Haya nime yaona live nikosa kuangalia video zako Kwa siku nahisi kupungukiwa kitu kibwa sana hata usipo post Bora nirudie kuangalia nilio angalia Jana.
Mola akubariki sana uko na baraka za wazazi wako mashallah Nawatakia furaha kwa jumla wazazi wako niwatu wema amin naomba jinsi nitawasiliana na wewe by A awadh from lamu Kenya
Hi br Joel, elimu hii ni adimu, umenisaidia sana, kuna mahali nilifanya kosa la kimahusiano na kiongozi wangu, laiti ningekua nimeipata hii, Mungu akubariki br
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Haya nime yaona live nikosa kuangalia video zako Kwa siku nahisi kupungukiwa kitu kibwa sana hata usipo post Bora nirudie kuangalia nilio angalia Jana.
Yeah the same to mee❤🙏
Mm mwenyewe najuta Kwa nn sikuwahi kukujua kiitambo
Mr Joel ni mtumishi ambaye MUNGU amekutumia kuwafikishia ujumbe taifa lake barikiwa sana
Asante kaka mungu aendelee kukuinua upande viwango vya juu zaidi mana KAZI unayoifanya kwenye jamii kubwa mno mungu akubariki sana
Safi Sana nakukubali bro
madini yakutosha nayapata mungu akulinde
Nahitaji sana kujuwa zaidi mambo ya biashara kwakweli.umwkuwa mwalimu muzurusana kwanghu mimi
Bro Yani Unajua Mpaka Bhaaaac,Much Salute And Much Respect.
Ahsante sana🙏
A boy from kigoma town ishi sanaaaaaaa kaka elimu yako inakomboa viumbe wengi
Asante kwa maarifa
See you at the top brother Joel
Naomba mawasiliano na wewe bro
Mola akubariki sana uko na baraka za wazazi wako mashallah Nawatakia furaha kwa jumla wazazi wako niwatu wema amin naomba jinsi nitawasiliana na wewe by A awadh from lamu Kenya
Ameen Ameen nashukuru sana. +255743 868507
Wewe nauka mgodi tanzania
Umenisaidia pakubwa mno
Barikiwa sana mtumwa wa Mungu, huyo aliyekujalia kumiliki hiyo hazina akuzidishie mafunuo jamii ipate kujifunza mengi zaid kupitia wew.
👏🏽👏🏽👏🏽
All the best my lovely brother
Nakupenda kaka joel umenifaninya niwe mpyaa
asante kwa ukumbusho kaka yangu, na ongera sana kwa jitihada zako kwa utafiti na ushauri mzuri unaotoa kwa jamii
Namba nne
Mfumo wa kiroho nahiji niwekeze zaidi ckujua njinsi unavofanya kazi
Ukovizuri sana mwalimu joeli
MAARIFA YATAKAYO KUSAIDIA MAISHANI
1]Jitambue wewe kwanza [kama wewe mwenyewe haujitambui hakuna atakayekutambua.
Asantee sana 🤝
Actually nmekuwa nmeiuwa nkufatilia mafundishk yano umekuwa yakinipandisha harua furani .asante sana ubarikiwe 🙏🙏
Exactly ✨
Thanks❤
Ameeen broo somo zuriii sana Mungu akubariki sana broo🙏🙏🙏🙏🙏❤️🔥🔥🔥
God bless brother joe
I absolutely broo
Ubarikiwe mtumishi Joel
❤ Asante kaka kwa ushauri wako.
Safi sana kiongozi
Nakukubali kaka hujawahi niangusha
Brother wewe nidaraja kwa wenyemalengo❤❤❤❤
Thanks brother unatupa elimu yenye thamani kubwa sana. Mungu akubariki na kukupa maisha marefu
Sawa kaka
Thanks😊
Elimu nzur mungu akuongoze zaid
Ahsante kaka Joel
❤
Be blessed broo joel
Be blessed for your talent
More bless
Nimefurahia sana!! Lakin swali langu ni kwa namna gani ntaweza kujenga mahusiano na watu walioshikilia mfumo kwenye fiel yangu
Shukran boss tuko pamoja sana
Thanks good bless you
God bless you bro
Thanks brother joel
Mashaallah
Bright man
Big up kaka❤❤❤
Bro k
weli wewe ni gn nimekuelewa sana
Asante sana kaka nimejifunza kitu naanza kukifanyia kazi
Amen Ameen
Be blessed bro
Hicho kitabu sh ngapi
Joel ni dude lenye akili
I just like your speech bro🎉🎉🥀🥀
AMEN
Kaka Naomba vitabu
Tuwasiliane 0762 31 21 71
Inteperson relationahip,,,,coz watu ndo wenye vitu.
Asanye tunaendelea kujifunza
Asante bro ila naomba ufafanuzi zaidi ninataaluma lakini mpaka sasa sielewi nimewamis wapi.
Joel nakukumbusha kuhusu research yangu
Naomba kufaham bei ya kitabu je kinapatikana kwa soft copy?
Nahitaji hichokitab cha misingi 10 inay tawala dunia
🤝
Hi br Joel, elimu hii ni adimu, umenisaidia sana, kuna mahali nilifanya kosa la kimahusiano na kiongozi wangu, laiti ningekua nimeipata hii, Mungu akubariki br
Hongera kwa kujifunza. Uanze kutumia maarifa uliyoyapata kuanzia sasa
@@joelnanauka asante, nakufuatilia sana, natamani hata kukutana na wewe or even talk directly, thanks, be blessed, C U at the top
Kaka naamin pasina kufahamu mfumo(biashara,kilimo na maeneo mengine pia ni ngumu kuishi kuendelea kutegemea jambo ambalo mfumo wake huujui.
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli