Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja
Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki. Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo. Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake
Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera
Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini
Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi
kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu. Muzik ni biashara, Ajira
@@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba
Muhimu kula na makaazi Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli
SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam
Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni
Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi. Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin. Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.
Muogopeni Allah, mauti yasijewakuta huku mpo kwenye stage mnaimba! Hamuoni barka ya wakti haipo kabisa! Muda wako ndo rasilmali yako! Tuuogope moto ambao kuni zake ni watu na mawe! Wewe Laila sio mchungaji mzuri, na utaulizwa juu ya ulichokichunga!
@@shasy3979 hao hawahiji na wanaichukulia dini ya Mungu kibubusa kwa sabab kuna masharti yametwaja mwanzo katika uislam yanayompasa muislam kuyafanya kabla ya hija yake sasa kama unawajua wew hao wanaohiji wakaazi wa Makka na wanaimba hao ni katk hao waliopotea wanaizifanyia mzsha nafsi zao
So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii
Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan
Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah
Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe
Ameen
Msimtaje marehemu kwa mabaya
ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind
Ameen
Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.
Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja
Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing
Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf
Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.
Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏
Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze
Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki.
Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo.
Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake
Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen
Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu
Aigwe lipi? Yy kama muislamu?
Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏
Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen
,
Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera
Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani
INSHAALLAH ALLAH akujaalie
Mashallah madam, karibu mjini
Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍
Mm simpendi
@@sponsor7882 acha roho mbaya
@@aminamohamedy8466 sawa
@@sponsor7882 😂
@@sponsor7882 acha kinyogo.
Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha
Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄
Wakwanza mm
Yani hii ni kama uji na mgonjwa
Yani
Mm
Mm
Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru
Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake
Mtangazaji yupo vzr kwa maswali
Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh
gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io
Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza
Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.
Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba
@@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔
@@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda
Nampenda uyu Dada mie
lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸
Bui
Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba
Ndio ni kweli
Kbs
Kweli
Kabisa
Umeonee Sana mzuri mashaallah
Nimekupenda bure leyla wngu😍😍
Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini
Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!
Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.
Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.
Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝
Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌
Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi
Hakuna mke hapa
Na huyo ndio umeona ww mke? Mke ambaye ukimrudi Allah kwake nimajonzi? Na ukimkufuru kwake ni furaha?
Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah
Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako
kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika
Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu.
Muzik ni biashara, Ajira
@@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba
Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu
Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar
Muhimu kula na makaazi
Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli
All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake
Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba
Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.
Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu
Kiama yaani
Allah atupe mwisho mwema kbs
Mtihani mkubwa Mwenyezimungu amuonyeshe njia.
Laana huyu ibilisi
@@jaliakamote5485 na alichotaka kashapata mumewe kasharudi tena kwa shetwanii
Nampenda sana huyu mama
MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu
Bilisi huyu
Reila?
huu ni mtihan Walah yan mwanamke wa kiislam anasema kabisa ALILIA aliumia kisa mume wake amemludia mungu dhuu
Maisha mazuri ni pumzi Leyla
Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku
Leilah ni mke mwenye subra
Subra kumuingiza mume ktk maasi
A very beautiful and humble lady
Of koz!!!!
Hongera sana tutakutazama ļ
StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin
SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam
Dunia imeisha ,,kweli hajitambui
Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki
Tena msiba uso ndugu
Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni
Mzito_mmm_Allah_atunusuru
Me nimependa alipoongelea suala la shishi na uchebe mambo ya ndoa tuwaachie wao ndo wanaojua
Huyu ndo mwanamke anaejielewa CIO wanaokurupuka tu kina flan ,wao wanajuana hatukuepo ktk makubaliano yao shishi nae kakosea mno mambo ya bdani unaleta mitandaoni ,kioo cha jamiii funza usifunzwe anawaogopesha wasioa na kuolowa anawapa dhana CIO sahihi
Ni kweli
@@illuminathersunzura1153 kabisaa
Sura ya amina waalikiba ipo kwalaylarashid
Supper good Leila 👍
From Burundi 🇧🇮❤️
Binamu yangu raila unakwama WAP? Mama ahmadi
Ittaqillah_leila_Mungu_aliwatoa_sasa_Mnarudi_katika_Maaswia_loo_
Nawakilisha Scandinavia, nice interview indeed. Hawa ndio wa kuwaleta👌sio yule beyonce wa Buza ukimaliza kumsikiliza shurti ushushie na panadol🙃👎
🤣🤣🤣🤣panadol
Ni kweli kabisa yaan lile linamke linatia kichefuchefu hasa
😂😂😂😂
😁😁😁😁😁
Hahahahahaaaaaa hahahaha
Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi.
Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin.
Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.
Ndio iyo tamaa mziki pesa ndio mana sasa inaingia fitna
Kabisaa
Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )
Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"
Muogope Allah muumba mbingu na ardhi
Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!
Hongera Sana dada leyla
Lela Rashid katika dini haifai kuhadithia mtu ambae ashakufa lako ni kumuombea Dua sio kuhisabu yamtu qmbae ashatangulia mbele ya haki
Hajamzungumzi mke mwenzie kwa Nia mbaya Bali kajibu maswali aliyo ulizwa na mtangazaji kwan asiengemuuliza pia nayeye asingemjibu
Mwanamke huyu ni mzuri
.....naomba kama mwanae yupo tuonane
Creez uko vizuri hongera
Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf
Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita
Muogopeni Allah, mauti yasijewakuta huku mpo kwenye stage mnaimba! Hamuoni barka ya wakti haipo kabisa! Muda wako ndo rasilmali yako! Tuuogope moto ambao kuni zake ni watu na mawe! Wewe Laila sio mchungaji mzuri, na utaulizwa juu ya ulichokichunga!
Makka mwenyewe kuna waimbaji na wanahiji lila Sekunde
@@shasy3979 hao hawahiji na wanaichukulia dini ya Mungu kibubusa kwa sabab kuna masharti yametwaja mwanzo katika uislam yanayompasa muislam kuyafanya kabla ya hija yake sasa kama unawajua wew hao wanaohiji wakaazi wa Makka na wanaimba hao ni katk hao waliopotea wanaizifanyia mzsha nafsi zao
Leyla nakupenda Sana Mamaa lkn usingefanya Tena taarab
Lugha ya kiswahili imezaliwa zanzibar pwani wanaongea kiswahili, wengine wanajitahidi lakini pwani hatari Sana.
But huyu ni wa mtwara
Sophia Kasim 🤣🤣🤣🤣🤣
@@sophiakasim5153 mtwr nako ni pwn
@@sophiakasim5153 🤣🤣🤣🤣
@@aminamohamedy8466 ila hiki si kiswahili cha pwani ya mtwara itakuwa mombasa anakoenda kwenye shoo anakokichukua
Leyla Rashid mrembo sana na mpole
Nakupenda buure
Mm ndo wa kwanza kuja hapa?
Nice anita from Bahrain
Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa
Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah
Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!
Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.
Duuh nice interview
Alikosea Kuacha kipaji!!!kipaji ndio muhimu
Sisem kitu watching from 001
Nakupenda sana dada
I love you ddear leila
Mpambane maisha ni kigeugeu ,.mpambane mtafanikiwa
Dah poleni sana aki
Waaaaah hakika ma tatizo ni ma baya munoo kumbe kajifugua juzi tu
So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii
Mwenyezi mungu ndio mkamilifu
ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni
Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu..
,ukimuombea
Mashaa ALLAH Leila
Ulikosea kumzungumzia mke mwenzio alie kufa tayali hana jinsi ya kujibu tuhuma
SnS for life 🇹🇿🇦🇪
Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.
Wajina nakupenda sana
Ako vizuri
Shida sio 7bu ya kufanya mziki Kuna moto ambao haijuwi shida zako kila mtu anashida zake lakini sio 7bu za kumuasi Allah adha wajjallah
I like her alot 😍😍😍😍😍😍
Huyu mtangazaji yupo vizuri Sana keep it up
Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya