Salam Aleykum… MashaAllah, shukran y’a sheikh.. nimetoka jacho… mwili inacheza.. n’a anaôgeya aseme walimtuma… yeye ni kini kaafir na ivi ka toa ashadu… na ka enda… mwili inaniuma kweli, Alhamdulillah sheikh Othman mickael Allah akulipe
UKITAKA UTULIVU WA NAFSII KUWA KARIBU NA ALLAH KILA WAKATI, Masha Allah Shk M Othiman tunakupenda sana sana kwa ajili ya Allah na uzidi kutuligania In Sha Allah
Aslm alkm.. Mashallah Mashallah Mashallah... Kisomo hiki kimenipa matokeo mazuri yani hata siamini.. mm nimeshuhudia mwenyewe subhanallah. Sheikh Allah akuekee akupe umri mrefu wenye uzima na afya yaarab uzidi kutufaidisha.. Nakushkuru Sanaaaa....Kisomo shifaa hiki.. mm mwenyewe nimebadilika hata siamini.
Nianze Kwa kusema alhamdulilah 🤲🥺 wallah mm nimiongon meawanaosumbuliwa na maradh Ayo kulingana na Dali tofaut wallah baada ya dua hii nimepata na Choo vimetoka v2 vyeupe na mapovu wallah na Kwa hakika Allah kateremsha Qur'an Kwa pinto nakawumen nyinyi mje mtupe shifaa 🤲 Allah akuhifadh na atuhifadhi Kwa sote insha'Allah 🤲😔
Ya Allah kwa kisomo hiki niondolee sihri kichwa chamaajabu mikosi mwili moto mara baridi ya Allah niondolee yarabi yarabi yarabi kilannalo Fanya sifanikiwi ya Allah nifungue Kila palipo fungwa ya Allah Amiiiin thuma amina 🤲🤲🤲🤲 shifaa ya Allah😭😭😭😭
Nmeskiza hichi kisomo nmepasukwa na kichwa nkahisi kisunzi mwili ulikuwa umeishiwa na nguvu kabisa ila nna imani kma kuna kitu kibaya kimetoka ndani yangu Allah azidi kukulinda sheikh 🤲🤲 shukran🙏🙏
A.aleykim shukran sanaa sheikh,, mi nayataka hayo mafuta nipo zanzibar..Wallahi nakufatilia sanaaa, mana maisha yangu yamekua na mazongee mno , lkn Namin Allah atanipa wepesi..
Shukuran jazakka Allah tunashukuru Sana shekh wetu Allah akupe mri mrefu nijihisi tumbo lazunga na kucheza kichwa kupasua nitabeuwa Sana na huhisi kutapika Lakin matapish ayatoki mdomo umejaa matetu
Asant shee kupia duwa hii nimepata kuona miujiza wakati unaanza kusoma duwa nikaweka poni masikioni baada yamda nikaanza kuyumba mala najikuta nikabinua midomo alafu afula tu nikajikuta nimesonya baada yaapo domo likaanza kucheza kwasana nikawa nanyata meno nakuachia basinikaendelea ivo alafu ndomo likajiachia lenyewe nikaisi limepanuka sana mpaka nasikia maumivu kila nikitaka kuliludisha nashidwa basi likawa limelegea mandenda yanatoka mpaka nikajikuta naema kwanguvu sana kama mbwa yani ile hahahahahahaha kwaalaka sana mpaka hunamalizia kusoma duwa ndio naona mdomo unaludi talatibu mpaka nikaufumba kwakweli shee nakushukulu sana asante mungu akumbaliki walai nitakapoludi tanzania nitakutafuta shee mungu akupe afia njema
NAKUOMBA YA ALLAH KWA DUA HII NAOMBA NIONDOSHEE MASHETWANI MAHABA NIJALIE NIPONE MARADHI YOTE YA MWILI PIA MPONESHE MKE WANGU APONE PRESHA NA MNYANYUE AWEZE KUTEMBEA TENA KAMA ZAMANI MREJESHEE NGUVU ZA MIGUU ATEMBEE TENA.
Wallah nakupenda kwa ajil ya allah na najifunza mengi sana pia huna uchoyo na elim yako allah akulipe zaid na zaid japo nataman kuongea na ww kwenye sim
Aaww salama shk. ALLAHSWT akuzidishie ilmu afya na maisha marwfu uzidi kuwapa watu elmu za ndani wengine wamefanya biashar nakutana watu Cha pili shk. Mtu Kama amedhulumiwa kwa kunyang'anywa ardhi yake mtu Hana pesa za kwenda kotini mnyonge je utamsaidia vipi kupata Hali yake ya msingi shukran
As alkm. JazzakAllahkheir cheikh. Nimefatilia vidéo hiyi alhamdllah kumeza kuhisi kicefoucefou baadae nikatoa mbwew sana na Imani bi idhiniLLAh nimefanikia na InshaAllah ntazidisha ibada Allah anime wepessi.Amina. choukran
Salaam alaikum warahmatullahi wabarakatuh, sheikh Allah akuhifadhi na akulipe kwa Dua na maudha yako mazuri, Niko Kenya bungoma na ni mwathiriwa napataje dawa hizi na huduma zaidi ?
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatu shem nakuombea kila lá kheri mungu akuzidishie mimi naumwa muda mrefu si chini ya miyaka 30 au tu niseme toka udogo wangu nateseka mpaka umri niliofikia bado naendeleya kuteseka nauwezo wa kuja uko sina nipo mozambique nikishwali fajiri na zuhuri basi siwezi kusali tena chochote naomba mnisaidie nateseka
Yaarabi tusaidie kwa pamoja ishaallah shekh othmani mwenyez mungu akujaze kher na baraka nauzidikutusomea majini machafu yaondoke 🤲🤲
Amiina thum amiina
Ya Allah kupitia Dua hii naomba nifanikiwe ktk maisha yangu lnshaallah 🙏
Salam Aleykum… MashaAllah, shukran y’a sheikh.. nimetoka jacho… mwili inacheza.. n’a anaôgeya aseme walimtuma… yeye ni kini kaafir na ivi ka toa ashadu… na ka enda… mwili inaniuma kweli, Alhamdulillah sheikh Othman mickael Allah akulipe
ALLAHU AkBAR ALLAH akuzidishie kheri apa duniani na Akhera INSHAA ALLAH Allahuma Ameen
Sina cha kukulipa Sheikh Othman kwa kunisaidia kwa dual hii nzito mwenyezi mungu Akupe afya njema. Naomba nitoe ushuhuda kupitia mimi 😭😭😭🙏
Umepatanini nduguyangu
Naomba unisaidia mwenza wangu anasumbuliw na jini mahabaa 😢
Mm nikisoma qur'an napona wasiwasi unaniisha Aman ya moyo inapatkana alhamdulilah
Wallah nimetoka kamasi na kidola cha Kati mkono WA shoto cha pasua je limetoka ama Asante mungu akupe humri inshallah
Ma shaa Allah jazakallahu kheyran you.. sheikh. Othman Michael
JazzakaAllahu Khayra sheikh Othman Michael
UKITAKA UTULIVU WA NAFSII KUWA KARIBU NA ALLAH KILA WAKATI, Masha Allah Shk M Othiman tunakupenda sana sana kwa ajili ya Allah na uzidi kutuligania In Sha Allah
Maashaallah mwiliwote umelegea Allah nijaallie jini mahaba atoke kwa kupitia duah hii
Asalam Aleikum Sheikh mola akujaze killa kheir in shaa Allah akupe Umri tuwiil uzidi kutulingania na kututibu kwa Qur'an tukufu, Wabillahi Taufiq🙏
Mashallah jazakah Allah, sheikh nimeskiza iki kisoma aky nimeona machozi yatiririka mwili kutetemeka kwani nijini mbaya ama nimzuri nimeona majab
Ewe Mwenyeeezi Mungu nakuomba kupitia dua hii nipone inshallah
Unaposoma DUA NENO IN SHAA ALLAH hutakiwi kulitumia
Aslm alkm.. Mashallah Mashallah Mashallah... Kisomo hiki kimenipa matokeo mazuri yani hata siamini.. mm nimeshuhudia mwenyewe subhanallah. Sheikh Allah akuekee akupe umri mrefu wenye uzima na afya yaarab uzidi kutufaidisha.. Nakushkuru Sanaaaa....Kisomo shifaa hiki.. mm mwenyewe nimebadilika hata siamini.
Salamwalekmyu othitazi Allah akuzidishe nashuruku allhamdulillah🙏🏼🙏🏼
allah atujalie ponyo sote allah akuzidie sheye peponi duniani amina ya Rahiman
Masha Allah Sheikh tunafaidika kutokanana Mafunzo mengi Allaha akuongoze na akuhifadi popote endelea na kazi hii
Salaam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. Shukran Sheikh Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. 🤲🏿
Aminn
Kama mazingira tuliop hakuna ndimu nifanyej
Ndimu Kama hakuna tufanyeje kwa kuchangany na kitunguu swaumu
Walaykum Salam waramatullahi wabarakatuhu inshaallah mungu akulipe pepo sheikh wetu
Alhamdulilah mimi kichwa kimenipasuka kwa mbele na mwili mzima umesismka Allah akupe umri mrefu sheikh
Nianze Kwa kusema alhamdulilah 🤲🥺 wallah mm nimiongon meawanaosumbuliwa na maradh Ayo kulingana na Dali tofaut wallah baada ya dua hii nimepata na Choo vimetoka v2 vyeupe na mapovu wallah na Kwa hakika Allah kateremsha Qur'an Kwa pinto nakawumen nyinyi mje mtupe shifaa 🤲 Allah akuhifadh na atuhifadhi Kwa sote insha'Allah 🤲😔
Ya Allah kwa kisomo hiki niondolee sihri kichwa chamaajabu mikosi mwili moto mara baridi ya Allah niondolee yarabi yarabi yarabi kilannalo Fanya sifanikiwi ya Allah nifungue Kila palipo fungwa ya Allah Amiiiin thuma amina 🤲🤲🤲🤲 shifaa ya Allah😭😭😭😭
Ee mwenyezi mungu kwa nguvu ya dual hii majini waondoke kwa mwili wangu
Nmeskiza hichi kisomo nmepasukwa na kichwa nkahisi kisunzi mwili ulikuwa umeishiwa na nguvu kabisa ila nna imani kma kuna kitu kibaya kimetoka ndani yangu Allah azidi kukulinda sheikh 🤲🤲 shukran🙏🙏
A.aleykim shukran sanaa sheikh,, mi nayataka hayo mafuta nipo zanzibar..Wallahi nakufatilia sanaaa, mana maisha yangu yamekua na mazongee mno , lkn Namin Allah atanipa wepesi..
Shukuran jazakka Allah tunashukuru Sana shekh wetu Allah akupe mri mrefu nijihisi tumbo lazunga na kucheza kichwa kupasua nitabeuwa Sana na huhisi kutapika Lakin matapish ayatoki mdomo umejaa matetu
Jazakallah kheri mungu akuzidishie kheri zaid na barakah insha'Allah,
Ya Allah kwa duwa hii naomba uniondoshee majini mahaba na sihir ilio tawala kwenye mwili wangu matatizo yangu yote yakomee hapa
Alhamdullha asatee sheikh Allah akujalie kheri inshallah akulipee ujiraa wakoo asatee
Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh wetu kipenzi. Jazakallah kheir 🙏
Munigu nakuomba katka kisomo iki unipoyeshi unipe usalama Amin thumam Amin
Allah anifanyie wepesi kila kitu kibaya kito kwenye mwili wangu nibaki msafi majini uchawi vyote vitoke kupitia dua hii
Ya Allah naomba jin mahaba iwondoke kwangu yarabb usiku nakua natarizo Allahuma Amiin
Shukran sheikh dua yenu imenifaa nimetapika hadi naona kwenye matapishi vitu viekundu kama dam Allah akulipe pepo ya firdauus
Shukran jazilaaa al habibi Salamu kutoka Kampala UGANDA
Ewe mwenyezi mungu nitimizie mahitaji yangu kupitia dua hili Amen 🙏
Aamiin
Amiina rabiaramii
Allah akulipe inshaallah
Shukran xna mwalim wetu,ila baada yakumaliza duan kiuna kinaniuma sna na kichwa kinagonga
Assalam aleikum sheikh...nifikishie salamu zangu kwa yusuf stephen..mwambie ni tolo mnyama..shukran
Ya Allah nakuomba kupitiya dua iyi iniponeshe unipe usalama katika maisha yangu YARABI 🤲🤲🤲🤲🤲
Ameen inshaallah
Amiina 🙏
Allahumma Amiin yaraab
Mm nimeisikiliza kisomo kifua kimejaa sana nakichwa kama kitu kimenikalia kichwan
Amina
Asant shee kupia duwa hii nimepata kuona miujiza wakati unaanza kusoma duwa nikaweka poni masikioni baada yamda nikaanza kuyumba mala najikuta nikabinua midomo alafu afula tu nikajikuta nimesonya baada yaapo domo likaanza kucheza kwasana nikawa nanyata meno nakuachia basinikaendelea ivo alafu ndomo likajiachia lenyewe nikaisi limepanuka sana mpaka nasikia maumivu kila nikitaka kuliludisha nashidwa basi likawa limelegea mandenda yanatoka mpaka nikajikuta naema kwanguvu sana kama mbwa yani ile hahahahahahaha kwaalaka sana mpaka hunamalizia kusoma duwa ndio naona mdomo unaludi talatibu mpaka nikaufumba kwakweli shee nakushukulu sana asante mungu akumbaliki walai nitakapoludi tanzania nitakutafuta shee mungu akupe afia njema
Ya Allah nijalie kupitia duha hii unifungulie maisha yangu na uniepushe na majini wabaya Amin🤲
Assalam alykum ,shekhe Allah akulipe kw dua hi Allah akunyenyue daraj ,a kujalie Pepo ,limepend nakusem yote mateso lilonipatia ,nimeachik ndoa 3 ,nahat nikipat mchumb namtukan mpak ananiach kunioa mkali mud wote ,na limekil kiukwel lilikua ni lenyew kw yot hayo ,na halitarud ten Wal kizaz Chang kukisumbua ,Yan Allah akulipe yaliyomema ,hap tumb linaum saan bad yakujitambua ,namin nmetoka ktk kifungo kikubwa , alhamdulilah,
Mashaallah shukran sana jadhaakallahu kheri
allah akufanyie wepes namshukur allah kwa dua hii kwa uwezo wa allah hawez kurud tena
Allahu Akbar mwalm nimejishuhudia asnt kwa kisomo mwalm🙏 Molah anijalie awe ametoka Yarrb🤲
Inamanisha alikusaidia uyu uyu shee ?🙏🙏🙏
Mashaallah Allah akuzidishie kila la kheri ishaallah
NAKUOMBA YA ALLAH KWA DUA HII NAOMBA NIONDOSHEE MASHETWANI MAHABA NIJALIE NIPONE MARADHI YOTE YA MWILI PIA MPONESHE MKE WANGU APONE PRESHA NA MNYANYUE AWEZE KUTEMBEA TENA KAMA ZAMANI MREJESHEE NGUVU ZA MIGUU ATEMBEE TENA.
Shukrani sana mungu akulipe kheri kwa sadaka yako yaduaa
Kwa jina la mwenyez mungu naomba unitolee mabalaaa m familia yangu kupitia dua hii amina
Shukran jazakhallah heri Allah akupe umri mrefu
Wa alaikumsalam warahmatullah wabarakatu, shukran jazakallah gheiri inshallah Mungu azidi kutuongoza na njia za kheri
Mashaallah! Shukraani saana mungu akuzidishie kutenda kheri na akupe uhai mrefu ishaallah
Ameen
Allha akupe umri mrefu uzidi kutufahamisha Yale ambayo kuwa hatuyajuwi
Asalama alykum shekhe shukran kwa duwa nzuri allah akubarik amina
Ya Allah nakuomba kupitiya dua hii, nepushe na Bala zaa dunia Allahuma Amiin yarabb 🤲😭🙏☝️
Wallah nakupenda kwa ajil ya allah na najifunza mengi sana pia huna uchoyo na elim yako allah akulipe zaid na zaid japo nataman kuongea na ww kwenye sim
mwenyez mungu fungua maish yangu majini yote yatowek
BaraqaAllahfiq sheikh othman michael kwa clip hii iwe sadaka yako ya raby
Eee m/mungu niponye kwa dua hii
Ya labi nakuomba huyu jini mahaba atoke katk maisha yangu ihshallah
Ya rabii yarabii kumbe tuna teseka wengiii 😭😭ya Allah nakuomba utuondolea jini huuu Wa mahaba hakika ananitesa mie😭😭😭😭😭
Asalam aleikum, namuomba Allah kupia kisomo hiki aniondoshee matatizo yote nilonayo Insha Allah. Na ww ustadh Allah akupe umri mrefu akuhifadhi
Yaa allh tuponyeshe marahd cici sote kwa ujumla amn
Allah nakuomba uniondolee matatizo maladhi kwa kupitia dua hii yalabi naomba nipone na hili jini libay litoke ihshallah
Aaww salama shk. ALLAHSWT akuzidishie ilmu afya na maisha marwfu uzidi kuwapa watu elmu za ndani wengine wamefanya biashar nakutana watu Cha pili shk. Mtu Kama amedhulumiwa kwa kunyang'anywa ardhi yake mtu Hana pesa za kwenda kotini mnyonge je utamsaidia vipi kupata Hali yake ya msingi shukran
Alhamdhulilah
Alhamdhulilah
Alhamdhulilah Yaa RABB 🤲🏾
Ee mwenyezimungu naomba uniponye kupitia dua hii Inshaallah
Yarabii tunakuomba utuondolee matatizo yetu kupitia dua hiii🤲🤲🤲🤲🙏
Allah naoba uniondolee maradhi kwamwili ameen
Nimepokea Amiiin' ya abibi'ya Muhamad'ya Allah'hakika Najuvunia Uislam..
Aminii yarabiii ata me nimeona dalili inshallah allah anifanyie wepec nna imani niko sawa sas vitu vimetoka inshallah
As alkm. JazzakAllahkheir cheikh. Nimefatilia vidéo hiyi alhamdllah kumeza kuhisi kicefoucefou baadae nikatoa mbwew sana na Imani bi idhiniLLAh nimefanikia na InshaAllah ntazidisha ibada Allah anime wepessi.Amina. choukran
Aminii atujalie sote
Allah akulipe kila la kheri sheikh Othman michael
Eee mwenyezii Mungu ninakuomba kwa lmani kupitia Dua hii nipone, lnshaallah 🙏
3dax .xa
😮😮
Yaaarabi muwenhezi mungo nijaliye dua hii iniponhe hishahlaa amina❤
Ya allah nakuomba uniodolee mradhi yote mwilini kwangu kupitia dua hii
Amin Ewe mwenyezi Mungu nisaidie🙏
Hee mwenyezi mungu ni jaalie kupitia dua hii niweze kupona
ya allah 😢nakuomba kupitia dua hii, uweze kunitatulia shida zamu zinazo nisumbua kwa kila siku!! insha allah
Asalam Aleyikum ,ustdhi nimetapika Sana leo kwa kisomo hiki , inshaAllah m/mungu akujaliee kheri na kesho Akhera uipate Pepe ya fidaus inshaAllah
Aamiin yaa Rabb
Shukran sheikh nilisikiya mwili ume tikisika
Ya rabb Nijalie watoto ktk ndoa yangu kupitia dua hii
Aah Mwenyezi Mungu nashukuru kwa dua hii.
Mashallah allah ukizidishie kher katk hii dunia na hakhera
Eemola wangu niondoxhee malanzi katika mwiliwangu eemola niamxhe kitandan nikutumikie milele mola wangu
Ya Allah utujaliye shufa sote kila ambaye anamaradhi ajini mahaba Mimi ananitesa sana kila siku mngojwa Allah atuapushiye amin
Mashaallah subnallah barakallahu fiikum😭😭😭
Salaam alaikum warahmatullahi wabarakatuh, sheikh Allah akuhifadhi na akulipe kwa Dua na maudha yako mazuri, Niko Kenya bungoma na ni mwathiriwa napataje dawa hizi na huduma zaidi ?
Allah akulipe heir shekhe tunakupenda kwa ajili ya ALLAH.
Ee mwenyezi mungu naomba kupitia dua hii niepukane najini mahaba
Eewe mwenyezi Mungu kupitia dua hii naomba matatizo yote yaende mbali na maisha yangu
Alhamdulilah hakika Quran ni dawa ya kila maradh kupitia clip hii nimeona action Allah akuweke ndugu yangu
Allah tufanyie wepesi inshallah kila zto aligeuze kuwa jepesi ammin
Amen thuma
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatu shem nakuombea kila lá kheri mungu akuzidishie mimi naumwa muda mrefu si chini ya miyaka 30 au tu niseme toka udogo wangu nateseka mpaka umri niliofikia bado naendeleya kuteseka nauwezo wa kuja uko sina nipo mozambique nikishwali fajiri na zuhuri basi siwezi kusali tena chochote naomba mnisaidie nateseka
Ya allah nakuomba upitia dua hii uniponye she kuptia dua hii amin
Yaarab naomba unijalie kuondosha maradhi ya kijini katika mwili wangu eehe allah nakuomba nisadie mja wako nami niwe vizuli kama wezangu inshaallah😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Amiina pole ila tupo wengi usilie
Asante sana Nimefunguliwa
Ewe mwinyezi mungu nitimziemahitaji yangu kupia dua hii amin
Eeh Mwenyenzi MUNGU kupitia dua hii naomba matatizo yangu yote yaishe
M WENYEZI,MUNGU, KWA KUPITIA DUA HII NAOMBA NDOTO ZA MAJINI MAHABA NISIZIOTE TENA ,NA ZINITOKE KABUSA,AMEEN