🔴LIVE: Mjadala wa Wazi Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania - Mbeya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 54

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 27 днів тому +3

    Viongoz wot wa Tz mjifunze hapa jambo sio mnakaa tu kukodoa macho, haswa wale waliopachikwa sehemu ya kazi na ndugu zao walioko nafasi za juu

  • @Eulalia-zs5vd
    @Eulalia-zs5vd 26 днів тому +1

    Shukrani kwa Vionngozi Kwa yote Wliyo yafanya pamoja na Taabu zote

  • @JohnNdabise
    @JohnNdabise 27 днів тому +2

    Good Discusion

  • @samniza1763
    @samniza1763 25 днів тому

    Very interesting debate.

  • @user-zg1hd6no9v
    @user-zg1hd6no9v 27 днів тому

    Hongereni sana.... Taifa letu linahitaji wanasheria waungane,,wanasiasa waungane,Tasisi za kiraia ziungane,,,Wakulima,wafanya biashara wafanyakazi waungane,,,,Ili tuwe na Lugha 1 katiba ya wananchi inayo simamiwa vizuri.... Bla kuungngana wafalme watatubruza sana....

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 27 днів тому

    Jamani kaka asante sana kwa kutufundisha na kutuelewesha haya, maana watanzania tunajiuliza sana kwa kina ni kwanini samia hataki kupitisha katiba mpya?? Leo unatufungua macho kuwa anataka akae kwenye madaraka ambayo anaweza kufanya lolote atakalo na hakuna wa kumuambia chochote, inauma sana.

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 26 днів тому

    Ahsantenteni kwa mjadala mzuri tunataka katiba mpya 🇸🇦

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 27 днів тому

    Hongera kwa wazo la mgombea binafsi

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 26 днів тому

    Sarut sahihi

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 27 днів тому

    Hapana hilo la kuuwa Bora afungwe maisha,maana kuliko mkisema afungwe na kutoka,na kwamba mshara awe anapereka kwa yule mtu aliyefiwa,mauwaji yatakuwa menge,kwa Sababu atajitamba,na ataleta hasira kwenye jamii yetu.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 27 днів тому

    Tuendelee kuihangaikia Katiba Mpya

  • @rastheunique
    @rastheunique 22 дні тому

    Mjadala mzuri sana viongozi walafi wa madaraka hii inawakera ila kwetu sisi wananchi hii ni taa ya njia zetu zote!

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 27 днів тому +1

    Tunaendelea na mijadala huku tunaendelea kupigwa mnada taratiiiibu.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 27 днів тому

    Shida ya watanzania sisi ni waogo na ndio maaan inchi inauzwa na sisi tukiwa ndani yake. Ila huyu baba ana point sana. We need a new katiba

  • @YoelMagese
    @YoelMagese 22 дні тому

    Mzee wa Mbeya nimekuelewa. Kweli watanganyika hatuna maana. Ni sawa kama tumeolewa.

  • @user-bg8zz5vw5v
    @user-bg8zz5vw5v 27 днів тому +1

    Tusunguke kufanya nn tunataka katiba ya warioba.

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 27 днів тому

    Katiba ya nchi impe uhuru mwananchi haki na uhuru wakufanya ubunifu wa Kisayansi na Teknorojia katika katiba ya jamhuri ya muungano Watanzania.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 27 днів тому

    Kaka unachanganya, yani watu wakakae tena kujadili upya katiba angali tayari ilishamalizika, sasa ukisema hivyo unamaanisha hiyo ya warioba sio kitu, iwekwe pembeni, na hiyo sio sawa, mhimizeni samia aipitishe na maisha ya watanzania yaendelee. Hatupaswi kurudi nyuma ki fikra.

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 25 днів тому

    Katika nyaraka muhimu za kurejea wakati wa kuandaa Katiba Mpya ni pamoja na Katiba ya Tanganyika.Katiba ya Tanganyika,kwa taarifa zangu haikufutwa wakati wa kushirikiana na Zanzibar.

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 27 днів тому

    Kwa hivo tuna pingana na sheria ya Mungu?

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 27 днів тому

    Wakili TV, wananchi wa kawaida watapata elimu hii?

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 27 днів тому

    Ulinzi na usalama wa kila raia, jeshi la wananchi na si jeshi la chama

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 27 днів тому

    Mh. Sugu, zungumzia contents ya Katiba na mchakato wake

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 20 днів тому

    Kuna mambo yanatakiwa kubadilika kwenye katiba lakini tuache mifano ya mataifa ya nje. Marekani kuna mahakama za rufaa za majimbo na za kitaifa.

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 26 днів тому

    Pamoja na hayo yote pia tuangalie kusimamisha miimili ya taifa yaani Rais, Bunge, na Mahakama. Tunaomba Rais asiwe mwenyekiti wa chana Wala Spika wa Bunge asiwe mjumbe wa Baraza kuu la chama

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 27 днів тому

    KATIBA MPYA NI LEO

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 27 днів тому

    Umesema kweli kuhusu mauwaji nimeshudia Kwa macho yangu Nishudia Mke anajaribu kumua memewe kwakumwitia mwizi.

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 27 днів тому

    Hapana huwo mfumo ulipo kwenye katiba siyo rafiki kwa sisi wananchi ni rafiki Kwa viongozi,tubadirishe katiba yetu

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700 28 днів тому

    Mzee msekwa uko wapi,Malichela uko wapi,mmemuacha mzee warioba peke yake,Wasira mmmm

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 27 днів тому

    Fungueni statasi za watu mnaziminya, mnataka tuonekane km tuliyochangia ni wachache!!!

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 25 днів тому

    Tanganyika,kwanza tukamilishe Katiba yetu.Pili,tutafakari kwa makini kama tunahitaji ushirikiano na Zanzibar,kwani Zanzibar tayari inayo Katiba yake.Wananchi wa Tanganyika ndiyo waamue jambo hili.Baada ya hapo ndiyo tutengeneze Katiba Mpya ya Muungano ambayo imepatikana kwa idhini ya Tanganyika na wananchi wa Zanzibar.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 27 днів тому +1

    Niko ujerumani na nawapata vizur, ukweli kabisa bila kumumunya maneno kwa Tanzania yetu tunahitaji katiba mpya tena haraka kuliko upesi , tumsihi tu samia aipitishe bila kuguna. Itatusaidia sisi wengi kuliko katiba iliopo inawafaidisha wachache na kujiona kama wao ni malaika kwenye nchi yetu ya TANZANIA. Samia aipende aikubali katiba mpya kama anavyopenda kusafiri.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 22 дні тому

    katiba imebeba mambo yanayohusu sheria,kwa hyo kama wanasheria wameshindwa kusimamia kwa weled hzo sheria wamebaki kufanunua mambo kwa matakwa au maslahi ya watu au kundi fulani ndio maana leo tumefika hapa ,sheria inabaki kulinda kundi la watu fulani ,usimamiz wa taratibu zilizowekwa na kuheshimiwa na kila mmoja wetu bila kuangalia mimi mtoto wa nan au natoka kitengo gan tutafika mbali ,zamani kulikuwa mtu akikosea katika jamii anaazibiwa hadharan na jamii husika na serikali vivyo hvyo ilikuwa ikiadhibu mtu bila upendeleo leo nan anasimamia hayo

  • @ezromndangalasi8164
    @ezromndangalasi8164 26 днів тому

    Mimi binafsi naona kuendesha mijadala hii tupoteza muda Rais Samia nikuombe ruhusu latiba mpya iandikwe tu Mama hili haliepukiki

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 26 днів тому

    Mbunge awe na ukomo wa kuwa mbunge. Mawaziri waajiliwe kutokana na sifa

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 27 днів тому

    ASANTENI SANA WAZUNGUMZAJI....LAWAMA ZOTE ANABEBA RAIS WA WAKATI HUO MH. KIKWETE....HAKUWA 'MSAFI'....ALIKUWA 'MNAFIKI'.

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 27 днів тому

    Alafu eti utamkuta samia anaiambia dunia kuwa katiba ni kijitabu tu. Alikosea sana kusema hilo. Kama hajui angenyamaza tu kuliko aseme hivyo.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 18 днів тому

    We mzee yaani ndiyo unajifagilia ili upate urasi nani akuchaguwe uwe Rais ni mama Samia Suluhu Hasani sasa hivi hatutaki Rais mwanaume ujuwe hivyo

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 27 днів тому

    Tungekuwa nawazee wengi wenye busala nyingi kama nchi ingesonga wazee wengine nchi hii wameweka matumbo yao mbele tu

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 26 днів тому

    Kuna kingine raisi gani wakutoka tangnyika amebinafsisha vitu zanziba

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 27 днів тому

    KATIBA MPYA NI LAZIMA....NGUVU YA UMMA ITAWAANGAMIZA WOTE WANAYOIPINGA NDANI YA CCM NA SERIKALI YAKE.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 26 днів тому

    KATIBA MPYA IPATIKANE SASA KABLA YA UCHAGUZI WA 2025. NI MUHIMU SANAA KATIKA MAENDELEO YA NNCHI. NCHI YA TANZANIA NI KUBWA SANAA ,KWA MTU MMOJA KUIONGOZA PEKE YAKE. INABIDI VYAMA VIUNGANE KATIKA KUIONGOZA . MAWAZO YA WATU WAWILI SIYO SAWA NA WAZO LA MTU MMOJA.

  • @alphoncehanura3255
    @alphoncehanura3255 21 день тому

    Yote tisa haya yote ni kazi ya akili za Chenge,Msekwa na Warioba. Walikuwa machawa....wa mwalimu JK N...

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 27 днів тому

    Mkome tuna katiba

    • @vaxcraker99
      @vaxcraker99 25 днів тому

      Wewe ndiyo ukome na mawazo yako na ubinafsi wa watawala wezi wachache, na wanaouza nchi ya Tanganyika.

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 23 дні тому

      @@vaxcraker99 Kumbe wewe ni kilaza hata hujui maana ya katiba

    • @vaxcraker99
      @vaxcraker99 23 дні тому

      @@faustinluambano2958 Ninaamini kunaweza kuwa na kutokuelewana. Katiba ni hati ngumu, na tafsiri zinaweza kutofautiana. Hebu tujadili hili kwa utulivu ili kuhakikisha sote tunaelewa mitazamo ya kila mmoja wetu. Taja manne na elezea jinsi unavyoyaelewa kwenye katiba ambayo sitayaelewa?

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 28 днів тому

    Guys can you stop this nonsense, kweli watu wazima, tunapoteza kujadili, kitu cha dakika mbili, kusema kweli hatutaendelea kwa mtindo huu,

  • @aronlubango7934
    @aronlubango7934 27 днів тому +1

    Mnatupotezea muda ninyi kaeni na hiyo katiba lkn mtajua baadaye kwa nn tunaomba

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 26 днів тому

    Kuna kingine raisi gani wakutoka tangnyika amebinafsisha vitu zanziba