Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
God*
Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
Chid Benz
Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu
Respect bro
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
Ujumbe mzuri sana
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
President of Dar City
broken watch tells right time twice a day.
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
Well said
This dude is smart
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
Chidi for life
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
Chid safi hiyo nimeikubali sana
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
Chidi benz noma sanaa
Bonge la genius
M
Ayo Tv
Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
Jamaa yuko Sawa Sana..!
NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
Legendary welcome back brother
This guy ni genius
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
Nipe top 2 yako walobakia
Unju na Fidii
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
P1 sana chidi, big up sana mzee
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Chiz sio mbinafsi 100 💯
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
I love this 😅
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
Drugs are a bad thing to human
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
Chid Benz mtu poa sana
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
Nice chidbenze👍
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka
Bro we Roll❤❤
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
Ushakuwa wenge BCBG aisee
Chini ni noma
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
Upholding humanity
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
Kama unaamini chid madawa yamemzid nguvu gonga like😢
Safi sana aiseh
Chiz Benz big up bro
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
Mungu amsaidie.
Nyie chid hayupo sawa😕
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
Jomba ni noma sana Benz
Et pipa na mfuniko😂😂😂
Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu
Kuna kipande kimekatwa 16:58
Salute bro
It is about love
Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂
King kong❤
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa.
ChidKing🇹🇿
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
I like this
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem
Chid Benz king Kong chumaa...He come back in town 💥🔥🔥
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
Chidi anaelewa anachofanya usimfananishe na Rapper yeyote huwa nasema jamaa ukiondoa mizaha hakuna anaeifunika hip hop yake ht siku moja
Chid me shabik Yako kitambo na bdo cjakuchoka ..ila kuusu Ile video ya kuomba pesa Ile nitakwel bhana
REspeCt chid benz 😂😂😂
Mwamba karudi
Pipe na Mfuniko😅😅😅
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
Chidy akili nyingi sana
Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz
Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!
Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha
Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
@@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?
Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad
Fact