Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 лис 2019
  • SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....

КОМЕНТАРІ • 632

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 4 роки тому +82

    Kweli yesu ndio haki ya dunia unaona hawapingi quruan lakin biblia ni moto.

    • @nadhrakhamis7675
      @nadhrakhamis7675 4 роки тому +57

      Waanzaje kwa mfano kupinga kitabu cha Allah wameamua kuipinga bibilia sababu sio kitabu cha haki

    • @wilsonuhenge894
      @wilsonuhenge894 4 роки тому +7

      @@nadhrakhamis7675 haki inapatikana mahakamani baada ya ushahidi kutolewa, uwe wa ukweli au uwongo yote sawa

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 4 роки тому +6

      Wanapinga zote hakuna cha ukristo wala uislam huko. Sikiliza vizuri mpaka mwisho

    • @nadhrakhamis7675
      @nadhrakhamis7675 4 роки тому +7

      @@edwardsichilengwe2330 nimewaelewa lkm nimemjibu uyo alisema yesu ndo haki ya dunia

    • @edwardsichilengwe2330
      @edwardsichilengwe2330 4 роки тому +12

      @@nadhrakhamis7675 sawa my dea, mi mkristo ila kila dini ni njema machoni pa mtu. Mungu haangalii we na Yesu wako wala mohamad ispokuwa matendo yako. Mimi kwangu dini zote ni bora kwa mwny dini, wazazi wng wangekuwa waislam ningekuwa muislam so swala la dini ni swala la kiimani sana

  • @pendomvungi6538
    @pendomvungi6538 4 роки тому +7

    Nmeipenda hyo sheria ya kuvuta bangi sana

  • @solomonimkwere498
    @solomonimkwere498 4 роки тому +194

    wasioo weza kuishi Korea kasikazini tutuane

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 4 роки тому +101

    Ambao wangeweza kuishi Korea ya kaskazini kama mim, gonga like hapa tujuane.

  • @muhameeimamu677
    @muhameeimamu677 4 роки тому +11

    Mm nmeipenda iyo ya kutembe na demu wako respect sana

  • @obagoabhiathan3565
    @obagoabhiathan3565 4 роки тому +15

    Jamani wale ambao wanaamini kuwa wanaweza kutoboa maisha ya KOREA KASKAZINI mpaka mwisho... Tujuane kwa like

  • @robsonwisdom4025
    @robsonwisdom4025 4 роки тому +7

    Nashukulu mungu kwa kuzaliwa Tanzania mana yajayo

  • @iddynyaihere5424
    @iddynyaihere5424 4 роки тому +11

    Nawapenda sana global tv mko vizr

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 4 роки тому +20

    Waliojikuta hawatamani kwenda hata bure tujuane hapa

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 4 роки тому +6

    Asante mungu kwa kuzaliwa tanzania

  • @Baraka-wo9rw
    @Baraka-wo9rw 14 днів тому

    Yesu kristo atawaponya babang

  • @prosperswai490
    @prosperswai490 4 роки тому +6

    Uyu rais ni noma sana ndo maana corona haijagusa nchi yake na alitangaza kuwa mtu atakae kutwa na corona hana haki yake ni chuma tu

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja 3 місяці тому

      😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamedkassimu8789
    @mohamedkassimu8789 4 роки тому +5

    Endeleeni kuchimbua asili ya Nchi mbali mbali hongereni global tv

  • @kilimanjaro_media
    @kilimanjaro_media 4 роки тому +8

    Anayesema kuwa hii story ingesimuliwa na Ananias Edgar ndo ingenoga zaid Fanya kugonga like kama zote

    • @zulfahhussein505
      @zulfahhussein505 4 роки тому

      Kabisaa ingelinoga sanaa
      Sijuwi kwanini hawakumpa hii story

  • @marympemba2878
    @marympemba2878 3 роки тому +1

    Mtangazaji kazi yako nzuri na unaijua kweli kweli

  • @sofiaasukuku8238
    @sofiaasukuku8238 4 роки тому +17

    Izo ndosheria za Musa Sasa ,,watanzania wengi wanaweza kuhishi Korea sababu ya bangi tu

  • @ablysonco8850
    @ablysonco8850 4 роки тому +47

    KWELI HAWA WOTE N WAVUTA BANGE MAANA SHERIA ZAO TUU ZIMEKAA KBANGE BANGE TUU MWANZO MWISHO....

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Місяць тому

    Wako vizuri mno

  • @Rojo_Rojo
    @Rojo_Rojo 4 роки тому +28

    Simulizi yako nzuri sahuti nzuri pia bigup kaka

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 4 роки тому +12

    Kwako zuri kijitengemea safi sanaa,nimependa sana

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 2 місяці тому

    Hebu jaribu kufikiria Yale maisha tuliyoishi vjjni zamani hakuna shda chakula, hakuna magonjwa tuliyoletewa na wazngu, no stress ila ulivyoingia utandawazi wa wazungu ndoa hazieleweki, ushoga, usagaji, kujinyonga watu kupitia movie kwaiyo Korea kaskazn waliyajua na msichokijua wao ndo wanaishi vzr kuliko sisi tunaosema hatutamani maisha yao. Mfano wao waliamn Corona ni shetan aliyetengenezw na wazngu hvyo ukiingia umetumwa utakufa ni sawa na sisi tulivyoletewa na wazngu Sukari, Ukimwi, magonjwa mengi ya zinaa, cjui UTI yametoka wapi mbona zaman kulikuwa hamna .

  • @omaryjuma4668
    @omaryjuma4668 4 роки тому +6

    bless sauti ya ghetto.... darboi

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 4 роки тому +14

    Kwenye sili hapo ndo marekani wameshindwa had leo jamaa hawaingiliki kabsa japo wavuta bangi wako makini na kutunza sili zao

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 роки тому +8

    Number 4 💪

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 роки тому +29

    Kumbe ndo maana marekani alitaka kuchokoza vita akashindwa 🤣🤣

    • @japhetpaul8132
      @japhetpaul8132 4 роки тому

      Salim Mohamed Salim Raivan

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 роки тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😉

    • @tiktokboy6791
      @tiktokboy6791 3 роки тому

      Dah asante sana kaka nashkuru bora nishindwe kaburini kuna sheria zake lakini sio Korea

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 3 роки тому

      🤣😂😂😂😂😂 hatr na nusu yake

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 роки тому +9

    Mungu mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa ni Allah na Muhammad nimtume wake na Issa yaan Yesu ni mjumbe wake pia Hivo tulielewe vyema stay safe and your family Corona is Dangerous virus From Tanzania🇹🇿🇹🇿

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому +3

      Allah ni Mungu wa Waarabu, Muhammad ni Mtume wa Waarabu acha kujivuruga

    • @happinessmillanga982
      @happinessmillanga982 4 роки тому

      Nani anarudi mara ya pili ni Muhammad au YESU?

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому

      @@happinessmillanga982 Anarudi anaenda Wapi Africa ama Israel kwao??? Izo ni story za alinacha hakuna Yesu anarudi.

    • @jouzemussa5505
      @jouzemussa5505 4 роки тому +3

      Amin unachokiamin kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyew

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 роки тому +1

      Achaneni naye huyo.. Hayupo tofauti na sheria za korea kaskazini maana wao wanaamini katika mambo ya kihuni tu

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi1351 4 роки тому +3

    Jamaa nomaa sana kungozana na mpenzi wako barabarani azabu yake huiwezi kuihimili hata kidogo daa hatari sana

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u 3 місяці тому

    Usisahau na za kwenu tanzania uchaguzi unasimamiwa na wakurugenzi wa serikali husika
    Tume ya isiyohuru na matokeo kumiywa.

  • @saidydoe9260
    @saidydoe9260 4 роки тому +2

    Hii sio nchi ya kuishi kabisa

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 4 роки тому +31

    😂😂😂😂😂nasemaje asant Mungu kwa kuzaliwa tz tz ni laha tuu afrika nzima tanzania laha tuu nasema mataifa ya kitajili mengi ayana amani bola sisi masikin tunakula lahaa atali Mungu ametubalik fraha na kila kitu asante Mungu

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 4 роки тому

      Kwel

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 роки тому +1

      Jifunze tofauti basi ya R na L huenda kwenye kuongea kwako ukawa una tatizo hilo ila ni la kimaumbile na ni ngumu kulirekebisha🙏🙏ila kwenye kuandika unaweza kabisa kulirekebisha.Laha(Raha) utajili(utajiri) bola(bora)baliki(bariki)

    • @pilatoonlinetv9660
      @pilatoonlinetv9660 3 роки тому

      We mjinga kabisa unajua nch ngapi hapa afrika?
      Ulizia maisha ya Botswana, uliza Maurtius uliza cychelas .!!

    • @chamblainreuben7431
      @chamblainreuben7431 3 роки тому +1

      Asante YESU kwa kuw mtz

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql 3 місяці тому

      ​@@Pedeshee01😢😢😢😢😢 acha bwan mwenzio ajiskie amni😮

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 4 роки тому +3

    Mm Katina yoote nimependa vitu viwili
    1.Kukataa haya madini ya kuletewa.
    2.Kuruhusu bangi.

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 2 місяці тому

    Hii nchi umbea hakuna ,uzinzi ,hakuna ubakaji ,hakuna ushoga ,hakuna ulawiti hakuna na mengi tu hapo ,bangi sio lazima uvute , shida tu wakristo hatutaweza kuishi

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 2 місяці тому

    Asante maana nilikuwa bize kutafuta passport yakwenda Korea🇰🇷2026 sasa nageukia upande mwingine Mungu Akubariki ❤❤

  • @user-kh1me7py6y
    @user-kh1me7py6y 2 місяці тому

    Watanzania wenzangu tuendelee kuilinda Amani ya nchi yetu Tanzania

  • @sele2507
    @sele2507 4 роки тому +23

    Kila mtu anataka like hamtoi hamtoi mawazo

  • @zuukhayrah6621
    @zuukhayrah6621 2 роки тому

    Mm nimependa kua hakuna ukristoo mana si dini hta km uislam haupo nao ila ukiristoo umekanwa wazi wazi noma kweliiiiiii

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 4 роки тому +13

    Ebu fikiria ingekuwa umepigwa marufuku kuingia Dar hii ingekuwa noma sana.

  • @taucymadebe7133
    @taucymadebe7133 4 роки тому +2

    Duuuuuh, nchi nzima ni wavuta bangi😃😃😃😃😃😃😃

  • @sultansaidisaid-ft6yv
    @sultansaidisaid-ft6yv 2 місяці тому

    may almight lord give you long life his excelence

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 3 роки тому +1

    Kwani Bado inatawaliwa na makaburu??haijapata Uhuru Wake duu!!ni shiida ndani ya shida 😁😋😁🤒🇹🇿🙏🙏

  • @RehemaSalamba
    @RehemaSalamba 24 дні тому

    Wesasa umezidi kutudanganya kila sikio lazima lisikieujumbe wa yesu alietufia wanadamu wote duniani

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 4 роки тому +7

    Nashukuru kuzaliwa tanzania

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 4 роки тому +29

    Kama unamtaka/umemiss Ananias Edgar tujuane 😎😎😎

    • @kissomundende3696
      @kissomundende3696 4 роки тому

      Mambo uko pouwa mage.... naomba unicheki number zangu hizo 0719619494

    • @titomhagama5545
      @titomhagama5545 3 роки тому

      Najiskia upwekee kutosikia Edgar voice

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 4 роки тому +7

    Kama hakuna sheri uliyoipenda gonga like apo

  • @Chemba67
    @Chemba67 4 роки тому +6

    Asilimia 100 ya taarifa yako umekopi toka ktk media zinazoendeshwa na wamarekani au watu wa magharibi zimejaa majungu na propaganda na siasa chafu. Fanya tafiti ili uandike mwenyewe ulichokishuhudia. Hakuna ukweli wowote ktk mengi uliyoyasema........tulikua huko last summer .........

    • @issahajji1815
      @issahajji1815 4 роки тому

      Saidi Mohamed acha shobo

    • @Chemba67
      @Chemba67 4 роки тому

      @@issahajji1815 Shobo au ndio ukweli mzee wa Shobo

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 роки тому

    Hiyo safii, Ila kwa wavutabangi wamewaweza wavute mpaka waoge zingine kichwani,pangekuwa ha tz duuuuh,sijui tuuu🙉🙉🙉🙉🙉

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Місяць тому

    Daaaah mim corea kusin nisingetoboa walahi. yaan ningejikuta tu nimenyoa kama kim jong hu

  • @boazambokile7060
    @boazambokile7060 4 роки тому

    Upo vizuri boss

  • @mbanguluzito5496
    @mbanguluzito5496 4 роки тому +22

    Upo sawa ila ananias edgars is the best

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 4 роки тому +1

    Safi Sana, na sisi Tz tungekuwa na misimamo ya mila na desturi zetu.

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Рік тому +1

    Mmmh🤔🤔hii nchi sheria zake ni za ajabu sana tena za kibabe mno, haki za biandam wako wapi sasa! mbona hua wanapiga makelele sana huko hawaendi kuwatetea binadam🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @RehemaSalamba
    @RehemaSalamba 24 дні тому

    Hiyo 17 nimeipenda

  • @user-qi8ct9zk2h
    @user-qi8ct9zk2h 3 місяці тому

    Wish was born there❤

  • @amanhassan7460
    @amanhassan7460 4 роки тому

    hyo number 7 sheria ni nzuri

  • @hhusseinsherally8554
    @hhusseinsherally8554 4 роки тому +1

    Safi sana
    Lakini mbona unarudiarudia dini umesema zaidi ya mara mbili pia unasema hii ya mwisho lakini bado unaendelea bro acha kuchanganya kuchanganya

  • @beliusdaud4866
    @beliusdaud4866 4 роки тому

    Daaah that is very crucial to know

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 роки тому +2

    Siyo kweli kuhusu biblia,korea kaskazini kuna makanisa,mambo mengi unayosema hapa ni copy and paste toka kwenye propaganda za marekani

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 роки тому +17

    Usiri wa nchi yao ndio maana Wamarekani wamewashindwa. Raisi wao mwenyewe nalingana nae😂😂😂😂

  • @magembemartinimartinimagem5269
    @magembemartinimartinimagem5269 3 роки тому +1

    Nice

  • @zkiduku4068
    @zkiduku4068 4 роки тому +1

    Daah bora nilivo zaliwa Tanzania

  • @philomenasjohn9083
    @philomenasjohn9083 4 роки тому +12

    Hii ni hatare sana

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому +1

    Dahhhhh hii nchi ni ya kipumbavu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 роки тому

    Sheria nyingn Safi mpk Marekan mwenyew mjuaji kashindwa

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 4 роки тому +44

    NI KOSA KUINGIA MJINI BILA YA KIBALI HII NOMA SANA .

  • @sultansaidisaid-ft6yv
    @sultansaidisaid-ft6yv 2 місяці тому

    althou im rate but god give you longe life

  • @ismailmbogo3408
    @ismailmbogo3408 4 роки тому +9

    Uyo jama ni jini

  • @yohanacharles5758
    @yohanacharles5758 3 роки тому +5

    Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele

  • @aishamustapha7381
    @aishamustapha7381 3 роки тому

    Mmmh!!kweli noma sana

  • @hoseangorokamungumkubwaali8017
    @hoseangorokamungumkubwaali8017 3 роки тому

    That true

  • @robertmrosso2901
    @robertmrosso2901 3 роки тому

    Mtangazaji uko vizuri

  • @tresorkingombe6230
    @tresorkingombe6230 3 роки тому

    Napenda ih yocheriya yakutokuwa nadini wamefanya vizuri madininiya uongo Awa watu awataki danganyiwa nawazungu awataki

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 3 місяці тому

    Kifupi iyo Nchi siwezi kuishi kabisa maana Shelia zimezidi

  • @princessttz1279
    @princessttz1279 3 роки тому +1

    Aaaaa uko noma kuish uko bora ufe

  • @kauresand8181
    @kauresand8181 4 роки тому +9

    Looo bora nilivyo zaliwa Tanzania maaana😕😕

    • @saidathumani913
      @saidathumani913 4 роки тому

      kaure sand duh!!

    • @Urgrlnut18
      @Urgrlnut18 3 роки тому

      Tanzania sihami😂😂😂😂😂
      Korea noma😅😅😅

  • @mwamberengodaven5607
    @mwamberengodaven5607 3 роки тому

    Ao noma

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 3 роки тому +9

    Chadema waende korea😂😂😂😂😂wakirudi waseme tz hakuna democry

  • @justinbara6783
    @justinbara6783 2 місяці тому

    Ungetufungukia na Korea Kusini

  • @angerolucas5203
    @angerolucas5203 2 роки тому

    Mapenzi ya Ina na angero😍😍😍😍😍😍tupa kule🏇🏃

  • @aminajahazi8677
    @aminajahazi8677 3 роки тому

    💯💯💯🤝💯☎️😋😋😋😋💎💎💎💎💎🥰🥰🥰🥰🥰🤩🤩🤩🤩🌞🌞🇰🇵🤝🤝🤝🤝🇰🇵💯💯💯💯💯🌞🌞🌞🎁👌💎💎💎💎💎💎💎💎💫💫🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇵🇰🇵🇰🇵💯👌💯💯🌞🍁🍁🍁🍁🍁🍁💯🥕🥕🥕🥕🍌🍌🍌🍌🍌🍌🌽🌽🌽🌽🌽🌶🌶🌶🌶🥦🥬🥬⚡🌬🌈🌞🚬🚬🚬🚬🚬🚬😋😍❤eeeeeeeeeeeeeeh.eeeeeeeeh💯🌞🚬🚬😋🌈🎎🎎🎎🎎🎏🎏🎏🎏🎏🎋🎊🎊🎊🎊🎊🎊🌞🚬🚬🚬🚬🚬❤🌞

  • @mhthesamemh7303
    @mhthesamemh7303 4 роки тому +2

    Wapo sahihi mm naheshimu sheria zao

  • @khalidali1130
    @khalidali1130 4 роки тому +1

    Mimi nchi ingenishnda ..hata ile ck moja nsingeweza kuushi kabisa bora uwe mfungwa wa Tanzania

  • @kingafrojr6970
    @kingafrojr6970 4 роки тому +4

    I see hatareeeeeeeeeeeeee yani motoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mustafamchucha4199
      @mustafamchucha4199 3 роки тому

      northen Korea wananchi wafungwa kiongozi ckyama motoniwako

  • @rizikiruta4676
    @rizikiruta4676 4 роки тому +8

    Tulete na Korea kusini

  • @JumanneJoseph-jo4yc
    @JumanneJoseph-jo4yc 3 місяці тому

    Bora ata nngezaliwa huko mana sheria zao nzuri sana c huku TZ

  • @dearmama7865
    @dearmama7865 4 роки тому +15

    Sheria hizo zikiletwa tz watakaoish town Ni 20%

  • @saidiyusuph964
    @saidiyusuph964 4 роки тому

    Hongera,sana! Ila nawachukia wanaobeza wakati hawajui chochote!

  • @IsdorWisdom-ti4uf
    @IsdorWisdom-ti4uf 2 місяці тому

    ❤❤

  • @rashidbakari4882
    @rashidbakari4882 4 роки тому +2

    Natamani izo Shelia ziwepo Tanzania hasa uhuru wa Kuvuta Bangi

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 роки тому

    Corea ya kaskazini safi sana wallah raha sana kuishi

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron9659 4 роки тому +8

    Haki za vyombo vya habari mbona hawaendi huko wakakione cha moto, wanatuparamia tu afrika maana walishatuona sisi hatunazazo,

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 4 роки тому +8

    Yaan tanzania watu wanasema et makanisa mengi misikiti mingi ila mm nakuambia makanisa na misikiti ndo inareta amani na upendo tushukulu sana tz tunaimani na fraha sana

    • @kazimilpaschal2344
      @kazimilpaschal2344 3 роки тому

      Hamna kitu Kama hicho kwenye makanisa ndo Kuna uovu

    • @MAINA_THETHERE_1704
      @MAINA_THETHERE_1704 3 роки тому

      Religion is the worst enemy in the world

    • @abiadhaathumani7526
      @abiadhaathumani7526 3 роки тому +1

      @@MAINA_THETHERE_1704 sisi tunaishi Botswana hakuna misikiti mingi wala makanisa mengi na wala wananchi hawana imani sana za dini lakini ktk ukanda wetu Wa Sadec ndio nchi inayoongoza Kwa amani

    • @MAINA_THETHERE_1704
      @MAINA_THETHERE_1704 3 роки тому

      @@abiadhaathumani7526 that's is the way, dini hugawanya watu

  • @lauedwardwilliam8582
    @lauedwardwilliam8582 4 роки тому +2

    Kwenye TV ya serikali noma sana😂😂😂😂

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq 8 місяців тому

    asanti Sana kwa kutuelimiza

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 4 роки тому +8

    Hii ya kutoroka jela aadhibiwe hadi mjukuu

  • @taucymadebe7133
    @taucymadebe7133 4 роки тому +1

    Hahahahahaaa, no kubusu no ku'hag daah!! Ingekuwa bongo mbona ingekuwa ni noumaa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 3 місяці тому

    Wavuta bangi wote ni wenda wazimu na wewe unatamani kuwa moja wapooooooo.

  • @hahmadhabibu2076
    @hahmadhabibu2076 4 роки тому +4

    Hata CANADA bangi ni legal..watu wanavuta bangi wazi kbs

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 3 роки тому +1

    Kwa mfano nikiambiw nichague nchi ya kuishi mbali na tz mi nachagua korea 🤣🤣

  • @salomemukani1627
    @salomemukani1627 4 роки тому +1

    Kweli kuishi kwingi kuona mengi nime chukia kila kitu ata nipewe bure siwezi chukua ati bibilia kumiliki nikosa wa ipo siku yata pita.2

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 4 роки тому +1

    Bangi ajawai mwacha mtu salama sheria bangi ikatungwa na wavuta bangi mambo moto mjini akuna kukaha kama auna kibali korea shikamo 😂😂😂😂bangi bangi achie korea peke dio wanaweza kuivuta na kuifanyia kazi