HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2019
  • HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
    IDD AMIN DADA OUME wa Uganda ni mwafrika pekee aliyebebwa kichwani na wazungu kama wao walivyotufanyia enzi za utumwa.
    Dunia ikashangaa, Afrika ikaduwaa,Waganda wakashangilia wasijue baada ya wenzao ni wao! Kweli alipowamaliza wageni alihamia kwa waganda waliofikiri tofauti nay eye.
    #HISTORIAYAAMIN
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

КОМЕНТАРІ • 466

  • @petermichael8211
    @petermichael8211 5 років тому +107

    DAAAAAH HII KTU SAFII MLIYOANZISHA NAPATA KUJIFUNZA NA KUJUA MENGI HONGERENI SANAAA GLOBAL ENDELEENI KUPATA ELIMU HII YA HISTORIA MUNGU AWABARIKI SANAA.

    • @azzakhamiz3858
      @azzakhamiz3858 5 років тому +4

      Ahsante sana kwa story yani daaah inatisha kwakweli

    • @miswagatz1580
      @miswagatz1580 5 років тому

      Nzuri

    • @mwamvitashaban3178
      @mwamvitashaban3178 5 років тому

      Peter Michael

    • @thomasmario950
      @thomasmario950 5 років тому

      Hongera sana msimuliaji kwa history mbalimbali nzuri zenye kufunza sana Mungu akusaidie sana

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 роки тому

      Haya sio historia sahihi....mbovu na usiokuwa na hakika

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 5 років тому +12

    Idd Amin was a Legend.... story mbaya zipo kumhusu story nzuri kumhusu zipo...... nasimama kwenye positivity he was a Legend

    • @ramadhanboi6485
      @ramadhanboi6485 5 років тому +1

      Big Zhumbe ;kabisaa brooo he was a man
      😥😥

  • @goo6341
    @goo6341 3 місяці тому +2

    Historia shwari mno! Asante Kaka Edgar kwa simulizi bomba sana!!

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 5 років тому +15

    Unastahili tuzo ya thamani Sanaa.Big up Ananias

  • @khamishaji6705
    @khamishaji6705 5 років тому +64

    Ikiwa unakubali kaz ya uyu mtangazaji weka like yako

  • @janjatv9619
    @janjatv9619 5 років тому +8

    najisikia murua sana mashaalah👏 ninaposikiliza simulizi za historia zako usichoke kutusimulia daily🙏

  • @fistonkyuing9888
    @fistonkyuing9888 5 років тому +14

    Asante kwa kazi nzuri na kutupatiya historia nzuri Mungu akubariki kwa kazi yako

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому +51

    Asante kwa hii historia Nzuri na sauti yako ya kuvutia

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 5 років тому +3

    Huwa nakufwatilia sana kutoka hapa Nairobi, kazi nzuri ndugu yangu

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 5 років тому +24

    Story imepangwa vizur sana

  • @sol-ql1kt
    @sol-ql1kt 5 років тому +6

    Hii ni nzuri Sana... Keep on

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 років тому +26

    Napenda kusikiza histolia ya Global TV....nikiwa hapa Kenya.... Tuko pamoja

  • @Thuon_
    @Thuon_ 5 років тому +20

    Mimi nampenda sana *Idi* *Amin* sisi waafrika tusiwe watu wa kuambiwa kila kitu. Wazungu wanatuambia historia bandia ya kuwachukia viongozi wetu. Ni vipi *Amin* alikuwa mzuri wakati wazungu wanamtumia kuwaua watu waliohusika na Mau Mau nchini Kenya. Akapelekwa north eastern Kenya kupambana na wasomali na bado mzuri. *Milton* *Obote* akawa hana faida kwa wazungu sababu aliwafungia *interests* zao wakamtumia *Amin* tena kupindua serikali yake akahamia Tanzania kwa nyerere. Amin kuingia uongozini akawa Pan-Africanist, hafanyi vile wazungu wanataka. Akaapa kuitumikia Uganda na wananchi akawa mbaya wakaandika historia mbaya kumhusu. Tukawa brainwashed, tukawaamini wazungu. Sisemi alikuwa mzuri, kuuwa aliuwa watu na si wengi wasemavyo wazungu. Hata Kenya, kenyatta aliuwa wengi, aliyemfuata, ni rais Moi akauwa na kuwafunga wengi, wazungu kimya sababu wanakula kwa meza moja. Waafrika tuamke twatumiwa vibaya. Umefika wakati tuwatambue viongozi wetu sis wenyewe. Mimi nampenda sana
    H.E, Field Marshal, President for Life, Maj. Gen. Al Hadji Doctor, VC DSO MC, BC, CiC, Father of twins, Lord of all the clans in the land, Lord of all the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas, the cook with all the firewood, the queen termite, Conqueror of the British Empire(CBE) in Africa in General and Uganda in Particular. Speaker of truth, Pan-Africanist, Maj. Gen. President *Idi* *Amin* *Dada*

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 5 років тому +73

    Uyujamaa hanae simulia.. Hanatakiwa hapewe mshahara Mara tatu hanao lipwa kwel hanafanya kz vema nimemfatilia Sana yupo vizur Kk mungu hakubariki!

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 5 років тому +4

      Ndugu kiswahili fasaha anae simulia
      Anatakiwa apewe. Anaolipwa

    • @barakachami8218
      @barakachami8218 5 років тому

      Emma Lyanga true kz nzur

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 5 років тому +4

      Wewe Baraka Unatumia ha badala ya A .Jifunze kiswahili

    • @sabinamaremi1498
      @sabinamaremi1498 5 років тому +2

      Baraka Chami ujue unaboa kiswahi gani hicho au hujui kusoma

    • @justinemganiwa5764
      @justinemganiwa5764 5 років тому +1

      We unaongea madudu gani

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 5 років тому +4

    Mtangazaji upo safiii umeeleweka

  • @sabinajames6539
    @sabinajames6539 5 років тому +8

    Wow asante

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 5 років тому +32

    Broo Honestly speaking una Sauti nzuri asee!!

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 років тому +4

    Kaka mungu akupe maisha mema hakika unavutia sana utangazaji wako Ni zaidi ya grobal tv

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 5 років тому +4

    Msimuliaji yupo vizuri sanaaaa

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 11 місяців тому

    I can't stop watching your stories, proud to be Tanzanian

  • @Nyam033
    @Nyam033 5 років тому +22

    Nilikua nasubiria muapload kwa hamu👍👍👍👍👍

  • @athumanjuma2772
    @athumanjuma2772 5 років тому +6

    Much Respect 🤔

  • @thomasbobtv7584
    @thomasbobtv7584 5 років тому +18

    Huyu mhariri ndio anafaa kupewa utangazaji dunia nzima maanake yuafaham kazi yake vilivyo,pewa kinywaji mzee kwa bill yangu

  • @lymoordeseeker7332
    @lymoordeseeker7332 5 років тому +5

    I Appreciate ur voice

  • @rachellebahati7512
    @rachellebahati7512 5 років тому +3

    Nakupenda ,unasema kweli

  • @sidedirtylevel8483
    @sidedirtylevel8483 5 років тому +4

    Naomba aongezewe mshahara huyu muandaaji na msimuliaji...yaani ana manjonjo uyo..

  • @stevenalex9590
    @stevenalex9590 4 роки тому +2

    Msimuliaje congratulations....🙏

  • @katanicarter0568
    @katanicarter0568 5 років тому +23

    MtangaZaji/Msimuliaji yupo Tofauti saaaana.......
    Gud Job.... MAMBO SWADAKTA

  • @fhdhilyhamidu4422
    @fhdhilyhamidu4422 5 років тому

    Daaah shukran global kwa kunifunua akili na kunipa faida zaidi ya kuijua Africa na utawala wa kikoloni kwa sasa ni (watalii/wawekezaji) mmh Africa bado tuko utumwani

  • @jimmykimaro8163
    @jimmykimaro8163 5 років тому +6

    Hongereni sana Global tv

  • @silasjuma6569
    @silasjuma6569 3 роки тому +1

    am happy to be in this class learning has no end

  • @ruqiaothman3112
    @ruqiaothman3112 5 років тому +8

    Duh! Asnten kwa kutujuza ya kale global tv mpo vzr sana hongereni ila msikae kimya muwe mnatuwekea mambo ya kale tuyajue vzr

  • @nyakinyaki1702
    @nyakinyaki1702 5 років тому +4

    nimependa sana bro jinsi unavyo simulia vizur sana

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 5 років тому +8

    Very informative and educative!Kudos Edgar!

    • @abdullahiahmed5343
      @abdullahiahmed5343 3 роки тому

      This is just information intended in a hidden way...Neither is it educative nor imformative

  • @mattaromar2624
    @mattaromar2624 5 років тому +9

    Nakuku bali sn mzeebaba uko vzr sn

  • @nestospecial1412
    @nestospecial1412 5 років тому +3

    Naipenda sauti yako hiko poa

  • @jacqulinechawala2494
    @jacqulinechawala2494 3 роки тому +1

    Mtanqazaji uko vzr sana na sauti inaskika vzr sana

  • @manmacho6529
    @manmacho6529 5 років тому +2

    unatangaza vizuri sana

  • @suleimanmohammed7559
    @suleimanmohammed7559 5 років тому +2

    Kizazi sana kamanda

  • @rosenight272
    @rosenight272 5 років тому +5

    Asante sana kwa historia hiyo muhimu sana, Ndio maana Mungu wa Israeli mwenye mamlaka atailinda Kenya na kuitetea kwa ukarimu wa kuruhusu jeshi la Mungu wa Majeshi kujaza mafuta hapa kwetu Kenya...BABA wa mbinguni kusije kukawa na mkatili kama huyo tena UGANDA. UILINDE UGANDA NA AFRICA YOTE.

  • @razackkalanje5049
    @razackkalanje5049 5 років тому +6

    Navutiwa sana na utangazaji wako very impressive

  • @chrissfadhaa216
    @chrissfadhaa216 5 років тому +1

    Edgar Unajua sana unasauti nzur sana na maneno mazur sana

  • @abdulmkwawa2419
    @abdulmkwawa2419 4 роки тому +2

    Dah huyu Jamaa kuna maneno mengi sana ya uhongo

  • @husseinkassimshehe4996
    @husseinkassimshehe4996 5 років тому +23

    Nnachoshangaaa mimi story za Iddi Amin ambaz n mbaya n hku Tanzania i huk kwao Uganda wanamuelewa kam Shujaa wa Nchi yao. Hzo xtory za msingi il ukikua unajifunza unajua ukwel. Ndiio maaana hta ile triangle trade kule sekondari ni Hovyo t il ukixom unajua

    • @hashimutambala7730
      @hashimutambala7730 5 років тому +4

      Iddi amini alikuwa ni mwema Sana sema kachafuliwa kwa chuki binafsi ya nyelele kwa ajili ya dini nyelele mkirsto Iddi ni muislam na Iddi alipenda Uganda iwe ni nchi ya kiislam

    • @asiliyakechuma7335
      @asiliyakechuma7335 5 років тому +3

      Mm naomba unisimulie history ya Eid amin

    • @africangirls482
      @africangirls482 5 років тому +2

      @@hashimutambala7730 huo ndo ukweli mkuu me sisemi tena kitu sema tu nyerere alitupandikiza chuki lakn idiamini nimtu poa sana

    • @kidundasalum4088
      @kidundasalum4088 5 років тому

      Hueleweki ulichosema

    • @jastinimwita1028
      @jastinimwita1028 4 роки тому

      @@hashimutambala7730 kwani nyie mnapenda wakristo? Tumia ubongo kufikiri mkuu...

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 5 років тому +8

    Idd Amn dada

  • @al-bashirclinic3326
    @al-bashirclinic3326 5 років тому +2

    tnx for enlighten

  • @billyotienojuma9932
    @billyotienojuma9932 5 років тому +3

    i loovw your information

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 6 місяців тому

    Allah akurehem Iddi Amini Akujaalie Jannat Firdausi ulikuwa kidume kweli kweli

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 років тому +12

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu majeshi yetu na viyongoz wote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza vyem taifa retu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @godsonhance684
    @godsonhance684 5 років тому +1

    Kazi nzuri sana msimulizi upo vizuri

  • @majidshaibsaid7389
    @majidshaibsaid7389 5 років тому +2

    Nice for good story

  • @hayatihkhadija1924
    @hayatihkhadija1924 5 років тому +3

    simuulizi nzuri

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 5 років тому +1

    Nimeipenda hii ase na iwe endelefu

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Місяць тому

    Huwa nasikitika sana kaka yangu Alifia huko mtukula mpaka leo bado ninamajozi mama yangu alikufa kihoro

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 роки тому

    Safiiiiiii sana Ananis Ediger kazi nzuri

  • @papaaclements6439
    @papaaclements6439 5 років тому +32

    TANZANIA ya enzi zile iliyokuwa na umoja siyo 'UPINGAJI' kila jambo ndo maana umoja uliiwezesha kushinda vita ingekuwa leo hii tungepigwa saana maana IDD AMINI angekuwa anapewa siri za nchi na watanzania.

    • @allywendo2553
      @allywendo2553 5 років тому

      Gghuza migyango

    • @titothoya1618
      @titothoya1618 5 років тому

      Pale tatizo linapo ingia nyumbani wenyeji huja wakatafuta suluhisho hata kama kuna utengano. Hivyo basi Tanzania ya sasa ina uwezo katika kila jambo litakalo kabili Taifa

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 5 років тому

      Haahahaha sijui umewaza nn,siku hizi bongo kuna watoboa siri wengi sana

  • @singanoherieth1331
    @singanoherieth1331 3 місяці тому

    Adui wa mzazi wangu ni adui yangu huwezi kuwachukia wazazi wetu ukanipenda mim mimi namchukia uyo amini hadi leo

  • @davidowino4262
    @davidowino4262 5 років тому +2

    Kaka mpaganzi upo vzr sana tena sana..never seen

  • @aishalyova5751
    @aishalyova5751 5 років тому +1

    Kaka uko vizur mpka raha big up sana

  • @markwambura2113
    @markwambura2113 5 років тому

    Kazi nzuli asante kwa elimu

  • @rockysanga7289
    @rockysanga7289 3 роки тому

    Point

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 5 років тому +1

    Da unaelezea ka ulikwepo vile, safi sana

  • @nikristee
    @nikristee 3 роки тому

    Ningependa Kuviona vizazi vya Iddi Amin

  • @allyclassic1768
    @allyclassic1768 5 років тому

    Uko vizuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii xanaaaaaaaa xafiiiiiiiii

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 8 місяців тому

    Hiii history sio rafiki kabisa maana uongo nimwingi kuliko ukweli,, pumbavu sanaa

  • @veronicafredy4101
    @veronicafredy4101 4 роки тому

    Jamn nyerere baba amefanya kazi kubwa na naamini magufuli mungu amemleta kwa niaba yake

  • @kombuchahluckyMartin
    @kombuchahluckyMartin 5 років тому +1

    Mku uwezo wako mkubwa sana kusimulia. Napenda sana

  • @abdulrahmanhussein1644
    @abdulrahmanhussein1644 5 років тому +1

    Muwe mnajitahidi kupata taarifa sahihi.amini alipenda na waganda

  • @frenklubago5748
    @frenklubago5748 5 років тому +1

    Vzuri sana

  • @hemedsalim8837
    @hemedsalim8837 5 років тому

    Nyerere mkatolik na iddi Amini muislamu anaejua haki hakuwez kuwa na salama apo.

  • @purryselestine4000
    @purryselestine4000 5 років тому +2

    Hivi hii story ukiisikiliza kwa makini na huu huongozaji wa magu kam nisaw magu nae nikatili km idd amini

  • @laurentbudu9862
    @laurentbudu9862 7 місяців тому

    Nakubal sana kaka kwa kazi zako

  • @ivancharles578
    @ivancharles578 5 років тому +1

    Iko pow sana

  • @rashidbusanya883
    @rashidbusanya883 5 років тому +2

    Hamna mwenye uhakika juu ya jambo lolote ispokua mungu ndio anajua
    yawezekana alikua mtu bomba bali akazuliwa uongo kama vitabu vya mungu vilichafuliwa iweje historia ya mwanadam ikaacha kuchafuliwa

    • @almortabaz_Tz
      @almortabaz_Tz 5 років тому

      Kiukweli kwa hizi historia najihisi faraja mnooooo hadi najikuta nawoch mara kibao video moja

    • @almortabaz_Tz
      @almortabaz_Tz 5 років тому

      Ila kama kuna uwezekano muanze kuleta na historia za makabila mbalimbali hapa bongo kwa kuonesha mila zao na destuli na chimbuko lake ila ni vzuri iwe ni kwa video inayoonesha moja kwa moja na sio picha

  • @user-um4dt5dn6l
    @user-um4dt5dn6l 4 місяці тому

    Dah noma sana

  • @jeffmsomali4264
    @jeffmsomali4264 4 місяці тому

    Waooo respect brother

  • @jonathanpascal7068
    @jonathanpascal7068 Місяць тому

    Jamaa muongo sana

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 5 років тому +2

    Historia ya Idi Amini Imepotoshwa wala hakua hivyo Mnavyoisimulia he was a Good man

    • @shabanimarijani662
      @shabanimarijani662 5 років тому

      If he was a good man please tell us a good history of iddi amin.we hope that you know much better about IDD amin.

    • @ndagaujenzi1211
      @ndagaujenzi1211 5 років тому

      Wapumbavu kama ninyi ndio mnaamini he was a good man....imagine the whole world to hate you...why then?

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 5 років тому +1

    STORY NZURI SANAAA

  • @shaabandede4814
    @shaabandede4814 5 років тому

    Umetisha San bro mungu akutangulie

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 20 днів тому

    Huyu mwamba mm namkubali sana alikua jasiri sana

  • @zaituniintiaz8431
    @zaituniintiaz8431 5 років тому +3

    No comment mana sijui nani mkweli

    • @omarmhmammed216
      @omarmhmammed216 5 років тому

      Zaituni Intiaz historia haikusanyi mabaya tu hata mazur nayo muyaseme

  • @symonnduati5849
    @symonnduati5849 4 роки тому

    Hongera waelezea vyema sana

  • @asajilejohnmwakapinga1065
    @asajilejohnmwakapinga1065 5 років тому +3

    Komaa kaka uko vzr

  • @deogratiuskapulwa8874
    @deogratiuskapulwa8874 5 років тому

    Kashmir shujaa wa mfano mwenyeakili ,mcha Mungu ,jasiri wa kuigwa...

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 5 років тому +1

    Asante kaka

  • @kokudo8389
    @kokudo8389 5 років тому +9

    Umbali kutoka kwenye hasira ni mdogo

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 років тому

    Naumia sana kwa nn nilipata D ya history o level.. unajua sana I feel you

  • @ilumbohaby3271
    @ilumbohaby3271 5 років тому

    Uko vizuri sn sijutii MB zangu

  • @sadelickkihongosi8248
    @sadelickkihongosi8248 5 років тому

    Nakukubali sana mkuu bigup sana

  • @reyham1722
    @reyham1722 5 років тому +2

    Sauti mashallah uwiiiii sipat picha ukiwa......😍😍😍😍

  • @daudidaudijohnathani1474
    @daudidaudijohnathani1474 5 років тому

    nzuri sana

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 5 років тому

    thanks so much mr denis and ananias keep it up

  • @kennedyrubaza5846
    @kennedyrubaza5846 5 років тому

    Asante sana bro

  • @raymondamosi9059
    @raymondamosi9059 5 років тому +4

    Nime enjoy sana Thanks! Tuekeeni storia Kama izi mbona mtafraia maisha WENYEW na WATAKAO follow account wataongezeka Amini nawaambia

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 4 роки тому +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @anthonybenedict3307
    @anthonybenedict3307 5 років тому +13

    Zamani waliolewa wadogo..ila siku hizi wanachezewa wadogo alafu hawaolewi

  • @PattiPattoz-Montana_254
    @PattiPattoz-Montana_254 3 роки тому +1

    I like the way you express the story & your voice so audible 😍

  • @abdulnkiliye8914
    @abdulnkiliye8914 5 років тому +3

    Mkali unajua kusimlia

  • @ramadhanimandoa4058
    @ramadhanimandoa4058 5 років тому +1

    Historia kaichakachua nyerere sababu ya chuki zake za kidin kati yak na idd amin ,lakin ualisia amin hakuw muuaj

    • @ramadhanboi6485
      @ramadhanboi6485 5 років тому

      Ramadhani Mandoa asante kwakusema ukweli broo kwasababu ukienda uganda mshikaji anajulikana kama legend