Hao makamissina mar moja maana hao gao ndiyo waliaribu uchaguzi wa 2020. Ukawa wa ovyo kabisa. Kupita kwa kupita wengine kwa kura moja. Pili nadhani katika sheria ushindi wa uraisi ashinde kwa kura 50% na tatu fursa ya kupinga ushindi wa raisi iweze kushitakiwa kwa vitu ambayo yalitokea katika uchaguzi.
Msiunde jukwaa la Tanzania bila kuwemo wazanzibar mwenyekiti akatoka Tanganyika katibu atoke Zanzibar hapo ndipo utasema Tanzania jee katibu ni naniiiiiii?
Mama Dr. Nkya hongera lakini nikukumbushe unajuwa kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Je kwenye maoni yenu hamkuona kuwa Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar? Nyinyi mmeona tu ushindi kwa kura moja?
asante sana watanganyika wanataka katiba mpya nilazima watanganyika kutusomea kwamaneno kwenye majukwaa. sio haki je nauliza mumetembelea kila mkoa na wilaya na vijiji vyao husika je nauliza miminikitaka kugombea bila chama siinawezekana kama sitaruhusiwa basi inamaana
Wakiwepo watu wa aina hii TZ Utasikia wanaitwa wapinzani mara wanaharakati...wakati ni mambo ya MSINGI kabisavkabisa Kwa wale walio HAKI. Shillingi yangu inabaki Kwenye kapu MAMA.. Umeongea vyema.
tunahitaji katiba inayompunguzia madaraka rais
WELL SAID
Jamani,toka lini barubaru akaachiwa kigoli na kigoli akatoka salama! 😂😂😂
Pawepo na mahakama maalum ya Katiba ambayo ni huru pia, inayoweza kushughulikia kezi zinazotokana uchaguzi na siyo mahakama za kiraia.
Nakuaminia mama. Mungu aongoze hizi juhudi zako mama kipenzi
Mama nakukibali pigakazi
Hao makamissina mar moja maana hao gao ndiyo waliaribu uchaguzi wa 2020. Ukawa wa ovyo kabisa. Kupita kwa kupita wengine kwa kura moja. Pili nadhani katika sheria ushindi wa uraisi ashinde kwa kura 50% na tatu fursa ya kupinga ushindi wa raisi iweze kushitakiwa kwa vitu ambayo yalitokea katika uchaguzi.
Jukwaa la Tanzania au la Tanganyika ???????
Msiunde jukwaa la Tanzania bila kuwemo wazanzibar mwenyekiti akatoka Tanganyika katibu atoke Zanzibar hapo ndipo utasema Tanzania jee katibu ni naniiiiiii?
Well spoken.Sheria za sasa hazijilindi pia.
Leo watanzania tuamke tuachekudanga nywa na visenti vidogo ambavyovinazidi kututia umasikini
Hivi mtu akisimama peke yake atashinda kwa kupata kura ngapi? Hata akipata 20% bado atakuwa ameshinda?
mama ana phd nyingi kwa sasa hawezi ondo uttata ltk hili la te huru fake?
Mama Dr. Nkya hongera lakini nikukumbushe unajuwa kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Je kwenye maoni yenu hamkuona kuwa Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar? Nyinyi mmeona tu ushindi kwa kura moja?
Katiba mpya ni sasa
Bado Kuna mapungufu makubwa. San fisiemuwatatutseala kwa nguvu maandamano yarndelee
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
tunata
Public coments
Ili wachaguliwe bila kura waje watuuze
asante sana watanganyika wanataka katiba mpya nilazima watanganyika kutusomea kwamaneno kwenye majukwaa. sio haki je nauliza mumetembelea kila mkoa na wilaya na vijiji vyao husika je nauliza miminikitaka kugombea bila chama siinawezekana kama sitaruhusiwa basi inamaana
je nauliza sisi wananchi atuwaamini ninyi kamwe tuna
Wakiwepo watu wa aina hii TZ Utasikia wanaitwa wapinzani mara wanaharakati...wakati ni mambo ya MSINGI kabisavkabisa Kwa wale walio HAKI.
Shillingi yangu inabaki Kwenye kapu MAMA..
Umeongea vyema.
Wasimamizi wasiwe mafisiyemu
CCM wachani kuzarau maoni ya UMMA AMANI YETU IPO REHANI HOLE WENU
Pambana dada tupo nyuma yako