Jukwaa la Katiba Watoa Tamko Sheria za Uchaguzi 2024, Mazuri na Mapungufu Yake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 чер 2024
  • #ijuesheria

КОМЕНТАРІ • 28

  • @ShkiruIsmail
    @ShkiruIsmail 27 днів тому +2

    tunahitaji katiba inayompunguzia madaraka rais

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 28 днів тому

    WELL SAID

  • @edistidiusmutalemwa5758
    @edistidiusmutalemwa5758 29 днів тому

    Jamani,toka lini barubaru akaachiwa kigoli na kigoli akatoka salama! 😂😂😂

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Місяць тому +1

    Pawepo na mahakama maalum ya Katiba ambayo ni huru pia, inayoweza kushughulikia kezi zinazotokana uchaguzi na siyo mahakama za kiraia.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Місяць тому

    Nakuaminia mama. Mungu aongoze hizi juhudi zako mama kipenzi

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 28 днів тому

    Mama nakukibali pigakazi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому +1

    Hao makamissina mar moja maana hao gao ndiyo waliaribu uchaguzi wa 2020. Ukawa wa ovyo kabisa. Kupita kwa kupita wengine kwa kura moja. Pili nadhani katika sheria ushindi wa uraisi ashinde kwa kura 50% na tatu fursa ya kupinga ushindi wa raisi iweze kushitakiwa kwa vitu ambayo yalitokea katika uchaguzi.

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 29 днів тому

    Jukwaa la Tanzania au la Tanganyika ???????

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 29 днів тому

    Msiunde jukwaa la Tanzania bila kuwemo wazanzibar mwenyekiti akatoka Tanganyika katibu atoke Zanzibar hapo ndipo utasema Tanzania jee katibu ni naniiiiiii?

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Місяць тому

    Well spoken.Sheria za sasa hazijilindi pia.

  • @LazaroMwakasege-bh5en
    @LazaroMwakasege-bh5en 28 днів тому

    Leo watanzania tuamke tuachekudanga nywa na visenti vidogo ambavyovinazidi kututia umasikini

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Hivi mtu akisimama peke yake atashinda kwa kupata kura ngapi? Hata akipata 20% bado atakuwa ameshinda?

  • @drallan6879
    @drallan6879 28 днів тому

    mama ana phd nyingi kwa sasa hawezi ondo uttata ltk hili la te huru fake?

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Місяць тому

    Mama Dr. Nkya hongera lakini nikukumbushe unajuwa kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Je kwenye maoni yenu hamkuona kuwa Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar? Nyinyi mmeona tu ushindi kwa kura moja?

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Місяць тому

    Katiba mpya ni sasa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Місяць тому

    Bado Kuna mapungufu makubwa. San fisiemuwatatutseala kwa nguvu maandamano yarndelee

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Місяць тому

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Місяць тому

    tunata

  • @user-iz4te4gs5s
    @user-iz4te4gs5s Місяць тому

    Public coments

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Місяць тому +1

    Ili wachaguliwe bila kura waje watuuze

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Місяць тому

    asante sana watanganyika wanataka katiba mpya nilazima watanganyika kutusomea kwamaneno kwenye majukwaa. sio haki je nauliza mumetembelea kila mkoa na wilaya na vijiji vyao husika je nauliza miminikitaka kugombea bila chama siinawezekana kama sitaruhusiwa basi inamaana

    • @user-zk9ox3di4b
      @user-zk9ox3di4b Місяць тому

      je nauliza sisi wananchi atuwaamini ninyi kamwe tuna

  • @deomuday7315
    @deomuday7315 Місяць тому

    Wakiwepo watu wa aina hii TZ Utasikia wanaitwa wapinzani mara wanaharakati...wakati ni mambo ya MSINGI kabisavkabisa Kwa wale walio HAKI.
    Shillingi yangu inabaki Kwenye kapu MAMA..
    Umeongea vyema.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Місяць тому

    Wasimamizi wasiwe mafisiyemu

  • @lucaskatoga6896
    @lucaskatoga6896 Місяць тому

    CCM wachani kuzarau maoni ya UMMA AMANI YETU IPO REHANI HOLE WENU

  • @GrandYounaitha
    @GrandYounaitha Місяць тому

    Pambana dada tupo nyuma yako