TAFSIR YA NDOTO YA KUCHOTA MAJI AU KUONA MTO | UNAONESHA KUWA NA RIZKI NYINGI YENYE KUENDELEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Tafsiriyandoto

КОМЕНТАРІ • 45

  • @hamisijuma3362
    @hamisijuma3362 3 роки тому +2

    Asante shekhe tunajifuza mengi kupitia ww shekhe mungu akupeni kheli nyingi mashekhe kwa darassa zenu

    • @ndotoyangumaishayangu1907
      @ndotoyangumaishayangu1907 3 роки тому

      Shukran sana

    • @clarecynicholausy7538
      @clarecynicholausy7538 3 роки тому

      Asallam alekum,nimeota niko sehem ambay siifaham na niko na mtot mdog wa kike ambaye si wangu nikaona mferej weny maji nikamchukua yule mtoto nikamuwek kweny maji,kisha nikamtoa kugeuka nyuma nikamuon baba yang na hapo alipokua kulikua na mto wa maji malapa ya yule mtot niliyekua naye yakabebwa na maji nikatak kuyafuat lakin nikashindwa yakabebwa na maji je maan yak ni nini?

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 роки тому

    Assalamu alaykum sheikh shukran kwa kutujaaliy elimu hii bure bila ya malipo allah azidi kukuongozea mambo yako kila siku katik maish yako yoote amn

  • @yaldiahafricanbeuaty1470
    @yaldiahafricanbeuaty1470 11 місяців тому

    Mimi nimeota ndoto tatu tofauti kuhusu kitinda mimba wangu akizama kwa maji.nikaongiwa na wasiwasi

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 3 роки тому +1

    Ndoto nyingiii mpk zinakuchanganyaaaa aiseee

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 3 роки тому +1

    Assalam Alaikum warahmatullah wabarakatuh....jaman sheikh akizingumziaa kitu juwa ni kwa jumla kama mto haijalishi unaogelea au unafua ...iyo ni kwa ujumla ....muhimu nikuiskiliza mpaka mwisho .

  • @Lailal-bg8di
    @Lailal-bg8di 3 роки тому +2

    Asalamalaykum warhamatullah warhamatullah

  • @fatimaahamed9829
    @fatimaahamed9829 2 роки тому

    Sawa

  • @aishaadam-xp7yl
    @aishaadam-xp7yl День тому

    Mm nimeota nip chota maj

  • @saphiamoleli
    @saphiamoleli Рік тому

    Asalaam aleykum sheikh ukiota umechota maji kichwani Kisha yakamwangika inamaana gani,

  • @aloycestevensimba1942
    @aloycestevensimba1942 5 днів тому

    Nimeota mvua inanyesha chumbani kwangu tu shekhe, hii inamaana gani?!

  • @HusseinRamadhan-by4xf
    @HusseinRamadhan-by4xf Рік тому

    99

  • @omarhamad9489
    @omarhamad9489 2 роки тому

    Aslam alaykum ustadh mimi ni kuulize kama mtu anatoa sana ana safiri ktk bahari na baadhi ya siku mtu huyo huota bahari ni imechafuka sana mawimbi makubwa mnoooo nini maana yake

  • @bashirabdalla2843
    @bashirabdalla2843 2 роки тому +2

    Je nimeona MTO na namuingiza mtoto huku nimemzuia asende na maji hayo

  • @alicenagule2836
    @alicenagule2836 Рік тому

    Nimepita kwa maji chafu yenye yanatoka kwa mto wenye umefurika lakini nikatoka salama

  • @lucygawi7425
    @lucygawi7425 2 роки тому

    Asalamu aleikum, mimi niliota mto niki vuka nikiwa nawezangu ilanilipofika katikati nikaskia kunakitu kime ishika mguu kwangalia nikapata ni mtoto mdogo kijana nikam hukua na tuka vuka na yeye kumbe aukua amekufa alikua hai nanikavukana yeye

  • @eliasimakange8431
    @eliasimakange8431 2 роки тому

    Salaam aleku shekh mimi nimeota nipo kwenye mto mkubwa tu nachota maji lakini kuna ng'ombe wamefia ndani ya mto nikawa nasita kuyachota maji hayo

  • @eufranciacarory1562
    @eufranciacarory1562 Рік тому

    Mm nimezoea kuota nachota maji kisiman

  • @theresiandumbaro7862
    @theresiandumbaro7862 11 місяців тому

    Ukiota maji ya bahari yanaanza kuja kwako yalienda mbali

  • @theodoralameck2786
    @theodoralameck2786 3 роки тому

    Assalam Alaikum warahmatullah wabarakatuh.. jamani mimi nimeota nimetelezea kwenye mfereji wenye maji mengi yanapita kwa kasi nikazama lakini nilitoka bila kujua nimetokaje hii ina maana gani?

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 2 роки тому

    Asalam alaykum:sheikh mi nimeota niko shule nafanya mtihani lakini msimamizi alipokusanya majibu karatisi yangu akaikunjakuja bila kuingalia manaake nini sheikh

  • @FamiyaKashindi-hk5pu
    @FamiyaKashindi-hk5pu Місяць тому

    Nime ota Leo nime vuka mto alafu wenzangu wajawa na chota maji ma Safi Mimi nikabaki na fuwa alafu bahadaye Nika jiona nilikuwa na jisaidiya karibu nashimo ilikuwa sehemu ya pori namwenye ameniona ni PASTEURE na nimetowa chokidogo tu alafu Nika jiona Tena wenzangu wameniacha sikufanya ibada na tuko na ibana wa mkutano Leo nanimeota sikuimba nime Baki mahana ya iyo ndoto ni Nini??

  • @AshuraSaidy-fz1hv
    @AshuraSaidy-fz1hv Рік тому

    Kuota unatembea kwenye mawe na maji kama mto vile lakini hayo maji yametulia na masafi anapandisha juu nyuma yake Kuna mwanaume anamfuata na kisha wakafika wakakuta mji mwenye mji akamkaribisha yule mama nayule baba akamwambia aondoke nn maana yake shekhe

  • @jacklineakoth1016
    @jacklineakoth1016 3 роки тому

    Salam aleikum,, nimeota ati maji ya mtoni inateremka na manguo Zangu najaribu kuoka lakini zingine zilienda na maji iyo manake Nini

  • @mariamkuwayawaya17
    @mariamkuwayawaya17 2 роки тому

    Nimeota nimebebwa kwenye baiskel tukakutana na maji

  • @Sheilawesonga-yu8lq
    @Sheilawesonga-yu8lq Рік тому

    Mm niliota na nyoka mdogo ina maana ngaani

  • @shakilaandalia6739
    @shakilaandalia6739 2 роки тому

    assalam aleikum mm nmeota kwamba mama mzazi ameteleza kwa mto na maji yakampeleka n nini maana yake.

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 3 роки тому

    Assalamu alaikum , sheikh Mimi nimeota , nimekwenda kwenye MTO lkn sikuingia humo kwenye MTO na nikawa nachota maji na kijimwagia nn maana yake

  • @qambalalkonky2574
    @qambalalkonky2574 Рік тому

    Nimeota nimeenda mtoni kutawaza bahati mbaya nakutana namtu waajabu akilinda vitu vya thaman mton akasema endelea ila ukigusa utagatwa na nyoka

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 Рік тому

    Mimi sikumbuki ndoto nikiota

  • @yasintacharles6057
    @yasintacharles6057 Рік тому

    Nimeota nachota maji

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 2 роки тому

    Ustaadh niliota MTO tulikua tunataka kuruka lakini Mtoto nataka kumwambia asiruke kwasababu maji nimengi sana akajitupa ndani ya maji hayo akawa amezama ikabidi niende kumuokoa nikatafuta nika mkuta kalala chini ya maji nika mtoa

  • @awadhiabood5388
    @awadhiabood5388 3 роки тому

    Mie nimeota mto nauwon lakin mto kwa mbali siwez uvuka ni maeneo ya nyumban nin maana yake?

  • @rotundajane3426
    @rotundajane3426 3 роки тому

    Na uki ota ume ona muto mkubwa sana na uka ona samaki kwa iyo mto

  • @khadijaabdallah4547
    @khadijaabdallah4547 3 роки тому

    Naitwa khadija mimi nimeota nachota maji kisimani lakini kila nikikanyaga panabonye yani kutitia tafsiri yake ni nn

  • @allyally3209
    @allyally3209 3 роки тому

    Assalam shhe naomba unisaindie kunitafasiria hii ndoto. Ya kuwa nilikuwa natembea nikakuta. Mto. Nikaingia ndani ya hayo maji ili nipite kwenda upande wa pili. Nikiwa katikat nikakutana na mwanaume lkn alikuwa mlemavu akapitia sehemu yenye kina nikajisemea kuwa mm kumbe pale pana kina kilefu. Ila kama nilikuwa naenda kufanya kazi za shaba vile nini maana yake

  • @joyceshiyo7257
    @joyceshiyo7257 Рік тому

    Me napata navuka mto wenye maji mengi nimebeba mtoto

  • @MONA-zq6pu
    @MONA-zq6pu Рік тому

    Ywr121

  • @fauziasaid1578
    @fauziasaid1578 3 роки тому

    Shekh naomba unitafsiriye ukiona mtu yuko na mtoto

  • @annmamakesymon1678
    @annmamakesymon1678 2 роки тому

    Kuoto umeona mtu amembemba mtungi wa maji maana yake ni nini?

  • @dr.barasaaugustine7553
    @dr.barasaaugustine7553 Рік тому

    Niliota maji, kizimani, naenda kujota maji mtoni nikutumie mtungi, hiyo yamaanisha Nini?

  • @salummzee8908
    @salummzee8908 3 роки тому

    yatatu niliota na kweli ulivyo fasir