Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana
Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani
Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe. Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.
@@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa. Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya? Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara. Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?
kama umekubari siasa ya sugu. gonga like hapa
Leo Sugu umetisha sana hizo ndio siasa nzuri duniani kote
Tulie. Enda. Shule. Tunamunga. Mkono
Mungu saidia icho kiongereo kiwe salama. Twakupenda sugu.
Mhe sugu Huo ndio u Tanzania wadamu
Safii sana kamanda sugu ujumbe umefika wezetu wanaona kama upinzani niuadui kumbe ndio kioo chawatawala kujua wapi wanakosea wajisahihishe
Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana
HDM Innovation sawa kabisa mzee sugu
huo ndo ustaarabu kaka sugu au Rais wa mbeya unastaili kua kua kiongozi wewe ni jasiri mungu atutunzie amani hii
Sugu /magufuli hapa kaz tu maendeleo hayana chama
Sugu Sugu, amehakikisha ubunge wake kuwa endelevu pale Mbeya #MVMP
Hongera sana sugu
Asante sana kaka.. God Bless you always.
Ndiyo faida ya ujasiri!
Ameongea vema, kwa heshima bila jazba !!
safi sana mh sugu hiyo ndo siasa hakika nimefu
rahi sana mh rais atakuruhusu kuondoa mafindofindo ya kisiasa big up bro bravo!!!!!!!!!!
Ajaomba kazi. Ayo siasa inaaza kukupoteza bro. Juzi boni kakulalamikia Leo tena
Kawa fala sana uyu
Huyoo jama mwenye suti nyeusi alivyokimbia yani angeanguka ndoo angekomaa na kihere here chake
RAIS MaGUfuli uzinduzi wa barabara ya chunya
Leo kaongea vizuri
kama amefundishwa adabu kwanini asiwe na adabu
Howo ndio uzalendo na adabu kwa mkuu wa nchi yeko
Safi sana mbunge
Sugu upo vizuri Sana umeongea point Sana Mimi ni mwana ccm ila umetisha wangu bigp san
Chadema wabunge bunge lijaro, sugu, jay haule lazima
Mbunge gani wa ccm anaweza kuwa jasiri kama sugu kutoa hoja ?
Huo ujasili wake angojee kikao kikuu cha wakuu wa juu ya chadema wakushughulikia wanaomuunga mkono rais kikiongozwa na mbowe
Yani Rais yupo vizuri sana sasa waliovaa suti shida hadi kichefuchefu
Ayoo ushaza kufeli kaombawapikazi tunakuamini bwana
Ameomba kazi gani hapo ayo au na wewe umeanza kama vimedia vingine kuongopa
Yuko. Vizuri. Anajitambua
Rais wetu mpendwa nakukubari sana watanyooka wote ila zidisha tena kukaza heshima itarudi tu
Mofat Hool akili finyi kutafakari mambo
Hongera kwa upumbav wako,, we box kwl,,, mwambie akukazie we
@@emanuelsamkinda4228 mwenzio kafyata wewe unasubiria usuguliwe km shoga mwenzio lisu
Mwamba sanaaa huyu😂
Sugu juu
sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia
umewazd kete akna lissu
First to comment
Hii ndio ukomavu Wa siasa
Ayo umeshakuwa mkuda kwa nn unakata sauti wewe au umeshakuwa kibaraka
Safi sungu
AIBU shuuuu kiongeleo unashida
Siasa ndivyo inavyotaka
Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani
Huyuuuu jamaa namkubali
SUGU HAKIKA FAHARI YA MBEYA
Dah mbna mabodi wanyanyasaji sana
Raisi wa mbea.
Yani mamboyamaana wanawapa muda mdogo sana
Wanalinda mshahara wao matumbo joto
Rais magufuli uzinduz wa barabara ya chuny
Nilikwmbia lakin sugu,kaka mkubwa uko mkweli
😂😂😂 BIG UP Sana mzee Baba umeongea vizuri
Kiongeleo ana Kera Sana
Kamanda
MUNGU aendeleee.kukutunza Mbilinyi
Mc unaongea sana punguz kihelehele huyo mbna muelewa acha amalize mazur yaliyofanyika mbeya basi tuyajue
SUGU Ukosawa kabisa kwa maongezi yako
alafu Ayo unatumiwa na CCM mbona unabana bana sauti bhana
Wakwanz jamb
Kaomba wapi kazi acheni ufala nyie ayo TV, alaf mbona sugu alivyanza kuongea kuhusu wafuasi wa chadema kutengwa ulianza kukata sauti
ongera muexhiwa
NAOGAPA ANAELEKEA CCM
acheni unafiki wandishi was habari kenge nn
Mipango ya bilget
Sugu anachapa kazi sana sio kama mr konyagi huyu akishinda ni juhudi zake za uchapa kazi huyu ni wapili kwa professor j
Mbeya Sisi ni watu wa Amani tu. Ila hatupendi maonezi au uvunjwaji wa haki
Akuna anayependa maonezi au uvunjwaji wa haki duniani kote
Mwenye sura ya uvumilivu
Hata kama sipendi tabia za watu wa CDM Sugu nimekukubali wewe una chembe za uzalendo kabisa bila unafiki
Unazingua tittle yako mbovu.
Upo sahihi Mhe. Mbunge
Wale wa kushughulikia kamati kuu ya wakuu wa juu wanakusikia unampongeza rais utaitwa kikaoni siku si nyingi na mbowe ushughulikiwe
Blogger acha ukuwadi wa kiboya.
Sugu mtu.....!!!
Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe.
Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.
Unaongea nn mzee
Ww ukiwa mwl au mwanasheria serikalin huwez kufanya biashara au uyo mbunge angekuwa kaka yako ungependa awe anasubr mshahara tu
Dunia ya leo siyo ya miaka ya 1960's angalia nyakati mzee
@@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa.
Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya?
Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara.
Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?
@@lemumsesa5039 Vyeo vya kisiasa ni vyo kujitolea zaidi.
sugu unatisha mlizi wa rais kumbe unasalimia
Hahahaaaaa