Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2024
  • Eliud Samwel Mwakasege @eliudsamwel ni msanii mahiri wa vichekesho aliyejpatia umaarufu ndani na nje ya Tanzania kupitia sanaa ya uchekeshaji majukwaani na katika mitandao ya kijamii.
    Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ amefanya mazungumzo na @eliudsamwel ambaye pia ameelezea kuhusu simulizi za Farida (Aunty Ramota) ambazo zimempa umaarufu mtandaoni
    #bbcswahili #tanzania #sanaa
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

КОМЕНТАРІ • 65

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 3 дні тому +5

    Mcha Mungu , ana adabu na heshima, Mwijaku jifunze huku

  • @eligiverkamnde510
    @eligiverkamnde510 3 дні тому +4

    Unamoyo wa kupenda Eliud, kitendo cha kumpa neema nafasi umefanya kama Kristo alivoagiza..ulimpenda kuliko nafsi yako...Mungu aendelee kukuinua❤

  • @smprotz
    @smprotz 5 днів тому +17

    Eliudi yuko smart and real. Nadhani Hii inamfanya asitumie Nguvu Kubwa kuandaa content. Ana KITU maalum atafika MBALI

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 5 днів тому +28

    Kitendo Chakumpa nafasi Neema... Ndicho kimekufanya uwe na mafanikio kias hicho kaka nmejfunza kitu

    • @talentshow2024
      @talentshow2024 4 дні тому +3

      Kweli Eliud alipata Neema kupitia Neema ni somo kubwa kwangu

  • @NijalieMlungu
    @NijalieMlungu 2 дні тому +3

    Jamani Eliud samwel hadii rahaa

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 13 годин тому

    Uko vzuri eliud nimejifunza ktu kikubwa sana mungu akubariki nakufuatilia sana

  • @HannahRichard-ru3rj
    @HannahRichard-ru3rj 3 дні тому +5

    Kumjua Mungu raha sana❤

  • @johnjulliusntwenya4713
    @johnjulliusntwenya4713 21 годину тому +1

    Too smart brother eliudi

  • @salmangwila8062
    @salmangwila8062 День тому +3

    ushakuwa wa viwango vingine

  • @Tonga994
    @Tonga994 6 днів тому +9

    Nimependa interview hii,Pongezi sana Mc Davy BBC

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 6 днів тому +17

    Eliudi kwel mung yupo...umefika HADI BBC....da hongera br.👊👊

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 3 дні тому +2

    Eliud una uwezo mkubwa sana, MUNGU akuinue zaidi akulinde pia, usije ukabadilisha ualisia wako

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii 5 днів тому +8

    Hadi BBC kaka hongera sana home boy❤

  • @mtangag774
    @mtangag774 День тому +3

    😂😂😂😂huyu jamaa comedy sana

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 6 годин тому

    Kaka Mungu akubaliki kaz yako njema

  • @polepolelucas
    @polepolelucas 4 дні тому +5

    Kujieleza kwake tu anaonekana ameiva big up dogo

  • @cmsa1r
    @cmsa1r 6 днів тому +9

    Duh.. huyu kaka!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema 4 дні тому +10

    Ninachofurahia ni kuitambua Neema ya Mungu maishani, unyenyekevu na Lugha ya upendo.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 днів тому +5

    Hongera sana Mr eliud unapambana sana kijana wangu mwaisa

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe 5 днів тому +6

    Very intelligent man. Congra bro

  • @johnjulliusntwenya4713
    @johnjulliusntwenya4713 20 годин тому +1

    Nice interview brother

  • @FPJofficial
    @FPJofficial 9 днів тому +11

    Eliud to the world! 💪

  • @iskiji1240
    @iskiji1240 5 днів тому +7

    Mwaisa mwaka BBC umetoboa mzee. Mungu akubariki ufike mbali zaidi

  • @rehemamwakateba6687
    @rehemamwakateba6687 4 дні тому +6

    😂😂😂kwe jua kali waliongeza taa mbili Eliud jamani sema i appreciate ulijitoa ukampa nafasi Neema lakini Mungu akakufanyia nafasi hongera sana kwa hilo Mungu amekutambulisha!!

  • @EmmanuelKunzugala
    @EmmanuelKunzugala 6 днів тому +7

    aseeeeeeeeeeeee Eliud 🔥🔥🔥🔥

  • @user-gb9zt1kx2b
    @user-gb9zt1kx2b День тому

    We love you, anganile

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 6 днів тому +8

    Unaweza nichekesha nikacheka kumbe nakucheka 😂😂😂😂😂

  • @janethmwansasu5847
    @janethmwansasu5847 5 днів тому +2

    Hongera kijana uko vzr mwaisa

  • @luluray2115
    @luluray2115 4 дні тому +1

    Hii interview nimecheka sana mwanzo mwisho

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick1614 6 днів тому +8

    Kumbe ulikuwa unaenda kuangalia video kwa kina Neema 😂

  • @silverman6930
    @silverman6930 5 днів тому +4

    Host the sound is poor .. get close to the mic man …

  • @godrichmwatindila5690
    @godrichmwatindila5690 9 днів тому +3

    MBEYA CITY ✊🏾🔥🔥🔥

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 5 днів тому +6

    Uyu jamaa ana kipeo😆😆😆 ati ata kwenye Jua kali waliongeza Taa mbili

  • @RoseMwakibete-qx8pw
    @RoseMwakibete-qx8pw 3 дні тому +1

    Taaa is typing ✍✍

  • @focus140
    @focus140 11 днів тому +4

    Am wait

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 7 днів тому +2

    Nakubali kutoka kahama Tanzania

  • @Official83640
    @Official83640 5 днів тому +5

    Dah eti ht jua kali waliongeza taa mbili yaani mtoto wa Kilasa unajua sana😂😂😂😂😂

  • @bahatimwaitenga4488
    @bahatimwaitenga4488 2 дні тому +4

    😂😂😂😂😂kwao tulikuwa tunangalia video jamani Eliud MUNGU awe nawe

  • @NoelKimaro-l3i
    @NoelKimaro-l3i Годину тому

    Yeeea

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 9 днів тому +3

    Namkubali mwamba

  • @ev.eliezangiruketv8902
    @ev.eliezangiruketv8902 3 дні тому +1

    Hongera sana ndugu

  • @luluray2115
    @luluray2115 4 дні тому +1

    Hongera sana kaka

  • @sirajisalai149
    @sirajisalai149 4 дні тому +1

    God bless you Samwel

  • @neemakisaka4089
    @neemakisaka4089 4 дні тому +1

    Hongera sana❤

  • @sayozmediatv6021
    @sayozmediatv6021 4 дні тому +2

    Nice nice ❤

  • @dionisisarwat9478
    @dionisisarwat9478 22 години тому +1

    Interview yenyewe inachekeaha😂😂😂😂

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 15 годин тому

    Kumbe stori ya Neema imeanzia mbali hivi

  • @paulinesekemi7971
    @paulinesekemi7971 8 днів тому +4

    Kwakweli mnachekesha

  • @0610John
    @0610John 10 днів тому +4

    🎉🎉🎉❤

  • @neemasalysaly4332
    @neemasalysaly4332 5 днів тому +2

    Mimi pia msistue farida akija

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 6 днів тому +3

    Et watoto wangu wanyime tu samaki 😅😅😅ila maharage

  • @cyahmkanile8587
    @cyahmkanile8587 5 днів тому +3

    😂😂😂 jmn ety ata kwenye juakali waliongeza taa mbili

  • @paulinesekemi7971
    @paulinesekemi7971 8 днів тому +2

    Elihudi unafikiri vichekesho vinakuza lugha ya Kiswahili zaidi ya Music?

  • @GladysBaritta
    @GladysBaritta 4 дні тому +1

    Hawa watu wambea atari

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 4 дні тому +1

    Ahahha et kingeleza kinavyonza maji

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 2 дні тому +1

    😅😅😅😅😅😅

  • @ElizanaBahati
    @ElizanaBahati 3 дні тому +1

    😂😂😂😂😂

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 5 днів тому +1

    😂😂😂

  • @zephaniapaul9592
    @zephaniapaul9592 4 дні тому +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 7 днів тому +6

    Safi sana Eliud,simama na imani

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 4 дні тому +1

    😂😂😂😂😂😂