UKIOTA NDOTO YA NYUMBA | NA YANAYOHUSIANA NA NYUMBA | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- UKIOTA NDOTO YA NYUMBA | NA YANAYOHUSIANA NA NYUMBA | HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDuaTv
Kaz nzur sana ..lakn jitahid uweunajib comments za watu .
Alhamdulillah sheikh
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Shukran jazakaallah kheir mungu akujalie umri na afya
Waalaykumsalaamwarahmatu llaah wabarakatuh. amina yaarabiy
Alhamulilah niliota najenga tena nyumba ghorofa na imefika kweye paa kabisa na niko kwenye hiyo nyumba na fundi yuko juu ,mm nimeenda na daftari kuandika mahitaji ya fund anataka .Alhamdulilah
Shukran
Asalam alekum shekhe mimi nmeota kaka angu amejenga nyumba na amenipa ile nyumba ananiambia nasubir iishe vizuri nikukabithi
Asantee shelkh
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubariki
Amina yaarabiy
Maa Shaa ALLAH Shukran Sheikh
Mashaallah
Axlm alkm shekh mimi naota mara kwa mara nyumba inavuja hadi kitanda cha lowa
Asalam alykum Mimi shehe nimeota nyumba yangu imetandwa na mbui lakini nikawa natowa zile nyuzi za mbui nasafisha
Allah akupe kila LA kheri chehe wetu
Asww sheikh nimeota nimejenga nyumba ya kwetu kwa muze Sasa nyumba hiyo ilikuwa vizuri sana wenye tunatoka tumbo Moja wamaja kwingia wakaja kuingia wakanambia umejenga vizuri mudogo wetu ikabidi tuingie kwenye nyumba hiyo tumefurahi nikasema hiyi nyumba niyeyu basi tufurahiye
Barakalahu fiku walai
Uko vizuri nimeota ndoto nimenunuliwa nyumba nzuuuri sana Ila vyote ulivyo visema nisahihi kwasbabu nataka nioe Ila pia kaka ndo atanisaidia mahari na Leo eti kaninunulia nyumba nzuuri Ila kunamlango Wa Siri nikaufungua nikaingia ndani kuzuri sana Ila hakuna mwanga nikawasha taa yaa simu kuzuuri
Amina yaarab
Assalam alaykum.. sheikh mimi naota mara kwa mara kua baba angu anajenga nyumba kubwaa nzuri.. ila haijawahi kumalizaa.. ila huwa nafurahi sanaaa kumbe ni ndoto. Nisaidie
Hyo nikama mm nmeota baba anajenga
MashaAllah nakupenda sana maana me unanitabilia mambo mazuri sana naleo yanatokea kwangu
Asalamu aleykum
Jee shekh ikiwa umelala ukaota unapigiwa hodi na akaend mume wngu kuitikia hodi kurudi nikaona amerudi na kubadilika gjafla akawa ananikaba
Nimeogopa
Asalam aleikum warahmatullah wabarkat..!! Nmeota napita njiani mtaani huku Qatar kisha nikaona nyumba ya gorofa inajengwa mafundi ni wengi sana na gorofa imefikia gofora ya tatu kisha ghafla ikaporomoka na mafundi wote wakafunikwa na hilo jengo mawe na vyuma ila hamna ata binaadamu yoyote alieonekana baada ya kuporomokewa na hilo gorofa....naomba unisaidie kunijibia hii ndoto
Mimi nimeota kwamba wanajenga nyumba Kijijini kwa rafik yangu mara mbili inamaana gan sheikh
Shekh mi nimeota nyumba kubwa sana gorofa kumbwa Kwa jirani Yangu marehem Ila alojenga simjui baina ya nyumba ya marehem na nyumba yetu Ila natoka safari lile gorofa naliona Kwa mbali Ila halijatenhezwa nje tofali Tu zipo kama tofali hazina palasa ia jmba jumaba kubwa sana
Asalam alaykum shekh mm nimeot nyumba ambyo nilihama zaid y mwak n nimeota zaid y Mar 1 wkt kipnd ch nyuma sikuwa naiota
Sheikh nimeota Mimi natoka kuchota maji kisha nilipokaribia nyumbani nikaona Ile nyumba yetu inatoa ishara za kuanguka na ndani mlikua na mama na mtoto wangu nikawaita haraka nikawambia tokeni haraka nyumba yataka kuanguka
Alhamdulillah 😪😪😪 jana tu alafu leo naangalia tafsiri hii. . mm nmeota nipo ndani ya chumba kijoja tu tena nipo na Mama yangu ni mbali na makazi ya watu yaani ni shambani kabisaa tunalimaga mpunga ni mbali mno na kijiji kilipo 😪😪😪 Alhamdulillah .. Kisha nikamwambia Mama yangu mbona amejenga nyumba mbali mno alafu ni porini akanijibu ni bora kukaa mbali na familia ambayo wanamnyanyasa na hayupo tayari kurudi mjini kabisaa
Pole ndugiangu mungu yuwkpnda kkupa hbr zdsha maombi
@@dab8859 ahsantee nashukuru
Interview ya babalevo na wasaftv
Mungu akujaze kheir
Ulipata maana yakeyakeyake
Asante sheikh ila nmeota kua nipo shule ila tulikua tuko wengiii na wasio walim Sasa tukapewa Kaz ya shamba mie nikaomba ruhusa ya kwenda kutafuta funguo yangu nilioipoteza Sasa nimeitafuta nimeipata nikarud kufungua nikaingia ndan et ndan ya nyumba iyo hakujamalizwa kujengwa nikawa namwagilia maji naomba unifahamishe ndoto hii tafadhal
Niliota kuna mwarabu amenitilia umeme pamoja na mapambo ndani na nje ya nyumba yangu. Nini maana yake. Shukran.
Unafafanua vizur sana 👍
Asalamu alaikum shekh mumewagu ameota amenunua nyuba alafu mm nikaeda kuigia hata back haijaisha dani vizuri
Aslam Alykkum Naomba mtowe tafsiri ya kuota jongoo linakuuma ,kukutambaa na kadhalika
Thanks soo much sheikh
Hua ninaota mara nyingi nimenjenga nyumba nzuri sana ya kisasa pembeni ya nyumba yangu Ina maana gani?
A alaikum...ustadh mbona tafseer inaegemea kwa mwanamume tu hali wanawake pia huota...?
Mimi nimeota nyumba nyingi imejengwa mbali karibu na porini na tumehamia huko pamoja na familia na majirani wengine na hata tumeanza kupika huko pamoja na mamangu na kisha tunakosania juu ya kupika,tafadhali nahofia sana sheikh ni nini maana yke.
Na ukiota ume ona nyumba mpya nzuri sana
Maalimu mm nimeota kua mamaagu mzazi amenunua nyumba ila sisi wanawe hajawahi kutwambia na ameshakufa ila kuna mt ndioo akaja akatwambia na tulipo ifatilia kunaishi mt 1 mweusi yeye akasema kwavile nimekaa nayo muda mwingi itabid tugawanae kwaiyo mm nikachukua 40 na kuna mwenzangu akachukua 40 yeye akachukua 10 na kuna mt mwengine akachukua 10
Assalam aleykum Shekh mimi nimeota paa la nyumba yangu limeharibika
Shukuran
Mashallah
Nimeota nyumba yangu inajengwa na mafund na hela ya kuwalipa sina
Asalam aleykum shekhe..?mim huwa nimeota zaidi yamara moja kila mwez naota nyymba yangu inapata moto chanzo umeme lkn hauendelelei lkn kila nikiota n moto unaanzia sehem hyo hyo kila naopoota n takriban mara tatu mpaka naogopa
Shehe nimeota mama anajega nyumba haijesha ananionesha
اللهم انصرنا يارب أمين
Umeolewa?
Assalaam alaykum sheikh mimi nimeota nipo ndani ya nyumba ya ghorofa moja ama mbili ilo ghorofa lina vioo lakini humo ndani kuna mwanamke tuna zungumza mazungumzo ya kaida nikampa pesa yenye namba tano ikaongezeka akapata namba 7 akataka kunipa nika mwambia chukuwa hiyo ni sadaka yangu ndoto hiyo ina maana gani sheikh
Maana kuota marehemu anakwambia nimekupa nyumba hii urthi gorofa nzuri
Kuota nyumba iliyo karibu ya mto?
asante shekh
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
Ustadh je kma unaotakuwa unajenga nyumba
@@habibaabdi5 shekhe Mimi nimeota Nyumba ambayo kama hotel na nikawa natafuta chumba changu na ninazo funguo mkononi lakini nilipo fika kwenye kile chumba ambacho nilkuwa nahamini nichangu nikakikuta kipo wazi na mtu yupo ndani anakwenda zaidi ndani basi Mimi sikuingia nikaona kwamba sio cha kwangu nilikwenda kuangalia cha chini ni mfumo wa golofa nakahamua kuondoka hapo njei nikamuona mwanamke ambaye ninamfahamu nikamgusa mgongo akawa ananiangalia anacheka nilikuwa na shemeji yangu tukaondoka cha kushangazi wakatai naondoka nilika kitako na kuanza kuselele kama Mwenye barabara ya lami kuelekea bondeni ambayo iliyonyoka na kama Kona kidogo chini kule...je hii ndoto inamahana gani?naomba unipe mahana yake Asante
Minimeota kwa nyati tofauti mwanzo niliota kuna nyumba ipo ufukweni mwa bahari halafu ni ya udongo kunaupepo mzuri nlikuwa naenda sana pahali hapo nikiwa usingizin siku nyngne nliota marehemu mama kanikabidhi nyumba kubwa mpya ila haijapigwa plasta nikaote tena ninakabidhiwa nyumba mpya iliyojengwa na tofali za udongo ila ubavuni kunahitaji marekebisho na nilisema hii ndio itakuwa nyumba ya mwanangu ila ndoto hii ilianzia mbali nikiwa na shida ya mtoto..maana yake ni nini
Alhamdulillah
Allaah akbar
Mimi mmeota nyumba kam tano zimekodishwa maeneo ya nyumbani tena zimetengenezwa zimekuwa mzur
Nimeota nyumba ni ya tope na chn hajasakafiwa na juu haijaezekwa pia chn pamelowa nikawa nafagia mle ndan na nikisema hiki ni chumba cha mama yangu nakifanyia usafi nikashtuka kutoka usingzn hii inajulisha nn jaman
Mm huwa naota gorofa tena inapenda kujirudiarudia yaan haipiti mwez bila yakuota ndoto izooo
Asalm alykum ukiota unanunua nyumba na inamaduka manne
Mm nimeota seem iliyokua porin zaman saiv kumejengwa nyumba nzur Sana na Ni mpya Yan pamekua mji mpya wa kupendeza na mm nilienda huko kutembea nn maana yake jmn
Amen
Mm nimeota nipo juu ya paa la nyumba
Nmeota njozi nmejenga nyumba mpya kwetu
mimi juzi nimeota nyumba inatembea kwakasi ikaja ika simama chini ya miguu yangu ilikuwa imejengwa kwa mabokx ilipo funguka ilikuwa na nguo ndani nika zichukuwa nikazipeleka chumbani kwangu
Mimi nimeota nyumba yangu ipo kwenye linta lakini sijamaliza lakini watu wanaivyunja wanasema ipo balabalani lakini babayangu anasema atanijengea nyingine 😭😭😭 lakini iyo nyumba ninayo kweli
Mimi naota nyumba Yani Kwa mwezi moja nimeota mara 4 mufululuzo
Je ukipata nyumba inavuja manake nini?
Je ukiota nyumba ya chomeka
Nimeota Niko kwenye nyumba Niko na familia yang u namume Wangu alafu nafraa Sana
Shekhe mimi nimeota nyumba yetu ulikuja upepo mkali na ukavunja nyumba yetu yote
Jiepushe sana na wafitinishaji wasije kukugombanisha wewe na mkeo
@@nyumbayatibanadua737
Shukran sana sheikh Allah s.w akubarik
Ila pia nimeota ndoto nyegine ya nyoka mweupe alikua anataka kunishambulia ila kulikua na kaka yangu mmoja binaami ambae ni daktari alikua akinipaka kitu kama dawa kichwani sasa yule nyoka akaacha kunishambulia mie akamfuata yule kakaangu na akamshambulia vibaya sana na yule kaka yangu akaanguka akafa na mimi ilikua nikilia sanaa.....nikashuka kutoka usingizini...
Asalaam Aleykum Shekhe..je ukiota ndoto unapewa nyumba mpya, nzuri na ya kisasa ina maana gani?
Mm nimeota nyumba yangu mpya kahamia mwenda wazimu na mzigo yake nilichungulia na kuondoka
ok
Maana yake ni Nini hizi ndoto zangu zinazojirudia mara Kwa mara.
Kuwa nazungumza na viongozi (Rais) au najikuta natembea nae huku tunakagua sehemu mbalimbali hii inamaanisha Nini shekh wangu.
mm niliota mwanaume niliyekua cjafunga nae ndoa amejenga nyumba njozi hiyo Ina maana gani
Shekhe kama mwanamke anaota kaona mlango inamaana gani
Ok
A aleikum ukiota apartment mpiya umenunuwa Na ndani kuna kila kitu cha kuishi ndiyo Nini maana yake ? Shukran
Nimeota navunja gorofa😭😭
Mimi nimeota usiku wa leo tu mamangu nimeota mimi na mamangu tumejenga nyumba mpya tena vioo vitupu ila mtoto wa mamangu mdogo amepigana na rafiki zake ,hasira zao wakaja kuivunja nyumba yetu na vioo vyote wakaviangusha chini
Daah ,pole sana
Naomba no ya simu niweze was liana na sheikh
Ukiota umejenga nyumba na aina mlango but unaishi ndani ina maana gani
Mimi naota nimejenga nyumba nzuri na nimehamia.
Pia naota Mara Kwa mara naongea na Marais wa Tanzania nilimuota magufuli kipindi Cha utawala wake nilimuota zaidi ya mara nne,
Sasa hivi ninamuota Rais Samia naongea nae mara Kwa mara.
Asalam walyekum warahmatulah wabarakatuh shekh nimeota natembea juu ya maji kisha mwisho Wa maji nikakutana na nyok mkubwa sana nikawa najalibu kujitetea lakini yule nyoka alikua ananizunguuka pasipo kunizuru nini maana yake
Nakuota ndoto ya kupaa ina maanagani sheikhe wangu tafazar tujue..
Asalam aleykum shekhe mimi nineota nyumba a mbayo inaduka lamkewangu imeungua navitu vyote havipo je nini tafsuri yake
Nimeota namuona mnyama anatembea juu ya maji bila kuzama kila akipiga hatua maji yanaganda ndio anaweka mguu..bila kuzama.
Me naota na huwa inajirudia rudia sana kuwa natoka nyumbani vizur ila kirud ndio nashindwa nakua naiona ilepale ila kuifikia sifiki naangaika sana kutafuga njia nirud lakin siwez naomba nijue ni nn maana naota hii ndoto mara kwa mara
Nimeota nyumba inavunjwa anakaa mume wangu lakini so nyumba yenyewe anayokaa no nyengine pembeni Kuna nyumba anayoishi mama yangu imebomoka kizingitini inamana gani?
Me nimeota nimejenga nyumba
Mimi naota ni kiwa nyumba ya matope
Mimi nimeota niko ndani ya nyumba ya kifahari na kwa ukuta picha yangu ndio iko kwa ukuta
Na siku ya pili nikaota nimetoka Kwa nyumba Ila mlango wkitoka ukawq kama dirisha siwezi kutoka Ila shemeji zangu walikuwa nje ya mlango dirisha huo akanitolea waya kama nondo ya dirisha nikatoka Kwa urahisi na nyuma Yangu alikuepo mama mwanamke MTU mzima kavaa baibui la zamani ne akapita badala kupita Mie bs tujafurahi tu mana Ake nini
Asalamu aleikum shekh mimi niliota nimenunua nyumba lakin nyumba yenyewe niyazaman ni nini maana yake shekhe
Halafu kuna mtu aliniambia umenunua nyumba lakin niyazaman nikamjibu nitairekebisha polepole tena nilikua nafuraha sana nisaidie shekh wangu
Nimeota nimepata watu wasio Julika wamejenga ukuta Wa Mawe Kwa shamba yangu nikawa natafuta aliye niunzia
Ivi ukitoa nyumba inavuja upande WA jikoni hii maana yake nn ostadhi
Je nkiota natizama juu nkiitizama gorofa, nini mana yake!..
Mi nimeota Niko na wengine tunakimbiya kwenye nyumba tente milango mingi tunaenda kujifica mana yake nini?
Mimi niliota mvua inanyesha na nyumba inavuja wakati nyumba ni nzima kabisa
Ukitoka unanunua vijiko vya nyumban
Je ukiota unatembea mbele ukaona nyumba pande mbili wa kulia na kushoto
وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته
Asalam Alaykum Sheikh Nakuomba Unitafsirie Hii ndoto Nimeota Namkuta Mjomba Wangu Yuko Anazini Na Mke Wa Ndugu Yangu Wakiwa Wanafurai Kabisa nimewakuta Wakifkishana kileleni Kweli Pia Wote Wakifuraiana Nikaanza Kulia Juu ya asira nakuanza kumwambia Uncle Kama Ntabisema Kwa Brother akaanza Kunikataza Akiwa Anafurai eti nisiseme Na Shemeji yangu Akawa hana uoga Nikaamka naskia Nimenyongwa na hasira
Pole.sana mlaani shetan na pia ukisoma yasin usubuhi na usiku kila siku kama ni kweli utawaona wa llahu mungu ataku dhihirishia inshaallah
@@fatumaramadhanmashaallahal9966
Lakini Nataka Kwanza nijuwe Nini maana yake sababu Apa Niko Kwenye Mawazo mengi sana
She he nimeota nafungua milango yanyumba naikawa nasema nyumba hi nitaipangisha. Naomba unitafsirie.
mimi ninaota mara kwa mara yaani hiyo ndoto inajiruda niko ndani ya nyumba mpya iko kwenye hatua za mwisho kumalizia ujenzi nihamie nini maana yake
@@fatumaramadhanmashaallahal9966kumbe. Asante
Mbona usemei wanawake
Nini maan takuota nyumba uliojenga haijaisha nimelud safalini na nyumba yangu haijakwisha na nafikilia kuondoka nchi za nje ili nimalizie nyumba yangu nn maana yake
Nimeota nimeenda kwetu nkapata nyumba ndogo imejengwa na imebomwa na matope na bati la juu lilikua mpya na ndani ya nyumba hili kuna kitanda bila godoro bali shuka nyeupe pekee kisha naskia babangu akusema kitanda nichake mtu hasikaribie naomba tafsiri yake tafadhali
Shekh kama mm nimeota nimehamia nyumba nyengine na inavyumba 3 naomba tafsiri
Niliot kuwa nmejeng nyumb kubwa wanaifanyia rufen yaan wanawek mabati inamaan gn
Nimeota nipo ulaya alafu nikaona misikiti mizuriiii