Katiba ni tatizo kwa watawala hatuwezi kuipata Leo Wala kesho Kama warioba amezunguka nchi nzima kwa kutumwa na watawala huku wakijua watu wanawapenda walipoona maoni ya watu kuwa wamechokwa walijilaumu Sana kumtuma warioba hadi Wanakosa aibu wanamzingishia mzee wa watu eti ni mawazo yake.
HII MIJADALA KILA SIKU YALEYALE HAKUNAGA HATUA ZOZOTE ZINAZOENDELEA KIVITENDO👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Mzee Rutembeka,umeeleweka sana kwetu.bigups
Kama watanzania hawawezi kudai Katiba kwa kuingia barabarani kwa mazungumzo tu mnajidanganya.
Katiba ni ya chama kimoja sio ya watanganyika mpaka apende
Mwambie huyo dr.nao fundisho insbidi limuingie barabara!
Nchi moja yenye katiba mbili?
Zanzibsr ni nchi-hujasoisoma?
Af unaleta za kuleta?
Katiba ni tatizo kwa watawala hatuwezi kuipata Leo Wala kesho Kama warioba amezunguka nchi nzima kwa kutumwa na watawala huku wakijua watu wanawapenda walipoona maoni ya watu kuwa wamechokwa walijilaumu Sana kumtuma warioba hadi Wanakosa aibu wanamzingishia mzee wa watu eti ni mawazo yake.
Sio rahisi kuwakanyagia "Nguru wao CCM" wakati ndio wafaidika wa Katiba Mbovu iliopo hivi sasa.
Mimi napendekeza tuwe na muhimili wa nne ambao itahusiha viongozi wa Dini maana ukweli ni kwamba ndio wako na watu
😅😅😅😅😅😅👍
Ujobhile mwana gwa Ally.
Katiba mpya mtusaidie nyie. Hao watawala ndo wanapindishapindisha mambo ili tusipate katiba mpya
HII MIJADALA KILA SIKU YALEYALE HAKUNAGA HATUA ZOZOTE ZINAZOENDELEA KIVITENDO👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Mchakato wa kudai Katiba mpya ni UPUUZI. Kinachotakiwa kudaiwa hapa ni TANGANYIKA, sio Katiba
Katiba imetakiwa miaka zaidi ya miaka 30 mpaka leo TUNAJIDANGANYA
Tanganyika sets kuliongoza taifa.raisi ashitakiwe mikataba yote iende bungeni mawazili waendane na taaluma zao