EXCLUSIVE NA CHID BENZ AFUNGUKA "ROMA HAJANILIPA, NILIKUWA NA HELA NYINGI ZAIDI ALIYONIPA GEORDAVIE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2024

КОМЕНТАРІ • 286

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 6 місяців тому +36

    Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him

    • @mcnyota
      @mcnyota 6 місяців тому

      God*

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 6 місяців тому +5

    Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 6 місяців тому +8

    Chid Benz
    Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 6 місяців тому +9

    Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah

  • @ngellamickyofficial
    @ngellamickyofficial 6 місяців тому +14

    Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid

  • @whiteAfrican83
    @whiteAfrican83 5 місяців тому +1

    Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu
    Respect bro

  • @dj_jmoon_tz
    @dj_jmoon_tz 6 місяців тому +5

    Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 6 місяців тому +11

    Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.

    • @modelka222
      @modelka222 6 місяців тому +1

      yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e 6 місяців тому

      Ujumbe mzuri sana

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 6 місяців тому +17

    chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo

  • @venasalbert3930
    @venasalbert3930 6 місяців тому +34

    Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.

    • @user-wt9nd8bh2h
      @user-wt9nd8bh2h 6 місяців тому

      President of Dar City

    • @Whoisthismantalking
      @Whoisthismantalking 6 місяців тому

      broken watch tells right time twice a day.

    • @user-qs8td6yt4x
      @user-qs8td6yt4x 6 місяців тому

      Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa

    • @jdanny497
      @jdanny497 6 місяців тому

      Well said

    • @uwezokinahi7870
      @uwezokinahi7870 6 місяців тому

      This dude is smart

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e 6 місяців тому +9

    Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 5 місяців тому +1

    Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute

  • @user-hj6yd6jb6x
    @user-hj6yd6jb6x 6 місяців тому +3

    Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa

  • @sydneympiluka7959
    @sydneympiluka7959 6 місяців тому +2

    Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤

  • @user-vo7zt3ph2g
    @user-vo7zt3ph2g 6 місяців тому +3

    This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma

  • @Pathro_Cavosia
    @Pathro_Cavosia 6 місяців тому +6

    Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.

  • @ZabourahIthnain-cz5vm
    @ZabourahIthnain-cz5vm 5 місяців тому +1

    Chidi for life

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 6 місяців тому +20

    Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani

  • @stephenmwanzake
    @stephenmwanzake 6 місяців тому +3

    Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 6 місяців тому +1

    STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”

  • @Mwenyekiti1118
    @Mwenyekiti1118 6 місяців тому +3

    Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 6 місяців тому +7

    Chid safi hiyo nimeikubali sana

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 6 місяців тому +4

    He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔

  • @aishamohamedi362
    @aishamohamedi362 6 місяців тому +2

    Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen

  • @MulababazOG
    @MulababazOG 6 місяців тому +2

    Chidi benz noma sanaa
    Bonge la genius

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 6 місяців тому +5

    M
    Ayo Tv
    Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏

  • @mikasiadventures6709
    @mikasiadventures6709 5 місяців тому +1

    Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊

  • @waelewaclassic1824
    @waelewaclassic1824 6 місяців тому +2

    Jamaa yuko Sawa Sana..!
    NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 6 місяців тому +2

    Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.

  • @agustinealberty
    @agustinealberty 6 місяців тому +1

    am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana

  • @officialchidibenz
    @officialchidibenz 6 місяців тому +6

    Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.

  • @Sebastian-ul7wg
    @Sebastian-ul7wg 6 місяців тому +5

    Legendary welcome back brother

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz 6 місяців тому +4

    This guy ni genius

  • @fischerkashaija3214
    @fischerkashaija3214 6 місяців тому +29

    Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan

  • @richie_Jk
    @richie_Jk 6 місяців тому +4

    Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo

  • @catewahu6860
    @catewahu6860 5 місяців тому +1

    Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 6 місяців тому +4

    P1 sana chidi, big up sana mzee

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 6 місяців тому +4

    Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman 6 місяців тому +3

    Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉

  • @damianjeremia3821
    @damianjeremia3821 6 місяців тому +1

    Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉

  • @Daladalamedia
    @Daladalamedia 6 місяців тому +1

    You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 6 місяців тому +5

    Chidi benzi❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥❤️❤️

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 6 місяців тому +8

    Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela

  • @linusjoseph8454
    @linusjoseph8454 6 місяців тому +1

    Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 6 місяців тому +2

    Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 6 місяців тому +1

    Chiz sio mbinafsi 100 💯

  • @alexwatae3165
    @alexwatae3165 6 місяців тому +21

    Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie

  • @hari_meshi
    @hari_meshi 6 місяців тому +12

    Drugs are a bad thing to human

  • @kalmaarufuofficial74
    @kalmaarufuofficial74 6 місяців тому +1

    Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥

  • @Immahjr
    @Immahjr 6 місяців тому +9

    Chid Benz mtu poa sana

  • @minhokid
    @minhokid 6 місяців тому +1

    Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 6 місяців тому +3

    Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p 5 місяців тому +1

    Nice chidbenze👍

  • @VicentMillanzi-tw9qe
    @VicentMillanzi-tw9qe 6 місяців тому +3

    Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 6 місяців тому +3

    Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 6 місяців тому +8

    Bro we Roll❤❤

  • @roberttaigo9216
    @roberttaigo9216 6 місяців тому +11

    jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 6 місяців тому +1

    Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.

  • @demask3423
    @demask3423 6 місяців тому +4

    Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.

  • @noelkibere8208
    @noelkibere8208 6 місяців тому +3

    Ushakuwa wenge BCBG aisee

  • @JonathanNsweve
    @JonathanNsweve 6 місяців тому +1

    Chini ni noma

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 6 місяців тому +2

    We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli

  • @michaelvincentmhagama337
    @michaelvincentmhagama337 5 місяців тому +1

    Upholding humanity

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 6 місяців тому +2

    CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA

  • @nyamweririchard5945
    @nyamweririchard5945 6 місяців тому +5

    Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo

  • @user-rg5dm9mr4u
    @user-rg5dm9mr4u 6 місяців тому +4

    Kama unaamini chid madawa yamemzid nguvu gonga like😢

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa 6 місяців тому +2

    Safi sana aiseh

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 6 місяців тому +1

    Chiz Benz big up bro

  • @emmanueljackson5445
    @emmanueljackson5445 6 місяців тому +1

    Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 6 місяців тому +2

    Mungu amsaidie.

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 6 місяців тому +2

    Nyie chid hayupo sawa😕

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 6 місяців тому +4

    Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 6 місяців тому +4

    Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda

  • @user-kx1ou3ez7q
    @user-kx1ou3ez7q 6 місяців тому +1

    Jomba ni noma sana Benz

  • @hclever7731
    @hclever7731 6 місяців тому +3

    Et pipa na mfuniko😂😂😂
    Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 6 місяців тому +1

    Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu

  • @salimaziz9858
    @salimaziz9858 6 місяців тому +3

    Kuna kipande kimekatwa 16:58

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x 6 місяців тому +2

    Salute bro

  • @ramadhanomar8346
    @ramadhanomar8346 6 місяців тому +1

    It is about love

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 6 місяців тому +1

    Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂

  • @DanielMarwa-ep8qr
    @DanielMarwa-ep8qr 6 місяців тому +1

    King kong❤

  • @chiefkissensi
    @chiefkissensi 6 місяців тому +5

    Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa.
    ChidKing🇹🇿

  • @bedastusmichael7811
    @bedastusmichael7811 6 місяців тому +2

    Chidy unasumbua sana broo.tishaaa

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 6 місяців тому +2

    I like this

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 6 місяців тому +8

    😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs 6 місяців тому +1

    Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤

  • @williamdungumaro6668
    @williamdungumaro6668 6 місяців тому +2

    Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem

  • @Yb_the_killer
    @Yb_the_killer 6 місяців тому +2

    Chid Benz king Kong chumaa...He come back in town 💥🔥🔥

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 6 місяців тому +3

    Jamaa yuko really sn 🇶🇦

  • @mackhanssa2484
    @mackhanssa2484 6 місяців тому +4

    Anakula KWA hasira sana😂😂😂

  • @nelsonkilasi979
    @nelsonkilasi979 6 місяців тому +3

    Chidi anaelewa anachofanya usimfananishe na Rapper yeyote huwa nasema jamaa ukiondoa mizaha hakuna anaeifunika hip hop yake ht siku moja

  • @user-wu4eq1tv4h
    @user-wu4eq1tv4h 6 місяців тому +1

    Chid me shabik Yako kitambo na bdo cjakuchoka ..ila kuusu Ile video ya kuomba pesa Ile nitakwel bhana

  • @AmaniMcharo-wn3ul
    @AmaniMcharo-wn3ul 6 місяців тому +5

    REspeCt chid benz 😂😂😂

  • @mengipeter9598
    @mengipeter9598 6 місяців тому +2

    Mwamba karudi

  • @smilereigner
    @smilereigner 6 місяців тому +2

    Pipe na Mfuniko😅😅😅

  • @isalohsk4762
    @isalohsk4762 6 місяців тому +2

    Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact

  • @pajokakasasa
    @pajokakasasa 6 місяців тому +4

    Chidy akili nyingi sana

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 6 місяців тому +5

    Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 6 місяців тому +10

    Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!

    • @Josephkp629
      @Josephkp629 6 місяців тому

      Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha

    • @filberth_Mchilo
      @filberth_Mchilo 6 місяців тому

      Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅

    • @WaziriRamadhan-ML
      @WaziriRamadhan-ML 6 місяців тому +1

      @@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu

    • @FadyFs
      @FadyFs 6 місяців тому

      @@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?

    • @snaidertv1857
      @snaidertv1857 6 місяців тому +2

      Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 6 місяців тому +2

    Fact