Yaani katika maostadhi wanaofundisha vizuri kuhusu njozi wewe ni namba moja najutia kwanini sikukujua mapema Mwenyezi Mungu Akulinde ilituendelee kunufaika sisi tusiyo jua kufasiri njozi
Sheikh Mimi nimeota nachota Maji kisimani ghafla nikamuona Mtoto wangu wa kiume kadumbukia ila anapumua yuko hai nikaacha kuchota nikaenda kuita watu waje wamtoe nikashtuka
@@SalmaMsikiti-lu5eb maana katika kauli yangu hamna tusi nmetoa mawazo yangu ..kwahiyo nawe tafadhali jitahidi sana kuheshimu mawazo ya wenzio....nadhani hata maana ya neno HEKIMA huijui
shekh mie nimeota nimepanda farasi na pia niliota naoga baharini lakini nilikuwa na wenzangu na mle baharini vitu vile nilikuwa navipata mimi tu wale wenzangu hawapati kitu kumaanisha wao hawavioni
Shekhe mimi nimeota mtoto wangu wakiume amedumbukia kisimani akawaanapiga mayowe nikasikia nikaenda kumuokoa nikatumbukiza kata ya kuteka maji nikamuokoa nakisima kilikuwa kinatoachemichemi maji mazuri meupe sana jenini maana yake
Mmi nimeota nakimbizwa na mtu nikakutana na kisima njiani nikadumkia kwa ajili ya kujificha maji yalikua machafu alafu machache nikokamo nikaenderea kukimbia
Shekhe naomba unitafrie ndoto yangu hio ya kisima nimeota naiota Kila mara mtoto wangu anadumbukia kisimani na pia naota mdogo wangu mwa kiume amedumbukia kisimani mm natapatapa
Shehe nimeota nachota maji ndani ya kisima na kuna mwenzangu anapoyapokea hayo maji lakini katika kuchota maji mwenzangu alikuwa na nia mbaya alitaka kuniua ndani ya kisima lakini mungu saidia nilitoka na kuanza kupigana na huyo kijana nikamshinda nini maana yake nisaidie
Sheikh nimeota namuokoa mtu kwenye kisima lakini huyo mtu alikuwa anajiokoa mwenyewe mara mbili na akawa anaanguka mara ya tatu alivyofika juu nikamsaidia kuokoka na ajali ya kisima
Assalamu alaikum shekhe Mie nime ota nafua chini ya kisima,lkn hicho kisima kilikua kimefunikwa Kwa juu ,sasa pale juu palikua na mtoto ,mara nikaona kinabomoka nikamuindoa Yule mtoto ,baada ya kumuondoa Tu kikamalizika kubomoka nikaona Yale maji mazuri Sana ,je nini maana yake?
Asante nashukuru sana shekhe kwakunifasiria njozi yangu Mwenyezi Mungu akufungulie milango yako duniani na Ahera
Uwee unaenda kwenye nada Moja kwa Moja kulko kuitumia mda mwingi
MashaAllah tabarakaAllahu..shukran kazzakh Allah kheir
Asante sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nukta ya 16 ndo niloota mm nashukuru sana kwa kunitafsiria
Yaani katika maostadhi wanaofundisha vizuri kuhusu njozi wewe ni namba moja najutia kwanini sikukujua mapema Mwenyezi Mungu Akulinde ilituendelee kunufaika sisi tusiyo jua kufasiri njozi
Ila hajibu SMS zetu
Alhamdulillah shukran sheykh allah akulinde na kilashari
Masha Allah Shukraan
Waalaykumu ssalam warahmatullwahi wabarakatuh shukran
Asante Sana kwa kutafisiri ndoto yangu
Naam mashaa Allah tabarakallah jazakallahu kheri shekh
Introduction unachukua mda mtu ansngoja anachoka aki
Sheikh Mimi nimeota nachota Maji kisimani ghafla nikamuona Mtoto wangu wa kiume kadumbukia ila anapumua yuko hai nikaacha kuchota nikaenda kuita watu waje wamtoe nikashtuka
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
Maa shaaa Allah
Ingependeza zaidi kama ukienda kwenye mada tu maana sio kila mtu anapenda kusikia mambo mengine mengi isipokua lililomfanya atizamw video hii
Asante kabisa
Uyu baba anaongea Sana jmn huwa atutak
Ukisema hivyo unakosea sana kwani sikila MTU anapenda upendalo wewe laa jaribu kuwa na hekima katika kauli zako
@@SalmaMsikiti-lu5eb ni kauli ipi ambayo nimenena hapa iko nje ya hekima???
@@SalmaMsikiti-lu5eb maana katika kauli yangu hamna tusi nmetoa mawazo yangu ..kwahiyo nawe tafadhali jitahidi sana kuheshimu mawazo ya wenzio....nadhani hata maana ya neno HEKIMA huijui
Nimeota mtoto wangu na wajirani wametumbukia kwenye karo la maji akaja mchungaji akamtoa wa kwangu wajirani akawa ameza Yani wamekufa wote
Mbona maswali haujibu??
Mimi nilimuona mama yangu anatumbukia katika kisima na Mimi nikamfata ili kumuokoa nikafanikikiwa kumuokoa bado akiwa mzima je ni maana yake
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
shekh mie nimeota nimepanda farasi na pia niliota naoga baharini lakini nilikuwa na wenzangu na mle baharini vitu vile nilikuwa navipata mimi tu wale wenzangu hawapati kitu kumaanisha wao hawavioni
Asant uwe unaenda kwe mada moja kwa moja
Mimi nimeota nimenunua kiwanja juu ya maji ya kisima nn maana?
Sheikh unafasili vizuri ila jitaidi kupunguza maneno
Tunauliza halaf hatujibiwi
Shekh mm nmeota nmebeba Maj kichwan nikamimin kisman ulikua kism kimekauka san
Asalam aleykum shegje nimeota mkewangu ametumbukia kisimani kwahiyo nilikua natafuta namna yakumtoa
Asalamu aleiku shee nimeota nimekanyaga maji machafu dani yake kuna grass ya maji
Shekhe bana unachugua mda mwingi kuzungumza xna kma uko kwenye membar nenda kwenye madam makhsus khairul kalami ma kala wadala
Shekhe mimi nimeota mtoto wangu wakiume amedumbukia kisimani akawaanapiga mayowe nikasikia nikaenda kumuokoa nikatumbukiza kata ya kuteka maji nikamuokoa nakisima kilikuwa kinatoachemichemi maji mazuri meupe sana jenini maana yake
Mmi nimeota nakimbizwa na mtu nikakutana na kisima njiani nikadumkia kwa ajili ya kujificha maji yalikua machafu alafu machache nikokamo nikaenderea kukimbia
Skuiz hamtoi tena tafsir, maana mm nimekua muhanga wa aina nyingi wa hiz ndoto tena kwa mda mrefu
Mm nimeota nadumbukiza pesa kisiman
nimeota ninamtoto wakiume anakichwa kikubwa na pale nilipokuwa nimekaa nikimshangaa akaja mtt wa kakangu akadunbukia kwenye kisima cha maji sio mengi
Na ukiota unachoka maji kisimani na hayo maji n masafi lkn ukibeba Hayo maji n msito Sana
Nimeota mtoto kadumbukia kisimani lkn nimeshindwa kumuokoa ila kuna mkaka kamuokoa
Mim nimeota nachimba kisima kikajaa maji mazuri nilitaka kupanda mmea umo lakini nikaotesha pembeni mgomba ulistawi
Maongez mengi punguza
Shekhe upo vzr tafasili zako tatizo unaongea sana nje ya mada
Shekhe naomba unitafrie ndoto yangu hio ya kisima nimeota naiota Kila mara mtoto wangu anadumbukia kisimani na pia naota mdogo wangu mwa kiume amedumbukia kisimani mm natapatapa
Shehe nimeota nachota maji ndani ya kisima na kuna mwenzangu anapoyapokea hayo maji lakini katika kuchota maji mwenzangu alikuwa na nia mbaya alitaka kuniua ndani ya kisima lakini mungu saidia nilitoka na kuanza kupigana na huyo kijana nikamshinda nini maana yake nisaidie
Nilikua nakimbia nikaanguka kisimani kimejaa maji bt nilieda chini ya hile maji nikapata iji kafu
Sheikh ukiota ndoto mtoto yko amefariki inamanisha nn sheikh?
Nimeota kisima kina maji masafi yaliyotulia na maji take hayajajaa hadi juu, maana take ni nini?
Sheikh nimeota namuokoa mtu kwenye kisima lakini huyo mtu alikuwa anajiokoa mwenyewe mara mbili na akawa anaanguka mara ya tatu alivyofika juu nikamsaidia kuokoka na ajali ya kisima
mbona ujatafsili mtu akichota maji kwenye kisima eheee
Mie hata siwaelewagi
Assalamu alaikum shekhe Mie nime ota nafua chini ya kisima,lkn hicho kisima kilikua kimefunikwa Kwa juu ,sasa pale juu palikua na mtoto ,mara nikaona kinabomoka nikamuindoa Yule mtoto ,baada ya kumuondoa Tu kikamalizika kubomoka nikaona Yale maji mazuri Sana ,je nini maana yake?
Ukiota unakunywa pombe na mwanao kabla mtoto hajanywa akaitwa akasema niwekee nakuja ila mimi nikanywa tafsiri
Nukta ya kumi na sita
Nimeota kisima watu wanaoshwa wakwaza kutoka mtoto
Samahani shekh nn maana ya kuchota maji kwenye kisima tusaidie shekh
Tupo wengi
Tatizo sara nyingi duuuh