Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Assalaamu waalaykum, Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA, Majibu Tafadhali.
Asalaaam aleykum, Allhamudillilah mm ni shuhuda kupitia kufanya dhakari na kufanya ibada wallah nilikuwa na ugumu wa maisha na madeni ambayo nilikuwa sijui nalipa je illa Allah amenipa pesa sikutegemea nilipata milioni 11 ofisini nikaweza kulipa madeni ndugu zangu waislam tufanye ibada Allah ana jibu, sheikh Othmani Allah akubariki kupitia kusikiliza nimejifunza na nikafanya nanimefanikiwa, na nina miaka miwili toka nimeingia kwenye uislam toka nilivyoslim nafurahia uislam
❤❤❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah Baraka'Allah Khair
Maashallah Maashallah Maashallah hayo unayosema ni kweli ibada ndio kila kitu,Allahsw auzidishie mardufu udumu ktk uislam in shaa Allah
Mashaa Allah Mashaa Allah, nina mtihani wa madeni makubwa kama huo ila bado wakati wangu wa kufanikiwa haujafika japo nazingatia sn mafundisho ya Sheikh na nafanya vyote anavyoelekeza nasubir majibu kutoka Kwa Allah in shaa Allah
Haya Mimi piya
Mashaallah
Sheikh mimi si mwislam ila mkristo tena kutoka Burundi, wallah mafunzo yako yananikosha, nakuombea dua Jalali akupe maisha marefu tuendelee kufaidi uhondo wako inshallah.
Assalam walaykum..Ahsante sana shekh wangu pedwa..Kuna ile uradi wa kurudisha mume ambae ilikua amekimbia wallahi kama nakuona vile maajabu yake ni siku 3 tu ...Allah akuzidishie uzima na afya njema ila pia uupate mwisho mwema❤nakupenda kwa ajili ya ALLAH. ❤
Allah (s.w) akuhifadhi pamoja na ummah wote wa kiislam inshaallah
Amiin
Allah s.w akulipeni kila la kheir sheikh Othuman,ila wengine bado lugha inaleta utata
Mmungu akubarik sheikh wetu. Tumo Kujtahidi
Allah akupe kilalaheri sheikh wetu❤
Shukran jazzakallahul kheir Shekhe wetu,Allah akujaze kila la kher In Sha Allah 🤲
Sheikh niko mbali lkn nafurahika na siwezi siku kupita Bila kusikiliza mawaidha yako jazakka Allah kheri
Shukran sheikh Allah akulipe kila lakheri
shukran sana sheikh
Jazakallah khayra!
Allaha atufanyie wepes inshallah
Alhamdulillah yaan shekhe nimejifunza mambo mengi sana
Jazzakallahu khaira Allaah akupe umri mrefu afya tele utujuze mengi
Nakukubali sana shekh othman nilikuja kwako nipo hoi dhufu l hali nikakesha na wewe nikajifunza namna ya swala za usiku ..Allah akulipe kheri Wewe pamoja nasi
Allah akubarik shekh wangu akupe maish marefu na akutimizie kila hitaj la moyo wako kwa kutupa elimu
Jazaka Allah kher sheikh wetu 😊
Assalam Alleykum Shukran sana Shekh wangu Leo nimempata faida kubwa sana japo Mimi huwa nakufuatilia sana na natumia Dua nyingi unazo tufundisha ila Leo umetoka fursayakuja kuhudhuria kwenye Dua kwangu Mimi ni Fursa naitaji niudhurie Dua hii naomba ratiba Yako siku na saa nipate kuhudhuria Inshallah natumia utanijibu
Hua naenda mara nyingi hafanya jumapili na jumatano
Maashaallah Allah Akufanyie wepec niombee na Mimi shehe wangu
Shukran sana Jazaka llahu kheyr. Mombasa unakuja lini
Inshallah Allah atatufanyia wepes ktk kila gumu tunalopitia🙏
Mashaallah jazakka Allah kheri
Allohumma innaka 'afuwwun kariim tuhibbul 'afwa fa'fu 'annaa yaa kariim.
Allah akuzidishiye. Elimu
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
Allah akubarik shekh maneno matam
Lailaha ilallah wahdahuu la sharika lahu lahulmulk walahul hamd yuhyii wayumitu wahuwa hayu la yumitu biyadihil khayra wahuwa aa’la kulishayin kadiir
Allah akupe urmi mrefu .uzidi kuelimisha watu .mana anayetumiya ushauri wako kama utwambiyayo .na imani anafanikisha
Shekh wangu mm kwa mdomo wangu mzito nikifanikiwa kuzimaliza zote ulizo sema labda nikeshe😢
Allah akubariki shekh
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kwa malipo yake
Asalam aleykum warahma tullahi wabarakatu vp hl yk sheikh wallahi nimetizama hii Leo mm wallahi nataka sn sn kufanya hizi adhakar ntajitahidi lkn umesema niombee na mm mungu watoto wangu hawataki kuswali kila nnavo waambia haswali naamini haya matatizo nlonayo ni mngu hajaitizama nyumba yangu kwa jicho la rehma ramadhani hatuitambui ikiingia na ikitoka saumu ya aina zote nyumba yangu watu wateta wapigana hakuna raha ndani ya nyumba yangu nakuomba sheikh niombee hawa watoto wamlekee mola wao huyo baba yao ndio usiseme hataki ht kuswali nakuomba sheikh
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh. Sheikh niombee hta mm nko Hoi taabani.Kusema kweli.Madeni maisha mangumu.
Mungu atakutilia wepesi kila kwenye uzito ..ishaallh yatakwish
Allah atujalie wepesi inshaa Allah
Allah akibarh
Tunashkr Sheikh
Asalam aleykum, shukran shekhe wang , naomba dua nina mitihan shekhe
Masha Allah ❤❤❤
It's very true what he said is very true😊😊😊
Mashalla
Maashaallwah Allwaakuzidishie
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Shukran
Assalam alaykum ww, namushukuru muweza na kutupa sheikh anaetupenda kama wewe
Asalam lakm sheikwetu naomba iniombee dua na matatizo na hapa nilipo ninamtihani sana naomba dua zako insha Allah
Takbiii..r
Shekh dua hiz unaweza kusoma ktk miez yoyote maana mm ndio kwanza nimekusikiliza leo shekh wangu
Ndio unaweza
Hujachelewa anza ndugu yangu
Allah akuhifadh na kila lenye sharri kwako
Assalamu alykumu naminimuisilamu kutoka congo namina ombaileduwa
Basi mi huwa na anza kuswali salat haja kwanza alaf ndo naanza adhkar kumbe nakosea!ntabadilisha inshallah
Mi mwenyewe nilikua nasli kama ww inshaallah nitabadilisha inshaallah
Nakubaliana nawe kakangu alikufa wakati wa kiangazi ila la kushangaza wakati jeneza latolewa ndani ya nyumba kulinyesha mvua kiasi yani ardhi ikawa baridi kiasi, watu walishangaa sana,ila yeye pia alikua mcha Mungu mashallah Mungu amueke pema palipo wema
@@angle3600
Amiin
Msaada wa hiyo sura ya mwisho mwisho ya Afia inaitwaje
Asalam alaykum shekhe niombe dua nifungue akili yangu na mambo yangu yawemepes
Assalam alaykum shekh ,,shekhe naomba msaada wako mtu ambae nampenda hayuko tayar nimuoe asaivi anadai anadai anataka aendelee kusoma vyuo nami ninawasiwas anaweza akashawishiwa huko akaniacha nifanyaje
Assalam alaikum ww shekhe tuna omba dua samahani nisaindie
Salat nnaria bado sijaijua
Sheikh hii nyumba nko inanifanya kwa kweli nipata ugumu a kufanya ibada.
Shehee naomba uniombee dua nina mitiani ya ridhiki
🙏🙏🙏
Asalawalaykum shukran❤❤
Nikweli Mimi Huwa napenda sana kusoma Ayaatulkudsi hata nikiota ndoto mbaya najikuta naisoma usingizini
Asalaam aleykum shekhe, pia mimi ninatatizo kila ninalofanya sifanikiwi kabisa pia ninamadeni sana na sijui nitayalipaje, hivyo shekhe wangu naomba unifanyie dua wewe mwenyewe ili niondokane na hii adha ya madeni pia nifanikiwe kila nilifanyalo. ASANTE
Kwa kiswahili shee pls ❤❤❤
Hata kama umesengenya
Aslm alkm plz nisaidie kuandika hii dua
Salma shaban abubakar naomba uniombee shekhe nifunguke akili nikumbuke Quruan niweze kuyafanya mema
Ivi Burundi hicho kitab kipo
Salaam,shekh unaweza kuwafanyia watoto wako hata kama wakubwa wapo shule ya msingi?au wewe mwenyewe ukajifanyia?
Shekh auna vitabu
Asalaaam aleykum cheh unawez ukayitumia kwatatiz la madeni
Laila ila hata asbuna ka ikuntu dhwalmin
Shekhe nilikuwa nauliza hayo ni mafundisho ya mtume s a w ,kwel?
Sheikh.natamani.izo.dua.lakini.ni.garama..gani.napenda..sana.mimi.naitwa.Fatuma.zuberi.kutoka.songea
Shekhe muubin ndo nn mbona mm c iijui hiyo mubinn nianze kujiombea na mm
Mubin iko kwenye suratul yasin
Mubiin iko ktk surat yasin unapoendelea kusoma yaasin utazikuta ziko 7
Mimi ninashida kubwa.kuna mda nasoma koroan nikasikia kizunguzungu kichwani,siku ingine nikaisoma nisisikiye shida ile.sasa nifanye nini sheikh ?
Assalaamu waalaykum,
Sasa kama hiko kitabu cha WASILATU SHAFII hauna na pia hiyo Swalati Mnnalia hauijuwi nikifanya bila hizo Hili DUA litakuwa LIMESHIBA,
Majibu Tafadhali.
Wasilatu Shafii ipo hapa hapa You tube
Sheikh wangu napenda niwe rafiki wa Alaa nifanye nini?
Utanisaidiaje ?.
Apo kwenye kusujudu machoz ndio kama yalofukuzwa shekh subhanallah Allah sw atufanyie wepes
Allah akubarik shekh maneno matam
🙏🙏🙏
Alhamdulilahi basi Mimi napenda snakusoma Ayaatulkudsi
Hatakama nipo usingizini naota ndoto mbaya basi inakuja Atomatkal kichwani