SITAMANI TENA UKE WENZA|NAMPENDA MZEE YUSUF|JAHAZI NDO BENDI YA DUNIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 112

  • @keykariabu701
    @keykariabu701 2 роки тому +7

    Leila wewe ni # No.1..Mungu akulinde
    +254 tunakupenda sana sana

  • @rukiaathumanathuman7875
    @rukiaathumanathuman7875 2 роки тому +5

    Nyimbo zako nzpenda sana ni nzuri na znfunza

  • @wariditamu
    @wariditamu 2 роки тому +2

    Usizibe hizo nywele🤣Ndizo nazotaka kuona,,much love from 254 nakupenda sana Leyla Rashid,roho Yako ni safi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 роки тому +4

    MashaAllah MashaAllah wallah mtu na sauti yako na dam yako ya nguo 🇹🇿🇦🇪💋

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 9 місяців тому +2

    Tunataka show zaleyla nyimbo zake zote kuanzia maneno ya mkosaji adi na badomtateseka

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 2 роки тому +1

    Hakuna bhana weee leyla waogopa nini 😂😂😂😂jahaz kiboko huoni mzee alitoka taraabu ilikufa jahaz oyeeeeee😂😂😂nampenda sana leyla mno 💕💕💕💕

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 2 роки тому +6

    Mashallah nakupenda sana Leyla napenda nyimbo zako zote huziskiza kilasiku nikiwa Saudiarabia from (Kenya) Love you so much dear Allah akuzidishie pamoja na mumeo mlee wtto wenu inshallah

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Рік тому +1

    Ilove you so much malkia.lela rashid❤❤

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 роки тому +2

    Yani Leo mmenikosha sana bakshishi za pwani'pambeeeeee👌👌👌

  • @missmannydxb
    @missmannydxb 4 місяці тому

    Malkia Layla Rashid kwa uzuri wake mashallah 😍😍😍😍

  • @samiaismail1805
    @samiaismail1805 2 роки тому

    Mashaallah 🔥 malkiaaaah Leyla Kila la kheri 🙏 mungu akusimamie kwenye maisha yako 🙏 na kila akukusudiaye baya bac allah s.w akuepushie inshallah taala 🙏

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 2 роки тому +3

    Yani leo sasa ndio umeleta kipindi. Kizuri sanaa💕💕 utuletee kila. Kila siku

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 2 роки тому +4

    Safi sana

  • @hamisuuhamadi1663
    @hamisuuhamadi1663 2 роки тому

    MASHAALLAH sauti ya mnanda leyla number one❤

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 роки тому +5

    Alieona Leila kafanana sauti na Hawa nitarejea anipe like hapa👇

  • @mkasiali6956
    @mkasiali6956 2 роки тому +2

    Umenigusa..naipenda

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 2 роки тому

    Nakupenda tu bure dadangu leyla Rashid❤❤❤❤❤❤❤❤❤ napenda sana kazi zako mpenzi Mungu akusimamie daima milele uishi miaka 1000000000 na zaidi ya habeebty 😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @khadijamohammed2855
    @khadijamohammed2855 2 роки тому

    😍😍😍maasha Allah

  • @sharifasalum532
    @sharifasalum532 2 роки тому +2

    mashaallah nampenda Leila

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +2

    Maashallah Leo mpokwetu chanika talian I

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому +2

    Yni ngariba nkupenda sna tena naulivyo batirisha kuongea nkupenda sn💋

    • @sheillaidrissa227
      @sheillaidrissa227 2 роки тому

      Bi leila Rashi nakupenda bure yani nataman nikuone jaman

  • @mirrykirungi3223
    @mirrykirungi3223 2 роки тому +3

    Nakupenda sana Leyla huna kazi mbovu big up sana

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +1

    Kweli hawapigi mm najua nyimbo kabla mzee hajaacha

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 2 роки тому +1

    Maashaallah

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 2 роки тому +5

    Leyla ni mzuri sana

  • @nuruabdulwahab9118
    @nuruabdulwahab9118 2 місяці тому

    Huyo mtangazaji anakuchiba Leila

  • @joharikabunda4853
    @joharikabunda4853 2 роки тому +6

    Nakupenda sana Leyla mungu akulinde 🙏🏻

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 роки тому +5

    Maandishi jitahid kuwa mbunifu kumhoji mtu usipende kufukua makabur watu wakishapatana acha kuchimbuachimbua vitu watu wakishapatana ninjambo la kumshukru mungu uliza maswali ya wkt uliopo sio wakt uliopita hasa maswali ya ugombanishi

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  2 роки тому +1

      Haufahamu utendaji wa kazi zetu..baki kuwa mtazamaji

    • @upendowakwelinaamani1060
      @upendowakwelinaamani1060 2 роки тому +4

      @@maximumtvonline kuna baadhi ya watumishi ktk maxmamtv wakikosolewa wanapanic lkn huo ndio ukweli watu wakipatana hakuna haja ya kufukua makabur hata dini zinaelekeza kupatanisha sio uchonganishi kua mbunifu ngariba mtoto acha kujificha ktk kivur cha ufaham utendaji wenu wa kazi wakt unaharibu lazima wananzengo tukwambie utake usitake sisi ni watazamaji na wanafamilia pia utaambiwa tu utake usitake kuwa mbunifu ili ufike mbali km walio kutangulia ktk tasnia ya habar

    • @saidmanyema5180
      @saidmanyema5180 2 роки тому +1

      Umeeleweka aya kunywa maji

    • @najmaulaya2261
      @najmaulaya2261 2 роки тому

      @@saidmanyema5180 😂😂😂😂😂😂akanunue ya maji. Au soda baridi 😀😀😀 nyie humu kma huna moyo bas kkkkkkk

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      @@saidmanyema5180 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khairatabdalla9763
    @khairatabdalla9763 2 роки тому

    Mungu atkunusuru na mabaya lshallah

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 роки тому +2

    wacha wee 👌

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 роки тому +2

    NAKUPENDA DADA

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h 3 місяці тому

    Uke wenza dada nikaz acha tuudada

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 2 роки тому +4

    Mashallah 🥰🥰🥰

  • @queenhuu2852
    @queenhuu2852 2 роки тому

    😂🤣🤣kiufupi Mzee Yussuf kaowa muaraab ,, mtangazaaji bwana

  • @aishashaibu4772
    @aishashaibu4772 2 роки тому +3

    Ivi joha kasim yupo jmn

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 2 роки тому

    Mashallah🥰🥰🥰🥰🥰

  • @khanniebaraka6047
    @khanniebaraka6047 2 роки тому

    Safii mum

  • @zaharababdul7747
    @zaharababdul7747 2 роки тому

    Nakupenda lela

  • @rwandatourismrtta8977
    @rwandatourismrtta8977 2 роки тому

    Leila nakupenda kweri

  • @user-su3fe8wx9v
    @user-su3fe8wx9v 5 місяців тому

    Tuletee mariam Amour

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 роки тому +1

    Maashaallah.....Mrs.Yuusuph og.

  • @hidayajuma3068
    @hidayajuma3068 2 роки тому

    Hta mii nampena piya sana sana

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +2

    Kujibizana huongeza chachu hata enzi za khadija kopa na marehemu Asma ndio walikuza taarabu enzi zao

  • @nassorrashid6466
    @nassorrashid6466 2 роки тому

    Safi

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 роки тому +1

    Akioa tena mwacheeee

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 роки тому

    Leyla km Leyla❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 роки тому

    Ngariba mtoto auna Kaz mbovu aise hii Leo umenikosha

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 9 місяців тому

    Rangu rohoni mbona uiimbi

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 роки тому +1

    Mhmm

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 2 роки тому

    Nakupendaga sana mdada wewe

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 2 роки тому

    Kiukweli ukiwa rafiki yako alafu akijakutembea na mtuwako inauma sana hata kama mliachana

  • @frizzy6766
    @frizzy6766 Рік тому

    Amezeheka ila angali mzuri tuleteye vitu mamy

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 роки тому +1

    Nampenda sana leila rashid ndio mana nkazaa mtt wa kike nkamuita leila

  • @junaitharjamal3761
    @junaitharjamal3761 2 роки тому

    Mtulivu huyu dada

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 2 роки тому

    Leyla ndo nyota y mzee hakuna mwigne atakuja

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 2 роки тому

    Ugomvi ulimuibia mzee bwana 🤣🤣

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому

    Mwehu

  • @mkasiali6956
    @mkasiali6956 2 роки тому +2

    Wacha

  • @kautharramadhan9739
    @kautharramadhan9739 2 роки тому

    Ss unafungaa au tukuelewe vp maana unafunika nywele halaf unaurudiaha nyuma kaaah 😏

  • @ashamuhamed4415
    @ashamuhamed4415 2 роки тому

    Utakuwa nao tu mwenzio kaoa huko

  • @sofiajumaa4538
    @sofiajumaa4538 2 роки тому +1

    Nampenda huyu mama sanaa😘😘

  • @nairobistarsmoderntaarab5949
    @nairobistarsmoderntaarab5949 2 роки тому +2

    Mhhh leyla

  • @radhiarukemo6150
    @radhiarukemo6150 2 роки тому

    Mtangazaji hujui namna ya kuuliza maswali. Jifunze!!!

  • @najmaulaya2261
    @najmaulaya2261 2 роки тому +2

    Unazeeka sas shost 🥺😂😂

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +5

      Yeye na khadija kopa nani mzee

    • @najmaulaya2261
      @najmaulaya2261 2 роки тому +2

      @@latifaonesmo7629 aache utopolo sas 😀😀

    • @latifaonesmo7629
      @latifaonesmo7629 2 роки тому +6

      @@najmaulaya2261 utopolo unaambiwa ukweli unaongea ujinga kinakushangaza kuzeeka ikiwa binaadam uzaliwa na kukua

    • @najmaulaya2261
      @najmaulaya2261 2 роки тому

      @@latifaonesmo7629 wew mama nimekuambia wew au nimemtukana ushindwe mamnuu tafadhali skit

    • @najmaulaya2261
      @najmaulaya2261 2 роки тому

      Wew hilo neno uzee umeona tusi kahhh unataka kujibizana na mitandao utaumwa naona waumia kkkkkkkkkkk yakukute mwanamke 💊💊💊💊

  • @sharifasalum532
    @sharifasalum532 2 роки тому +2

    mashaallah nampenda Leila

    • @zaienock8113
      @zaienock8113 2 роки тому

      Nakupenda sana leyra hila watu wengi mno wanasema nafafa na wewe hira moyo wang uwa unakupenda mbaka kazi zenu