“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuwa Serikali inatakiwa kuzifanyia kazi baadhi ya taarifa zinazotolewa na wananchi kuhusu matukio yanayodaiwa kuhusisha Askari Polisi kuuawa watu bila hatia na iache kuwatishia watu wanaotoa taarifa hizo. Heche amesema hay oleo November 7, 2018 wakati akichangia mapendekezo yake katika mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikali pamoja na kuandaa mpango wa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20

КОМЕНТАРІ • 704

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 5 років тому +47

    Unafaaa kuongoza Tanzania. Kama unamkubali Heche kua Rais wetu ngonga Like hapa

  • @priscahezron8418
    @priscahezron8418 Рік тому +12

    If you’re here 2022 listening to this guy again after missing these discussions on the Parliament…. Like here John Heche live long

  • @robisammeytv7547
    @robisammeytv7547 9 місяців тому +6

    I wish to see this guy back.As Kenyan we have alot of hope in him.

  • @rajabugassa6723
    @rajabugassa6723 5 років тому +51

    Ukiwa mpinzan Mungu anakuongezea akil na uwezo wa kufikir, hongera Heche

  • @yegokubebekamugurus8072
    @yegokubebekamugurus8072 5 років тому +7

    Dah! hii kichwa naipenda balaa. Piga kazi mura najivunia wewe kuwa mbunge wanguuu👏👏👏

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 5 років тому +67

    uyu jamaaa huwa namwonaga mbali sana...mungu aendelee kumtetea....

  • @muchomersonmichael4615
    @muchomersonmichael4615 5 років тому +42

    Naomba uwe rais kura yangu na ukooo wangu woooooote chukua. Akili yako nikama ya wana ...........wooooote, love u so much brother. Ongea ukweli asiependa ukweli atakuwinda, tuko nyumbani toka 2015 hamna ajira mimi ni moja wao, naomba namba nikutumie vocha bro.

  • @nessa4899
    @nessa4899 5 років тому +28

    Pole sana heche, kwa kumpoteza mdogo wako, inauma sana, lakini ndio serikali yetu hiyo ya uonevu.

  • @hassankaluta8864
    @hassankaluta8864 5 років тому +28

    Nawakubali sana chama langu lijualikali pascal haonga heche prof j

  • @salmaabdillah1617
    @salmaabdillah1617 5 років тому +12

    longa heche longa I like this guy taking sense, that's what MP is supposed to do talk for the people GOD protect this guy

  • @peterwakitaa1902
    @peterwakitaa1902 5 років тому +94

    mwanasiasa wangu bora katika huu mwaka huwa Una nipa ujasiri mkubwa sana

  • @stanleylyimo7617
    @stanleylyimo7617 5 років тому +60

    umeongea hoja nzito sana hongera sana heche

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 4 роки тому +6

    Huyu mbunge ni mashine ya hali ya juu nimempenda Mungu akulinde na akupe maisha marefu aise

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 5 років тому +5

    Mh Heche yuko vizuri kimawazo... Gud Sana mh

  • @jchuwatv1890
    @jchuwatv1890 5 років тому +14

    Konk konk konk master Heche John

  • @shownewsdiamond1942
    @shownewsdiamond1942 5 років тому +142

    huyu ni mbuge wa watanzania namkubali sana

  • @abdallahmzee4335
    @abdallahmzee4335 5 років тому +4

    Big up sana Heche wataelewa tu hata kama wanajifanya viziwi

  • @yohanakebacho3990
    @yohanakebacho3990 5 років тому +12

    huyu ndo Heche umorooooo 🔥

  • @gililwise
    @gililwise 5 років тому +14

    Hongera sema kaka yangu

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 5 років тому +2

    Umenikuna heche Sana Sana mungu akulinde

  • @ChiediTV
    @ChiediTV 5 років тому +19

    Hecheeeeeeeeee we ni nyundo

  • @manfredymahinya9511
    @manfredymahinya9511 5 років тому +3

    tumepewa macho kwa ajiri ya kuona,tumepewa masikio kwaajiri ya kusikiliza na tumepewa ubongo kwa ajiri ya kutunza kumbukumbu.kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho msijisahaulishe viongozi wetu asante sana Heche kwa mchango wako mzuri

  • @davidsaanane7939
    @davidsaanane7939 5 років тому +37

    knowledge is Power.

  • @winnestonmwalukasa2398
    @winnestonmwalukasa2398 5 років тому +5

    Heche hats Mimi umeni inspire.MKULIMA nchi hii sijui nisemeje.hana haki mbolea elfu Sabin sawa na gunia NNE za mahindi. Serikali yangu sikivu embu liangalieni hili mambo mengine ni Nondo

  • @ShabaniMome
    @ShabaniMome 3 місяці тому

    Safi sana Mheshimiwa John heche Mungu akutangulie uendelee kututetea wanyonge

  • @beatraceketto3880
    @beatraceketto3880 5 років тому +1

    Asante wabunge mnaoujua kilichowapeka wapo ambao wanataarifa za kuokatisha kitu chamaana kinachoongelewa poleni mloshiba nakusahau wenye njaa

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba3989 5 років тому +2

    Yani uyu jamaa sio wakawaida mungu akupe maisha malefu mweshimiwa.heche👏👏👏👏👏👏

  • @oscarwandera8129
    @oscarwandera8129 5 років тому +9

    Love his debating prowess and he is so factual... Very informative...

    • @sylivestajoel1588
      @sylivestajoel1588 4 роки тому

      Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze

    • @sylivestajoel1588
      @sylivestajoel1588 4 роки тому +1

      Nikweli kaka uyu tata Mora ninoma mungu amuongoze

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi7664 5 років тому +111

    Wabunge wa upinzani ni noma yani nivichwa wanafaa kumsaidia rais wetu kiukweli

    • @iddyabdallah4823
      @iddyabdallah4823 4 роки тому +1

      Heche kiboko sana

    • @sifuelinyaki3341
      @sifuelinyaki3341 4 роки тому

      Bernadi Nangasi rais hataki kufanya kazi na wapinzani wakiwa upinzani unles kama watahamia tawala

    • @benjaminjulius8021
      @benjaminjulius8021 4 роки тому

      Sisi tunaitaji mtazamo wake hatutaki awe msagaji

    • @gabrielmamela2206
      @gabrielmamela2206 4 роки тому

      Kama rais hataki kufanya kazi na wapinzani huo ni upunguani kwani hii nchi ni ya mfumo wa vyama vingi na maendeleo hayana chama.
      Rais akishapita watu wote ni wa kwake awapelekee maendeleo bila ubaguzi eti kwa kuwa jimbo fulani mbunge wake ni chama cha upinzani au diwani ni wa upinzani eti mtasota miaka mitano yote bila kupata maendeleo yoyote.

    • @sarahwalles2607
      @sarahwalles2607 3 роки тому

      @@gabrielmamela2206 kweli kweli kbs licha wakwake tu pia nchi ya watanzania wote sio yake peke ake

  • @julietsamson4059
    @julietsamson4059 5 років тому +1

    Saf sana heche wahili meet ni vichwa mungu akusaidie man's wakodoa macho washindwe kwa jina LA yesu

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf5938 5 років тому +28

    TZ ya Sugu,Heche,Zitto,Msigwa,HalimaMdee,Easter Bulaya Nyerere angefurahi sana

  • @allygambwe7555
    @allygambwe7555 5 років тому +9

    Respect mzee John heche

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 5 років тому +3

    Heche anastahili kabisa hata kuwa MKT Wa upinzani salute mkuu

  • @luhigoemmanuel8720
    @luhigoemmanuel8720 5 років тому +3

    Exactly brother ur so good intellectual

  • @albertkileo6132
    @albertkileo6132 5 років тому +1

    Asante KAMANDA,UKO SAWA.VIPOFU NA ZE,ZETA WANAOSHANGILIA CCM WASIKIE HAYO LABDA WATAPATA UFAHAMU

  • @lazarochimaguli1077
    @lazarochimaguli1077 5 років тому +1

    hongera sana heche wewe ni kiongozi wa watu na unatetea watu Mungu anayaona haya tuko nyuma yako kaka

  • @linusjohn5950
    @linusjohn5950 4 роки тому +1

    Mh john heche mungu yupo tunamtegemea hili taifa letu lipiganiwe sana tufike maisha mazuri

  • @bonabonala8253
    @bonabonala8253 4 роки тому +3

    Heche kama tundu LISU bigup john

  • @nicegabriely917
    @nicegabriely917 5 років тому +4

    Nimekupenda kwa kweli 🙌🙌🙌🙌

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline3983 4 роки тому +1

    Uzalendo unahubiriwa kwa wasio na kitu hongera sana mp heche

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 5 років тому +38

    Safii muraaa mbabe, alaaa mtu kajitahili mwenyewe huyo bila kutoa chozi mamae.

    • @lelomsechu7569
      @lelomsechu7569 5 років тому

      Kafanyaje? Hahahahaaa

    • @vivianlenard3618
      @vivianlenard3618 5 років тому +1

      +Lelo Msechu kajitahili mwenyewe kwa sime akiwa kasimama bila kutoa chozi. eti leo aogope pyu pyu

    • @lelomsechu7569
      @lelomsechu7569 5 років тому

      @@vivianlenard3618 haha haha haha haha! Ni hatari sana mwaya...

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer7713 5 років тому +62

    Mengine hapo yanakazana taaarifa wakati huku kitaa ndugu zao wanaishi maisha magumu, sema babaaa

  • @silversilas3634
    @silversilas3634 5 років тому +2

    Wako vzr na wanasema ukwel hongera sana heche

  • @smwansasu8605
    @smwansasu8605 5 років тому +13

    Asante Heche kwa kututetea!!!!

  • @benjamincosmas5926
    @benjamincosmas5926 4 роки тому +1

    For sure so bright big up

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji 5 років тому +11

    Safi sana

  • @blassabdon8241
    @blassabdon8241 5 років тому +1

    Shikmoo Heche, brother wew ni mtu muhimu sana kwenye hili taifa. Ushauri kama huu ungekuwa unafanyiwa kazi na serikali hii basi kusingekuwa hata na umasikini wa namna hii.

  • @frankmichael893
    @frankmichael893 4 роки тому +1

    Dah nimekuelewa Sana Hongera kwa ujasiri ulionao

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 4 роки тому +1

    Waeleze wasifikie wananchi hawaoni au viziwi na Mola atawalipa kuwapa maradhi yasiokuwa na kinga In shaa Allah

  • @muhingirajeremih7752
    @muhingirajeremih7752 3 роки тому +3

    This guy breathes fire, he know how to table agendas I hope his ppl feel represented.

  • @gtmalanga6953
    @gtmalanga6953 3 роки тому +4

    Dis discussion was very fire,fire to da maximum

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 років тому +2

    Nice speech.

  • @akidasalim9798
    @akidasalim9798 5 років тому +7

    Heche nakukubali

  • @betweljackson375
    @betweljackson375 5 років тому +2

    semaaaaaa Kaka Mungu akutetee

  • @tumwiuhagemihale4315
    @tumwiuhagemihale4315 4 роки тому +1

    asante baba

  • @ummuzakariya798
    @ummuzakariya798 5 років тому +7

    Kweli kabisa heche watumishi tunashida sana

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 років тому +16

    Semababa semaaaaaaaaaaa

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 5 років тому +1

    ahsante sana dokta heche ..ni kweli kabisa flyover ya DAR sisi hatuijui..serikali inakusanya lakin hakuna kinachoendelea hakuna ajila

  • @godfreykyejo7070
    @godfreykyejo7070 5 років тому +1

    Brother heche uko vizuri umeongea point za msingi sana

  • @michealseleman8013
    @michealseleman8013 5 років тому +1

    jonh heche mungu azidi kukuongezea hekima zaidi kiongoz wangu

  • @michaelsimion720
    @michaelsimion720 5 років тому +2

    mungu akubaliki sana heche unachoongea ni kweli kabisa huku kwetu barabara ya mtaa wa mapelele hawatengenezi eti kisa ni wanachadema

  • @hasanalihasani3236
    @hasanalihasani3236 5 років тому +51

    Sijawahi kukomenti ila leo mh hapo kwenye mahindi aaaa upo vizur mbunge mwaka huu mahindi hali ni mbaya mnoooo

  • @theodorahraphael7322
    @theodorahraphael7322 5 років тому +2

    Hongera mbunge wangu bora wa muda wote kwa hoja nzr za kuwatetea watanzania.
    Nchi yetu tunahitaji watu kama hawa huko mjengoni na siyo wahuni wa kushangilia tu.

  • @maxmilian9966
    @maxmilian9966 5 років тому +1

    Mungu akulinde

  • @musasaid7179
    @musasaid7179 5 років тому +1

    Ongera Heche

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 5 років тому +18

    Mbunge wangu wa nguvu

  • @CAROLINEOTIENO
    @CAROLINEOTIENO 5 років тому +8

    Well said! Very brave man!

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 5 років тому +1

    Hongera sana heche mungu akulinde Sana safi Sana

  • @shonelyzbeth648
    @shonelyzbeth648 5 років тому +3

    The really fighter ...#Heche

  • @masrergaudens3967
    @masrergaudens3967 5 років тому +155

    Mwkt uwe unampa mh Heche hata nusu SAA azungumze tunamuelewa sana

    • @majaliwawangdagangdullanga700
      @majaliwawangdagangdullanga700 5 років тому +1

      Masrer Gaudens kweli

    • @tausimwambujule1642
      @tausimwambujule1642 5 років тому +2

      Woyoooo, tunamuelewa kwel kwel

    • @charlesimaregesi5949
      @charlesimaregesi5949 5 років тому

      mheshimiwa nakubalisana kweli mungu akujalie afyanjema mwambie ukweli hao mawaziri na wabunge hao waoneshe uzalendo wakula mlo mmoja kamacici wavuja jasho @##mnyamakazi kunthu

    • @peteropiyo5934
      @peteropiyo5934 5 років тому +1

      Aisee Heche ungekuwa speaker bunge lingenyooka

    • @optatusnkwela4666
      @optatusnkwela4666 5 років тому +1

      Heche wewe ni zidi ya msomi wa kitanzania

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому +1

    The next president Heche##

  • @eradmdage8504
    @eradmdage8504 5 років тому +2

    Safi sana heche

  • @cleopastanley6683
    @cleopastanley6683 4 роки тому +1

    Kiukweli Kama Kuna kada wa ccm hua anamsikiliza heche najua atakua anamuepewa sio hawa wabunge wa kupongeza tuu mungu mbaliki heche🙏🙏

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 5 років тому +2

    Mungu akubarikii heche uliko

  • @yazzgray9757
    @yazzgray9757 26 днів тому

    2024 am back here listening to the MP...his spitting some good points...

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 років тому

    John Waigesa Hecheeeeee!!!! You are critical thinking!!!!!!!!!!!!!!! 100% for you!!!!!!!

  • @mercybyashara9711
    @mercybyashara9711 5 років тому +1

    Duu aisee inauma sana

  • @armyofgodworshipersminitri7610
    @armyofgodworshipersminitri7610 5 років тому +3

    heche shikamoo brother,wewe kweli ni mwema kweli nakukubari asilimia 100 yani kama MUNGU azidi kukulinda udumu sana

  • @najumongdeoxcar3498
    @najumongdeoxcar3498 5 років тому +1

    Nakubali xana hexhe

  • @godfreymajagi1867
    @godfreymajagi1867 5 років тому +1

    Japo mm sipendi siasa ila this guy is very brilliant, ana logic, ana uwezo wa kujenga hoja sana., anasikilizika., keep fighting for ur people

  • @salehekihedu2084
    @salehekihedu2084 5 років тому +1

    mungu akuweke daima sijawah kutoa neno ila we mingu kakuleta kwa utetez wetu

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 років тому +1

    Safi sana John Heche!!! hoja nzuri sana!!!

  • @kamboarheritage461
    @kamboarheritage461 5 років тому

    Asante Hache

  • @gabrielemmanuel4348
    @gabrielemmanuel4348 5 років тому +2

    Kabisaa kodi ipo juu sana

  • @albertosanga7744
    @albertosanga7744 5 років тому +2

    That's a very good point

  • @bwabukekitwika9280
    @bwabukekitwika9280 5 років тому +2

    Nimekuelewa sanaaa

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 5 років тому +12

    Mh Heche nimekuelewa vzur sana, unaweza xana kiongoz propaganda nyingi serikal hii

  • @marwamaisa659
    @marwamaisa659 3 роки тому +1

    Mungu akupe maisha marefu mh heche

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy3382 5 років тому +43

    Hahahahahah Heche wewe kiboko nikiuza korosho nitakutumia vocha kaka hata msimbazi chief nanga kaka Noma

    • @imanimputa1926
      @imanimputa1926 5 років тому

      Jknn&ghbcbbv) v!v v b b

    • @agapehardware285
      @agapehardware285 5 років тому

      .

    • @abdalamfinanga3507
      @abdalamfinanga3507 4 роки тому

      Abdala wewe mwanamke unae kierere tarifa tarifaunsjipya msikilize heche pumbavu haun ndugu zako ambao hwana ajira

  • @michaelgideon625
    @michaelgideon625 5 років тому +2

    Kinacho uzi zaidi,,,, eti watanzania wanyonge, halafu watu tumesoma ili tuwa saidie wazazi wetu maana mazingira waliyo tusomesha ni siri zetu Lakin ajira hakuna, ukisema hivyo bas utasikia usisubili kuajiriwa Bali jiajiri mwenyewe,, ivi mtu ajiajiri vipi hata kianzio cha mtaji hana. Ila magufuli mungu anakuona.

  • @harounali1626
    @harounali1626 5 років тому +1

    Hongera kaka

  • @bethuelerasto8708
    @bethuelerasto8708 5 років тому +1

    Ubarikiwe Heche

  • @jayplusinvestmentltd5199
    @jayplusinvestmentltd5199 5 років тому +1

    Heche Yuko Vizuri sana

  • @husseinmaliki4844
    @husseinmaliki4844 5 років тому

    #Mbunge heche Tanzania inahitaji wabunge km ww mungu akulinde na haki iwe ndio siraha yako amina.

  • @jastinmsera9557
    @jastinmsera9557 5 років тому +1

    Safi sn Heche, nakuelewa sn

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 років тому +1

    speech nene

  • @mnikog1529
    @mnikog1529 5 років тому +1

    Daaaaah kaka nakushukuru umetusemea make mie ni mmoja wapo wa wahanga tangia mheshimiwa alipoingia mjengoni

  • @abdallahmlenda3823
    @abdallahmlenda3823 5 років тому +7

    Kaka heche uwa nakukubali sana tunakusikiliza sana

  • @timothysteven7387
    @timothysteven7387 5 років тому +1

    Safi

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 років тому +47

    Bas tanzania ukiongea ukwel kama iv kesho unatekwa. Koma na ww dada et taalifa taalifa nenda choon ukanye fala ww

    • @raynellyaugustino3237
      @raynellyaugustino3237 5 років тому

      Hawa watu Wanaboa sana sana ndugu yangu

    • @dyanatanz6574
      @dyanatanz6574 5 років тому

      @@raynellyaugustino3237 nachukia mm hawa watu ingekuwa ni uamuz wangu bunge ningelifuta uwa sion cha maana

    • @limokisuda4145
      @limokisuda4145 5 років тому

      Dyana Tanz mbavu zangu jamanii eti nenda chooni

    • @dyanatanz6574
      @dyanatanz6574 5 років тому

      @@limokisuda4145 wanaboa maisha nimagum ndugu yang. Mbaka umsubil rais apite akupe hera mkonon iv nikwel

    • @dyanatanz6574
      @dyanatanz6574 5 років тому

      @@limokisuda4145 nahuyu kaka anauchungu wa kuuwawa yule mdogoake ww kisu kiliingia kile jaman