JACKLINE WOLPER ATOA SIRI/HATA NYUMBA NILIOJENGA.../RICH MITINDO/GARAMA YA NYUMBA NILIOJENGA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- WOLPER ATOA YA MOYONI KUACHANA NA RICH MITINDO NIMECHOKA HAYA MAHUSIANO/ MANGE KIMAMBI #JUKLINNE #wolper #RICHMITINDO #RICHIMITINDONAJACKLINEWOLPER #mangekimambi #NYUMBAYAWOLPER #jacklinewolper
Kuolewa ni jambo moja, na kukaa kwenye ndoa ni jambo jingine. Kuishi kwenye ndoa 95% ni uvumilivu tu, hasa upande wa mwanamke. Vumilia wolper, msiachane. Hakuna mwanamume anayekaa na mwanamke mmoja. Hilo kwa wamama walioko kwenye ndoa tulitambue. Hakuna haja ya kuachika, maana hatabikitokea hutashindana na asili, bado utahitaji kuwa na mtu ambaye anamilikiwa na mwingine. Shikilia ukae na wa kwako. Linda goli lako usiendelee kufungwa magoli zaidi. Kadri umri unavyoenda itafika muda atatulia.Muombee sana kwa Mungu kuthibitisha kiapo cha kuishi pamoja katika shida na raha. Ombea mume wako dada. Acha walimwengu waseme ila wewe simamia ndoa yako.
Baruaaaa hiii sasa😂😂😂😂
Umesema la maaana hakuna mwanaume anakalia mwanamke mmoja, walio wengi wanapenda kuonja onja hata kama ana mke mzuri kiasi gani
Magonjwa sasa 😢
Shida yao ni ndoa zao za mitandaoni! Kina sie huku hata akicheat mpaka nije kujua saa ngapi
Hiyo ni barua hasa
Umetupa funzo vijana❤ umeongea umenyooka hujapinda
Wolper - you got a beautiful heart!
Wolper akizeeka sijui atakuja,huwa anajibu maswali very funny,unaulizwa nyumba imechukua kiasi gani,anajibu naamka SAA Kimi na mbili nalala SAA SITA..anajibu kamami hayuko smart kichwani
Upo very straight ma p wang❤
Nakukubari sana❤❤
Kama utaendelea kupeleka Mambo ya.nyumba yako mitandano hutakuja ufanikiwe.kwenye ndoa Mambo ya nyumbani mwako yawe ya nyumbani mwako acha kuwapa faida watu Mambo yasiyo wahusu .hao waandishi muwe mnawakwepa
Nakupenda sana
Unaongea vzr sn una point kweli ww ni mama bora
Sio ndoa za mastaa tu unakosea ndoa ni ndoa ht huko mtaani ukikaa kuna changa moto nyingi za ndoa sio wao tu
Ndoa za Mastar huwa zinakuaga hivyo zinakuaga hazina mwisho mwema na Rich bado sana ila Wolper yupo tayari kujenga maisha
Siyo mastar tu ndoa za siku hizi nyingi ni ivo
Sio mastar tu
Sio mastar tu
Ndoa za leo matope kabisa@@Neemaezekiel2
Kama umemchoka muache acha kuhadithia watu haitakusaidia usimdhalilishe muache kimya kimya
🥰
Wolper mjengo ni wako bhana😂
Hongera dd ang unaongea point sana
Unajua kuficha vitu, it's not must uweke kila kitu unachoulizwa wazi
Yes afu hajui anavoanika migogoro yake na mumewe anawapa furaha watu wenye chuki na ndoa Yako waseme tulisema
Mwanaume anatakiwa ujitume mambo nikama aya kuaibishana wanaume wanapenda sana kuhonga izoizo hera wezetu wanafanyia mahendereo sisi tunaishia kwenye utamu
That's good darling ❤❤
Kweli my love ❤
Pia Wolper unaonekana una mnyanyasa
Wolper murembo jamani
Anajikaza tuu wolper ila iyo ishu imekuchukua mazima
Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo
tddx😊😊😂 1:31
Sikilizeni nyie waandishi Wolverine alishatoka huko kwenye ujinga . Sasa hivi yuko kwenye kufanya maisha
Wolper Ana lugha ya kibongo 😂😂😂
Ungekaa kimya umri umeenda tayari piga kimya endelea na.life achana na online life na ukweli hapa huwo.usupastars huna ni shobo
Nimepigaje hapo🚶🚶🚶😂
Mpka sasa ndoa iliyotulia ni ya Nandy na billnas
Yaani nyie waandshi mda mwingi umeupoteza sana mnachouliza huyu dada hamna Cha maana kabisa Yani wanahabari nendeni chuoni mkarudie hamna la maana kabisa mnapoteza mda sana zero tafuteni habari za maendeleo ya nchi bogasi
Wolpar anaongea mazima
Wasanii ndoa zenu ndo hivyooo
Nonsense
Wacha kukicekeza turiya umekwisha tayari wewe nimaraya umekwisha
Uyo rich amefanyaje
Kamwaga maziwa
@@judyngowi391 heeeee kwann jamn apite bila kuangalia hakujua kam atamkera Dada yetu
Maziwa yale mengine
Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo