A salamu, Alaykum, niliota niko msikiti wa madina ili niko nije, ya msikiti ila niko swahaba Alli bn Abitwalibu Ila tukaskia kipaza sauti kiki gongwa gongwa Alli aka sema mtume Ana,taka mtu akapige adhana mimi nikapatwa namshituko nika muuliza mtume Yuko ndani, akajibu ndyo, Alli akaniacha kumuwayi mtume ili akapige adhana mimi nikawa naenda taratibu huku nalia nikaja nikaingia kwenye lango la msikiti wa madina , nilipo ingia Alli na yeye akawa amemaliza adhana sasa mimi shauku yangu nimuonemtume nikaangalia msikiti wote sikumuona nikajampaka kwenye membari yamsikiti nikamkuta kwandani kwenye kile kinyumba cha membari amekaa kwenye bechi yeye namzee mmoja nikawatizama wote wawili kutaka kujua nani ndy mtume Wallahi nilimjua nikampwenti nikamwambia hakika wewe ndy mtume akanijibu swadqata umesema kweli, nikashika mapaja yake kwamikono yangu af nikaingiza kichwachangu kwenye mapaja yake nakuanzakulia kichwa kikiwa chini yamapaja yake nikasema Moyoni nimuombe aniombee dua Allah ani samehe makosa yangu sasa nikawa napandisha kichwa kutoka chini wakati nime fikausawa wakuangaliana mimi na yeye akaniwayi akasema hongera umefanikiwa mambo 7 kwafuraha nikarudisha kichwachini nikawa nalia naomba maana ila bado ndoto inaelelea
Sheikh nmeota napambana na maadui bsdae nikasema ntaka nipae na nikapaa nikagsnda kule juu nikawa nssoma surat ikhras pia hii inajirudia nsota nspata matatz ucngzn then naota nasoma ayatul qursiyu na ikhras hii inamaanish nn
Shikrani sheh allal ukupe janata firdaus
Shukran shekhe wangu
Shukran sheikhe
Jazakallah
Aamin wa anta kadhaalika
Mashallah
Sheih naotaga Niko nashika udhu naenda kuswali nikika hPo wanatoa Adhan
hiyo ni ishara ya kupendwa na Allah yaani kama hufanyi ibada uanze na kama una fanya basi unapendwa na Allah wallahu a' lam
Shehe mimi nimeota nasikiliza kuruan naninasoma
Shekh niliota ya mbingu nikaon alama ya tik na nyayo huku huku kuna watu wananikimbiza nikiw nasema laila ila anta subuhanak inkutum minadhwalimin
Je ukimuona Mtume unapoanza Dua hiyo ina maana gani
dua zako zimejibiwa
😢😢😢😢😢😢😢😢
A salamu, Alaykum, niliota niko msikiti wa madina ili niko nije, ya msikiti ila niko swahaba Alli bn Abitwalibu Ila tukaskia kipaza sauti kiki gongwa gongwa Alli aka sema mtume Ana,taka mtu akapige adhana mimi nikapatwa namshituko nika muuliza mtume Yuko ndani, akajibu ndyo, Alli akaniacha kumuwayi mtume ili akapige adhana mimi nikawa naenda taratibu huku nalia nikaja nikaingia kwenye lango la msikiti wa madina , nilipo ingia Alli na yeye akawa amemaliza adhana sasa mimi shauku yangu nimuonemtume nikaangalia msikiti wote sikumuona nikajampaka kwenye membari yamsikiti nikamkuta kwandani kwenye kile kinyumba cha membari amekaa kwenye bechi yeye namzee mmoja nikawatizama wote wawili kutaka kujua nani ndy mtume Wallahi nilimjua nikampwenti nikamwambia hakika wewe ndy mtume akanijibu swadqata umesema kweli, nikashika mapaja yake kwamikono yangu af nikaingiza kichwachangu kwenye mapaja yake nakuanzakulia kichwa kikiwa chini yamapaja yake nikasema Moyoni nimuombe aniombee dua Allah ani samehe makosa yangu sasa nikawa napandisha kichwa kutoka chini wakati nime fikausawa wakuangaliana mimi na yeye akaniwayi akasema hongera umefanikiwa mambo 7 kwafuraha nikarudisha kichwachini nikawa nalia naomba maana ila bado ndoto inaelelea
Shekhe Nakutafta in Shaa Allah kwenye Whtsp
Tena siku hiyohiyo nikaota nakunywa maziwa nini maana yake
Niliomba dua nikaota nimepewa halua usingizini maana yake ni nini
Sheikh nmeota napambana na maadui bsdae nikasema ntaka nipae na nikapaa nikagsnda kule juu nikawa nssoma surat ikhras pia hii inajirudia nsota nspata matatz ucngzn then naota nasoma ayatul qursiyu na ikhras hii inamaanish nn
Sheikh ukiota basi unakhutubu wala unaswalisha Wati inaashiria nini
Ni ishara njema kwako kpnz
utakua kiongozi wa watu wallahu a'lam
Shukran Sana shekhe
nashukuru
@@mpondamedia2416shukran