mbali na kujituma Kwako, urembo wako pia umechangia ufanikiwe.....wasichana wengi warembo hawapendi kujishusha wala kufanya kazi wakitegemea uzuri wao tu, mwisho wa siku wanaishia kuchezewa
Shilole hapa unasema unataka marafiki wa kukufanya uwe na akili ya uchangamfu, siyo wanataka mwende klabu na mitoko ya daily, eti siyo maisha uliyochagua lakini kwa sasa inaonekana ndo maisha unayoishi mara baada ya kutemana na Mziwandah.
Nmekuja kuicheki Leo 2024, February..Baada ya kuona shishi kapost kweny IG page yake.... Hongera Sana Shishi, Maan halisi ya Mwanamke mpambanaji🎉🎉
Alikuwa mwembamba mzuri kwelii… unene mbaya haswaa 😂
We acha tu
@@Ryanzabron yaani mi ndo naangalia leo hii tar 14/6/2024 daaah nawaza sana, Shishi mwili huu ungei maintain jamanii ungeuwaaa
Mi leo ndo naona 21
Kama na wew hii historia imekufundisha kitu gonga like👍twende sawa
Mwanamke akiwa na watoto ambao wanamtegemea yeye lazima awe jasiri kama shilole😊😊 nawapenda wakina mama wote
Bongo Covers nikwli
Bongo Covers nikweli
Shukran kaka ake kwa niaba ya wanawak
Asante
Ahsante sana kaka
Kwel maisha ni kujituma leo 2019 umepiga hatua Mungu ndo muweza wa yote
wow!! 👏👏it's soo encouraging..... ukifanya kazi kwa bidii, Mungu anakuinua...... ubarikiwe sana shilole 💐💐❤❤😘😘
mbali na kujituma Kwako, urembo wako pia umechangia ufanikiwe.....wasichana wengi warembo hawapendi kujishusha wala kufanya kazi wakitegemea uzuri wao tu, mwisho wa siku wanaishia kuchezewa
Sister shilole nakuaminia sana dada , piga kazi team shilole babee
Safiiiii sana role mod wa wadada wanaojitambua
Mungu amekubariki shilole nami napitia majaribu hayo Dada angu
iko sawa sana ,ni story ya vijana wa tz kuifata ,hadikufikia ndoto zetu ni safarindefu sana ,ahsante sana kaka millard ayo
Hongera sana Shilole kwa historia yako nzuri, hakika umepitia kwenye changamoto nyingi za maisha. Mungu akubariki sana lakini unajitambua sana
Hivi shishi yule baba mwenye nyumba aliyekusamehe kodi ya nyumba umewahi kumshukuru kwa chochote?
a hard working woman always lazma afanikiwe.,nakupenda sana shilole yan
Mfano mzuri kwa wanawake,shilole i respect you,God bless you and the work of your hands.
Ingependeza wengine waige au wajifunze kuhoji kama Millad, big up brother.
Anajua sana huyu @millad
Very inspirational, from what you went through, to who your today. WEWE NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA WA KIKE NA KIUME. Hongera Shishi
Hakuna msanii wakike komando kama shilole
Mmh dada hongera
Nimeicheki leo umenifunza kit my 2024 ❤
Ayo .... I was disappointed not to hear the whole story, she is an inspiration.I. love her work more if she came all this long .
your the best women ever seen....shilole may the almighty GOD shower his blessings upon you.
2011 mwishoni nilikutana na shilole na queen darlin hakika walikuwa simple sanaa na walikuwa hawana ubaguzi
Nakupendaga sana we dadaa 💮💯
it teach us more shilole always life without pass in difficult place is not life
Nakupenda sana shishi hongera sana umepitia mbali unajiamini Yaani nimekuelewa natamani kuongea nawe Zaidi km hutojali
Ndio namsikia kwa mara ya kwanza, I'm sold.
Same here
I like this girl Shilole😍
Shilole hapa unasema unataka marafiki wa kukufanya uwe na akili ya uchangamfu, siyo wanataka mwende klabu na mitoko ya daily, eti siyo maisha uliyochagua lakini kwa sasa inaonekana ndo maisha unayoishi mara baada ya kutemana na Mziwandah.
Duh wanyamwezi kwangumi nooooma kama unakubaliana na hilo like hapa
Milad ayo big up kaka kwa kzi nzuri
Nakupenda sasa Dada hangu shilole hongera sana kwa ujasir ulonao
Hongera Sana shilole kwa kuonyesha ujasiri wa kimaisha
upo vizuri shilole nakupenda bure
Ray hajakungonga kweki
Hongerah saba Shilole. Today is 2024, uko mbali. Ni binti wa luogwa.
Luv her life story
juma hatibu me too
Shilole karikuwa karembo jamanini 😘😍😍
congratulate my daer blessing u for all work! love u mmwaaaaaaaaaaaaaa!
Kumbe wewe bouncer hutaki mchezo nimekupenda sana shishi your like me but wewe ni shujaa
jaman nimempenda bure shishi
naomba mnisaidie namba yake,shilole anamoyo anaweza nisaidia
na mm pia napenda kuimba,na ninajua
millard yeye anauliza tu 'mwaka gani hiyo"
Wallah interview za wabongo czipendi hata kdg ila story ya shilole nimeipenda sana very inspirational
Da shilole nakupenda bule
dats awesome interview
Leo July 2024
Ila Zuwena mashine yako ishatumika sana MashaAllah
😍😍😍😍😘😘😘 nakupenda bure ❤️ shilolee
Thanks Millard
nakupend shish bebi hakuna ambacho unanpag moyo kam uchesh wako tu na uchapakazi.kaz na malengo
Namlaumu Sana mwanaume aliykuach mwanamk mweny akili I love you shishi
hongera shishi mungu akuzidishie.
Shilole Allah azidi kukuinua zaidi
that lady is beautiful
I always loved her now I know why
Shishi.nakupenda.san.kwasababu.wew.nimwanamuke.wakujitum
Nakupendaa my xhilolee
Shilole Shilole, sio kila mtu anaeweza kujishootia video....
Much love
I love you shishi I'm proud of you,keep going my sisy we're together
Shirole asate mwanamke nikujituma siyo umalaya mwenyezi mungu awe nashirole uriyapitiya sayangu
Kembamba ila sauti yake aipote aipotei ongera sana dadang.pambana safari bado
nice interview
Nani anaicheki hii 2021 to 2022
Hongera sana
Nakupenda San
Una bidii sana
kumbe umepitia mazito hiv daaah poule saana
Daaaahhhh unanifanya nizidi kujituma shish
shilole nakupenda
Dd shishii waoooo
Nakupenda shishi
impressive
Hongera
Millard Ayo nakukubali
Safi Sana shishi
Nakupenda xana ww dada
hongera shishi
shishi nakupenda xana my sicter
Love you shishi
safi dada yetu
2023 boom youtube reccomended it after 7yrs
Hii nzuri
Millard oyee wewe niku uliz mwaka gani Sasa hhhh
Upambanaji huku anza leo💛💛💛
Maiaha,pole pole ni mwendo
nakuona mwaya pole sana na msiba was mzazi mwenza
Nimekupenda sana shish, wewe ni jasili sana
Duuh shilole umetoka mbali san mungu wangu unamkumbuka huyo mwenye nyumba alie kustir eey
waooo it's nice story!
Unaongea vizuri waoooo
♥️♥️♥️
Naomba no.yako da shilole
Nakupenda lakini hio miaka unanichanganya shish
MIMI NIMEKUJUA KWENTE TAMAA MBAYA YA 20% . WALA SI KWINGINE
so interesting
Hongera dada namba namba zako
Ni ka zurii hivi kumbe jamani
Kalikua kazuri zamani lakini sasahivi kama m.buyu
Mungu ari nishidania namiye sinasha yoyote
👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼
Unakunywa bia? Hapana cnywi pombe. ila mzuri MashaAllah
shilole mh kwakwel ni shiida dada pole
love u shishi baby
Big up ss,wengi wamepitia life hilo though not open cz not yet successful enough,ongera sana mama,yote yanawezekana Kwa imani na Kwa malengo.
,nakupenda bure
Tunao angalia Tena hii interview 2024 tujuane
Ongera xana mama
nakupenda namie natamaniniwe hiv
Swaumu Mohamed hngra xana dada