Hadija Kopa Apiga Shoo Ya Nguvu Dar Live

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • SUBSCRIBE NOW / uwazi1
    Usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhiem, jijini Dar es Salaam, ambako kulikuwa na shoo ya taarab, mwanamuziki Khadija Kopa ‘Mama wa Mipasho’ nchini amepiga shoo ya nguvu ndani ya Dar Live.
    SUBSCRIBE NOW / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 29

  • @user-ru6kh4de7e
    @user-ru6kh4de7e 9 місяців тому

    Umenikumbusha nyumbani uku Nairobi hakunaga mambo ya taarab.Ningoma za akina Njely naKamau mense Kikuyu na Kamba Asante mama naona nikonyumbani apa.❤

  • @hadiyamohamed452
    @hadiyamohamed452 6 років тому

    Waaaapi mamaamukubwa upo juu mama

  • @evalineskawa3610
    @evalineskawa3610 7 років тому +1

    sio kwa mauno hayo mama la mama upo vzr sana

  • @zaina11zaina83
    @zaina11zaina83 7 років тому +2

    Nakukubali sana mama Khadija kopa

  • @tunuissa5639
    @tunuissa5639 7 років тому

    Umetishaaa mamaaa kiboko yao

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 років тому +1

    Hapana chezea mama wa Mipasho, uko vizuri

    • @user-zy1cl6iv7d
      @user-zy1cl6iv7d 6 років тому

      Mama bas na mziki mrudie allah muda una ixha mumy

    • @youngyayoo2805
      @youngyayoo2805 4 роки тому

      Hadi siku hizi wanaume wanakata mauno daah

  • @zahrapalla4345
    @zahrapalla4345 7 років тому

    Nakubali saana shoo zako bint omary

  • @rahimalewe6280
    @rahimalewe6280 7 років тому

    nakubali mama

  • @pilikheri670
    @pilikheri670 5 років тому +1

    Jamani waume aibu, taarabu ni ya wanawake, siku hizi taarabu hazina utamu Tena Maana waume wamejivaa kwenye taarabu, aibu

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 років тому

    Bi Khadija Masha Allah bado wasikika.

  • @dengmalual5374
    @dengmalual5374 6 років тому +1

    jamani mama nimefurahia show. lakini Kwa umri Sasa wa faa kufikiria Din I letu.
    Tusielewane vibaya,sijasema uache muziki.Bali Katina muziki watu Wengi wanakufuatilia kimapambo Na mavazi,mie hapa nisipo uskiza wimbo wako Kwa siku nita pata homa.
    Lakini wafaa kwanza kuvalia stara kama wale waimbaji WA Sudan wanavyo fanya.w anapendeza Na Bado wamelipatia heshima nataadhima dini letu tukufu...Niko Juba South Sudan.asante.

  • @mwajumahassan2784
    @mwajumahassan2784 6 років тому

    tisha sana na shoo yako

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 6 років тому

    Nayakubali sana mashali yako pambana

  • @ayubujuma3890
    @ayubujuma3890 4 роки тому

    Pambeeee

  • @MartinsAgufana
    @MartinsAgufana 7 років тому +1

    I love #KhadijaKopa how can I get her contact please

    • @lazaisblessings2695
      @lazaisblessings2695 7 років тому +1

      Iam- Martins Her Instagram account officialkhadijakopa maybe it can help you to contact her

  • @mwajumahassan2784
    @mwajumahassan2784 6 років тому

    bora tumia salama

  • @lizzygold2484
    @lizzygold2484 7 років тому

    khadija sio mchezomchezo

  • @samyasalim4128
    @samyasalim4128 4 роки тому +1

    Astaghfirullah

  • @raisimwero6948
    @raisimwero6948 6 років тому

    Poa

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 4 роки тому

    Hahahaha eti Kama kimelala kimeharibu mapaja

  • @saidally529
    @saidally529 5 років тому

    akuna anaekuweza tena Kuboko yako alikua nasma tu

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 7 років тому +2

    Mwanaume harogwi ....😄😄😄😄😄

  • @husseinkarim7839
    @husseinkarim7839 6 років тому

    Aibu kubwa, bi kizee