Faida Za Swala Za Usiku / Soma Aya Hii Mara 100 / Kama Unashida Soma Usiku Hii/ Sheikh Rusaganya
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Faida Za Swala Za Usiku / Soma Aya Hii Mara 100 / Kama Unashida Soma Usiku Hii/ Sheikh Rusaganya
Mashaa Allah Sheikh Hashimu Rusaganya akitoa darsa kwa uzur na ubora wa hali ya juu kabisa katika darsa zake
Napenda mawaidha yako na najitahidi kuyafanyia kazi Allah akulipe n akujalie Kila lenye kheri
Mashaallah tabarakallah. Allah akuhifadhi akufungulie milango ya kheir na upate kila unacho kiomba sheikh wetu wa jamiil Islam
Masha Allah Allah amuondoshee mabalaa sheikh WANGU huyu nampenda mno kutoka moyoni kwa ajili ya Allah , ingekua mashekh wote wanatoa mafundisho ya dini namna Hii bas WAISLAMU wasingefarakana lakin Kuna viumbe vimesoma kitabu kimoj TU Wana maneno machafu yanatia uchungu
Waufadhidu amri Ila Allah InnaAllah baswiru-bil-ibad..🤲
Wa u fawwidhu Amrii ila llah.. sio wa ufadhidhu
shokrani ❤
Shukran
Waufawidhu
Allah akuzidishie dunian na akhera nafatilia masomo yako na faida yake nimeiona
ALLAH akulipe sheikh wangu, kaka yangu. Dah! Shukran Sana.
Mashallwah sheikh wng kutufundsha all wah akulipe badal dhawabu allwah akumiminie na akupe umri mrefu up ate kutujuza
Waufawidhu amri ila llah.... innallah baswirun bil'ibaad
Nakabidhi mambo yangu yote na Mimi mwenyewe kwa Allah..ndiye atakae nitatulia
Waufauwidh
Allah atie barka katka maisha yako tuzid kufaidika na ilmu yako aameen🙏🏼🙏🏼
Waufauwidhu_amri_illallwah_inna_llwah_baswiirrun_bill_ibad_nakabidhi_mambo_yangu_yote_kwa_Allah_hakika_Allah_ni_mwenye_kujua_zaid_waja_wake
mashaAllah Tabaalak Rahman shukran jazaka Allah khair
Allah Akujaze kheir Dada
Jazzakallahu kheyir
Asante dada
Shukran ukhty Habibah
Mungu akulipe kheri dunian na akhera mwalimu wangu inshaallah
Waislamu wemzangu ndugu zangu tuwaimize watoto wetu kwenda madrasa na kuswali pindi wakiwa wadogo kwani mungu atatupa fadhila kubwa dunian na akhera
Kabisa
Mashaallah mola akuzidishie kheri.na ss atupe tunavyomuomba viwe vya kheri❤
Maashaallaah Allhamdullaah mungu akulipe ujila mkubwa Dunia na akhera
Allah akuzidishie Imani Na afia
Wauufadhu amriiminallah inallahbaswiru
Mbiliibad
Shukran sheikh Allah akuhifadhi
Shukran Sana Kaka... Allahu Barik 🤲🤲🤲
Waufawidhu amri illallah inallah baswiru bilhibadi
Assalam Alleikum, Masha-ALLAAH shukran jazla sheikh ALLAH akujaalie kila la kher kwa mawaidha yako.
huyu sheikh namkubali namuomba Allah amkinnge na shari za wanadamu
Allah' akulinde shehk
Shukran sana ustadh Allah barik
Mashallah Allah akufanyie wepesi katoka masha yako
Shehe nisaidie no zako Nina matatizo
Manshallah maalim wangu kwa darsa lako
Alhamdulillah Allah yatk laafiya na uzidi kutu fafanulia tusio yafaamu shekh wetu
Shukran shekhe
Allah akuripe kwa erimu nzuri
Jazzakallahu kheyir shukuran Allah akulipe kwatuwa zote
Shukran_Allah_akulipe
Mashaallah Allah akulipe
Allah awalipe kwa elimu mupat
E kufainisha Uma
Allah akuhifadzi
Allah akuzidishie kher shekh wetu,
Sura ya 40 Aya ya 44. Barakallah Fikhii Habib
Shukran
Asallamwalayikumu napeda vipidi vyako ❤❤❤❤
waufawwidhu Amri ila Allah,inna Allaha baswiru bbil_ibadi
Jazaka Allah kheir
Mashallah shukran sheikh jazzakallahu
Shukrani shekhe wetu allah akuifadhai inshaallah amiin
Sawa Asante sheh
Mashallah shekh nakupenda kwajili yallllah
Mungu akufanyie wepesi amiina🙏🙏
Shekhe iyo Aya unaisoma ukiwa ndani ya sala mala 100 au nikuvuta uradi naomba unijinu pls 🙏
Ni kuvuta uradi tu
Shukran sheikh
MashaALLAH
Mashllwh
Mashaallah
Mashaallah inshaallah
Allahumma amiiiiin sheikh mungu akulinde
Masha Allah Masha Allah
Mashallah Allah akujaalie uzidi kutuelimisha
Mashallah
Shukran Sana twajifunza mengi yaliyo ya kher kupitia kwako
Mimi na penda sana darsa zako shekhe hashim
#Allahuakbar ❤❤❤
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
Allah akujaze kila lenye kheri insha Allah
mashaa alah
Mashaallah shekhe
Mi apa sijaelewaa jee unaisoma ukiwa katika swala au baada ya kutoa Salam ,,
Baada ya sala
jazak llah
amiin,inshaAllah
Shukrani
Shukran
Inshalah
Subhanallah
Ikawa wasoma dua kwa simu hatafaa pia
❤❤
Assalam alaykum Sheikh Aya hii ipo katika sura gani
Subhanallah astaghafirullah
Na walokua hawampendi ni kheri wakae kimya TU wasijibu kuonesha chuki zao kwani mtume s. a. w anasema man Sataral Muslim satarahu llahu yaumul qiyama , tujitahid waislam
mashaallah
Mashallah
Mashallaah
A alaykum all muslim ,,naomba shek au anaeweza kunisaidia kuandika iyo dua hapo mwanzo me kila nikirudia kusikia naona sijaelewa kutamka ,,,bora ikiandikwa nitajia kutamka
Waufawidhu amri illa Allah inna laha baswirun bil
ibad
Salam alaykum ndugu zangu Nani anaeweza kunipa namba zake huyu sheikh
+255 784 915 008
Hii aya ipo ktk sura ghaafir aya nambari 44.
بارك الله فيك
Au jina jengine surat mu'min (ghafiir)
فأعطيه بفتح الياء
Haha mafundisho ya kusema Aya mara 100 yapo kwenye mafundisho Gani ya mtumme saw?
Jamani na mimi naomba number za sheikh
jamani mwenye kuijua hii dua naomba anitag hpo kwa comment 😢
sura ya 40 aya ya 44
Sasa ile mawaidha yako kuusu yatakae mukuta muja kaburini
L
Tumswalieni mtume
Shehe kumbe kiingereza kinapanda 😁🙄
MashaAllah
Asante sana
Mashallah
Mashaallah