Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.
naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante 🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa congratulations 👋
Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo
Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on UA-cam. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏
Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana. Napata mafunzo mengi sna. Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika. Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.
kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim
Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA
Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana
Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa
Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤
Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏
Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.
Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha
Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)
Siongezi kitu hapo juu ya somolako, ila nimepata kitu kizuri nmecho jifunza wewe Roll model wangu, tangu 2019, hua siifungui UA-cam bila kupita kwako, na hivi Sasa najipanga kuanza kununua Ebook zako zakutosha maana Umekwisha niosha akiliyangu na Mungu kaongeza kuyafumbua machoyangu pia. Asante Kaka Joel Nanauka. Mungu azidi kukutunza.
NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.
Aisee umenena jambo la kweli kaka mm bwana n mtu kuongea sana nnapo Kutana na mtu mala ya kwanza na nahis inafika hatua mtu kama smpi nafasi mpaka najishtukia yan
Nafanya Kaz kweny mpesa nakubaliana na hilo la kutaja jina lake vizur..coz nikisoma majina ya wateja wang hua wanasema wow umelitaja jina lang vzr na anaweza kuomba nirudie
Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.
kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu
Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana
Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side
Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh
Sehemu ya nne ishawahi kunikuta
Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe
Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo
naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante
🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa
congratulations 👋
Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo
Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya
Nzuri hii imenifungua, kazi nzuri hongera
Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on UA-cam. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏
Thank you so Much Musa, lets keep on learning.
uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante
Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana.
Napata mafunzo mengi sna.
Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika.
Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.
kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim
Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐
wow Ahsnt sana leader 🙏🏻
Asante kaka umenifungulia dunia
kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi
Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu
Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA
Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.
Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha..
Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..
Ahsante sanaa
Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana
Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,
Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia
Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka
Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa
Daaah...🥺😅
Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana
Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤
Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏
Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪
Nafuatilia sana hadi nifikie pale
Thanks. Bro kwa ujumbe mzuri
Iyo kutamka jina brother imenigusa sana
Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..
God bless you Joel 🙏
Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.
ABAHADIIIIIIIIIIIIIII
Boy from Shangani PS. Proud bro.
Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine
Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante
Kabisa
Habari joel ninaneno yakuuliza unaeza nipa nafasi
Najifunzavitumighi sana kwako mughuakupe ufahamu zaidi
Leo ndo nimeanza kukujilua umekuwa rolmodel wangu
Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.
Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝
Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha
Video bora ya mwaka
Ahsante kaka Joel Nanauka
Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)
Joel mwana wa nanauka unatisha
“kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.
Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦
Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕
Asante sana.
umefundisha kitu cha muhim sana.
Nimekupta sana bro joel kutoka iringa mafinga
Siongezi kitu hapo juu ya somolako, ila nimepata kitu kizuri nmecho jifunza wewe Roll model wangu, tangu 2019, hua siifungui UA-cam bila kupita kwako, na hivi Sasa najipanga kuanza kununua Ebook zako zakutosha maana Umekwisha niosha akiliyangu na Mungu kaongeza kuyafumbua machoyangu pia. Asante Kaka Joel Nanauka. Mungu azidi kukutunza.
Ameen ahsante sana
Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda
Ahsante sana bro joel
Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮
Una creativity jamaa angu
Aksante kwa mafunzo mazuri kaka
Shukrani Sana mkubwa mungu hawe nawe
I got you bro
Shukrani ndugu umetoa elimu muhimu kabisa, itasaidia hakika.
Kweli kabisa
asante bradha Joely kwa elimu hii
Nakumbuka tu kua mkuu wetu wa shule alikua mama Nannauka
Blessed Joel Arthur Nanauka
Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..
NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.
Nimejifunza kitu hapa barikiwa Sana mentor wangu
Kila mara nipo pamoja nawewe bro na nimejifunza mambo mengi sana mungu akuweke zaidi kwa faida ya wengine
Hongeraa snaaa
GOD BLESS YOU
Aisee umenena jambo la kweli kaka mm bwana n mtu kuongea sana nnapo Kutana na mtu mala ya kwanza na nahis inafika hatua mtu kama smpi nafasi mpaka najishtukia yan
Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel
Uko vzr bro
Thanks so much, may good Lord bless you 🙏
Barikiwa xana mr Joel Nanauk
Nakubali sana kaka mungu akubariki
Very very informative
Ushauri kwa wasiokukubali ndio tatizo kubwa
Najifunzaaaaa🙏
Very insightful 👏
Your blessed Kaka ❤❤❤ thanks😊
Mimi ni mwanafunzi mzur yani umekiwa furaha kwangu asante kaka
Umenijuza vingi sana kaka 🙏🙏🙏
Nafanya Kaz kweny mpesa nakubaliana na hilo la kutaja jina lake vizur..coz nikisoma majina ya wateja wang hua wanasema wow umelitaja jina lang vzr na anaweza kuomba nirudie
Nimekupata brother,, thanks
Asante ndugu kwa ushauri, barikiwe.
Thank you very much. I have gained a lot from this video
It's educative video, thanks for sharing
Kama mm ninvyojifunza kutoka kwako
Noted🙏
Asante sana kaka
Safi sana kaka
Ahsante Sana Mr joel
❤️❤️ my brother 🙏
keep going broh👍👍
Thanks Brother Joel .. makosa yote hayo . Am there You help me alot 🙏🏽