JACKLINE WOLPER ATOA SIRI/HATA NYUMBA NILIOJENGA.../RICH MITINDO/GARAMA YA NYUMBA NILIOJENGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • WOLPER ATOA YA MOYONI KUACHANA NA RICH MITINDO NIMECHOKA HAYA MAHUSIANO/ MANGE KIMAMBI #JUKLINNE #wolper #RICHMITINDO #RICHIMITINDONAJACKLINEWOLPER #mangekimambi #NYUMBAYAWOLPER #jacklinewolper

КОМЕНТАРІ • 51

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u 5 місяців тому +11

    Kuolewa ni jambo moja, na kukaa kwenye ndoa ni jambo jingine. Kuishi kwenye ndoa 95% ni uvumilivu tu, hasa upande wa mwanamke. Vumilia wolper, msiachane. Hakuna mwanamume anayekaa na mwanamke mmoja. Hilo kwa wamama walioko kwenye ndoa tulitambue. Hakuna haja ya kuachika, maana hatabikitokea hutashindana na asili, bado utahitaji kuwa na mtu ambaye anamilikiwa na mwingine. Shikilia ukae na wa kwako. Linda goli lako usiendelee kufungwa magoli zaidi. Kadri umri unavyoenda itafika muda atatulia.Muombee sana kwa Mungu kuthibitisha kiapo cha kuishi pamoja katika shida na raha. Ombea mume wako dada. Acha walimwengu waseme ila wewe simamia ndoa yako.

    • @MohammedJaxksonlee
      @MohammedJaxksonlee 5 місяців тому +2

      Baruaaaa hiii sasa😂😂😂😂

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 5 місяців тому +4

      Umesema la maaana hakuna mwanaume anakalia mwanamke mmoja, walio wengi wanapenda kuonja onja hata kama ana mke mzuri kiasi gani

    • @lusiaMushi-rf6jt
      @lusiaMushi-rf6jt 5 місяців тому

      Magonjwa sasa 😢

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 місяців тому

      Shida yao ni ndoa zao za mitandaoni! Kina sie huku hata akicheat mpaka nije kujua saa ngapi

    • @johnjescajohnjesca
      @johnjescajohnjesca 5 місяців тому

      Hiyo ni barua hasa

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 5 місяців тому +6

    Umetupa funzo vijana❤ umeongea umenyooka hujapinda

  • @agneskighenda3795
    @agneskighenda3795 5 місяців тому +2

    Wolper - you got a beautiful heart!

  • @rahabudave9932
    @rahabudave9932 5 місяців тому +2

    Wolper akizeeka sijui atakuja,huwa anajibu maswali very funny,unaulizwa nyumba imechukua kiasi gani,anajibu naamka SAA Kimi na mbili nalala SAA SITA..anajibu kamami hayuko smart kichwani

  • @vailethhalson2647
    @vailethhalson2647 5 місяців тому +2

    Upo very straight ma p wang❤

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 5 місяців тому

    Nakukubari sana❤❤

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p 5 місяців тому +1

    Kama utaendelea kupeleka Mambo ya.nyumba yako mitandano hutakuja ufanikiwe.kwenye ndoa Mambo ya nyumbani mwako yawe ya nyumbani mwako acha kuwapa faida watu Mambo yasiyo wahusu .hao waandishi muwe mnawakwepa

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 5 місяців тому +1

    Nakupenda sana

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 місяців тому +5

    Unaongea vzr sn una point kweli ww ni mama bora

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 5 місяців тому +1

    Sio ndoa za mastaa tu unakosea ndoa ni ndoa ht huko mtaani ukikaa kuna changa moto nyingi za ndoa sio wao tu

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 5 місяців тому +15

    Ndoa za Mastar huwa zinakuaga hivyo zinakuaga hazina mwisho mwema na Rich bado sana ila Wolper yupo tayari kujenga maisha

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter4158 5 місяців тому +7

    Kama umemchoka muache acha kuhadithia watu haitakusaidia usimdhalilishe muache kimya kimya

  • @agnesnafula-hz6kf
    @agnesnafula-hz6kf 5 місяців тому +2

    🥰

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 5 місяців тому +1

    Wolper mjengo ni wako bhana😂

  • @LaulenciaEdward
    @LaulenciaEdward 5 місяців тому

    Hongera dd ang unaongea point sana

  • @sephaniangulo4035
    @sephaniangulo4035 5 місяців тому +6

    Unajua kuficha vitu, it's not must uweke kila kitu unachoulizwa wazi

    • @sekelamwangomo5458
      @sekelamwangomo5458 5 місяців тому

      Yes afu hajui anavoanika migogoro yake na mumewe anawapa furaha watu wenye chuki na ndoa Yako waseme tulisema

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 5 місяців тому

    Mwanaume anatakiwa ujitume mambo nikama aya kuaibishana wanaume wanapenda sana kuhonga izoizo hera wezetu wanafanyia mahendereo sisi tunaishia kwenye utamu

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 5 місяців тому

    That's good darling ❤❤

  • @nasmabanda6340
    @nasmabanda6340 5 місяців тому

    Kweli my love ❤

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 5 місяців тому +3

    Pia Wolper unaonekana una mnyanyasa

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx 5 місяців тому +4

    Wolper murembo jamani

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 5 місяців тому +3

    Anajikaza tuu wolper ila iyo ishu imekuchukua mazima

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 5 місяців тому

    Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo

  • @devothakisanga4334
    @devothakisanga4334 5 місяців тому

    tddx😊😊😂 1:31

  • @njuka3515
    @njuka3515 5 місяців тому

    Sikilizeni nyie waandishi Wolverine alishatoka huko kwenye ujinga . Sasa hivi yuko kwenye kufanya maisha

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 5 місяців тому

    Wolper Ana lugha ya kibongo 😂😂😂

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 5 місяців тому +1

    Ungekaa kimya umri umeenda tayari piga kimya endelea na.life achana na online life na ukweli hapa huwo.usupastars huna ni shobo

  • @marianakamb-fg7sk
    @marianakamb-fg7sk 5 місяців тому

    Nimepigaje hapo🚶🚶🚶😂

  • @halimambaga61
    @halimambaga61 5 місяців тому

    Mpka sasa ndoa iliyotulia ni ya Nandy na billnas

  • @thetas08
    @thetas08 5 місяців тому

    Yaani nyie waandshi mda mwingi umeupoteza sana mnachouliza huyu dada hamna Cha maana kabisa Yani wanahabari nendeni chuoni mkarudie hamna la maana kabisa mnapoteza mda sana zero tafuteni habari za maendeleo ya nchi bogasi

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 5 місяців тому

    Wolpar anaongea mazima

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 5 місяців тому

    Wasanii ndoa zenu ndo hivyooo

  • @karisgaitho1972
    @karisgaitho1972 4 місяці тому

    Nonsense

  • @claudineali3561
    @claudineali3561 5 місяців тому

    Wacha kukicekeza turiya umekwisha tayari wewe nimaraya umekwisha

  • @user-rc6so2km7c
    @user-rc6so2km7c 5 місяців тому

    Uyo rich amefanyaje

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 місяців тому

      Kamwaga maziwa

    • @user-rc6so2km7c
      @user-rc6so2km7c 5 місяців тому

      @@judyngowi391 heeeee kwann jamn apite bila kuangalia hakujua kam atamkera Dada yetu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 місяців тому

      Maziwa yale mengine

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 5 місяців тому

    Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo