JIFUNZE KUKAA KIMYA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2021
- Pamoja na nguvu ya Mungu iliyokua juu ya Mariamu mpaka kuumba kitu ndani, Mariamu alijifunza kufunga mdomo.Kitu cha muhimu na cha kuzingatia, jifunze kufunga mdomo. Sio kila anayekupongeza kwa mazuri yako, anakufurahia kutoka moyoni.Mariamu hakumueleza kila mtu kuhusu kitu alichokibeba, kulikua na mtu sahihi aliyeandaliwa ku-share naye jambo lake. Elizabeth aliandaliwa kwa ajili ya Mariamu.
Ukiona unatumia nguvu kubwa kumshawishi mtu aamini kuhusu maono yako, ujue hajaandaliwa kwa ajili yako. #PastorSunbella#Jifunze#KukaaKimya
Mungu nisaidie kuanzia leo ninyamaze kwa jina lá yesu
Mungu nisaidie nijifunze kutunza siri
Mungu nipe neema ya kunyamaza ni tatizo langu kubwa nawashwa San mungu wa madhabau hii nifundishe kunyamaza
Mungu wangu nisaidie nisiongeeeeee kila kitu.
From experience nimejifunza kunyamaza kwa yote, nimepitia usaliti mwingi maishani but nashukuru Mungu cz it made me Wiser, my life and secrets are safe with God! Asante kwa kunikumbusha haya
Eee mungu🤲 nisaidie kutambua jinsi ya kutunza Siri, nawoto nilio waambia yasiyo stahili, Mungu naomba uni epushie Hatar zote mbaya wanazo niwazia ktk maisha yangu Emen🙏
Wamesahau kwa jina la Yesuu!
@@viddamgeneka8881 🙏 Amen Asante nashkulu 💯🙏
Mungu nifundishe kukaa kimnya katika jina la Yesu
Amen
Amina Mtumishi umenisaidia sana naomba uniombee ili nifikie malego yangu
Kuanzia Leo nitajifunza kukaa kimya ktka maisha yangu god bless you
Ni vizuri sana na mm nakuombea kheri kutoka kwa mwenyezi mungu
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Amen 🙏 mtumishi wamungu,kuanzia leo nitakaa kimyaa 😷
Hakika nimejifunza pia
Napenda unavyofundisha neno Mungu
Nimekuelewa mtumishi wa Bwana, Mungu akubariki sana
Mariamu alikuwa na akili nzuri ndiyo maana Mungu aka mchagua kuwa mama yake Yesu.Abarikiwe mama mtakatifu
Amen barikiwa Sana pastor Sanbella 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. nmejifunza kufunga mdomo wangu..ujumbe n mzur sana
Kaka mchungaji nakuonmbea mungu akupe nguvu ya kupunguza mwili.kwa afya tunakuhitaji sana mchungaji.
Hahaa! Dunia nzima wote waweza kuwa wembamba? Mungu aliamua watu wawe tofautitofauti.
Yamkini ni unene wa kuzaliwa maana kazi ya Mungu sio rahisi, ina hekaheka sana. Wee unadhani anavyotembea hapo hadi akimaliza kuongea si atakuwa amesafiri Moshi to Arusha!!!
Huyu mtumishi wa Mungu ana neema ya ajabu ata akiwa jinsi alivyo.
Asking God for wisdom, to know when to talk what to say and to who. This preaching has touched on me
AqA
Me too for sure
Pastor you are right.....work hard in silence ...,.let success make noise.
Be blessed Man of God
Nami somo hili ni langu naomba mungu awafunge mdomo wale marafiki zangu wabaya yesu nisaidie🙏
Bwana YESU nisaidie kukaa Kimya ktk maisha yangu.
Amen. Ni kweli mtumishiii Mungu naomba unisaidie kutunza Siri.
Hakika unanifundisha sana mtumishi na UBARIKIWE sana uwe VIWANGO na VIWANGO
This Pastor can real preach, he follows the steps of apostle Christopher Mwakasege.. can someone share his location please?
Sinza mori, opposite na la chaz bar
Reality of Christ Ministry (ROC) Lipo sinza Mori karibu na ofisi za Tamwa
Dar es salaam
Eeee mungu nifunze kunyamanza
This hit me hard oh LORD help me to stay SILENT
Amen🙏
I love him😍...baba Kama ananiambiaa Mimi🙏🙏🙏umejua kuniponyaaa
Baba nimepokea ujumbe kwa mikono miwili 🙏🙏ubarikiwe sana
Ameen barikiwa sana
Wonderful sermon
Somo zuri sana. Mungu azidi kukutia nguvu pastor.
Amen nabarikiwa
Wise people knows how to keep their lives private and being silence
Kweli kabisa.
"An untested friend is just a neighbor",Pastor I am exceedingly blessed by your sermon! May God Bless You!
Ameen hallelujah ❤naona kitabu kina hubiriwa🙏
Ee Bwana YESU nisaidie niweze kukaa kimya🙏🙏
Amen Amen Mtumishi wa MUNGU umenifundisha kitu kikubwa... Barikiwa sana
Amina baba
Amen baba am Amos musukwa from Zambia
Mungu nisaidie niweze kutunza siri zangu hadi za familia yng had watu wengine 🙏
Leo umeongea ukweli ni vizuri kunyamaza sio Kila mtu anakutakia mema.Amen.
Ahsante poster
Mungu nifundishe kunyamaza
Nifundishe kunyamaza YESU 🙏🏾🙏🏾
MUNGU akubariki
Mm ni Muslim lkn nimejifunza kitu pastor ubarikiwe sn kwa maneno mazuri na mungu anisaidie kutunza siri inshaallah
Hekima ni kitu kilichompotea Muislam,popote akikutapo anatakiwa akichukue!!
Asante mtumishi wa mungu
Nifundishe kunyamaza na unipe wepesi palipo na ugumu amen 🙏🙌💖❤👏😊🙏🙌💖
Umeninyoosha akiii mweeh asanteh nimejifunza
Amen
asante baba yangu mungu akupe nguvu zaidi
Asante mtumishii nimejifunza kitu
Truth pastor ...u get me offside surely ntajifunza kunyamaza ... people are not good at all...
Ee Mungu wangu nisaidie, mi pia Nina kiherehere. Nanyamaza kuanzia leo.
Chako kidogo mi changu ndio balaaa😂😂Mungu anisaidie
Nakupenda Sanaa Sanaa pastor
Asante sana iyo nikweli MWENYEZI MUNGU anisaidiye
Pastor miti mingi, ambaye bwana ametuletea
Ubarikiwe sana 🙏🏽
Yaani namuona yeye kabisa🙏
Ameen 🙏 Baba ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Eeeeh mungu wangu nifundishe kunyamanza,
Ni mengi niliyoyaongea Kwa maadui waliojifanya marafiki na yakafeli, nashukuru mungu alinifungua jicho la ndani nikaweza kuona na kutambua
Amen amen
Mungu ni fundishe kunyamanza,
Amen, Amina
Amen mtumishi
Cool.... think it's dope.....💥💥💥
Ameen 👏
I agree with you Pastor, silence is the language of the wise too. N poa kunyamaza tu 😊
Nikweli ni vyema kuwa kimya
Mungu nipe ukimya😊
Mwenyezi Mungu nifunze kukaa kimya
Eeeh mungu nijalie neema ya kukaa kimya,roho mtakatifu nielekeze kwa right friend
Nimejifunza .
Sound like Peter Mitimingi
Amina 🙏
Mungu ni fundishe kunyamanza
Amiin
Barikiwa mtumishi
Nimejifunza sana, be blessed pastor.
Nimepokea 🙏🙏🙏nimejifunza pia nimuhanga pia 😭😭😭😭hasa kwa watu ninao waamini
Mungu akubariki sana
Nimejifunza kitu kikubwa sana katika maisha yangu.......You mean tuwe na upako wa kuficha mambo.Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Love from Kenya, powerful Sir
Come on pastor I feel blessed HALLELUYA
Amina
Amen mtumishi nimepokea
We Mungu wangu nisaidie kufunza kwako
Nifundishe kunyamaza
E Mungu nifundshe Kunyamaza
Ameen
Shukrani kwa somo baba.Mdomo sio mzuri!.
Asante mtumishi😊
Amina, kuanzia Leo nitakaa kimnya nimejifunza
U changed my life from today
Amen amen mtumishi wa Mungu , asante kwa mafundisho mazuri
Bwana Yesu Kristo unirehemu kwa kuto kunyamaza nifundishe kunyamaza naomba neema yako initoshe kunyamaza ninapopaswa kunyamaza. Roho Mtakatifu naomba unisaidie mimi kunyamaza.
Wow what a blessing message
Mungu wangu sisaidiye kbs ndo tatizo yangu hiyo ,Niwezeshe Mungu wangu
God bless you man of God. God help me to keep quiet all the time.
Awesome daddy 🙏🙏😪Ubarikiwe daddy 😪🌹
I normally get alot from your teaching ,may God continue depositing His wisdom a pon your life because of us 🙏🙏
Iapreceit your preaching may God bless you in talent which God has given to you amen
Nifundishe kunyamanza yeah wangu
Mungu akulinde Babaangu 🙏 una fanya kazi nzuri sana katika Kristin🙌🏾🙌🏾🤲🏽 mema nakuombeya Baba 🙌🏾🙌🏾🤲🏽🤲🏽
This hit me hard 🙏
Amen MUNGU nisaidie kutunza siri za mambo yangu
Naamin sijachelewa kuyasikiliza haya maneno Mungu atafanya Amina Mungu nikumbushe kukaa kimyaa
Amen baba. Wewe ni baraka sana kwa kanisa.
Mungu nisaidie sana niweze kufunga mdomo wangu kwa damu ya YESU 🙏
Hili ni somo langu 😭eeh MUNGU nisaidie mwana wako niepushe na mabaya yoote🙏🏼🙇
Amen God is the reedimer at any moment
Amina mtumishi
Ameen!! Nimejifunza sana sana, Mungu akubariki.
Understandable