Professor Jay Feat Walter Chilambo - SIKU 462 ( Official Audio)
Вставка
- Опубліковано 10 гру 2023
- #Caling #ProfessorJay #Alikiba
Callingby Professor Jay Feat Harmonize (C) 2023
Calling OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz
127 days in ICU..God is really Alive.Nimejifunza kitu kupitia kwako Prof.With God everything is possible
Dahhh wimbo unanipa huzuni na hofu.... Tumrudie Mungu na kutenda mema angali tukiwa hai
Pole sana Professor Jay Mwenyezi Mungu akuponye urejejee katika hali yako kama zamani. 🙏
Kumbe Kaka Jay angali mzima. Asante mungu nafurai sana kwa iyi ngoma support zangu zikufikiye Niko Congo Kinshasa 🇨🇩
Hakika mungu muache aitwe mungu
In God We Trust Our Legend Lord Protect You Jay , Mungu Akulinde Na Akupe Nguvu Na Akili Nying 🎉🎉🎉🎉
Mungu anaweza yote big legend professor Jay karibu tena ndani ya bongo fleva
Mwenyezi mungu azidi kuku ponya urudi sawa professor God is good🙏
Ukweli daktari kazi yake ni kutibu ila kupona ni kwa nguvu za Mungu🙏🙏Real testimony from our legend be strong professor Jay
🙏🙏Amen 🙏🙏
Mungu ni Mungu
I lealy love you bro Allah azid kukutunza inshallah
Uyu Mungu mzima mzima
Mungu Akujarie Urudi Katika Hali Yako Uwe Imara✊🔥🙏
In God We Trust Our Legend No One Like You, I'm Proud Of You Kila Atuwa Duwa 🎉🎉🎉🎉🎉
Aseee, Mungu hujibu pale pasipo na majibu na huleta tumaini pale pasipo na tumaini.... live long Prof Jay
Asante boss wa hip hop umerudi nakuombea kwa mungu uendelee kulikava haraka,nashukuru sana
Asante mungu kwa upendo wako 🙏🙏🙏
Mungu ana haja na wewe
Tumshukuru Mungu sana kwa kulinda salute kwake sana
Allah Akbar akika allah n muwez w kila jambo kak mung anakupend kakup mke bola angekuw mwingn angixh kukimbia God bless you
Mungu akulinde na kila ubaya wote wa walimwengu bado tunakukubali from Zanzibar visiwani ebhana ee .God bless u
Daaaah God is a live utasimama na utatembea tena❤❤❤❤😢😢😢
Proff mungu yupo, huo ni ushuhuda tosha
God is Great
Mungu ni mwema kila wakati hakika mkono wake unaweza kuokoa🙌
God bless you big brother
Pole Sana Kaka,,,
Mungu ni mwema kwetu sote ashukuliwe yeye aliye juu kwa kukuponya Kaka🙏🙏
May God continue to protect you, great lord❤❤❤
Daa😢😢😢 upone2 bro
Uweza wa Mungu hauchunguziki "Barikiwa sana professor Jay
🙏
Godz great 😢😢😢ni ngumuuu
Shalom, Shalom big brother,wewe ni mpiganaji , Mwenyezi Mungu akuonekanie bro.Amen and Amen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeen God is Greattttt
My champion professor is back, congratulations sir
Mungu ni mkubwa, qcha mungu aitwe mungu....❤❤🤝👍👌
Acha Mungu aitwe Mungu.
Hakika tuna deni kubwa kwa Mungu kwa mema anauotutendea, je,tumrudishie nini zaidi ya kumtukuza na kumuimbia.
Mdg wako kwenye game la muziki kutoka mbeya vant boy pore sn kk nirikuombeya sn ujumbe mkari sn bira mungu hatuwezi kamwe ipo siku nitakuona kk💓🩸🤍🎙️🎙️♥️
Mistari
I'm happy to see you "grinding" again God is great 🙏🏿
Since drc🇨🇩, love u prof jay may the Lord mighty still to protect u.
omoni eeh
God above all 🤲
Madaktar Wana tibu Mungu ndio Anaponya
Good song brother Always GOD is great 👍
Jamani hakika ashukuriwe mungu na pole sana mh; Josephu Haule
Mungu ni mwema Kila wakati 🙏🙏🙏🙏
Naamin utasimama tena utainuk tena Kwa uwez wa mungu na sautipia itarudi Kwa uwez wake mungu mungu pekee ndio mponyaji wa afya zetu tunafurah kusikia tena
Only uuuu Gof
Alhamdullillih mwenyezi MUNGU huyu jamaa sauti imeludi vizuli sana kulicon mwanzo MUNGU azidi kukuweca sawa maaana wew NDiyo kioo cha wasani wegine hawa wanajitapa to lakin wew NDiyo 👑 wa mziki MUNGU aendelee kukuweca sawa prof.jei
👏👏👏👏
Big project, shout out
Pole sana my brother mungu atakuweka sawa ❤❤❤
😢😢😢pole sana kaka mungu yupo
Mungu aitwe Mungu hakuna jambo lolote linashindikana kwa mwenyezi Mungu
acha MUNGU aitwe MUNGU...AMINA.
Amini miujiza ya mungu amini kuwa Dua inageuza kadari ya mungu kwani kuna watu wema walikuombea na mungu harudishi maombi yao mungu akujaalie afya professor jay usimame tena
Pole sana mungu kakupigania upo hapo ulipo🎉
Mungu anayetujua zaidi ya nguo za miili yetu Aendelee kumpa prof.jay maisha jamani bado Tz inamuhitaji sana
Good music kenya is here
😭😭😭😭 pole sana
pole sana kakangu mungu bado anakupenda inauma kiukweli❤❤❤
Pole sana
Mungu Mwenye huruma na anaye upendo wa dhati atakuimarisha Professor Jay
HII NI ABULM YA MWAKA
Legend for life
Hakika madaktari wanatibu na Mungu ndiye anaeponya.
Always binadamu tumefocus kutafuta pesa na Maisha mazuri ,kumbe vyote sio kitu Mungu tupe mwisho mwema
Mwache MUNGU aitwe MUNGU ,,,,God bless you Professor J 🙏
Mungu yupo anatulinda.
Mungu ni mwema
Man God is great!! Professor jay, wewe ni wa Mungu.
We proud of u sir J ...mungu akunusuru kwa sanaaa your blood I feel that song really....sir j... Mungu akuponye mkakaa😢
Mungu azidi kukupa nguvu.
Deus é fiel pra todos 🙏🙏🙏
Dah nani mwengine alietokwa na chozi 😢
kuna mengi tunaweza ku jifunza ku pitiya wimbo huyu✔️dunia tunapita
Mungu azidi kukuponya bado tunakuhitaji tunahitaji elimu yako kupitia mziki.
MUNGU NI MKUU
Ee mungu wewe ni mkubwa
Mungu ni muweza wa yote
Pole sana bro,umeugua sana na mwili kudhoofu,but Akili Iko fiti sana.
Pole San god bless you 🙏
Mungu ni mwema kila wakt 🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Hiyo picha sijaielewa sijui inamaanisha nini
Professor Jay Germany tuko ndani 🇩🇪
inauma sana pole sana kaka angu
Big Up sana
big tune 🔥🔥🔥🔥🔥
God
God is Great. This is a living testimony that God is able. Glory to God almighty
Asante Mungu
😭😭
Kaka J pole kwa magumu uliyo pitia
God i love you yesterday,today,tomorrow for the rest of the day
Me nd Wa kwanza jmn naomb likes zngu 😅
Unacheka nn😮
Mungu akuponye zaidi
Quick recover InshaAllah 🤲🤲
Glory be to God
Pole sana brother
wawooo wawooo asante professor jay
Nimekufundisha kitu. Kutoka Kwa wimbo Huu wenye majonzi mengi