Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
Вставка
- Опубліковано 26 лют 2021
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
Joseph Haule ni mmoja ya binadamu ambao nawapenda sana kwenye dunia hii na huwezi kuamini hata yeye anajiskia hivyo juu yangu, nikiwa naye vibe na story zetu huwa zinabamba sana. Kuanzia story za maisha, muziki, historia na hata kuwacheka watu wakati mwengine, ndo zetu.
Nakumbuka baada ya kumsaka asubuhi moja hivi na yeye kutodaka simu (ambayo baadae aliniambia alimpigia Sallam simu akidhani yeye ndo aliyempigia badala ya Salama), hayo maelezo niliyapata baada ya yeye kukutana na tweet ya kulalamika kwangu juu ya yeye kutorudisha simu yangu.
Tumetoka mbali kiasi chetu, mkubwa kwangu kwa miaka 7 na heshima yangu kwake si ya kupima kwa kisoda. Unaweza ukawa unajiuliza sasa mbona hatukuoni naye na mambo kama hayo (hiyo mambo kama hayo nimeongea kama yeye) well... Urafiki wetu si ule wa kugandana kama kifungo na shati, au kichwa na nywele au kucha na kidole ndugu yangu, urafiki wetu ni ule wa kuendeleza pale tulipoishia na kuangalia na kwa mbali juu ya kitu mwenzio anafanya huku tukitakiana Kheri.
Nakumbuka vizuri mara yangu ya kwanza kukutana na Profesa, enzi za Times FM kule mjini, kipindi hiko mimi ndo nimepata ajira yangu ya kwanza na yeye ndo alikua Msanii wa mooto sana, hard blasters wako na moto wa tipa, na nani ndo kiongozi wa nyika? Nigga Jay. Urafiki wetu ulianzia hapo, na mpaka leo tunamshkuru Mungu.
Ukuaji wake hasa ndo nia na madhumuni ya mimi na wenzangu kuona Prof atatufaa sana kumalizia episode yetu ya 55 na ngwe ya kwanza ya kazi yetu hii. Zaidi kama tujuavyo, hakuna msanii hata mmoja ambaye hajawahi kuvutiwa na hustle zake za kuanzia juzi mpaka leo hapa tulipo. Na hiyo inajumuisha kipaji na UANDISHI ulosimamia kucha. Jay tunakuzimia indeed!
So wapi haya yoooote yalianzia? Mpaka sasa Mbunge nje ya Bunge? Well... Hata mbuyu ulianza kama mchicha, humu Prof anazungumza na sisi juu ya masuala ya familia na safari alizopitia, mikoa aliyowahi kuishi, mahusiano kati ya Marehemu Baba yake na Mama yake, wadogo zake, Kaka na Dada zake, elimu yake, experience yake mjengoni, nini maana ya baadhi ya vitu na mambo aliyowahi kuyapitia. Pia tuliongelea kupatikana kwa binti yake pekee Lisa, jinsi alivyokutana na mke wake, kipaji chake, kwanini Mikumi na kwa mbaaali uchaguzi mkuu uliopita.
Profesa ni mwana flani ivi ambaye toka zamani ramani ya mambo yake yako mfuko wa nyuma, kupotea au kupoteza malengo si jambo rahisi kwake, labda kuchelewa tu kwa hayo aloyapanga. Na hivi sasa kwa miaka mitano hii ambayo yuko nje ya bunge, pengine ndo wakati wetu wa kufaidi kipaji chake na kuokota mawili matatu kwa wale wote tunao muangalia na kupenda nyenendo zake.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Розваги
Prof. Ajengewe mnara Ni msanii ambye kautoa mbali sana huu mziki. Kipaji chake nikubwa mno👏👏
Profesa j nakusiliza machozi yanatoka good memory
Hapa natamani kumsikiliza Nature, tujue ilikuaje enzi zile za Tmk wanaume mpaka Tmk wanaume halisi mpaka ile ishu ya kufukuzwa studio kisa amevaa ndala... #sendtip #salamanaNature
Leo mapema tu...likes kwa wote walioielewa hii interview
Daaaaaaa!!! Jay anaongea facts, yupo real, Hana maringo, Jay ananiinspire sn
Mbunge nje ya bunge the heavy weight MC I preciate brother💪.
Prof Jay - the most credible, wise and consistent bongo musician of all times.
Fid-Q - the most intelligent bongo musician (and possibly with the highest IQ) and the best rapper of all times.
P-Funk Majani & Mater-J - the best bongo producers of all times.
TMK wanaume & East Cost - the best bongo groups of all times.
Respect from Congo 🇨🇩 tunapendaka music yenu sana huku East of Congo.
Fanya research bro
@@nicholasmakule2381 do some research first and then write not just to the ghosts
I'm first view salama tuletee na mtu mzima P funk majani please 👍
Mwana muziki Wa hiphop ninaekukubali tangu nianze kukusikia Mpaka Leo,u deserve that name professor🔥🔥🔥
Professor jay naweza msaidia ndani ya cku 24 aweze kipungua uzito wake na aweze kumantain hiyo 0789650225
Salama bonge la mwana habari. Good IQ.
Salama we chupi sanaaa.. Ume nufuraisha sana.. Eti piza ina pikwaje.. J na yeye dah inapigwa PAH.. i love you both.. St8 from UK🇬🇧
Nakufagilia Profesor J. "Your legend of Bongo Flava"
Salama 👌👌
@🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Mbna Raha sana..prfs j..hauzeeki toka nakua hadi leo upo vzri.maisha maref kwko
Magufuli hana ubinadamu na huruma alikua nao Kikwete Allah ambariki yule mzee
First Tanzanian artists i known about, This is the Heavyweight MC boys! This guy is a Legendary 💪💪💪
Mgodi unaotembea, my favorite rapa in tanzania
Profesa ni legend much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunawakubali sana wanetu wa mtaa ila mlitusahau mlipofika mjengo hadi mkadiriki kusema mmepata wana wengine wakina Chenge... Ilibidi mtuoneshe bado mpo na sisi wanenu wakina Nature wakina Afande wakina Mkoloni, zaidi mliwabwaga wanenu.
Wala tusiwasifu sana mlizingua kwa upande flani halafu Pro upo vizuri kwenye speech zako hapo ila unaiweka mbele sana hali yakujisifu...
Hongera Dada Salama kumleta huyu Mzee. Respect Bro
Salama ni mnoma. Jinsi alivyolichomeka hilo suala la pizza🙌
MP nje ya P
The real MC El Prof
Nimekubali sana hii!
Salama bigup km zote...
Prof akili kubwa ( sound mind)
Dream always come true 🔥🔥🔥🔥 nilikuwa natamani sanaaa hii kitu... Salama na profesa Jay... Congratulations sister salama
Tuletee Baba Levo tena siku nyingi hatucheki 😂😂
Huwa na enjoy Sana interview za professor Jay
Hk salama n bonge la kpnd lnatufunzaa meng kwel kwel asante.
Nimecheka sana. He is a legend.
Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷
Sart sana PJ hauna majivno! Bomba za Maziwwa, nchinzimaaaaaa, safiiii!!
Salama ur too genius real appriciate
respect profesa jay may the lord bless you keep you safe and give you peace
Good Pon't kuhusu Lunya na con boy waige hvo anaongea mzee J mnyama
Prof nakukubali Sana bro,,nakumbuka miaka ile unatangaza majiko ya ges umevalishwa nguo za kike 😁😁😁😁😁
😁😁😁😁😁 nakumbuka hilo tangazo ni la siku nyingi sana
Prof. Jay is a good story teller. Big up bro.
Salama kipid chako kinakuwag jumagap na sagap
Salama is a superb interviewer.
aliye vunja kitanda kama mm like comments
Salama nakupenda bure
Nice interview nakubali sana professor j
Prof Jize is My role model Ever🔥
Salama una kazi kubwa sana kumsikiliza mtu dakika zote na una get na maswali on it 😁😁 mi ningekuwa nasinzia yaani😎
Lol!!
Salama naomba umlete Pfunk na Chidi Benzi, itakuwa hot
Alie skia lutengano high schoool mbeya tukuyu twende sawaa
Salama namkubali sana kwenye kazi zake. As a reminder, Salama naomba sana ktk list yako ya ratiba, umuweke Afande Sele msanii mwenye busara sana pia kama hao wakina Prof n.k...
Mbunge nje ya bunge umeeleweka sana
Salama
Mbona kimya sana. Sipata Ep nyingine
Wamitulinga💥💥
Nmekukubali sana professor kwa kusema ukweli kuhusu uchaguz wa 2020
Sema kitanda baba shikamoo
Professor " Bado sina chochote unataka nisote unafaidika nn ukiniona sipo popote kiumbe mwenye akili butu na roho za kutu "
Big love broo
Nzuri sana
Majinaa ya vyakula. 🤣🤣🤣
Legendary
Naombeni sapoti yenu karibuni kusubscrine kwenye channel yangu kutazama video za ubunifu wa majengo mbalimbali.
Pendeza muzungu 💕
jamani "nikusaidiaje" days! I love the song mpaka leo
I like this guy 🇧🇮❤️
Interview kubwa sana hii 2021 prof jizeeeee
Nice sana
A LIVING LEGEND!!!!
Salama will never live out a question you wanted an answer too... I guarantee
Nimejifunza kuna watu hukutana kabla ya wao kuwa this big
Keep it up salama.
Salama acha kumchanganya mheshimiwa na kupika piza wapi na wapi
Mlete Jay Moe
Tafadhali Salam tunatamani utuletee chid benz
Allah akupe shifaa brother, una comedy ndani yako Pf jz
wewe ni genius
Nimeipenda sana hii episode. Mbunge ana mambo mengi mazuri. Big up Salama kwa kazi nzuri. Alafu katika ile changia changia ningependa kukuona unakaa na Nikki Mbishi au One the Incredible.
Hata mie nishamwambia aache utofauti One The Incredible na Nikki mbishi waje apa
Brother 4 life jay
Salama tunaomba tulete King Kong " Chid Benz"
Na TID mnyamaa😂
RIP DJ Omy ulinipa sapoti sana wakati naimba kaka
Leo nmewahi na mm
j buana very confident
Na hio kilo lazima kitanda kivunjike
G.O.A.T 👑🐐✊🏾✊🏾✊🏾💪🏽💪🏽💪🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥💯💯💯
@Salama I’m not sure if you usually read comments however, will go ahead and drop it. Prof sounds like a real man/human who speaks from his heart regarding something his passionate about. He got lost into it. I like it, although this might not be the right place to speak that deep about MIKUMI ( apologies if misspelled) but it certainly the right time. If I’m not mistaken, @Salama , the face and expression recognition /psychological book you have been glancing on are being very helpful in terms of saving time on this emission. I love how you took him off course and derailed him from going even deeper into his feelings. If all things @Salama , you decided to come up with PIZZA cooking methods?🤣🤣🤣🤣. But anyway, he noticed and it worked. So it’s a win-win .
😂😂😂 niliona pia baada ya kuona prof anaongea kwa hisia na anaenda deep sana kwenye hiyo topic
Ukiwa na kipaji utafurahia maisha yako milele na milele
Hahaha jamaaa kaongea mambo ya siasa sana mpk salama kamuamisha mada
Salama wejama itachukua muda Sana kupata mtu Kama wewe, unaisha na utamuwakoo.
Ngoja nisikilize kwanza
Just Love This Show:-
Prof. Jay 💥
Professor jay babaaa..
Tuleteee na unju@nikk mbish
Eti Mpitimbi 😀😀😀😀😀
Sooo BiG ❤
Marufuku kukata tamaaa tulio skia hyo!* Like
I love this interview.
Next salama na Adam Mchomvu
🤣🤣mitama
safi
hapo mwenye scratch za mdomo nmeskiliza zaidi ya mara 5
Salama show zako Zina na maswali ambayo Kila mtu hujikuta umemuulizia yaani Raha tupu
Jamani Salama, Leo Jessica umemuweka wapi????
Nakukubali sana mwamba,ndio mzee
Salama niletee JB -Jacobo Steven
Prof J
1995wengine hatyujazaliwa😂🤣🤣🤣😅😅😅😅
leo Jessica ayupo
😂😂😂mkavunja kitanda
2namuomba na chuma kingkong