1. Muda 2. Unyenyekevu 3. Usikivu 4. Man of Numbers 5. Anajifunza (ready to learn on each details) 6. Kila kitu ni fursa 7. Budgeting and limit of expenses 8. Delicate of power/ tasks 9. Leveraging 10. Every cent count Somo zuri sana! Keep teaching us!! Bless up!!
you all probably dont care at all but does someone know a way to get back into an instagram account..? I somehow lost my account password. I love any assistance you can give me!
Nakumbuka ,even I nshawai kuvunjavunja kilimo cha maharage,kwamba mbegu ya harage moja itatoa mbegu ngapi ,nlimeasure ad space (within haker) 😀 Eg.kilo 40 za maharage ,tukisema mbegu za izae mbilimbil then ntapata kilo mara mbili yaan kilo 80😅😅 ,am proud mpk saiv najiamin mm nna IQ nzury tu ,and I never doubt that
I just thank God for keeping you alive ! Utakua msaada mkubwa sana kwa walio tayari kujifunza na kubadilika !!! Coming from your twitter thread about your journey 🙏🏽
Dah kilaaa nikipitaaa nilikuwa cjuh kinini kinazungumzwaaa lakn Leo umenifumbua asantee mzee ngojaa nianzee kujaribu saiz sasa ndio nita like n comment kaz zako
Nilchokigumdua ni kwamba kupitia ile competition Mo aliweza kupata businesses mpya kwaajili ya kampuni zake kwa kutumia presentations zenu za biashara boss
Uko vizuri, ila punguza kuzunguka kwenye point na punguza story ambazo zinawapunguzia focus watazamaji, mfano hii video ulitakiwa uipresent kwa dak 2-3 tu
Safi sana bro but naitaman forex kuijua ila cna wa kunifundisha na co mim tu tupo wengine so tuijua VP kak please help us hata kwa kusoma kupitia video zako au kutufundisha online
Nigusie kidogo hapo kwenye budgeting... Vijana wanapoteza pesa nyingi kununua bidhaa cheap... As always tunaambiwa cheap is expensive... Kwa kuwa na LV belt ama AX t-shirts inamfanya yeye kuendelea kudunda bila kuingia gharama za mara kwa mara... Jambo jingine hata gari anayotumia is expensive and much of quality.
Siamini kama mo dewji anamiliki asset za USD billion 1.9, bcoz metl ni kampuni ya familia kuna akina fatma na wengine, half baba yake mo bado yuko hai Mo atakuwa ana assets za millions of USD ila hana 1 billion usd Tu-assume 1.9 billion USD ni ya mo dewji, mo asingekuwa usd billionaire kama sio baba yake, alichofanya mo ni kuwa aliendeleza metl from 500 million USD to 1 billion USD . The real shark wa Tanzania ni bakhresa, ingawa Forbes wanasema bakhresa ana networth ya 600 million usd, lkn naamini bakhresa ana networth ya 1 billion USD sema anaficha utajiri wake..
1. Muda
2. Unyenyekevu
3. Usikivu
4. Man of Numbers
5. Anajifunza (ready to learn on each details)
6. Kila kitu ni fursa
7. Budgeting and limit of expenses
8. Delicate of power/ tasks
9. Leveraging
10. Every cent count
Somo zuri sana! Keep teaching us!! Bless up!!
8.Delegate
Safi kaka mbn huwekinamba hapo
BUENO Pathways 👏🏿
you all probably dont care at all but does someone know a way to get back into an instagram account..?
I somehow lost my account password. I love any assistance you can give me!
Safi sana
Asante Sana kaka Jeff Mungu akubariki naangalia kutoka Germany najifunza mengi Sana endelea maisha marefu
Asante sana mentor lazima niwe tofauti huu mwaka
Nakumbuka ,even I nshawai kuvunjavunja kilimo cha maharage,kwamba mbegu ya harage moja itatoa mbegu ngapi ,nlimeasure ad space (within haker) 😀
Eg.kilo 40 za maharage ,tukisema mbegu za izae mbilimbil then ntapata kilo mara mbili yaan kilo 80😅😅 ,am proud mpk saiv najiamin mm nna IQ nzury tu ,and I never doubt that
Unalima maharagwe?
I just thank God for keeping you alive ! Utakua msaada mkubwa sana kwa walio tayari kujifunza na kubadilika !!! Coming from your twitter thread about your journey 🙏🏽
Hi bro you is also smart, i learnt this from your speech/ presentation thanks very much to share
Sir upo makini sana i like it
Inabidi nibadilike sasa
Can u please talk about candlesticks ....when it's time to buy and when it's time to sell emphasize on that ....plz
Thanks in advance
Nimekupata bro.....your my light brother jeff
Dah kilaaa nikipitaaa nilikuwa cjuh kinini kinazungumzwaaa lakn Leo umenifumbua asantee mzee ngojaa nianzee kujaribu saiz sasa ndio nita like n comment kaz zako
Nakukubali Sana blaza unavyovunja pesa Apo kwenye ubao wako
Really inspiring kaka great keep it up👍👍
Unajuwa jifunza ila una hongea sana , angalia wanacho fanya Joel nanauka na Ezdeni Jumanne
Great presentation brother, big up. Nimejifunza kupitia video hii
Asante sana ubarikiwe. Nimefurahi kujifunza kuhusu Mo
Safi sana na asante kijana mwenzangu kwa somo zuri sana 🙏🏿
Nilchokigumdua ni kwamba kupitia ile competition Mo aliweza kupata businesses mpya kwaajili ya kampuni zake kwa kutumia presentations zenu za biashara boss
Mo ndo maaana anagrow kila siku
Na alitumia njia kama kuapa million 10 kama malipo kwaoo kwa kitu alicho gain
Na alitumia njia kama kuapa million 10 kama malipo kwaoo kwa kitu alicho gain
Asanteh Jeff!... Asanteh San kaka
Every single cent count 😄😄
Imekaa poa sanaa mchizi wangu
Imekaa poa sana.. shukran bro!
Thank you so much bro, God bless you
Brother upo vizuri sana naomba kuwasiliana na wewe if its possible nashida ya kujifunza kwako
Great contents.Asante
Ni kweli mpo vizuri,naomba namba Kwa mawasiliano zaidi juu ya forex trading
Nice to hear this Boss!!
Jicho la frucsa ! Kila biashara like imekaa powa sana
god bless you broo
Uko vizuri, ila punguza kuzunguka kwenye point na punguza story ambazo zinawapunguzia focus watazamaji, mfano hii video ulitakiwa uipresent kwa dak 2-3 tu
Good advice.
Imekaa poa sana bro
Umetisha sana mzee
Thanks a lot !!!
ahsante kwa darasa zuri
The first one 🔞 big up mentor
good advice bro!
Broo first tym kucheki video zako lkn sizichoki coz kuna kitu na gain inturn keep on broo
Ahsante sana Kwa ujumbe
Habari kaka! Nahitaji training ya forex naomba muongozo
Umetisha mzee
Safi sana bro but naitaman forex kuijua ila cna wa kunifundisha na co mim tu tupo wengine so tuijua VP kak please help us hata kwa kusoma kupitia video zako au kutufundisha online
Utoe namba za cm.tutakapo kwama tuweze kukuuliza mimi ni mama nimependa ushauri wako mwanagu jef.maashaallah
That's good bro.
Bro Jeff uko vzr nataman kukutana na ww
Big up kaka 💪
Umenifunza kitu boss nashukur sana
I love this
Hello Jeff. Nini unafahamu kuhusu Stock Options. Unaionaje ukilinganisha na FOREX.
Kaka imekaa poa sana hivi kuhusu SOMO LA social media marketing
Asante sana kwa maelezo mazuri sana naweza kupata mawasiliano yako tafadhali?
Thanks much brooo @sirjeff
Today you really touch my heart
Nmekuelewa sana mkuu
Nigusie kidogo hapo kwenye budgeting... Vijana wanapoteza pesa nyingi kununua bidhaa cheap... As always tunaambiwa cheap is expensive... Kwa kuwa na LV belt ama AX t-shirts inamfanya yeye kuendelea kudunda bila kuingia gharama za mara kwa mara... Jambo jingine hata gari anayotumia is expensive and much of quality.
Tuko pamoja keep on sharing great stuffs .....I believe one-day yes
Good 🤝
Kaka ubarikiwe Sana hivi unavyoshare na sisi naomba kupata no yako tafadhali
Sir Jeff,mimi ninahitaji sana kuonana na wewe ili unisaidie personally kimawazo katika business yangu,you are very smart sir
Jeff kaka nitawezaje kujifunza forex na nikawa pro trader
Bro nakupataje
Kaka pull over umeacha wapi leo?😊
i learned that every point of view should have an edge
Kaka kwamsaada zaid tunakupataje 🙏🙏
Mzururaji Smart 👣🏌️
I got you brooh
Kaka✌️✊
Nice bro
good
safi kabisa
Where can l get u sir?
Am Tanzanian
Kaka nakufatilia sana
Kwel kupitia crip unazoposti ndimo mafanikio yangu yalimo kaka barikiwa sana
Imekaa poa sana
SoMo zuri Sana hili
Bro una ni inspire sana nina kiu kubwa ya mafanikio so which step should I take to become whom I am!!
I love your channel, from Kenya, Nashukuru sana
Bro, this guy is such a great inspiration
Hii imekaa poa sana✊🏽✊🏽
Bro ilikuwaje mpaka unaachana na engineering na ukawa businessman?
Walio dislike hii video ndo wale wanaowaza ngono tu na kuwatch porn
Naweza pata mawasiliano na wewe kaka
Asante
Being based on numbers👍
Good.
Kwelikabisa. 🙏🏽
✍✍
amen
Shark SHARK SHAAAAAARK SHAAAKA SHAKA ZULUUU 💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Imekaaa poa
Broo naitaji kupata mawasiliano nawewe naisi naweza ka
Ujua vingi
i like u
Good
Unafaa kua menta wangu
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Bro nataman san kuanza biashara ila daah nashndwa kuelewa chakufany nakufuatilia san ila nahitaj kufany biashara nakufanikiwa kam ww
🙏🙏
imekaa poa saana
Iko poa
Kaka kila siku nakuulizq forex arusha mko wap hujib au hutak tujue
Bro nasikiliza ili kuhakikisha kama Mo kakufundisha kweli
Tunashukuru kutupatia elimu hiyo
Siamini kama mo dewji anamiliki asset za USD billion 1.9, bcoz metl ni kampuni ya familia kuna akina fatma na wengine, half baba yake mo bado yuko hai
Mo atakuwa ana assets za millions of USD ila hana 1 billion usd
Tu-assume 1.9 billion USD ni ya mo dewji, mo asingekuwa usd billionaire kama sio baba yake, alichofanya mo ni kuwa aliendeleza metl from 500 million USD to 1 billion USD .
The real shark wa Tanzania ni bakhresa, ingawa Forbes wanasema bakhresa ana networth ya 600 million usd, lkn naamini bakhresa ana networth ya 1 billion USD sema anaficha utajiri wake..
Huyo Bakhresa mwenyewe unadhani anaimiliki kampuni pekee yake? Dewji ndiye majority shareholder wa METL.
Kwanini anaficha?