa utayatatua

  • @selemanisalum7283
    @selemanisalum7283 Місяць тому

    Hapo kwa wanao jiuza mh umebugi ni tamaa zao Tu wala siyo kwa sababu ya maisha magumu

  • @jackxonmollel7984
    @jackxonmollel7984 Місяць тому

    Mpeni lema arudi aliko toka amwache makonda wa mungu

  • @hawakassimu6120
    @hawakassimu6120 Місяць тому

    Eti nawapiganieni mnanikatisha tamaa nooo thank u unapigania tumbo lako na watoto wako posho yako ya ukimbizi unayopewa huko canada unakula na mtu?si unakula na familia yako na watu wako wa karibu makonda kawashika pabaya

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 Місяць тому

    Leo ndio nimegundua kumbe Lema nae yupo kwenye kundi la waduduu

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla Місяць тому

    Milard ayo huyu fala msomee coment zetu maana akili yake imefyatuka

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Місяць тому +2

    Faraa moja huyu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Місяць тому

      @@user-fl3fb5gh6b kafilwe na bashite choko wewe

  • @eliezamashimba4062
    @eliezamashimba4062 Місяць тому

    Kwa keel siasa ya tz bhana
    Huyu mwamba si alisha wahi kuwa mbuge huko je wananchi aliwapea nn hebu waache watu na ubinifu wao wafanye kazi basi mbona huhu jamaa mtukutu sasa

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Місяць тому +1

    Kwa hyo tufanyeje brother

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Місяць тому +1

      We ujui chakufanya nenda shule ujitambuee

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 Місяць тому

      Ndiyo mnavyowajibu wananchi ​@@RomanMwinyi

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en Місяць тому +1

    Kelele zenu,pingu zeni munkali

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi Місяць тому

    Kweli mnakosa lakuonge amna oja zamsingi kwann ata izonchizawazungu kama ufanyi kazi uli

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w Місяць тому

    achana na makonda boya wewe huna sera kalime kahawa

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 Місяць тому

    Wewe ten years yako ulifanya Nini pumbavu wewe

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Місяць тому

    Wewe utawapa hizo ajira? Acha kudanganya watu wewe

  • @jomba6514
    @jomba6514 Місяць тому

    Acha kutupigia kelele na chama chenu cha upatu.Muulize mwenye kiti wenu lini atapisha na wengine ukipata ilo jibu endelea kupiga kelele

  • @patricknewguy8189
    @patricknewguy8189 Місяць тому

    Hivi huyu yupogo

  • @yorandayorandan4018
    @yorandayorandan4018 Місяць тому

    Makonda ni jembe mwacheni tu huyu baba

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Місяць тому

    Sasa lema sera ya chadema? Ebu tuambieni utafanya nn mbona naona una lalamika sana. 😢

  • @ElishaKasambo-yu5jt
    @ElishaKasambo-yu5jt Місяць тому

    Makonda ana karama

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 Місяць тому +1

    Lema ni mfanyabiashara na mwanasiasa Kwaiyo huwezi elewa labda uwe na D5 kwenye kichwa chako 🙆🏽😀😀😀 hana mchango wowote ule zaidi ya kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao iliyopo madarakani mwao

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 Місяць тому

    Lema soma huku kwanza ndio utajua watu wanakuonaje.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Місяць тому

    Lema usome na comment za watu

  • @user-ei6mm3go8w
    @user-ei6mm3go8w Місяць тому

    iiiiiiiiiii MAKONDA MWACHE KAMA ALIVYO TENA UKOME

  • @AgnessNesphory
    @AgnessNesphory Місяць тому

    Kwaiyo bodaboda siyo kazi kila nchi duniai kuna bodaboda mamantilie kila seem wapo akuna nchi dunian akuna masikini wala watu wa hali ya chini ujatembea dunian kumbe 😂😂

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Місяць тому

    Muongo mkubwa hayo ndo maisha fatani mkubwa huyo

  • @ShafiiSoud
    @ShafiiSoud Місяць тому +1

    nilichogundua ukiitetea CCM kuna watu watakupinga, na ukiitetea Chadema pia utapingwa
    saf sanaa....tuendelee kula mtori nyama ipo chini😅😅

  • @jomba6514
    @jomba6514 Місяць тому

    Lema acha wivu wewe uliisha kua mbunge apo ulifanya nini?muache makonda ahudumie watanzaniana.na ujifunze kusifia pia sio kulia lia tu

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u Місяць тому

    Binafsi sipendi ccm sijawahi kuipenda lakini namkubali makonda kwa kile ninacho kiona siwezi kukizungumzia nisicho kiona lakini huyu leme ni zaidi ya mbwa mnafki kumatu huyu alipata nafasi hata kama nindogo lakini alikuwa ana nafasi yakuonyesha mfano lakini huyu nimbwa

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Місяць тому

    Huyu jamaa ni fala sana..ila kwa ishara ya hawa watu wanaomsikiliza huyu pumba..tunasafari ndefu sana ya kuipata kizazi chenye akili..kawa mbunge kwa miaka 15,amefanya nini zaidi ya kuwapitìsha barabara hao wavuta bangi wenzeka alafu wanakufa na kuwa welemavu na kisha kuwaacha solemba

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Місяць тому

    Badilisheni pointi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Місяць тому

    Huna point ya kuongelea, tafuta kazi ya kufanya jimbo la Arusha sahau

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro Місяць тому

    Huyo Lema anacho sema ni pumba tupu