MKE wa MZEE YUSUF afunguka:Tunapitia tabu, Madeni, SHILOLE amekosea, Tunafanya muziki ni SHIDA tu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2020
  • Tazama wimbo wa Malikia Leyla Rashid "Yale Yale" kupitia link hii
    • Video

КОМЕНТАРІ • 541

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +9

    Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan

  • @aiysharamdhan899
    @aiysharamdhan899 4 роки тому +13

    Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah

  • @hafsaally34
    @hafsaally34 4 роки тому +18

    Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe

    • @halimakibwana7188
      @halimakibwana7188 3 роки тому

      Ameen

    • @hassaniidrissa5916
      @hassaniidrissa5916 3 роки тому

      Msimtaje marehemu kwa mabaya

    • @vevo3130
      @vevo3130 3 роки тому

      ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind

    • @mk-ed5py
      @mk-ed5py 3 роки тому

      Ameen

  • @yusufsalim8906
    @yusufsalim8906 4 роки тому +3

    Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah1829 4 роки тому +1

    Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja

  • @mariabahati1264
    @mariabahati1264 4 роки тому +6

    Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 роки тому +5

    Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf

  • @edgersenyagwa3583
    @edgersenyagwa3583 3 роки тому +1

    Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 4 роки тому +14

    Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 2 місяці тому

    Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 2 місяці тому

      Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki.
      Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo.
      Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake

  • @mlasinyongolo3256
    @mlasinyongolo3256 4 роки тому +5

    Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen

  • @lydiahrweyemamu7305
    @lydiahrweyemamu7305 4 роки тому +7

    Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 роки тому +10

    Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 4 роки тому +13

    Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 4 роки тому +9

    Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen

  • @wazirshaame8025
    @wazirshaame8025 4 роки тому +18

    Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 4 роки тому +3

    Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 4 роки тому +6

    Mashallah madam, karibu mjini

  • @hadijapazia8255
    @hadijapazia8255 4 роки тому +23

    Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍

  • @ikhlassathman8782
    @ikhlassathman8782 3 роки тому +2

    Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha

  • @bernadethakilegu2142
    @bernadethakilegu2142 4 роки тому +244

    Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 роки тому +6

    Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru

    • @tiamo726
      @tiamo726 4 роки тому

      Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 роки тому +7

    Mtangazaji yupo vzr kwa maswali

  • @alisalum6464
    @alisalum6464 4 роки тому +6

    Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh

    • @rashman3530
      @rashman3530 4 роки тому +1

      gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 4 роки тому +15

    Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 4 роки тому +7

    Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.

    • @rauhiyafasihi8908
      @rauhiyafasihi8908 3 роки тому

      Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba

    • @asteriaaron3205
      @asteriaaron3205 3 роки тому

      @@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔

    • @rashidikanyama7227
      @rashidikanyama7227 2 роки тому

      @@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda

  • @hadijakabona955
    @hadijakabona955 4 роки тому +21

    Nampenda uyu Dada mie

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 роки тому +8

    lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸

  • @haikha-vn8sb
    @haikha-vn8sb 4 роки тому +139

    Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba

  • @maryndomba7028
    @maryndomba7028 3 роки тому +2

    Nimekupenda bure leyla wngu😍😍

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 4 роки тому +14

    Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer 4 роки тому +12

    Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!

  • @mariamnahodha2390
    @mariamnahodha2390 4 роки тому +2

    Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.

  • @salumallynannume6724
    @salumallynannume6724 3 роки тому +2

    Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.

  • @aasdfghrehema7204
    @aasdfghrehema7204 4 роки тому +4

    Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 роки тому +13

    Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌

  • @sjfamily8121
    @sjfamily8121 4 роки тому +16

    Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi

    • @khalfanifarsy7322
      @khalfanifarsy7322 4 роки тому +1

      Hakuna mke hapa

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 роки тому +1

      Na huyo ndio umeona ww mke? Mke ambaye ukimrudi Allah kwake nimajonzi? Na ukimkufuru kwake ni furaha?

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 роки тому +13

    Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 4 роки тому +20

    Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 4 роки тому +4

      kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika
      Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu.
      Muzik ni biashara, Ajira

    • @shebaminde7656
      @shebaminde7656 4 роки тому +2

      @@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 4 роки тому +1

      Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu

    • @shaniabdallah2921
      @shaniabdallah2921 3 роки тому

      Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar

  • @laythatsuleiman7184
    @laythatsuleiman7184 4 роки тому +5

    Muhimu kula na makaazi
    Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli

  • @ibrahimadam4272
    @ibrahimadam4272 4 роки тому +11

    All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake

  • @asia9930
    @asia9930 4 роки тому +2

    Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 4 роки тому +13

    Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 роки тому +33

    Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 роки тому +8

    Nampenda sana huyu mama

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 роки тому +7

    MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu

  • @hassansunir6565
    @hassansunir6565 3 роки тому +4

    huu ni mtihan Walah yan mwanamke wa kiislam anasema kabisa ALILIA aliumia kisa mume wake amemludia mungu dhuu

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 роки тому +8

    Maisha mazuri ni pumzi Leyla

  • @dashuusaalim1943
    @dashuusaalim1943 4 роки тому +4

    Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku

  • @jumaabayo8617
    @jumaabayo8617 4 роки тому +7

    Leilah ni mke mwenye subra

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 роки тому +6

    A very beautiful and humble lady

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 роки тому +1

    Hongera sana tutakutazama ļ

  • @hafsanoman3952
    @hafsanoman3952 3 роки тому +1

    StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 роки тому +25

    SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam

    • @peterchipasula1527
      @peterchipasula1527 4 роки тому

      Dunia imeisha ,,kweli hajitambui

    • @naimasaid7763
      @naimasaid7763 4 роки тому +5

      Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki

    • @Da-cr6ow
      @Da-cr6ow 4 роки тому

      Tena msiba uso ndugu

    • @kidaumtumbwi1128
      @kidaumtumbwi1128 4 роки тому +2

      Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni

    • @habibakhalfan1065
      @habibakhalfan1065 4 роки тому

      Mzito_mmm_Allah_atunusuru

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 роки тому +20

    Me nimependa alipoongelea suala la shishi na uchebe mambo ya ndoa tuwaachie wao ndo wanaojua

    • @illuminathersunzura1153
      @illuminathersunzura1153 4 роки тому +4

      Huyu ndo mwanamke anaejielewa CIO wanaokurupuka tu kina flan ,wao wanajuana hatukuepo ktk makubaliano yao shishi nae kakosea mno mambo ya bdani unaleta mitandaoni ,kioo cha jamiii funza usifunzwe anawaogopesha wasioa na kuolowa anawapa dhana CIO sahihi

    • @aminamohamedy8466
      @aminamohamedy8466 4 роки тому

      Ni kweli

    • @aminamohamedy8466
      @aminamohamedy8466 4 роки тому

      @@illuminathersunzura1153 kabisaa

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 4 роки тому

      Sura ya amina waalikiba ipo kwalaylarashid

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 роки тому +1

    Supper good Leila 👍

  • @neemahamissi2740
    @neemahamissi2740 4 роки тому +4

    From Burundi 🇧🇮❤️

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 роки тому +9

    Ittaqillah_leila_Mungu_aliwatoa_sasa_Mnarudi_katika_Maaswia_loo_

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 4 роки тому +23

    Nawakilisha Scandinavia, nice interview indeed. Hawa ndio wa kuwaleta👌sio yule beyonce wa Buza ukimaliza kumsikiliza shurti ushushie na panadol🙃👎

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 роки тому +1

    Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi.
    Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin.
    Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.

  • @kabakajuma5916
    @kabakajuma5916 3 роки тому

    Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 4 роки тому +5

    Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"

  • @lovenessfelix5841
    @lovenessfelix5841 4 роки тому +9

    Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!

  • @EstherClement-wb4jo
    @EstherClement-wb4jo Місяць тому

    Hongera Sana dada leyla

  • @aliamirbakar5580
    @aliamirbakar5580 4 роки тому +9

    Lela Rashid katika dini haifai kuhadithia mtu ambae ashakufa lako ni kumuombea Dua sio kuhisabu yamtu qmbae ashatangulia mbele ya haki

    • @marthaelias3422
      @marthaelias3422 Рік тому

      Hajamzungumzi mke mwenzie kwa Nia mbaya Bali kajibu maswali aliyo ulizwa na mtangazaji kwan asiengemuuliza pia nayeye asingemjibu

  • @yusufumbwene6845
    @yusufumbwene6845 3 роки тому +2

    Mwanamke huyu ni mzuri
    .....naomba kama mwanae yupo tuonane

  • @asiajuma8330
    @asiajuma8330 4 роки тому +1

    Creez uko vizuri hongera

  • @rehemamlenga4937
    @rehemamlenga4937 Рік тому

    Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf

  • @ebraawadh1693
    @ebraawadh1693 3 роки тому +2

    Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 4 роки тому +7

    Muogopeni Allah, mauti yasijewakuta huku mpo kwenye stage mnaimba! Hamuoni barka ya wakti haipo kabisa! Muda wako ndo rasilmali yako! Tuuogope moto ambao kuni zake ni watu na mawe! Wewe Laila sio mchungaji mzuri, na utaulizwa juu ya ulichokichunga!

    • @shasy3979
      @shasy3979 3 роки тому

      Makka mwenyewe kuna waimbaji na wanahiji lila Sekunde

    • @rauhiyafasihi8908
      @rauhiyafasihi8908 3 роки тому

      @@shasy3979 hao hawahiji na wanaichukulia dini ya Mungu kibubusa kwa sabab kuna masharti yametwaja mwanzo katika uislam yanayompasa muislam kuyafanya kabla ya hija yake sasa kama unawajua wew hao wanaohiji wakaazi wa Makka na wanaimba hao ni katk hao waliopotea wanaizifanyia mzsha nafsi zao

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 4 роки тому +9

    Leyla nakupenda Sana Mamaa lkn usingefanya Tena taarab

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 4 роки тому +27

    Lugha ya kiswahili imezaliwa zanzibar pwani wanaongea kiswahili, wengine wanajitahidi lakini pwani hatari Sana.

  • @hamadeddymaclayz
    @hamadeddymaclayz 9 місяців тому

    Leyla Rashid mrembo sana na mpole

  • @salmakiungo2538
    @salmakiungo2538 4 роки тому +2

    Nakupenda buure

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 4 роки тому +8

    Mm ndo wa kwanza kuja hapa?

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 4 роки тому +1

    Nice anita from Bahrain

  • @biubwajuma2968
    @biubwajuma2968 3 роки тому +1

    Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa

  • @annelyimo6065
    @annelyimo6065 4 роки тому +5

    Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 роки тому +1

    Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!

  • @vbusolo865
    @vbusolo865 3 роки тому +1

    Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.

  • @majdimpaka1079
    @majdimpaka1079 4 роки тому +3

    Duuh nice interview

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan5560 4 роки тому +10

    Alikosea Kuacha kipaji!!!kipaji ndio muhimu

  • @sitisaid8543
    @sitisaid8543 3 роки тому +1

    Sisem kitu watching from 001

  • @aliclauclau4208
    @aliclauclau4208 3 роки тому +1

    Nakupenda sana dada

  • @mariabugingo4524
    @mariabugingo4524 4 роки тому +2

    I love you ddear leila

  • @tabiafataki8917
    @tabiafataki8917 4 роки тому +3

    Mpambane maisha ni kigeugeu ,.mpambane mtafanikiwa

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 3 роки тому +1

    Dah poleni sana aki

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 роки тому +1

    Waaaaah hakika ma tatizo ni ma baya munoo kumbe kajifugua juzi tu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +5

    So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii

    • @Nims643
      @Nims643 4 роки тому +1

      Mwenyezi mungu ndio mkamilifu

  • @aminamwinyi4427
    @aminamwinyi4427 3 роки тому +2

    ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni
    Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu..
    ,ukimuombea

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 роки тому +2

    Mashaa ALLAH Leila

  • @charleskingimwakasagule5752

    Ulikosea kumzungumzia mke mwenzio alie kufa tayali hana jinsi ya kujibu tuhuma

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 роки тому +3

    SnS for life 🇹🇿🇦🇪

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +2

    Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.

  • @leilamdoe9178
    @leilamdoe9178 4 роки тому +2

    Wajina nakupenda sana

  • @rosearivitsa8125
    @rosearivitsa8125 4 роки тому +4

    Ako vizuri

  • @hamishatibu2352
    @hamishatibu2352 3 роки тому +1

    Shida sio 7bu ya kufanya mziki Kuna moto ambao haijuwi shida zako kila mtu anashida zake lakini sio 7bu za kumuasi Allah adha wajjallah

  • @missmannydxb
    @missmannydxb 4 роки тому +2

    I like her alot 😍😍😍😍😍😍

  • @faidhasaid9605
    @faidhasaid9605 3 роки тому +2

    Huyu mtangazaji yupo vizuri Sana keep it up

  • @rizikiali8149
    @rizikiali8149 4 роки тому +1

    Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya