MWANAMKE MTANZANIA AJIZAWADIA JUMBA LA KIFAHARI DAR ES SALAAM, MSOMI WA DEGREE ALIYEKATAA KUAJIRIWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 325

  • @nzubukamlekwa2831
    @nzubukamlekwa2831 Місяць тому +28

    Hongera Sana Dada,Wewe nakuchagua MALKIA WA NGUVU kwa mwaka huu,

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Місяць тому +17

    Hongera Sana Mwanangu. Mungu Amekuwezesha kwa kutimiza ndoto zako. Ubarikiwe Daima 🙏

    • @sadamissa5687
      @sadamissa5687 Місяць тому +1

      Njoo tukupe laki mbili baada ya miaka kumi uje na gorofa😂😂

  • @aineakimaro1094
    @aineakimaro1094 Місяць тому +6

    Huyu dada yuko makini, na siyo sana kutokana na shahada, ila mojawapo ya wazazi au wote kwa pamoja ni brilliant, enterprising and consistent,❤.

  • @user-pq1xh5rr5v
    @user-pq1xh5rr5v Місяць тому +7

    Kotana kyaa kotana Kindo Kisha den mungu akupandishe Kwa viwango vya juu zaidi❤

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Місяць тому +10

    Amen🙏🏻utukufu kwako Mungu🙏nami siku moja nitajenga kwangu na nitakuwa boss na mmiliki mkubwa wa mali nyingi🤲🙏🏻❤❤

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 Місяць тому

      Mtu anaamaendeleo kuliko ww unamshurii

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Місяць тому +3

    Mashalah mashalah mashalah.. umejitahidi Sana shost..umeweza

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Місяць тому +3

    Hongera Sana kipenzi..mungu azidi kukubariki na kukujalia...unatuinspire nasisi ..kama mim napenda Sana mambo ya ardhi Yan..namim ninataman Sana sikumoja namm nibulding inshallah

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Місяць тому +11

    Hongera na nisahihi sana kuajiriwa km upo uwezekano vyema sana kujiajir na utakwenda mbali kimaendeleo

  • @user-to4hq3di9k
    @user-to4hq3di9k Місяць тому +24

    Jumba kama la Christian Ronardo CR7 hongera sana Dada natamani wanawake woote wafanikiwe kama wewe Inshallah

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Місяць тому +1

    Asante millard ayo na asante dada wote kwa pamoja mmeniongezea nguvu na imani ya kuongeza juhudi ktk maisha

  • @matildagerase5927
    @matildagerase5927 23 дні тому +2

    MWANAMKE NANGAI🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉TWENDE KAZI....

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Місяць тому +1

    Hongera sana binti,Mungu azidi kukutunza na familia yako..
    Nvaiiya ton'konu, vafele tili kisha.
    Wanawake tukiamua tunaweza.❤

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 Місяць тому +11

    Duh uko vzr mazee tukaze hawa wanawake wanachakarika sana sio poa😢😢😢

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 Місяць тому +8

    Wachaga oyeeeeeeee😊😊😊

  • @eliuwosumari5254
    @eliuwosumari5254 Місяць тому +4

    Hongera dada nimefurahi sana kwa kutumia asili yetu ukaachana na mambo ya kichina tz tunakila kitu

  • @priscusgodwin
    @priscusgodwin Місяць тому +5

    Dada yupo smart, LIKES kwa ajili yake..

  • @annkim2690
    @annkim2690 Місяць тому +36

    Wafanyi biashara Wana Siri kubwa Sana Yani Mimi niliapa sitawahi tamani Mali za watu

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Місяць тому +1

      Hongera

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Місяць тому

      Sawa kabisa

    • @bobkevinshoo5385
      @bobkevinshoo5385 Місяць тому

      Nje ya kuwapongeza, umeongea point nzuri sana. MUNGU anajua

    • @dondrizzotv4456
      @dondrizzotv4456 Місяць тому +4

      Hata usipotaman at least kuwa motivated sio kutia huruma kusema wanasiri sana,kuwaza negative, itakua umezungukwa na watu wasiokua na ndoto kubwa ama huna hata moja wa watu wako aliekamilisha ndoto zake kubwa

    • @legacytrainingservices
      @legacytrainingservices Місяць тому +5

      Hata umasikini una siri kubwa, kutokuwa na nidhamu ya fedha, kutokuwa na growth mindset, kutokuwa na juhudi na shauku ya kutimiza ndoto kubwa nk. kisha kutoona mapungufu yote hayo ila kuanza kulaumu wengine kwamba ndio chanzo cha matatizo yako au kuamini kila aliyefanikiwa lazima atakuwa amefanikiwa kwa njia za mkato. Mi naamini unniverse ipo very fair na haina upendeleo ina mpa mtu kile ambacho atakuwa ame show up na kuamua kwa dhati kukipata, "if you focus on you, you grow if you focus on shit, shit grows"

  • @DorcusJohn-ie6zp
    @DorcusJohn-ie6zp Місяць тому +1

    Sanya juu hoyee. Wajomba zangu kumbe mpo vizuri. Hongera sana MAMMARIII.

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 Місяць тому +1

    Hongera sana mdogo wangu umenifurahisha sana na kuni inspire sana napiga magoti namuomba MUNGU anitendee nami niweke kakibanda kangu ka saizi yangu tu yani nitajikuna pale nitakapo fikia. MUNGU akupe maisha marefu wewe na familia yako ili mu enjoy kile mlicho kitolea jasho .

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 Місяць тому +16

    Hongera sana dada🎉👏. Wanaume ambao wenye fikra za umaskini watasema kwamba umedanga

    • @user-ky9cj5rv6y
      @user-ky9cj5rv6y Місяць тому +1

      Kwelii kabsaa watasema kadanga bla kujua ameanza zaman kujpambania ,,

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Місяць тому

      ​​@@user-ky9cj5rv6yKuanza kupambana zamani sio kufanikiwa. Unaweza ukapambana miaka 25 na usifanikiwe ila mwenzako akapambana miaka 5 tu akafanikiwa.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Місяць тому +1

      Na wanawake ambao wana fikra za umasikini watasemaje?

    • @shijamakwaya8453
      @shijamakwaya8453 Місяць тому +1

      Inawezekana pia

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 Місяць тому

      @@rumdeesonsoa1811 tokea niwafahamu wanawake niliowaona kwa macho huwa hawana fikra za umaskini

  • @joancenjosias1296
    @joancenjosias1296 Місяць тому +4

    Yaan hii nyumba ni nzur kuzudi ya mwijaku mara 10000

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 Місяць тому +23

    Mafanikio ni siri msichanganyikiwe trust the process keep working

    • @mtummoja6882
      @mtummoja6882 Місяць тому +1

      Anasema kununua kiwanja "anajua alichokifanya kupata kiwanja" sasa hapo kwenye kujua alicho fanya ndio siri zenyewe

    • @CandyVois
      @CandyVois Місяць тому

      Kabisa

  • @user-pr6dz7nd5r
    @user-pr6dz7nd5r Місяць тому +1

    Hongera sana dada yangu ....nawashangaa wanaofikiria negative ...kujituma ndio siri ya mafanikio hakuna kingine ...asilimia kubwa mtu akiajiriwa mara nyingi anategemea mwisho wa mwezi ufike hapo unakuta amekuwa na madeni mpaka SONGESHA sasa hapo atakuwa na ndoto ya kujenga kweli .. cha pili tuache kulilia kutwa mapenzi piga kazi

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Місяць тому

      Uko sawa mimi milishawaji kufukuzwa kwenye chumba kimoja nikiwa na mtoto miezi miwili tuu sikuwa kodi ,baadae ya miaka kumi nina nyumba tena wala siishi humo ninaishi kwingine Mungu ni Mungu na bidii ya mwenye haki haimuachi mtupu anayetafuta.

  • @RAGEEY-xc7wz
    @RAGEEY-xc7wz 10 днів тому

    Very humble woman ❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Місяць тому +3

    We. Congratulations 🎉🎉raha sana 😢😢wamama siku hizi 🔥🔥🔥mashalllah mashalllah

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Місяць тому +1

    MashaAllah 🙏 ❤❤God bless

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Місяць тому +6

    Ntahakikisha kwenye 50th birthday day yangu najizawadia kitu self love ni nzuri sana congratulations my sis endelea kutu inspire wow God bless you sis

  • @nickdemitychanell
    @nickdemitychanell Місяць тому +6

    Hongera sanaa dada Ila umenipa wivu mkubwa sanaa lazma nipambane😢😢😢

  • @HamadBashir-bs5wo
    @HamadBashir-bs5wo Місяць тому +1

    Hongera mjengo mkali sanaa🎉

  • @floraswaggy6388
    @floraswaggy6388 Місяць тому +2

    Hongera sana Liliani sipendi kuajiriwa pia na ninapambana sana

  • @emmanuelmwaka6070
    @emmanuelmwaka6070 Місяць тому

    Hongera sana Dada Mungu azidi kukubariki, unamaneno mazuri yenye hekima

  • @JacksonjacksonTrois
    @JacksonjacksonTrois Місяць тому +17

    Sanya juu gather here

    • @user-yz5zn4tr6i
      @user-yz5zn4tr6i Місяць тому +1

      Woyoooo ❤❤❤😂😂😂😂😂

    • @chenhans8236
      @chenhans8236 Місяць тому

      Sanya Tuppo Vzr

    • @rosemasaki698
      @rosemasaki698 Місяць тому

      Daah aisee🙌

    • @JacksonjacksonTrois
      @JacksonjacksonTrois Місяць тому

      @@chenhans8236 kabisaa kibuwa Dua n kuamini kwakila unachokifanya nakua na mLengo tuu

    • @JacksonjacksonTrois
      @JacksonjacksonTrois Місяць тому +1

      @@rosemasaki698 kilakitu kinawezekana nikupambana tuu na kuomoba mungu na kuamini kwakila unachotaka kukifanya kabla yakufanya

  • @agathadavid7127
    @agathadavid7127 Місяць тому +1

    Hongera sana dada tena hongera sana .

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Місяць тому +1

    hongera sana dada 🥰🥰🥰👏👏👏

  • @sarahsaimon4095
    @sarahsaimon4095 Місяць тому +4

    Hongera zake

  • @EdithaKikoti
    @EdithaKikoti Місяць тому +2

    Hongera sana dada kwajumba zuri

  • @williammashauri272
    @williammashauri272 Місяць тому +4

    Mtangazaji unachakujifunza upo na Mtu mwenye madini mengi unauliza maswali mepesi sana

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 Місяць тому

    Hongera sana dada Mungu azidi kukubariki na pia namuomba Mungu siku moja niweze kutimiza ndoto zangu

  • @peacBoy
    @peacBoy Місяць тому +2

    Aise Big up Sana Dada kikubwa mungu Hana choyo na mungu habariki mkono mitupu nimekuelewa Sana na mungu atubariki Sana sote tujitafutao mafanikio yapo yaja tusichoke kutafuta 🙏🙏🙏

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 Місяць тому

    Mashallah mashallah mashallah dada ana jielewa sna congrats

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Місяць тому

    Oohhhh.....more congratulations Lily.

  • @user-bk6ue5zl5t
    @user-bk6ue5zl5t Місяць тому

    Hongera dada honger sanaaaaaa mungu akuzidishieeee

  • @njuka3515
    @njuka3515 Місяць тому +12

    Watu wanajua kuishi mimi hata birthday yangu inapita sikumbuki

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Місяць тому

      😂😂😂sasa ww happy birthday ndio nini hujui hiyo siku unafurahia umri wako kupungua

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Місяць тому

      Usiige happy birthday iga kufanya kazi ili uwe na maendeleo basi

  • @pceodhc
    @pceodhc Місяць тому +1

    Hongera sana Dada! 🎉

  • @marygumbo3296
    @marygumbo3296 Місяць тому

    Hongera sana kipenzi! Mungu azidi kukupa kibali❤

  • @shadya977
    @shadya977 Місяць тому +1

    Hongera sana kwake 🙏

  • @user-do6tg8ot7x
    @user-do6tg8ot7x Місяць тому +2

    Mhhh! Jamaniiii! Mbona kama hesabu iinakataa kabisa kichwani?... Usitamani mali ya mwingine. Haujui ameipata kwa namna gani.

  • @chiconinde8135
    @chiconinde8135 Місяць тому +2

    Hizi pongezi ni wazi kuwa hatujui really how things work.
    Tujifunze kufanya tathmini za uhalisia kwanza.

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Місяць тому

      Mwenyewe tuu hujijui tathmini jifanyike mwenyewe kwa nini unaishi,na wajibu wako hapa duniani ni nini.

    • @chiconinde8135
      @chiconinde8135 Місяць тому

      ​@@devothasimbi6495 sawa

  • @RahelPetro-ro3yn
    @RahelPetro-ro3yn Місяць тому

    Hongera sana dada mungu nimwema 🙏😘🌹🌹

  • @nsiadawson7633
    @nsiadawson7633 Місяць тому +1

    Hongera sana sana dada

  • @RobertEmmanuel-pl9jj
    @RobertEmmanuel-pl9jj Місяць тому +2

    Hongera sana dada ushuhuda wako unanguvu na unatia moyo

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Місяць тому +2

    Congratulations to her

  • @Linda22289
    @Linda22289 Місяць тому +1

    Hongera sana binti. Mola azidi kukunyanyua!

  • @user-cz9ft8ru7s
    @user-cz9ft8ru7s Місяць тому +1

    Mungu ndiye Anaye jua.

  • @amoogaza6825
    @amoogaza6825 Місяць тому

    Aisee so inspiring😊

  • @ElineMan
    @ElineMan Місяць тому

    Hongera sana lili mungu akupe zaidi

  • @eunicejohn5520
    @eunicejohn5520 Місяць тому +1

    Hongera sana ❤

  • @katarinachristopher8562
    @katarinachristopher8562 Місяць тому

    Mungu aendelee kukubariki na kukulinda dada

  • @loiskimaro1733
    @loiskimaro1733 Місяць тому +2

    Hongera sana kwa akili kubwa.

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 Місяць тому +2

    Hongera dada kwa kujituma hadi ndoto zato zikatimia

  • @user-pq1xh5rr5v
    @user-pq1xh5rr5v Місяць тому

    Amen barikiwa Kwa kuwatia wanawake Moyo ❤

  • @mnugwaally4-xh4un
    @mnugwaally4-xh4un Місяць тому +9

    Uwe unauliza maswali ya msingi tujifunze ,,poor performance Rudi kweny interview ya mulokoz na boss wako Millard Ayo ujifunze

  • @jackstar508
    @jackstar508 Місяць тому

    Wow umetisha sana

  • @rachelsika9588
    @rachelsika9588 Місяць тому +1

    Amina,,na kwangu itakua

  • @Radiumflexx
    @Radiumflexx Місяць тому

    Hongera sana dada🎉🎉🎉

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Місяць тому

    Mama hongera sana tena sana mimi pia nataka kujenga unaweza kunisaidia plani ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland

  • @kristinmpoli3586
    @kristinmpoli3586 Місяць тому

    Congratulations sister

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Місяць тому

    Congratulations 👏 my sister 🎉❤

  • @victorvenance1009
    @victorvenance1009 Місяць тому +1

    Smart!

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Місяць тому +2

    Miaka mitatu ujenzi ukakamilika kwa kuuza urembo, jamani fikilieni Sana. Hii ni Bongo.

  • @AminielSolomoni
    @AminielSolomoni Місяць тому

    Nimejifunza kitu be blessed sana na kwifeahee iwe

  • @norineraymond8098
    @norineraymond8098 Місяць тому

    Hongera sana Masiaoo

  • @kristinmpoli3586
    @kristinmpoli3586 Місяць тому

    Congratulations sus

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 Місяць тому +6

    Huyu dada ni mkweli tena mkweli kabisa , hana majivuno hawezi kutaja hela kubwa ili ajipandishe , ameni Inspire saaana

  • @helenandanu5135
    @helenandanu5135 Місяць тому

    Hongera sana Lillian

  • @MageMollel-wb7ms
    @MageMollel-wb7ms Місяць тому

    🎉hongeraa sanaa kekuu

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 14 днів тому

    Safi mpambanaji

  • @user-qv8pp9xb1x
    @user-qv8pp9xb1x Місяць тому +10

    Eeeh mungu wengine wanatoa hela wapi jamni kama ni kazi mbona nafanya 😢😢😢😢

    • @soniahassan6769
      @soniahassan6769 Місяць тому

      😂😂😂😂nimecheka

    • @peterpaschal4522
      @peterpaschal4522 Місяць тому

      Hela ni jinsi unavyo ishi thubutu kufanya kazi😂

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Місяць тому

      Kujipanga na kua na subra.

    • @Gersah
      @Gersah Місяць тому +1

      Wakati Wa Mungu ni sahihi,

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 Місяць тому +2

      Ni wakati wa kupigia wenzako makofi hadi hapo wakati wako utakapofika ongeza adabu kwenye kile kidogo unachopata kufanya kazi pasipo kuwa na plan zaidi ni hasara then tengeneza njia nyingi za pesa

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Місяць тому +3

    Namuunga mkono hapo kuumiza kichwa kweli maana kuna muda mtu usiku haulali .fundi wasimbufu anaweza kafanya sivyo ulivyomuelekeza

  • @glorylema3143
    @glorylema3143 Місяць тому

    Hongera my wii

  • @dingimtoto352
    @dingimtoto352 Місяць тому

    Wow Hongera sana Na Mimi nitajenga

  • @andrewmsuya4908
    @andrewmsuya4908 Місяць тому

    Hongera sana wanipa nguvu namm kupambana

  • @sadickshabankiloya4622
    @sadickshabankiloya4622 Місяць тому

    Hongela winga

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Місяць тому +3

    Hawa Ni waongo kwa mtindo Hui wengi wangekuwa na hizo gorofa

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Місяць тому

      Michongo ni mingi hapa mjini, hawezi sema yote

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Місяць тому +4

    Wanawake endeleeeni kukata mauno kitambaa cheupe😊

    • @Bise270
      @Bise270 Місяць тому

      Nimecheka sana😂😂😂

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Місяць тому

      @@Bise270 😂😂😂

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 Місяць тому +3

    Nimependa idea ya kitu inspire kwamba hata 30M Nyumba inawezakua Qali

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Місяць тому +1

      Yuko sawa kabisa pia ana heshimu kiasi chochote cha pesa

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 14 днів тому

    Uyu Dada mchapakazi sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Місяць тому

    Mwenyezimungu akujalie Kila la heri Amin inshallah

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 Місяць тому

    Hongera sanaaa liliani

  • @FadaBronx
    @FadaBronx Місяць тому +2

    Kilimanjaro Moshi,sanya juu stend up

  • @hijamaulidi7382
    @hijamaulidi7382 Місяць тому +2

    Ukisoma kitabu Cha rich dad poor dad utamuelewa.

  • @kelvinkissanga4075
    @kelvinkissanga4075 Місяць тому +1

    Mtangazaji kazingua sana. Hamna tunachojifunza hapa.

  • @estersilver9872
    @estersilver9872 Місяць тому

    Hongera sana🎉

  • @Arnoldpriscuss
    @Arnoldpriscuss Місяць тому +1

    my role modal

  • @happymollel4635
    @happymollel4635 Місяць тому +1

    Hongera wewe ni mwanamke na nusu. Maisha yanahitaji mipango, sala na jitihada

  • @njuka3515
    @njuka3515 Місяць тому

    Hongera Sana dada yetu

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 Місяць тому +1

    Mafanikio mengi yana siri nyingi nyuma yake jifunze kuridhika na alichokupa mungu japo kuwa na ndoto kubwa nayo ni siri mojawapo

  • @Megadreamzfx1
    @Megadreamzfx1 Місяць тому +3

    Hongera mchaga🎉

  • @talents7934
    @talents7934 4 дні тому

    Mimi binafsi Namuogopa sana Mwanamke anaejiweza😂Mwanamke kama huyu huwezi kumuoa bali atakuoa wewe kwa mfano unaanzaje kujiita baba mwenye Nyumba kichwa cha familia wakati Hujui ata bei ya cement 😂😂

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 Місяць тому +1

    ipo siku mtatuambia ukweli ila msiseme ni kwa mtaji wa laki mbili