Mwanzo Mwisho Lissu Alivyoitikisa Ikungi Kwa Hotuba Nzito
Вставка
- Опубліковано 14 чер 2024
- Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anawahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida,
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Kwa Africa lissu ndo mpinzani wakweli no 1 anauchungu kutoka moyoni na nchi yake hongera Tanzania tunajivunia kuwa na mtu kama lissu
Kamanda pga hujawah niangusha wee ni mtetez wa wanyonge
Mungu akutangulie katika kukomboa taifa letu
👏👏
✌️✌️✌️
Pikipiki za kampeni zimeandikwa SSH na sio mama 2025 ! Sasa hilo la Mama linaingiaje ? Na hata kuita awamu hii ni ya 6 ni kutaka kuhalalisha uwepo wa miaka 10 ya uongozi na kufanya huko CCM kusiwe na watia Nia kwa nafasi ya kiti cha urais !! Mungu naye anaona mama si kipofu !
Naomba kujuzwa hivi maana au kirefu cha SSH ni nini?