“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
Вставка
- Опубліковано 4 вер 2024
- Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuwa Serikali inatakiwa kuzifanyia kazi baadhi ya taarifa zinazotolewa na wananchi kuhusu matukio yanayodaiwa kuhusisha Askari Polisi kuuawa watu bila hatia na iache kuwatishia watu wanaotoa taarifa hizo. Heche amesema hay oleo November 7, 2018 wakati akichangia mapendekezo yake katika mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na kuandaa mpango wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20
Unafaaa kuongoza Tanzania. Kama unamkubali Heche kua Rais wetu ngonga Like hapa
If you’re here 2022 listening to this guy again after missing these discussions on the Parliament…. Like here John Heche live long
I wish to see this guy back.As Kenyan we have alot of hope in him.
Ukiwa mpinzan Mungu anakuongezea akil na uwezo wa kufikir, hongera Heche
Ni kama ukiwa nje ya uwanja tu
Dah! hii kichwa naipenda balaa. Piga kazi mura najivunia wewe kuwa mbunge wanguuu👏👏👏
uyu jamaaa huwa namwonaga mbali sana...mungu aendelee kumtetea....
Moja ya wanasiasa bora sana
Naomba uwe rais kura yangu na ukooo wangu woooooote chukua. Akili yako nikama ya wana ...........wooooote, love u so much brother. Ongea ukweli asiependa ukweli atakuwinda, tuko nyumbani toka 2015 hamna ajira mimi ni moja wao, naomba namba nikutumie vocha bro.
Yatapotoka majibu toka kwa mawaziri utasikia kuhusu utaratibu,mwongozo,taarifa mwisho haoooo nje
Tata muchomason hahaaaaaa
Ukabilaaa ndo unauelewa Sana eeee n ukooo wako
Pole sana heche, kwa kumpoteza mdogo wako, inauma sana, lakini ndio serikali yetu hiyo ya uonevu.
Kwer
Nawakubali sana chama langu lijualikali pascal haonga heche prof j
longa heche longa I like this guy taking sense, that's what MP is supposed to do talk for the people GOD protect this guy
mwanasiasa wangu bora katika huu mwaka huwa Una nipa ujasiri mkubwa sana
umeongea hoja nzito sana hongera sana heche
Mungu mtangulie john heche popote aendako mpeujasiri wa kutukomboa
Majambazi watupu.
Wizi mtupu
Huyu mbunge ni mashine ya hali ya juu nimempenda Mungu akulinde na akupe maisha marefu aise
Mh Heche yuko vizuri kimawazo... Gud Sana mh
Konk konk konk master Heche John
huyu ni mbuge wa watanzania namkubali sana
Kabisa
Waongo sana hawa jamaa kesho unaweza ukasikia anawasifia na kuponda huko aliko sasa hivi
True
Sana sana
nampenda sana heche
Big up sana Heche wataelewa tu hata kama wanajifanya viziwi
huyu ndo Heche umorooooo 🔥
Hongera sema kaka yangu
Umenikuna heche Sana Sana mungu akulinde
Hecheeeeeeeeee we ni nyundo
musa ausi Umeona ehh musa.
Nakukubali heche bigup
Heche unacho kisema ni sahihi sana
people power
Sana ukisoma hicho kitabu cha chinua Achebe kwa sisi tuliosoma language utajua kweli kazi ya fasihi
tumepewa macho kwa ajiri ya kuona,tumepewa masikio kwaajiri ya kusikiliza na tumepewa ubongo kwa ajiri ya kutunza kumbukumbu.kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho msijisahaulishe viongozi wetu asante sana Heche kwa mchango wako mzuri
knowledge is Power.
True... kukosa elimu mtihani!!!
Heche hats Mimi umeni inspire.MKULIMA nchi hii sijui nisemeje.hana haki mbolea elfu Sabin sawa na gunia NNE za mahindi. Serikali yangu sikivu embu liangalieni hili mambo mengine ni Nondo
Safi sana Mheshimiwa John heche Mungu akutangulie uendelee kututetea wanyonge
Asante wabunge mnaoujua kilichowapeka wapo ambao wanataarifa za kuokatisha kitu chamaana kinachoongelewa poleni mloshiba nakusahau wenye njaa
Yani uyu jamaa sio wakawaida mungu akupe maisha malefu mweshimiwa.heche👏👏👏👏👏👏
Love his debating prowess and he is so factual... Very informative...
Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze
Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze
Wabunge wa upinzani ni noma yani nivichwa wanafaa kumsaidia rais wetu kiukweli
Heche kiboko sana
Bernadi Nangasi rais hataki kufanya kazi na wapinzani wakiwa upinzani unles kama watahamia tawala
Sisi tunaitaji mtazamo wake hatutaki awe msagaji
Kama rais hataki kufanya kazi na wapinzani huo ni upunguani kwani hii nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na maendeleo hayana chama.
Rais akishapita watu wote ni wa kwake awapelekee maendeleo bila ubaguzi eti kwa kuwa jimbo fulani mbunge wake ni chama cha upinzani au diwani ni wa upinzani eti mtasota miaka mitano yote bila kupata maendeleo yoyote.
@@gabrielmamela2206 kweli kweli kbs licha wakwake tu pia nchi ya watanzania wote sio yake peke ake
Saf sana heche wahili meet ni vichwa mungu akusaidie man's wakodoa macho washindwe kwa jina LA yesu
TZ ya Sugu,Heche,Zitto,Msigwa,HalimaMdee,Easter Bulaya Nyerere angefurahi sana
Umemsahau Tundu lisu
umeona e
Umemsahau na lema
Respect mzee John heche
Heche anastahili kabisa hata kuwa MKT Wa upinzani salute mkuu
Exactly brother ur so good intellectual
Asante KAMANDA,UKO SAWA.VIPOFU NA ZE,ZETA WANAOSHANGILIA CCM WASIKIE HAYO LABDA WATAPATA UFAHAMU
hongera sana heche wewe ni kiongozi wa watu na unatetea watu Mungu anayaona haya tuko nyuma yako kaka
Mh john heche mungu yupo tunamtegemea hili taifa letu lipiganiwe sana tufike maisha mazuri
Heche kama tundu LISU bigup john
Nimekupenda kwa kweli 🙌🙌🙌🙌
Uzalendo unahubiriwa kwa wasio na kitu hongera sana mp heche
Safii muraaa mbabe, alaaa mtu kajitahili mwenyewe huyo bila kutoa chozi mamae.
Kafanyaje? Hahahahaaa
+Lelo Msechu kajitahili mwenyewe kwa sime akiwa kasimama bila kutoa chozi. eti leo aogope pyu pyu
@@vivianlenard3618 haha haha haha haha! Ni hatari sana mwaya...
Mengine hapo yanakazana taaarifa wakati huku kitaa ndugu zao wanaishi maisha magumu, sema babaaa
winnie charles baby h i
tutetee baba tunakuelewa wananchi huku tunaishi maisha magumu sana
winnie charles
Watetee
Hahaha dada muelewa sana safi mami
Wako vzr na wanasema ukwel hongera sana heche
Asante Heche kwa kututetea!!!!
For sure so bright big up
Safi sana
Shikmoo Heche, brother wew ni mtu muhimu sana kwenye hili taifa. Ushauri kama huu ungekuwa unafanyiwa kazi na serikali hii basi kusingekuwa hata na umasikini wa namna hii.
Dah nimekuelewa Sana Hongera kwa ujasiri ulionao
Waeleze wasifikie wananchi hawaoni au viziwi na Mola atawalipa kuwapa maradhi yasiokuwa na kinga In shaa Allah
This guy breathes fire, he know how to table agendas I hope his ppl feel represented.
Dis discussion was very fire,fire to da maximum
Nice speech.
Heche nakukubali
semaaaaaa Kaka Mungu akutetee
asante baba
Kweli kabisa heche watumishi tunashida sana
Semababa semaaaaaaaaaaa
ahsante sana dokta heche ..ni kweli kabisa flyover ya DAR sisi hatuijui..serikali inakusanya lakin hakuna kinachoendelea hakuna ajila
Brother heche uko vizuri umeongea point za msingi sana
jonh heche mungu azidi kukuongezea hekima zaidi kiongoz wangu
mungu akubaliki sana heche unachoongea ni kweli kabisa huku kwetu barabara ya mtaa wa mapelele hawatengenezi eti kisa ni wanachadema
Sijawahi kukomenti ila leo mh hapo kwenye mahindi aaaa upo vizur mbunge mwaka huu mahindi hali ni mbaya mnoooo
Hongera mbunge wangu bora wa muda wote kwa hoja nzr za kuwatetea watanzania.
Nchi yetu tunahitaji watu kama hawa huko mjengoni na siyo wahuni wa kushangilia tu.
Mungu akulinde
Ongera Heche
Mbunge wangu wa nguvu
mia mia
Well said! Very brave man!
Hongera sana heche mungu akulinde Sana safi Sana
The really fighter ...#Heche
Mwkt uwe unampa mh Heche hata nusu SAA azungumze tunamuelewa sana
Masrer Gaudens kweli
Woyoooo, tunamuelewa kwel kwel
mheshimiwa nakubalisana kweli mungu akujalie afyanjema mwambie ukweli hao mawaziri na wabunge hao waoneshe uzalendo wakula mlo mmoja kamacici wavuja jasho @##mnyamakazi kunthu
Aisee Heche ungekuwa speaker bunge lingenyooka
Heche wewe ni zidi ya msomi wa kitanzania
The next president Heche##
Safi sana heche
Kiukweli Kama Kuna kada wa ccm hua anamsikiliza heche najua atakua anamuepewa sio hawa wabunge wa kupongeza tuu mungu mbaliki heche🙏🙏
Mungu akubarikii heche uliko
2024 am back here listening to the MP...his spitting some good points...
John Waigesa Hecheeeeee!!!! You are critical thinking!!!!!!!!!!!!!!! 100% for you!!!!!!!
Duu aisee inauma sana
heche shikamoo brother,wewe kweli ni mwema kweli nakukubari asilimia 100 yani kama MUNGU azidi kukulinda udumu sana
Nakubali xana hexhe
Japo mm sipendi siasa ila this guy is very brilliant, ana logic, ana uwezo wa kujenga hoja sana., anasikilizika., keep fighting for ur people
mungu akuweke daima sijawah kutoa neno ila we mingu kakuleta kwa utetez wetu
Safi sana John Heche!!! hoja nzuri sana!!!
Asante Hache
Kabisaa kodi ipo juu sana
That's a very good point
Nimekuelewa sanaaa
Mh Heche nimekuelewa vzur sana, unaweza xana kiongoz propaganda nyingi serikal hii
Mungu akupe maisha marefu mh heche
Hahahahahah Heche wewe kiboko nikiuza korosho nitakutumia vocha kaka hata msimbazi chief nanga kaka Noma
Jknn&ghbcbbv) v!v v b b
.
Abdala wewe mwanamke unae kierere tarifa tarifaunsjipya msikilize heche pumbavu haun ndugu zako ambao hwana ajira
Kinacho uzi zaidi,,,, eti watanzania wanyonge, halafu watu tumesoma ili tuwa saidie wazazi wetu maana mazingira waliyo tusomesha ni siri zetu Lakin ajira hakuna, ukisema hivyo bas utasikia usisubili kuajiriwa Bali jiajiri mwenyewe,, ivi mtu ajiajiri vipi hata kianzio cha mtaji hana. Ila magufuli mungu anakuona.
Hongera kaka
Ubarikiwe Heche
Heche Yuko Vizuri sana
#Mbunge heche Tanzania inahitaji wabunge km ww mungu akulinde na haki iwe ndio siraha yako amina.
Safi sn Heche, nakuelewa sn
speech nene
Daaaaah kaka nakushukuru umetusemea make mie ni mmoja wapo wa wahanga tangia mheshimiwa alipoingia mjengoni
Kaka heche uwa nakukubali sana tunakusikiliza sana
Safi
Bas tanzania ukiongea ukwel kama iv kesho unatekwa. Koma na ww dada et taalifa taalifa nenda choon ukanye fala ww
Hawa watu Wanaboa sana sana ndugu yangu
@@raynellyaugustino3237 nachukia mm hawa watu ingekuwa ni uamuz wangu bunge ningelifuta uwa sion cha maana
Dyana Tanz mbavu zangu jamanii eti nenda chooni
@@limokisuda4145 wanaboa maisha nimagum ndugu yang. Mbaka umsubil rais apite akupe hera mkonon iv nikwel
@@limokisuda4145 nahuyu kaka anauchungu wa kuuwawa yule mdogoake ww kisu kiliingia kile jaman