Shangwe SUGU alivyochana mbele ya Waziri Mkuu, Wabunge wampa hela, Prof. J adata
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Kama ulimiss michano ya HIP HOP kutoka kwa staa wa miondoko hiyo ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu SUGU, Sasa leo November 7, 2018 SUGU alisimama mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mkoani Dodoma akiwa na kipaza sauti chake na kukumbushia enzi zake.
Nimemuona profesa J kama ni kweli gonga like please
Gonga like kama unaiangalia hadi 2019.still bumpin
Sugu + prof J nawapenda sana😘
neema charles love u too
@@gastordominic410 thanks
Love you too from Kenya, grew up listening to these masters
Nic
@@sirchuti nic
Nyimbo nzuri, msg nzuri inakumbusha enzi hizo za uncle sugu
Y
Fanyeni na profesa j basi itakua nzuri sana
Mr sugu nakuheshimu wimbo una ujumbe .Nangoja collabo yako na prof J wabunge wenye tajriba na talanta, Fanikisha maisha .Much love from Western Kenya Busia County
Gonga like kama una mkubali sugu konkiiiiii
Konk
Safi ndo asili yko waonyeshe
Kubal Sana sugu
when hip-hop was real represented and music was for The called few ,nowdays while hip-hop is still alive some People want to take away The meaning of hip-hop but they Will never take This out of The streets, long live honoroble sugu, long live HipHop
Too proud, Mr two......heshima kwako kutoka DRC....iyi ni bonge la song mpaka leo....message kubwa kabisa!
Maisha haya dah.. Pole sana sugu kwa kutokurudi tena bunge, unaakili sana sugu
Km umemwn Joseph haule anatikisa kchwa gonga like
Nimemuona 😂😂😂😂
Dah aliyetanguliya cku zote anajua brother unajua
😁😁😁sugu bhana eti mikono juu😂😂 ilibaki kidogo awaambie ...wote sema woyowoyo woyo😂😂😂 big up sana mh.
😂😂😂😂😂 hata mm naona
Eti woyowoyo😂😂😂😂Chiku bhana !! Umenfanya nicheke njiani .. Na hashindi kuwaambia piga keleleeeee😂😂😂😂😂
Wooooyooooo namuona professor J anainjoy
Much RESPECT Mh. SUgu, LIVE perfomance juu ya mdundo, na wimbo uliobeba maana kubwa sana. Hongera.
Nakukubari sana jembe, wagongee na ule nipo mikononi mwa polisi maisha yangu bado ni mikosi.
Amenata na bit hakuna, support ya back vocal,hana papara na bit kama pusy za skuhzi. Sugu bad boy nakukubali sana broda..
Wazee wanamcheki zile... Arooo hiri rikijana ringekuwa na akili Timamu ringekataa hii fursa.. Araaaaa
Big man Sugu. This made my day
Made my day made my day
Made my day eeey.... Aaanh dinh dinh eii enhhh tetirii made myyyy made my day
waooooo, safii, profesa J safiii
Shida Brother Sugu umeshakua mheshimiwa sasa acha makuzi basi Brother Sugu
Yeeeeh huyu ndio haswaaa KONK KONK KONK.. Na ni Sugu kweli kweli hana kashfa za hovyo.. Safi mh JOSEF MBILINYI..
Nimekuelwa Sana'a kiongoziii ukoo vzr sana
Km umemuona ndugai na pro Jay wananata na beat kwa kichwa tujuane kwa like👍
Hongera sana mbubge MC
Well done mr mp
Mwanaharakati Sugu.
Utabaki kuwa sugu tu naweza zaidi ya wanaoweza bongo.. Sema.. Ndio maana kama. Unakubali
Sugu moto chini
Mohamad Ngwale nc
Nampenda sana mh. waziri mkuu natamani kujua alisema nini kuhusu huo wimbo maana alikuwa akinukuu mambo fulani
utambulisho mzuri sana
Mpakaaa wabungeee mikonooo Juuuu....nanii kamaaa supuuu naa kamaaa umemuonaaa waremboo wakimpaaa vitulizaaa rohoo achaa like
NAWATAKIA KILA LA KHELI WABUNGE WANGU,PENDANENI HIVYO HIVYO MKIFURAHI PAMOJA,SIASA SI UADUI WAHESHIMIWA,WOTE LENGO NI KUIJENGA NCHI YETU.MUENDELEE KUPENDANA NA KUFURAHI PAMOJA,SAFI SANA .
balaaaa
Bro uko makini sana hongera kwa comenti yako nzuri
Hahahahahahaha sugu bhana
japo wanataka kukutoa jipe moyo mh sugu wewe ni jiwe upo juu sana mwenye haki hashindwi hata cku moja
Nakubali sana my father
2proud, always superb.👍
Hip hop legend in Tz sugu moto chini
Esther Mwogofi sanaaaaaaa
he he he he Tanzania yangu naipenda
Hongera mbunge wa Green city,
Hivi naomba mnieleweshe kwann Mbeya mnaiita green city na wakati hata miti hakuna ?? Watu wamekata miti pamekuwa kama jangwa !! Kwa asiyeijua mbeya nenda Iyunga shuka Nzovwe endelea hadi Iwambi nenda hadi mbalizi ifisi igawilo etc miti michache mno utaona mabati tuu !! Nenda mitaa ya airport ya zamani na jirani miti hakuna !! Michache mnooo!! Wakati wa kiangazi jua ni kali balaa vumbi ya hatari !! Natamani ingekuwepo kampeni ya upandaji wa miti at least mkoa wetu upendeze na hali ya hewa ibadilike na hili jina green city liwe na maana !! Kwa mtu ambaye hajasafiri nje ya mbeya hawezi elewa !! Nenda mikoa kama Arusha kilimanjaro morogoro iringa songea nk uone ukijani utaelewa ninachosema !!!
Namwona mh spika kama anakunja kunja big up sugu #mbeyamoja
I like the way Professor jay nodding his head,sugu noma sana.
Still uko vizuri ,good sana
Ingekua vp hata bungeni mngekuwa na upendo bila kuangalia tofaut ya vyama
kweli wakina konk konk konk master walikuwaga bado sana.ume tisha
Nimekumbuka mbali sana
Upo vizuri
KIPAJI HUMFIKISHA MTU MBELE YA WAKUU NA WAFALME
kabisa
Unitytz Dar ahahaha
Sauti halisi ya sugu,beat imetullia vizuri,ila angekua msanii mwingine huenda beat ingegoma, Sugu namkubali sana
Alijua kua wazir alkua anajibana kucheka gonga like apa
Aiseeeeee love sanaaa my bro wangu
safi sana mh:sugu
Mh.Mbilinyi shkamooo🙌🙌
Eti mikono juu hahahaha!! bado uko vizuri mkuu
saruti mbeya juu
ahadi mastone ongera
Nimependa sana hii
My favorite music when i was 19 years.my name became Mr.II
Nouma xana mheshimiwa goma lipo vzr xana big up
Katisha sana
Sugu is a bongo Flava legend.
Fanya mazoez bro sugu uko vzr, chek na profesa j anakaza bado
bado nairudia rudia show dah Sugu nakukubali sana❤❤ 28/10/2022
Namuona professor J anatikisa kichwa kwa furaha ya kunata na beat
Kama umeona wabunge wanahipop gonga like apa😁😂
Baada ya matokeo October 30, 2020 hit a like
Pamoja sana
Wimbo mzuri u anatafakarisha
Umetisha Sungu
✌️✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿❣️❣️. Two proud
kama umemuona job ndugai pita hapa kwa like
Yeap is real rapper.🔥💫🔥
Hapo sawa pendaneni hiyo ndio TZ tunayoitaka.
Who watching on this date 19.4.2023?
Good msg 🥰🥰
atari sana mbunge suguuu
Kizazi Sana hii!
Safi sanaaaaaaaaaaaaaaa
congrats sugu moto chini...
Upo juu
nimependa sana hii!
Ili kua poa bonge la shoo ndani ya bunge Safi sana
Ana miaka chini ya 18 ni 🔥🔥🔥
Nyimbo za zaman zilitujenga vijana wa zaman polen wenzetu nyakat za singeli
Kweli mkuu hapo naikumbuka hiyo song
Hip Hop Raha Sana! Unaweza Perform Hata Mbele Ya Wabunge (Watu Wazima) Na Wakaelewa Ulichoimba!!
Kwel kabixa
Hii nyimbo yote nilikuwa nimeimeza
Piga keleleeee
waziri una lusha kichwa iyo yenyewe.
Umesikiya bongo flava....
Namuona Jay anatikisa kichwa tu! Aisee enzi zileee
One word " legend
Noma sana Hip hop mpaka Bungeni
Sugu for real!! Pure legend
weweeeeeeeeee oyooyoooooooo ganga like yako twende pamoja
Msanii wangu bora wa miaka yote
Baba Sasha weeeee😘
Shikamoo babu dugu
Sema yeeee kwa xugu
Namkubali kaka etu
Wasanii wa leo watakuibia hizo verse
You are big brother
Umetishaaa kk
Sugu nakuelewa sana mzee baba
Naona sugu ameamua kuwapa burudani waheshimiwa wenzake ,uko safi mheshimiwa sugu,
Nice 2_praudi
Nyimbo inaendana na maeneo
heshima kwako sugu