Mashallah sheikh othman kisomo kizito saana inshallah ya rabi Allah atuondoleye hayo majini wa baya wanatutesa inshallah ya rabi Allah akuhifadhi ya rabi
ماشاءالله تبارك الله الله أكبر، Allah ajalie dua zetu inshaAllah, ustadh shukran sana Allah akulinde akuhifadhi akujaalie maisha marefu hapa duniani inshaAllah, amin
Alhamndulilah shehe wetu mungu akulinde kila baya akupe pepo ya dunia na akhera ww na familia yako kwakujitoa kwako kusaidia waja wake sadaka kubwa unafanya
Shukran Allah Akulinde akupe umri mrefu utusomee sihri twakuskiza tukiwa mbali Ameen insha Allah Quran itaenda kutibu kila tatizo insha Allah. Ameen🤲🤲🤲
As saallam Aalaiykum warrhmatullahi wabarakatuh za asubuy sheikh wangu, Kaka yangu, kwakweli mwanzo mwisho, clips ya kwanza toka uwaziye Ruqya, sema Alhamdulillahi, allah azidi kukupa kipaji zaidi Na zaidi Duniani Na khair, akukinge Na hasadi Na vitu vyote vibaya , tunashukur Baba yetu Allah swt atujalie tuonane InshaaAllah Na towa Shukran sana kabisa JazzakaAllah khair
(Viumbe vikubwa vilivyoumbwa na Allah!) Hii mada kama kutakuwa na mwendelezo wake ama inayofanana na hiyo tunakuomba utuwekee ewe Shekh wetu. Pia tunakuombea kwa Allah akupe umri mrefu wenye kheri na baraka dunian na akhera! Aamin thumma aamin
Asalama.alaikoum warahmatoullah wabarakatouh. Choukran sana Dua zako hua zinanisaidiya sana. Kila unapo.soma kabla.yakumaliza hua dalili zote za kua tatizo limetoka naliona na Allah ndie atakulipa Duaniani.na.kesho.akhera. Alhamdllah.
Salam alaikum Yani sheghe nimeisikiliza hii dua mala nikaanza kusikia mapigo yamoyo yanaenda kwakaxi sana mala nikaanza kusikia ganzi mwili mzima afu Kama vile napoteza faham kwamuda kdg ile hali ikapotea na nikajisikia mwili wote hauna nguvu
Ewe mwenyez mungu nakuomba niponye maradhi yangu
Shukran Sana sheikh wetu tunamuomba Allah akupe Kila zuri hapa duniani na kesho akhera Allah akulipe kheri
Mashallah sheikh othman kisomo kizito saana inshallah ya rabi Allah atuondoleye hayo majini wa baya wanatutesa inshallah ya rabi Allah akuhifadhi ya rabi
Alihamdulinllah shukuran jaziran shehe wetu Allah akuzidishie kira rahery kwa msaada unaotoa kwa waja wa Allah
Shukran shekh alaah akukubali dua na dawa zako ziwe shufaa kwetu inshaala alhamnduliah
ماشاءالله تبارك الله الله أكبر، Allah ajalie dua zetu inshaAllah, ustadh shukran sana Allah akulinde akuhifadhi akujaalie maisha marefu hapa duniani inshaAllah, amin
Alhamndulilah shehe wetu mungu akulinde kila baya akupe pepo ya dunia na akhera ww na familia yako kwakujitoa kwako kusaidia waja wake sadaka kubwa unafanya
Alhamdililah.shehe.allah.mfungulie.pepo.yaarabi
1shukran shehe. Wetu mpla ajalie dua zako ziwetibakwetu ishaalla. Mungu akulinde. Namahasidi. Ishaalla nakuombea. Mwisho mwema
Asalamu alekumu alihadulilahi awemwenye mungu dua hi,iniodoshe matatizoyagu abayo nayajua nayenyesiyajui 🤲🤲🤲
Maasha Allahu sheikh othman Michel mayco
Mungu. Akulipe. Kher n'a. Mwisho mwema
ALLAH akujalie mema duniani na akhera
Ya allah jaalia kupitia dua hii site tupone inshaallah
mashallah Allah akubariki kwa dua hiyo
Shukran Allah Akulinde akupe umri mrefu utusomee sihri twakuskiza tukiwa mbali Ameen insha Allah Quran itaenda kutibu kila tatizo insha Allah. Ameen🤲🤲🤲
Ahsante shehe
Shukrn 😍😍
Asalm alykum Asanteh sikuamini nilichokiona aise mungu akuifadhi
Shukran zangu zadhati kwako ostadhi mungu ukujaalie mema innshaallh
Allah akujaalie kher na baraka telee allahumma amiin
rabbi Alhamdulillahi
Allah atupokelee dua zet InshaaAllah.
Amina
@@sameirahsameirah5264 mashallah ruqyq cmzuri
Ameen Allahuma Ameen
shukukran Allah akupe uzima shee
Shukran shekh othman mungu akuhifadhi ubaki na moyo huo huo
Ewwesssdsfffzzccbnbmmmkkkkkjhgfaaxxzzzzzzzzzzzz
Affg
Yyyyu
Shukrani shekhe Allah akulipe Kila la kheri
Asantee kwa duwa zako
Bado paka hivi tunazidi kushkul kwa msada wako Allah akujalie mema insha allah🤲🏾🙏🏽
Allah apokee hii dua insha Allah tueze kuaaidika,maana twateseka
Allahuma Ameen
@@mename6020 ¹1¹
Allahumma takabari duaa
Allah atujaliye katila duwa hiyi nasi tupate mafanoliyo ishaallah
S,alaykum shekh Allah akulipe mim nimesikiliza juzi na jana,ucku wa kuamkia leo niliota nagombana na hao jini mahaba.Allah akbar
Wallahi mwenyewe nimegombana nao sana
Masha Allah ww nisaidie huko
Jazakallahu haira fi dunia wa ahera
Ma ash Allah!
As saallam Aalaiykum warrhmatullahi wabarakatuh za asubuy sheikh wangu, Kaka yangu, kwakweli mwanzo mwisho, clips ya kwanza toka uwaziye Ruqya, sema Alhamdulillahi, allah azidi kukupa kipaji zaidi Na zaidi Duniani Na khair, akukinge Na hasadi Na vitu vyote vibaya , tunashukur Baba yetu Allah swt atujalie tuonane InshaaAllah Na towa Shukran sana kabisa JazzakaAllah khair
Amina thuma Amin
mashallah mashaallah
Amiiin yarab
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh Othman Micha kwakutuilimisha Allah akujazi kheyri
Mashaallah Mashaallah
Masha Allah bless you
Shukran Shekh
shukran
Amin
(Viumbe vikubwa vilivyoumbwa na Allah!)
Hii mada kama kutakuwa na mwendelezo wake ama inayofanana na hiyo tunakuomba utuwekee ewe Shekh wetu. Pia tunakuombea kwa Allah akupe umri mrefu wenye kheri na baraka dunian na akhera!
Aamin thumma aamin
Ameen yaraab
@@najmaharoub280 karibu katika group letu la dini la WhatsApp
Amiin Yaa Allah
Vp hlo group la dini
@@najmaharoub280 lipo, ntafute kwa WhatsApp 0693773440 Inshallaah
Fanya kazi mmusijali lakini usiudhi kwa watu
Barakallah fiquum yaa sheikh.nimetapika rakini bado hajaongea chochote
Allahu baarik
Alhmdhulilah 🙏🙏
Alihamudulahi
Ameen 🤲🤲🤲🥰
inshaAllah tuko pamoja
Asalam aleykum wabarakatuh wabarakatuh, Shukran shekh
227242563843525454
Asalama.alaikoum warahmatoullah wabarakatouh. Choukran sana Dua zako hua zinanisaidiya sana. Kila unapo.soma kabla.yakumaliza hua dalili zote za kua tatizo limetoka naliona na Allah ndie atakulipa Duaniani.na.kesho.akhera. Alhamdllah.
Masha Allah
Ameen Thuma Ameen
Ameen
Ameen
Masha Allahu Shukrani
Masha Allahu Shukrani
We hiki. Kisoma nitiba tosha mwalimu huyo Mungu ampe umri mrefu
MUNGU akupe wepesi
Mashallah
Ameen yarabby
Aaalllah huma amin
Assalamu alaikum sheikh Mimi fathiya wanasema wanataka Pete nyekundu na mimi sitaki
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Vp ridwan niwetu
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Shukran shukran
Aslm alkm kwakwali nimejiwa n huyo jini amesema wako wawili ,rangi nyeupe, wanatoka baharini,wako kitambo kunitesa tu sherkh utanisaidiaje uliposema atoke nilienda miayo nko Kenya
Mashaallah
Assalam Aleykum warahmatullahi
Assalmaleyhi warahmatullahi
Kisomo chawiki
mimi nimetwesa.na.majini.ya.ukoo.hadi.nimekata.taa.ya.kuishi.yameuwa.baadh.ya.familia.ngu.dadangu.babangu.mama.wa.kAmbo.mtoto
Wake.sasa.nimimi.nimeteseka.dana.kwenye.hii.dudia.
Mimi ilivyokuwa unasema hizidua namımı niliona jinanatetemeka katikamwliwang alikuwa akatoka sasa mwendlezoshekumbe hatatukiwambli wanaogo mimi naomba mendelezo leo nashukuru kwaduazako leo nimelala vizuri
52710094
Mimi niko mwenyewe maji nani atanisomea
Jamani nimetapika atari
Salam alaikum Yani sheghe nimeisikiliza hii dua mala nikaanza kusikia mapigo yamoyo yanaenda kwakaxi sana mala nikaanza kusikia ganzi mwili mzima afu Kama vile napoteza faham kwamuda kdg ile hali ikapotea na nikajisikia mwili wote hauna nguvu
mashallah mashaallah
Kam mimi nilijiskia hivyo
Niji some tu au??? 😔😔😔Nauliza
Nikisikiliza nauumwa na mgongo na kichwa
Amina
Naskilizaa mara ngap au siku moja tu yanatoka
Mwenyezi mungu akuweke miaka elfu
Sheikh naomba number zako niko dubai ras al khour
😭😭😭
Asalam aleykum.kwakweli nimesikiliza Ila nikapitiwa na usingiz mzito kwakweli
Mimi at a kusinzia sinzii nautafuta usingiz kila siku siupat inavyotakiw naumia
Kundoa kijico mwilini na shekhe
Shukran jazila❤
Amina
Mashaallah
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Mashallah
Assalam Aleykum warahmatullahi
Vp kishki
mashallah mashaallah
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh