16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
Nina wasiwasi na Anachosema, Kama Hajatumwa Kusafisha Hali ya Hewa Kama Masharti Mojawapo. Kwanza watu waliomteka Ni Majasiri sana, Wameingia gharama Kubwa, Wapige hata sisasi eneo la Oyster bay, Wamteke na wakae nae karibu na wiki. Kisha ati, Wamrudishe kwa Hofu wambwage karibu na Ikulu. SIAMINI HUU NI UWONGO HATA MO ANAJUA AMETUMWA AKADANGANYE ILI AACHWE!
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
Nimeangalia vyema tena hii Interview September 2024 , Ila nimegundua Jamaa Muoga sana, Maana hakuna anachosema chochote watu wengine wakitekwa. Aache mambo ya kusema anasali, yeye pia apaze Sauti
❤❤mwenyeazi mungu akulinde akujaalie Afya tele inshaaallah azidi kukutia nguvu imaan na amani upendo tele na family yako yote na watanzania wote tuliokuwa tunakuombea kila siku kwa mwenyewe mungu inshaaallah
Sanura yuko Arusha kanivunjia nyumba, baadaye mimi sipo mlango sikutengeneza, wakaja tena wakaniwekea sumu kwenye sufuria walikuwa yeye na Zarina Hasan, baadaye wakaja wakakaa nyumba ya jirani nyumba moja kutoka kwangu, nikawaona sanura na msichana mmoja zarina sikumuona, ya pili walikuja zarina Hasan na gari wakataka kuniuwa kunigonga na gari
Chinja mbuzi mweusi wa kwako hataweza kukuroga tena na mke wako mchinjie mbuzi mweupe, majini wenu watawasaidia na pete na vitambaa ulizia watasema rangi gani
Mohammed umeficha baadhi ya mambo na Kuna ukakasi ndan ya simulizi yako. Mara ya kwanza ulisema walivyotoka na ww ulijua wanaenda kukuua na sio kukuacha/kukuachia huru Mara pili ukasema ukijua fika unaenda kuachwa huru gari ilikua inakataa kuwaka ukawaomba wakufungulie mlango utoke. (Hii inaonyesha deal was done) Yote kwa yote pole sana nahisi kuna siri nzito nyuma ya hayo.
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Hiii vidio inamiaka 4 toka itoke ila kama ww nipamoja na mm tulioangalia mwak huu 2024 weka like zako hapa❤
😂😂
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg
gggggggggggggggģggghhh
Santeeeh!!
@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊
😊
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful!
Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
mungu atatenda makuu
mungu yupp
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
Alhmdulillah
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@
Mambovp
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
Inasikitisha sana pia inahuzunisha 😢 😭! Pole sana Boss Mo, 1 ❤️
Pole bos wetu
Dah eti kuna kundi linaitwa wasiojulikana hadi leo hawafaahamiki
Najua dua zetu Mungu aliziskia
Hakika Mungu anajua una kazi bado Mungu abariki kazi Yako na huduma Yako na mke wako upendo Nchi Yako uzidi Amina
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
Wise and Brave Ma shaa Allah. BLESS YOU.
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
😅😅😅
Allah karim wallah
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
Mungu ahimidhiwe kwa kukuokoa
Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭
Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa
VERY SAD STORY 😭😭😭😭 BE THANKFUL TO ALLAH SUBHAANA WA TAALA
This man is the good man
Watu walio ajiriwa na serikali kwa kazi ya utekaji na uuwaji
Nina wasiwasi na Anachosema, Kama Hajatumwa Kusafisha Hali ya Hewa Kama Masharti Mojawapo. Kwanza watu waliomteka Ni Majasiri sana, Wameingia gharama Kubwa, Wapige hata sisasi eneo la Oyster bay, Wamteke na wakae nae karibu na wiki. Kisha ati, Wamrudishe kwa Hofu wambwage karibu na Ikulu. SIAMINI HUU NI UWONGO HATA MO ANAJUA AMETUMWA AKADANGANYE ILI AACHWE!
Tobiaa mwamba, nimekumis Sana kamanda wangu
Pole mr, mo,kwani ulipitia majaribu magumu sana. ila elewa kuwa nivigumu kufa kwa mtu kama wakati wake haujatimia.
Pole Sana mshikaji wetu, ila na ww umezidi woga sanaa
Mungu hupigania haki ya kwenye haki namungu azidi kukupigania sana
Wa bebe hawo kutoka congo DRC ndo wana fanya ivo na nyinyi wa Tanzania mnawapa uhuru watawamaliza
Niwa rundi
Bless ur heart
Pole sana Mo
Roho yako nzurii xaaana ndio maana haukuumia
Pole sana brother
😅pole saana kaka mo mungu azidi kukuchunga vema
Mpk nimelia 😭😭 😭
Pole sana
Shukuru mungu ulikua unavuta sigara maana wavuta sigara wanaendana
pole sana moodwj ilautekaji huo unaonekana hata siasa zikondaniyake
Hakika mwenyez Mungu Mwema
Duh . Mo bado ana tetemeka
Pole sana boss wasimba Mungu akubalik
Polesana mo kaka yetu kwayaliyo kukuta
Daaah Pole sana bro mo
Enzi ya jpm hiyo na maisha haya watu hawakuandika waraka kwa jpm
Poli sana kwamateso Mimi masikini nigaie kidogo nianze umachiga
Pole sana
Duu!!,pole xan jmn BINADAM huw hawapend maendeleo ya MTU,Mung atakulinda Wale hutadhulika Maishan mwako.😓😓😓
Pole sana mohamed
Alitekwa na magu kambiwa asisemee magu mtu mbaya thanaaa
Hivi musk si barakoa
Pole ndugu yangu.
Aisee pole sana Jamaal yetu
Pole Shia mwenzagu?
Pole kaka
Mpaka machozi yamenitoka.
Kumbe zile movie Huwa ni za kweli
😢😢😢😊
Moo pole na mtihani uliyokupata lakini bado hujasema ukweli
Pole baba yetu
POLE SANA MOHAMED GULAMU MUNGU ANAKUPENDA SANA UTAISHI KIJANA WETU
Allah.wakbalu
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...!
Mungu akubariki 🙏🙏
Allah ataendelea kukulinda daima
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
Yani wanadam. Mtu mali yake atafute kwa jasho lake kisha wengine waje kukutesa😥
Eee Mali yako mwenyewe unatafuta kwa jasho halafu jitu lingine linatowa macho jaman mmh mungu atusaidie
Kweli kabisa
Mo pole xana
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
Apunguze urushi kama walivyowazulumu muuza zahabu mamilion ya Dola na hii bado
Nimeangalia vyema tena hii Interview September 2024 , Ila nimegundua Jamaa Muoga sana, Maana hakuna anachosema chochote watu wengine wakitekwa.
Aache mambo ya kusema anasali, yeye pia apaze Sauti
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
❤❤mwenyeazi mungu akulinde akujaalie Afya tele inshaaallah azidi kukutia nguvu imaan na amani upendo tele na family yako yote na watanzania wote tuliokuwa tunakuombea kila siku kwa mwenyewe mungu inshaaallah
Sanura yuko Arusha kanivunjia nyumba, baadaye mimi sipo mlango sikutengeneza, wakaja tena wakaniwekea sumu kwenye sufuria walikuwa yeye na Zarina Hasan, baadaye wakaja wakakaa nyumba ya jirani nyumba moja kutoka kwangu, nikawaona sanura na msichana mmoja zarina sikumuona, ya pili walikuja zarina Hasan na gari wakataka kuniuwa kunigonga na gari
Watu wasiojukikana wanapatikana nchi gani vile
Tanzania tu
Nchi fulani inaitwa Tanzania
@@lilyrose4066 ivi kweli
Kuzim
Watu wasiojulikana wanapatikana Tanzania na kenya
Chinja mbuzi mweusi wa kwako hataweza kukuroga tena na mke wako mchinjie mbuzi mweupe, majini wenu watawasaidia na pete na vitambaa ulizia watasema rangi gani
MUNGU ni mkuu mnoo. MUNGU akutunze na kukulinda MO Dewji
Ni mimi zahra Farah niliyo kutumia msg zote za mwantumu, sanura, na Zarina Hasan, Ridhiya
Sanura anaitwa mwantumu, ni mchawi amewauwa wazazi wangu, ananifuatilia mpaka sasa yuko na zarina Hasan, jina lake la kweli anaitwa Ridhiya
Long life mo dewj
Mohammed umeficha baadhi ya mambo na Kuna ukakasi ndan ya simulizi yako. Mara ya kwanza ulisema walivyotoka na ww ulijua wanaenda kukuua na sio kukuacha/kukuachia huru
Mara pili ukasema ukijua fika unaenda kuachwa huru gari ilikua inakataa kuwaka ukawaomba wakufungulie mlango utoke. (Hii inaonyesha deal was done)
Yote kwa yote pole sana nahisi kuna siri nzito nyuma ya hayo.
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
Ukiskiza ni same as movie ya Mr Heineken
Hakika inauma sana
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
makamanda walituonyesha picha 😂😂😂😂😂😂
Polesana mtani wangu
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
Saumu Hassan mambo
Polemo
mungu akupe rehema nyingi kaka
Da,polesana mzee hiyosiakawaida mtihanimkubwasana,polesana
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
Magufuli ndipo alipotufikisha na zengwe anatupiwa Mh, Rais Samia dah amakweli kosa la ng'ombe wa mbele huazibiwa ng'ombe wa nyuma
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.