Shangwe SUGU alivyochana mbele ya Waziri Mkuu, Wabunge wampa hela, Prof. J adata

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Kama ulimiss michano ya HIP HOP kutoka kwa staa wa miondoko hiyo ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU, Sasa leo November 7, 2018 SUGU alisimama mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mkoani Dodoma akiwa na kipaza sauti chake na kukumbushia enzi zake.

КОМЕНТАРІ • 299

  • @ibrahimsheshe9200
    @ibrahimsheshe9200 5 років тому +19

    Nimemuona profesa J kama ni kweli gonga like please

  • @humphreyshishira7665
    @humphreyshishira7665 5 років тому +15

    Gonga like kama unaiangalia hadi 2019.still bumpin

  • @Blackie_blackie9327
    @Blackie_blackie9327 6 років тому +62

    Sugu + prof J nawapenda sana😘

  • @pasover-furahamrema601
    @pasover-furahamrema601 6 років тому +25

    Nyimbo nzuri, msg nzuri inakumbusha enzi hizo za uncle sugu

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 6 років тому +18

    Fanyeni na profesa j basi itakua nzuri sana

  • @mathewxtraordinary8332
    @mathewxtraordinary8332 4 роки тому +6

    Mr sugu nakuheshimu wimbo una ujumbe .Nangoja collabo yako na prof J wabunge wenye tajriba na talanta, Fanikisha maisha .Much love from Western Kenya Busia County

  • @jamiestan7280
    @jamiestan7280 6 років тому +159

    Gonga like kama una mkubali sugu konkiiiiii

  • @leolaswai5784
    @leolaswai5784 6 років тому +14

    when hip-hop was real represented and music was for The called few ,nowdays while hip-hop is still alive some People want to take away The meaning of hip-hop but they Will never take This out of The streets, long live honoroble sugu, long live HipHop

  • @julienmirali9778
    @julienmirali9778 4 роки тому +9

    Too proud, Mr two......heshima kwako kutoka DRC....iyi ni bonge la song mpaka leo....message kubwa kabisa!

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 3 роки тому +4

    Maisha haya dah.. Pole sana sugu kwa kutokurudi tena bunge, unaakili sana sugu

  • @bujiiclassic1964
    @bujiiclassic1964 5 років тому +7

    Km umemwn Joseph haule anatikisa kchwa gonga like

  • @eliya6361
    @eliya6361 4 роки тому +1

    Dah aliyetanguliya cku zote anajua brother unajua

  • @chikumatangwa8314
    @chikumatangwa8314 6 років тому +49

    😁😁😁sugu bhana eti mikono juu😂😂 ilibaki kidogo awaambie ...wote sema woyowoyo woyo😂😂😂 big up sana mh.

    • @chabycarpoza2998
      @chabycarpoza2998 5 років тому

      😂😂😂😂😂 hata mm naona

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 роки тому

      Eti woyowoyo😂😂😂😂Chiku bhana !! Umenfanya nicheke njiani .. Na hashindi kuwaambia piga keleleeeee😂😂😂😂😂

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 4 роки тому +3

    Wooooyooooo namuona professor J anainjoy

  • @joshmangi
    @joshmangi 6 років тому +17

    Much RESPECT Mh. SUgu, LIVE perfomance juu ya mdundo, na wimbo uliobeba maana kubwa sana. Hongera.

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 4 роки тому +1

    Nakukubari sana jembe, wagongee na ule nipo mikononi mwa polisi maisha yangu bado ni mikosi.

  • @humphreyshishira7665
    @humphreyshishira7665 5 років тому +10

    Amenata na bit hakuna, support ya back vocal,hana papara na bit kama pusy za skuhzi. Sugu bad boy nakukubali sana broda..

  • @godwinmpazi1560
    @godwinmpazi1560 5 років тому +2

    Wazee wanamcheki zile... Arooo hiri rikijana ringekuwa na akili Timamu ringekataa hii fursa.. Araaaaa
    Big man Sugu. This made my day
    Made my day made my day
    Made my day eeey.... Aaanh dinh dinh eii enhhh tetirii made myyyy made my day

  • @jacklinemushi4326
    @jacklinemushi4326 6 років тому +3

    waooooo, safii, profesa J safiii

  • @sirvergans4542
    @sirvergans4542 4 роки тому +2

    Shida Brother Sugu umeshakua mheshimiwa sasa acha makuzi basi Brother Sugu

  • @rakaskibao3161
    @rakaskibao3161 6 років тому +13

    Yeeeeh huyu ndio haswaaa KONK KONK KONK.. Na ni Sugu kweli kweli hana kashfa za hovyo.. Safi mh JOSEF MBILINYI..

  • @antonmwaila8183
    @antonmwaila8183 6 років тому +3

    Nimekuelwa Sana'a kiongoziii ukoo vzr sana

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 2 роки тому

    Km umemuona ndugai na pro Jay wananata na beat kwa kichwa tujuane kwa like👍

  • @officialmatambi5550
    @officialmatambi5550 5 років тому +3

    Hongera sana mbubge MC

  • @njombecargolimited9845
    @njombecargolimited9845 3 роки тому +2

    Well done mr mp

  • @EmanuelTheChampion
    @EmanuelTheChampion 6 років тому +4

    Mwanaharakati Sugu.

  • @mohamadngwale4147
    @mohamadngwale4147 6 років тому +35

    Utabaki kuwa sugu tu naweza zaidi ya wanaoweza bongo.. Sema.. Ndio maana kama. Unakubali

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 4 роки тому +8

    Nampenda sana mh. waziri mkuu natamani kujua alisema nini kuhusu huo wimbo maana alikuwa akinukuu mambo fulani

  • @lawagustino1887
    @lawagustino1887 5 років тому +1

    utambulisho mzuri sana

  • @jeremayajeremaya5011
    @jeremayajeremaya5011 5 років тому

    Mpakaaa wabungeee mikonooo Juuuu....nanii kamaaa supuuu naa kamaaa umemuonaaa waremboo wakimpaaa vitulizaaa rohoo achaa like

  • @fremwamedia1976
    @fremwamedia1976 6 років тому +24

    NAWATAKIA KILA LA KHELI WABUNGE WANGU,PENDANENI HIVYO HIVYO MKIFURAHI PAMOJA,SIASA SI UADUI WAHESHIMIWA,WOTE LENGO NI KUIJENGA NCHI YETU.MUENDELEE KUPENDANA NA KUFURAHI PAMOJA,SAFI SANA .

  • @danielmagwaza2410
    @danielmagwaza2410 6 років тому +20

    japo wanataka kukutoa jipe moyo mh sugu wewe ni jiwe upo juu sana mwenye haki hashindwi hata cku moja

  • @wawakilishitvonline4484
    @wawakilishitvonline4484 5 років тому +1

    Nakubali sana my father

  • @user-kg9uz2hh1y
    @user-kg9uz2hh1y 5 місяців тому

    2proud, always superb.👍

  • @esthermwogofi1594
    @esthermwogofi1594 6 років тому +26

    Hip hop legend in Tz sugu moto chini

  • @kiezeraalfred4493
    @kiezeraalfred4493 5 років тому +3

    he he he he Tanzania yangu naipenda

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 6 років тому +12

    Hongera mbunge wa Green city,

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 роки тому

      Hivi naomba mnieleweshe kwann Mbeya mnaiita green city na wakati hata miti hakuna ?? Watu wamekata miti pamekuwa kama jangwa !! Kwa asiyeijua mbeya nenda Iyunga shuka Nzovwe endelea hadi Iwambi nenda hadi mbalizi ifisi igawilo etc miti michache mno utaona mabati tuu !! Nenda mitaa ya airport ya zamani na jirani miti hakuna !! Michache mnooo!! Wakati wa kiangazi jua ni kali balaa vumbi ya hatari !! Natamani ingekuwepo kampeni ya upandaji wa miti at least mkoa wetu upendeze na hali ya hewa ibadilike na hili jina green city liwe na maana !! Kwa mtu ambaye hajasafiri nje ya mbeya hawezi elewa !! Nenda mikoa kama Arusha kilimanjaro morogoro iringa songea nk uone ukijani utaelewa ninachosema !!!

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata7274 6 років тому +14

    Namwona mh spika kama anakunja kunja big up sugu #mbeyamoja

  • @joelkaruga8696
    @joelkaruga8696 5 років тому +2

    I like the way Professor jay nodding his head,sugu noma sana.

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 5 років тому +1

    Still uko vizuri ,good sana

  • @victorhamli3835
    @victorhamli3835 6 років тому +20

    Ingekua vp hata bungeni mngekuwa na upendo bila kuangalia tofaut ya vyama

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 6 років тому +4

    kweli wakina konk konk konk master walikuwaga bado sana.ume tisha

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 5 років тому +1

    Nimekumbuka mbali sana

  • @joycelugano3946
    @joycelugano3946 5 років тому +1

    Upo vizuri

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 6 років тому +82

    KIPAJI HUMFIKISHA MTU MBELE YA WAKUU NA WAFALME

  • @sebastianunstopable8501
    @sebastianunstopable8501 5 років тому

    Alijua kua wazir alkua anajibana kucheka gonga like apa

  • @eileenremmy8576
    @eileenremmy8576 5 років тому +2

    Aiseeeeee love sanaaa my bro wangu

  • @slimmtani8236
    @slimmtani8236 6 років тому +7

    safi sana mh:sugu

  • @hassanmalingumu79
    @hassanmalingumu79 5 років тому +3

    Mh.Mbilinyi shkamooo🙌🙌

  • @melkizedeckkimaro2094
    @melkizedeckkimaro2094 6 років тому +35

    Eti mikono juu hahahaha!! bado uko vizuri mkuu

  • @ahadimastone1550
    @ahadimastone1550 6 років тому +19

    saruti mbeya juu

  • @muddymwakatika8659
    @muddymwakatika8659 6 років тому +1

    Nimependa sana hii

  • @TimLupoya
    @TimLupoya 2 місяці тому

    My favorite music when i was 19 years.my name became Mr.II

  • @masuirugora4884
    @masuirugora4884 5 років тому

    Nouma xana mheshimiwa goma lipo vzr xana big up

  • @sadockmahundo5736
    @sadockmahundo5736 6 років тому +5

    Sugu is a bongo Flava legend.

  • @aloycayubu24
    @aloycayubu24 6 років тому +6

    Fanya mazoez bro sugu uko vzr, chek na profesa j anakaza bado

  • @shynejiskaka9959
    @shynejiskaka9959 Рік тому

    bado nairudia rudia show dah Sugu nakukubali sana❤❤ 28/10/2022

  • @novatuslyaupe7711
    @novatuslyaupe7711 6 років тому +2

    Namuona professor J anatikisa kichwa kwa furaha ya kunata na beat

  • @josephmahay1438
    @josephmahay1438 5 років тому +4

    Kama umeona wabunge wanahipop gonga like apa😁😂

  • @ashatz3434
    @ashatz3434 4 роки тому +2

    Baada ya matokeo October 30, 2020 hit a like

  • @michaelgasper354
    @michaelgasper354 4 роки тому +1

    Pamoja sana

  • @josiahkamugisha9193
    @josiahkamugisha9193 5 років тому +1

    Wimbo mzuri u anatafakarisha

  • @enjoysoccer1
    @enjoysoccer1 5 років тому

    Umetisha Sungu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Рік тому +1

    ✌️✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿❣️❣️. Two proud

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 2 роки тому

    kama umemuona job ndugai pita hapa kwa like

  • @melaniafrancis7348
    @melaniafrancis7348 3 роки тому +2

    Yeap is real rapper.🔥💫🔥

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 4 роки тому

    Hapo sawa pendaneni hiyo ndio TZ tunayoitaka.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Рік тому

    Who watching on this date 19.4.2023?
    Good msg 🥰🥰

  • @jumaimani8294
    @jumaimani8294 4 роки тому +1

    atari sana mbunge suguuu

  • @boniphacengaiwa3492
    @boniphacengaiwa3492 2 роки тому

    Kizazi Sana hii!

  • @salumchando4519
    @salumchando4519 4 роки тому +2

    Safi sanaaaaaaaaaaaaaaa

  • @lusajotange3402
    @lusajotange3402 6 років тому +5

    congrats sugu moto chini...

  • @xarverymange1706
    @xarverymange1706 6 років тому +6

    Upo juu

  • @alfahermani5174
    @alfahermani5174 6 років тому +1

    nimependa sana hii!

  • @MudiMud-lw7vx
    @MudiMud-lw7vx 5 місяців тому

    Ili kua poa bonge la shoo ndani ya bunge Safi sana

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 2 роки тому +2

    Ana miaka chini ya 18 ni 🔥🔥🔥

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 6 років тому +1

    Nyimbo za zaman zilitujenga vijana wa zaman polen wenzetu nyakat za singeli

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 6 років тому +3

    Kweli mkuu hapo naikumbuka hiyo song

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 6 років тому +5

    Hip Hop Raha Sana! Unaweza Perform Hata Mbele Ya Wabunge (Watu Wazima) Na Wakaelewa Ulichoimba!!

  • @renathamiiruko2128
    @renathamiiruko2128 6 років тому +5

    Hii nyimbo yote nilikuwa nimeimeza

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 6 років тому +10

    waziri una lusha kichwa iyo yenyewe.

  • @amedeusmodestikimey9888
    @amedeusmodestikimey9888 4 роки тому

    Umesikiya bongo flava....

  • @valentinogabriel4871
    @valentinogabriel4871 4 роки тому

    Namuona Jay anatikisa kichwa tu! Aisee enzi zileee

  • @siriusa186
    @siriusa186 Рік тому +1

    One word " legend

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 роки тому +1

    Noma sana Hip hop mpaka Bungeni

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Рік тому +1

    Sugu for real!! Pure legend

  • @zabronpaul3625
    @zabronpaul3625 5 років тому

    weweeeeeeeeee oyooyoooooooo ganga like yako twende pamoja

  • @givengiven63
    @givengiven63 4 роки тому +4

    Msanii wangu bora wa miaka yote

  • @chabycarpoza2998
    @chabycarpoza2998 5 років тому +3

    Baba Sasha weeeee😘

  • @revocatusrenatus6196
    @revocatusrenatus6196 6 років тому +2

    Shikamoo babu dugu

  • @kiboboy6035
    @kiboboy6035 4 роки тому

    Sema yeeee kwa xugu

  • @mwanamisomari6409
    @mwanamisomari6409 4 роки тому

    Namkubali kaka etu

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 6 років тому +10

    Wasanii wa leo watakuibia hizo verse

  • @saidmj9213
    @saidmj9213 5 років тому

    You are big brother

  • @godfreykatunzi9680
    @godfreykatunzi9680 5 років тому

    Umetishaaa kk

  • @pascallyimo5106
    @pascallyimo5106 6 років тому +1

    Sugu nakuelewa sana mzee baba

  • @luckychanneltv8762
    @luckychanneltv8762 6 років тому

    Naona sugu ameamua kuwapa burudani waheshimiwa wenzake ,uko safi mheshimiwa sugu,

  • @fadhilimgovano1575
    @fadhilimgovano1575 4 роки тому

    Nice 2_praudi

  • @msafiriasilia4333
    @msafiriasilia4333 4 роки тому +3

    Nyimbo inaendana na maeneo

  • @abdimwambashi2715
    @abdimwambashi2715 6 років тому +12

    heshima kwako sugu