Lala Amka Muda Huu Wa Usiku Kuna Siri Nzito Chukua Udhu Alafu Fanya Hivi - Sh Othman Maico

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 лип 2024
  • #QiblateinOnline
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
    FACEBOOK; profile.php?...
    UA-cam; / @qiblatainonline

КОМЕНТАРІ • 96

  • @joanthabeet8005
    @joanthabeet8005 2 місяці тому +26

    Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam

    • @MWANAKOMBONGANGAKARISA
      @MWANAKOMBONGANGAKARISA 2 місяці тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair

    • @user-gn9rh7sw7r
      @user-gn9rh7sw7r 2 місяці тому

      Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah

    • @user-oz6uy3kj3n
      @user-oz6uy3kj3n Місяць тому

      Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah

    • @AdidjaKadjemba
      @AdidjaKadjemba Місяць тому

      Haya Mimi piya

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 29 днів тому

      Mashaallah

  • @sakiukitv
    @sakiukitv 11 днів тому +1

    Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.

  • @tuwemzee8168
    @tuwemzee8168 Місяць тому +2

    Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤

  • @Al-Hajj-er3fk
    @Al-Hajj-er3fk 2 місяці тому +6

    Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah

  • @ZamdaAthuman
    @ZamdaAthuman 2 місяці тому +2

    Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 3 місяці тому +4

    Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi

  • @AISHAUWAMAHORO-jo6gv
    @AISHAUWAMAHORO-jo6gv 2 місяці тому +2

    Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i 3 місяці тому +2

    Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 2 місяці тому +5

    Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri

  • @RakhmanHassan-ei3kn
    @RakhmanHassan-ei3kn 2 місяці тому +2

    Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri

  • @shabanshaban8102
    @shabanshaban8102 2 місяці тому +2

    shukran sana sheikh
    Jazakallah khayra!

  • @user-jb9ew2id6r
    @user-jb9ew2id6r 2 місяці тому +3

    Allaha atufanyie wepes inshallah

  • @HAJJATHALIMASULYMAN
    @HAJJATHALIMASULYMAN Місяць тому

    Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana
    Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi

  • @ummysaabersaeedy8152
    @ummysaabersaeedy8152 Місяць тому

    Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi

  • @MimahYaseen
    @MimahYaseen Місяць тому

    Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu

  • @user-mf7mt9zq6c
    @user-mf7mt9zq6c 3 місяці тому +2

    Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 2 місяці тому +8

    Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu

  • @user-yi3vo6ig2q
    @user-yi3vo6ig2q Місяць тому

    Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu

  • @leylersirlim4402
    @leylersirlim4402 2 місяці тому +1

    Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini

  • @zeyanaseif5730
    @zeyanaseif5730 Місяць тому

    Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 3 місяці тому +2

    Mashaallah jazakka Allah kheri

  • @user-oz6uy3kj3n
    @user-oz6uy3kj3n Місяць тому

    Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.

  • @AgahozoAsmah
    @AgahozoAsmah 18 днів тому

    Allah akuzidishiye. Elimu

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n 2 місяці тому +2

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
    Allah akubarik shekh maneno matam

  • @Hiranur_1475
    @Hiranur_1475 3 місяці тому +9

    Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir

  • @AdidjaKadjemba
    @AdidjaKadjemba Місяць тому

    Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 3 місяці тому +3

    Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass 2 місяці тому +1

    Allah akubariki shekh

  • @maryamabdallah7284
    @maryamabdallah7284 2 місяці тому

    Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake

  • @user-sr9zm3uf9k
    @user-sr9zm3uf9k 13 днів тому

    Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 2 місяці тому +2

    Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.

    • @hamidahnassoro-12
      @hamidahnassoro-12 2 місяці тому +2

      Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish

  • @user-rt6gt7gu3p
    @user-rt6gt7gu3p 2 місяці тому

    Allah atujalie wepesi inshaa Allah

  • @FatumaAdam-xo7ye
    @FatumaAdam-xo7ye 2 місяці тому +1

    Allah akibarh

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h 3 місяці тому +2

    Tunashkr Sheikh

  • @MaimunaDimwe
    @MaimunaDimwe Місяць тому

    Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe

  • @JumaAsraj
    @JumaAsraj 2 місяці тому

    Masha Allah ❤❤❤

  • @amina12aminamuhudin25
    @amina12aminamuhudin25 Місяць тому

    It's very true what he said is very true😊😊😊

  • @neemahalima5440
    @neemahalima5440 2 місяці тому +1

    Mashalla

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe 2 місяці тому

    Maashaallwah Allwaakuzidishie

  • @Muhammad-jy1vx
    @Muhammad-jy1vx 2 місяці тому +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @EstellaNshimirimana-gw7wv
    @EstellaNshimirimana-gw7wv 2 місяці тому +1

    Shukran

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini Місяць тому

    Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe

  • @MwanapiliAthumani-zp1bs
    @MwanapiliAthumani-zp1bs Місяць тому

    Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah

  • @hanafibalozi5308
    @hanafibalozi5308 Місяць тому

    Takbiii..r

  • @mwanamussa9650
    @mwanamussa9650 2 місяці тому +2

    Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu

  • @RehemaHassan-rz8nh
    @RehemaHassan-rz8nh 2 місяці тому +2

    Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako

  • @CadetMBUSA
    @CadetMBUSA Місяць тому

    Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa

  • @aminakassim831
    @aminakassim831 3 місяці тому +10

    Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah

    • @ayshazambia6509
      @ayshazambia6509 2 місяці тому +1

      Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah

    • @angle3600
      @angle3600 2 місяці тому +2

      Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema

    • @SakinaSakinat-qd9rs
      @SakinaSakinat-qd9rs 2 місяці тому

      ​@@angle3600
      Amiin

  • @user-oz6uy3kj3n
    @user-oz6uy3kj3n Місяць тому

    Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje

  • @user-or9im6hr8l
    @user-or9im6hr8l 2 місяці тому +1

    Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes

  • @HusseinAlly-o6j
    @HusseinAlly-o6j 6 днів тому

    Assalam alaykum shekh ,,shekhe naomba msaada wako mtu ambae nampenda hayuko tayar nimuoe asaivi anadai anadai anataka aendelee kusoma vyuo nami ninawasiwas anaweza akashawishiwa huko akaniacha nifanyaje

  • @user-ys7kt7gd7j
    @user-ys7kt7gd7j 3 місяці тому +5

    Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie

  • @hassanisindi474
    @hassanisindi474 3 місяці тому +3

    Salat nnaria bado sijaijua

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 2 місяці тому +1

    Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.

  • @zidinayusuphyusuph
    @zidinayusuphyusuph 15 днів тому

    Shehee naomba uniombee dua nina mitiani ya ridhiki

  • @halimasaid5121
    @halimasaid5121 2 місяці тому +1

    🙏🙏🙏

  • @user-bv1vn2lk7q
    @user-bv1vn2lk7q 2 місяці тому

    Asalawalaykum shukran❤❤

  • @YusuphuMsangi-jo9pe
    @YusuphuMsangi-jo9pe 2 місяці тому +1

    Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini

  • @TATUCCM
    @TATUCCM 29 днів тому

    Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 27 днів тому

    Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤

  • @ZuhuraAbass
    @ZuhuraAbass 2 місяці тому +2

    Hata kama umesengenya

  • @user-be4bq7fc1t
    @user-be4bq7fc1t 2 місяці тому +3

    Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua

  • @user-or9im6hr8l
    @user-or9im6hr8l 2 місяці тому +1

    Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema

  • @LovelyCrocodile-og7uv
    @LovelyCrocodile-og7uv 2 місяці тому +2

    Ivi Burundi hicho kitab kipo

  • @aminakassim831
    @aminakassim831 3 місяці тому +4

    Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1z Місяць тому

    Shekh auna vitabu

  • @Amissaamiri
    @Amissaamiri 2 місяці тому

    Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni

  • @RamaTota-j6e
    @RamaTota-j6e 23 дні тому

    Laila ila hata asbuna ka ikuntu dhwalmin

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani 17 днів тому

    Shekhe nilikuwa nauliza hayo ni mafundisho ya mtume s a w ,kwel?

  • @FatumaZuberi-eb2sj
    @FatumaZuberi-eb2sj Місяць тому

    Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea

  • @Bakia-tj2of
    @Bakia-tj2of 2 місяці тому +2

    Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 2 місяці тому

      Mubin iko kwenye suratul yasin

    • @user-gn9rh7sw7r
      @user-gn9rh7sw7r 2 місяці тому +1

      Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7

  • @user-ob2hk3jx7i
    @user-ob2hk3jx7i 2 місяці тому +1

    Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?

  • @mwalimuathumani722
    @mwalimuathumani722 2 місяці тому +1

    Assalaamu waalaykum,
    Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA,
    Majibu Tafadhali.

  • @Zouzumachini
    @Zouzumachini Місяць тому

    Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 2 місяці тому +1

    Utanisaidiaje ?.

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n 2 місяці тому +2

    Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
    Allah akubarik shekh maneno matam

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 2 місяці тому +2

    🙏🙏🙏

    • @YusuphuMsangi-jo9pe
      @YusuphuMsangi-jo9pe 2 місяці тому

      Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi

    • @YusuphuMsangi-jo9pe
      @YusuphuMsangi-jo9pe 2 місяці тому

      Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani