NDOTO | UKIOTA KISIMA HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 64

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 3 роки тому +8

    Asante nashukuru sana shekhe kwakunifasiria njozi yangu Mwenyezi Mungu akufungulie milango yako duniani na Ahera

  • @HabibuMiraji-u6r
    @HabibuMiraji-u6r 10 місяців тому +1

    Uwee unaenda kwenye nada Moja kwa Moja kulko kuitumia mda mwingi

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897

    MashaAllah tabarakaAllahu..shukran kazzakh Allah kheir

  • @jamilaadamu5503
    @jamilaadamu5503 2 роки тому

    Asante sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nukta ya 16 ndo niloota mm nashukuru sana kwa kunitafsiria

  • @latefalatefa2664
    @latefalatefa2664 3 роки тому +1

    Yaani katika maostadhi wanaofundisha vizuri kuhusu njozi wewe ni namba moja najutia kwanini sikukujua mapema Mwenyezi Mungu Akulinde ilituendelee kunufaika sisi tusiyo jua kufasiri njozi

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Alhamdulillah shukran sheykh allah akulinde na kilashari

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق Рік тому

    Masha Allah Shukraan

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 роки тому

    Waalaykumu ssalam warahmatullwahi wabarakatuh shukran

  • @teddymnange2499
    @teddymnange2499 2 роки тому +1

    Asante Sana kwa kutafisiri ndoto yangu

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 4 роки тому

    Naam mashaa Allah tabarakallah jazakallahu kheri shekh

  • @BoscoNchembo-js7nh
    @BoscoNchembo-js7nh Рік тому

    Sheikh Mimi nimeota nachota Maji kisimani ghafla nikamuona Mtoto wangu wa kiume kadumbukia ila anapumua yuko hai nikaacha kuchota nikaenda kuita watu waje wamtoe nikashtuka

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 4 роки тому

    Maa shaaa Allah

  • @francisdonald4298
    @francisdonald4298 2 роки тому +14

    Ingependeza zaidi kama ukienda kwenye mada tu maana sio kila mtu anapenda kusikia mambo mengine mengi isipokua lililomfanya atizamw video hii

    • @vickywingstone3551
      @vickywingstone3551 Рік тому +1

      Asante kabisa

    • @shamimsunura
      @shamimsunura Рік тому +1

      Uyu baba anaongea Sana jmn huwa atutak

    • @SalmaMsikiti-lu5eb
      @SalmaMsikiti-lu5eb Рік тому +1

      Ukisema hivyo unakosea sana kwani sikila MTU anapenda upendalo wewe laa jaribu kuwa na hekima katika kauli zako

    • @francisdonald4298
      @francisdonald4298 Рік тому +1

      @@SalmaMsikiti-lu5eb ni kauli ipi ambayo nimenena hapa iko nje ya hekima???

    • @francisdonald4298
      @francisdonald4298 Рік тому

      @@SalmaMsikiti-lu5eb maana katika kauli yangu hamna tusi nmetoa mawazo yangu ..kwahiyo nawe tafadhali jitahidi sana kuheshimu mawazo ya wenzio....nadhani hata maana ya neno HEKIMA huijui

  • @SCHOLALUKENZA
    @SCHOLALUKENZA 5 місяців тому

    Nimeota mtoto wangu na wajirani wametumbukia kwenye karo la maji akaja mchungaji akamtoa wa kwangu wajirani akawa ameza Yani wamekufa wote

  • @kanisiamkoko7051
    @kanisiamkoko7051 3 роки тому +3

    Mbona maswali haujibu??

  • @arjenarjen6718
    @arjenarjen6718 2 роки тому +1

    Mimi nilimuona mama yangu anatumbukia katika kisima na Mimi nikamfata ili kumuokoa nikafanikikiwa kumuokoa bado akiwa mzima je ni maana yake

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @rahmaabdallah9220
    @rahmaabdallah9220 4 роки тому

    shekh mie nimeota nimepanda farasi na pia niliota naoga baharini lakini nilikuwa na wenzangu na mle baharini vitu vile nilikuwa navipata mimi tu wale wenzangu hawapati kitu kumaanisha wao hawavioni

  • @salmahemed6039
    @salmahemed6039 2 роки тому

    Asant uwe unaenda kwe mada moja kwa moja

  • @MuwezaNathan
    @MuwezaNathan 6 місяців тому

    Mimi nimeota nimenunua kiwanja juu ya maji ya kisima nn maana?

  • @user-bs9rf5fw8x
    @user-bs9rf5fw8x Місяць тому

    Sheikh unafasili vizuri ila jitaidi kupunguza maneno

  • @مركزمصادرالتعلمبمدرسةروضةعمان

    Tunauliza halaf hatujibiwi

  • @fatumamwaveso247
    @fatumamwaveso247 3 роки тому

    Shekh mm nmeota nmebeba Maj kichwan nikamimin kisman ulikua kism kimekauka san

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma7432 2 роки тому

    Asalam aleykum shegje nimeota mkewangu ametumbukia kisimani kwahiyo nilikua natafuta namna yakumtoa

  • @امينه-ط7ل
    @امينه-ط7ل 5 місяців тому

    Asalamu aleiku shee nimeota nimekanyaga maji machafu dani yake kuna grass ya maji

  • @nassoromwakuchengwa6817
    @nassoromwakuchengwa6817 22 дні тому

    Shekhe bana unachugua mda mwingi kuzungumza xna kma uko kwenye membar nenda kwenye madam makhsus khairul kalami ma kala wadala

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 4 роки тому

    Shekhe mimi nimeota mtoto wangu wakiume amedumbukia kisimani akawaanapiga mayowe nikasikia nikaenda kumuokoa nikatumbukiza kata ya kuteka maji nikamuokoa nakisima kilikuwa kinatoachemichemi maji mazuri meupe sana jenini maana yake

  • @groliarafaeli7232
    @groliarafaeli7232 Рік тому

    Mmi nimeota nakimbizwa na mtu nikakutana na kisima njiani nikadumkia kwa ajili ya kujificha maji yalikua machafu alafu machache nikokamo nikaenderea kukimbia

  • @ibrasalum9606
    @ibrasalum9606 10 місяців тому

    Skuiz hamtoi tena tafsir, maana mm nimekua muhanga wa aina nyingi wa hiz ndoto tena kwa mda mrefu

  • @pendopenias5617
    @pendopenias5617 Рік тому

    Mm nimeota nadumbukiza pesa kisiman

  • @venerandamasunga6789
    @venerandamasunga6789 3 роки тому +1

    nimeota ninamtoto wakiume anakichwa kikubwa na pale nilipokuwa nimekaa nikimshangaa akaja mtt wa kakangu akadunbukia kwenye kisima cha maji sio mengi

  • @dorcasmueni3221
    @dorcasmueni3221 2 роки тому

    Na ukiota unachoka maji kisimani na hayo maji n masafi lkn ukibeba Hayo maji n msito Sana

  • @IdayaMgaru
    @IdayaMgaru 11 місяців тому

    Nimeota mtoto kadumbukia kisimani lkn nimeshindwa kumuokoa ila kuna mkaka kamuokoa

  • @jumahagai9013
    @jumahagai9013 3 роки тому

    Mim nimeota nachimba kisima kikajaa maji mazuri nilitaka kupanda mmea umo lakini nikaotesha pembeni mgomba ulistawi

  • @Latifasaid-o8f
    @Latifasaid-o8f 2 місяці тому

    Maongez mengi punguza

  • @o6o9o6o9
    @o6o9o6o9 Рік тому

    Shekhe upo vzr tafasili zako tatizo unaongea sana nje ya mada

  • @FarhatMohd-dr9lu
    @FarhatMohd-dr9lu Рік тому

    Shekhe naomba unitafrie ndoto yangu hio ya kisima nimeota naiota Kila mara mtoto wangu anadumbukia kisimani na pia naota mdogo wangu mwa kiume amedumbukia kisimani mm natapatapa

  • @agnesschoculate6884
    @agnesschoculate6884 3 роки тому

    Shehe nimeota nachota maji ndani ya kisima na kuna mwenzangu anapoyapokea hayo maji lakini katika kuchota maji mwenzangu alikuwa na nia mbaya alitaka kuniua ndani ya kisima lakini mungu saidia nilitoka na kuanza kupigana na huyo kijana nikamshinda nini maana yake nisaidie

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 2 роки тому

    Nilikua nakimbia nikaanguka kisimani kimejaa maji bt nilieda chini ya hile maji nikapata iji kafu

  • @qatardoha9378
    @qatardoha9378 3 роки тому

    Sheikh ukiota ndoto mtoto yko amefariki inamanisha nn sheikh?

  • @hyasintashayo644
    @hyasintashayo644 Рік тому

    Nimeota kisima kina maji masafi yaliyotulia na maji take hayajajaa hadi juu, maana take ni nini?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 роки тому

    Sheikh nimeota namuokoa mtu kwenye kisima lakini huyo mtu alikuwa anajiokoa mwenyewe mara mbili na akawa anaanguka mara ya tatu alivyofika juu nikamsaidia kuokoka na ajali ya kisima

  • @froridaanthony3278
    @froridaanthony3278 3 роки тому +2

    mbona ujatafsili mtu akichota maji kwenye kisima eheee

  • @neemaegnatio7725
    @neemaegnatio7725 2 роки тому

    Mie hata siwaelewagi

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 3 роки тому

    Assalamu alaikum shekhe Mie nime ota nafua chini ya kisima,lkn hicho kisima kilikua kimefunikwa Kwa juu ,sasa pale juu palikua na mtoto ,mara nikaona kinabomoka nikamuindoa Yule mtoto ,baada ya kumuondoa Tu kikamalizika kubomoka nikaona Yale maji mazuri Sana ,je nini maana yake?

  • @ahmedseif1125
    @ahmedseif1125 4 роки тому

    Ukiota unakunywa pombe na mwanao kabla mtoto hajanywa akaitwa akasema niwekee nakuja ila mimi nikanywa tafsiri

  • @munirafaki8588
    @munirafaki8588 3 роки тому +2

    Nukta ya kumi na sita

  • @hadijaramadhani3553
    @hadijaramadhani3553 3 роки тому

    Nimeota kisima watu wanaoshwa wakwaza kutoka mtoto

  • @ashurasaid5017
    @ashurasaid5017 2 роки тому

    Samahani shekh nn maana ya kuchota maji kwenye kisima tusaidie shekh

  • @nyotajada4263
    @nyotajada4263 2 роки тому

    Tatizo sara nyingi duuuh