EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 вер 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 197

  • @kyandovaireth4988
    @kyandovaireth4988 Рік тому +59

    Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Рік тому +7

      kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 Рік тому +2

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 Рік тому +1

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @allenmdimi8105
      @allenmdimi8105 Рік тому +2

      Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana

    • @zickmalik4901
      @zickmalik4901 Рік тому

      Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side

  • @ElineAngel
    @ElineAngel 10 місяців тому +1

    Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei 7 днів тому

    Sehemu ya nne ishawahi kunikuta

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Рік тому +4

    Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe

  • @user-pr6yu5ez3j
    @user-pr6yu5ez3j Місяць тому

    Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo

  • @assaaresi
    @assaaresi Рік тому +1

    naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante
    🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa
    congratulations 👋

  • @mariamkitaluka717
    @mariamkitaluka717 Місяць тому

    Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo

  • @fejam9223
    @fejam9223 Рік тому +5

    Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya

  • @ValeliaJames
    @ValeliaJames 25 днів тому

    Nzuri hii imenifungua, kazi nzuri hongera

  • @musaalsinawi3324
    @musaalsinawi3324 Рік тому +21

    Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on UA-cam. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Рік тому +4

      Thank you so Much Musa, lets keep on learning.

  • @michaelsakejo
    @michaelsakejo 3 місяці тому

    uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante

  • @geofreyemanuelzakaria382
    @geofreyemanuelzakaria382 Рік тому +6

    Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana.
    Napata mafunzo mengi sna.
    Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika.
    Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.

  • @user-sj9ob8vb3s
    @user-sj9ob8vb3s Місяць тому

    kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Рік тому +8

    Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐

  • @drkimwaga9583
    @drkimwaga9583 Рік тому +1

    wow Ahsnt sana leader 🙏🏻

  • @VenanceRoy61
    @VenanceRoy61 9 місяців тому +1

    Asante kaka umenifungulia dunia

  • @josephinebitesigirwe5730
    @josephinebitesigirwe5730 Рік тому

    kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi

  • @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz
    @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz 2 місяці тому

    Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 Рік тому +1

    Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA

  • @emmanuelpeter9022
    @emmanuelpeter9022 Рік тому +2

    Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 Рік тому +5

    Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha..
    Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..

  • @farajamtifu4155
    @farajamtifu4155 Рік тому +4

    Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Рік тому +3

      Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 8 місяців тому

    Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia

  • @ruthmoses6565
    @ruthmoses6565 Рік тому +1

    Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka

  • @isayandege1837
    @isayandege1837 Рік тому +4

    Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn 4 місяці тому

    Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana

  • @user-gd8lw7vk4d
    @user-gd8lw7vk4d 5 місяців тому

    Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤

  • @captainkomba4739
    @captainkomba4739 Рік тому +3

    Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏

  • @jameskitheka5791
    @jameskitheka5791 Рік тому +1

    Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 Рік тому +2

    Nafuatilia sana hadi nifikie pale

  • @user-be3uw9zj1g
    @user-be3uw9zj1g 5 місяців тому

    Thanks. Bro kwa ujumbe mzuri

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 Рік тому +1

    Iyo kutamka jina brother imenigusa sana

  • @tanomarijani508
    @tanomarijani508 Рік тому

    Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..

  • @user-ww2im4tw5j
    @user-ww2im4tw5j 4 місяці тому

    God bless you Joel 🙏

  • @muttae2
    @muttae2 Рік тому +4

    Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.

  • @francis-chukwuchiduo8337
    @francis-chukwuchiduo8337 Рік тому +1

    Boy from Shangani PS. Proud bro.

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 Рік тому

    Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine

  • @user-zp7nz9vj6m
    @user-zp7nz9vj6m 10 місяців тому

    Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 11 місяців тому

    Kabisa

  • @Alexnderlique123-ze7mh
    @Alexnderlique123-ze7mh Рік тому

    Habari joel ninaneno yakuuliza unaeza nipa nafasi

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Рік тому

    Najifunzavitumighi sana kwako mughuakupe ufahamu zaidi

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Рік тому

    Leo ndo nimeanza kukujilua umekuwa rolmodel wangu

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Рік тому +1

    Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.

  • @mcnyoka6420
    @mcnyoka6420 Рік тому +2

    Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝

  • @salvinamakindi473
    @salvinamakindi473 Рік тому

    Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha

  • @evodizzle
    @evodizzle Рік тому +1

    Video bora ya mwaka

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Рік тому +2

    Ahsante kaka Joel Nanauka

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz Рік тому

    Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Рік тому

    Joel mwana wa nanauka unatisha

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Рік тому

    “kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.

  • @joliea2956
    @joliea2956 Рік тому +1

    Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 Рік тому +2

    Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕

  • @davidmushi2212
    @davidmushi2212 Рік тому

    Asante sana.
    umefundisha kitu cha muhim sana.

  • @paulyusuph7572
    @paulyusuph7572 Рік тому

    Nimekupta sana bro joel kutoka iringa mafinga

  • @erickevarst9589
    @erickevarst9589 Рік тому +1

    Siongezi kitu hapo juu ya somolako, ila nimepata kitu kizuri nmecho jifunza wewe Roll model wangu, tangu 2019, hua siifungui UA-cam bila kupita kwako, na hivi Sasa najipanga kuanza kununua Ebook zako zakutosha maana Umekwisha niosha akiliyangu na Mungu kaongeza kuyafumbua machoyangu pia. Asante Kaka Joel Nanauka. Mungu azidi kukutunza.

  • @advocateishengoma1088
    @advocateishengoma1088 Рік тому

    Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda

  • @jumakwaigwa4206
    @jumakwaigwa4206 Рік тому

    Ahsante sana bro joel

  • @sophykitale9981
    @sophykitale9981 Рік тому +1

    Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @yvesniyongabo9437
    @yvesniyongabo9437 Рік тому

    Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮

  • @stuntkizzy
    @stuntkizzy Рік тому

    Una creativity jamaa angu

  • @aash4145
    @aash4145 Рік тому

    Aksante kwa mafunzo mazuri kaka

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx 10 місяців тому

    Shukrani Sana mkubwa mungu hawe nawe

  • @fredricksamsonmathias
    @fredricksamsonmathias 6 місяців тому

    I got you bro

  • @selenganyagawa1358
    @selenganyagawa1358 Рік тому

    Shukrani ndugu umetoa elimu muhimu kabisa, itasaidia hakika.

  • @naomimollel2292
    @naomimollel2292 Місяць тому

    Kweli kabisa

  • @housemanagmentfinishing1151

    asante bradha Joely kwa elimu hii

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 Рік тому

    Nakumbuka tu kua mkuu wetu wa shule alikua mama Nannauka

  • @jacobkilimba748
    @jacobkilimba748 Рік тому +1

    Blessed Joel Arthur Nanauka

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Рік тому

    Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 Рік тому

    NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Рік тому

    Nimejifunza kitu hapa barikiwa Sana mentor wangu

  • @Suka_Dm_Guy
    @Suka_Dm_Guy Рік тому

    Kila mara nipo pamoja nawewe bro na nimejifunza mambo mengi sana mungu akuweke zaidi kwa faida ya wengine

  • @idrisanassor7744
    @idrisanassor7744 8 місяців тому

    Hongeraa snaaa

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu
    @EmmanuelMoswala-pj4hu Рік тому

    GOD BLESS YOU

  • @ydshine9210
    @ydshine9210 Рік тому

    Aisee umenena jambo la kweli kaka mm bwana n mtu kuongea sana nnapo Kutana na mtu mala ya kwanza na nahis inafika hatua mtu kama smpi nafasi mpaka najishtukia yan

  • @doreenlyimo4142
    @doreenlyimo4142 Рік тому

    Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel

  • @LusajoMboli-ef2xx
    @LusajoMboli-ef2xx Рік тому

    Uko vzr bro

  • @victoriamerura9382
    @victoriamerura9382 Рік тому +3

    Thanks so much, may good Lord bless you 🙏

  • @yekoniafanuel4071
    @yekoniafanuel4071 Рік тому

    Barikiwa xana mr Joel Nanauk

  • @mgesjames6162
    @mgesjames6162 Рік тому +1

    Nakubali sana kaka mungu akubariki

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 Рік тому +2

    Very very informative

  • @RedemptaShio-yi9dx
    @RedemptaShio-yi9dx 6 місяців тому

    Ushauri kwa wasiokukubali ndio tatizo kubwa

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Рік тому

    Najifunzaaaaa🙏

  • @demitriagibure9073
    @demitriagibure9073 Рік тому +2

    Very insightful 👏

  • @addysiwall4427
    @addysiwall4427 Рік тому +1

    Your blessed Kaka ❤❤❤ thanks😊

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 Рік тому

    Mimi ni mwanafunzi mzur yani umekiwa furaha kwangu asante kaka

  • @Djrayv_tz
    @Djrayv_tz Рік тому

    Umenijuza vingi sana kaka 🙏🙏🙏

  • @njuuhjera9971
    @njuuhjera9971 Рік тому

    Nafanya Kaz kweny mpesa nakubaliana na hilo la kutaja jina lake vizur..coz nikisoma majina ya wateja wang hua wanasema wow umelitaja jina lang vzr na anaweza kuomba nirudie

  • @dastandomition7665
    @dastandomition7665 Рік тому

    Nimekupata brother,, thanks

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Рік тому

    Asante ndugu kwa ushauri, barikiwe.

  • @eliassimeo1616
    @eliassimeo1616 Рік тому +4

    Thank you very much. I have gained a lot from this video

  • @agneskayange2804
    @agneskayange2804 Рік тому

    It's educative video, thanks for sharing

  • @user-lo1ub5sv1t
    @user-lo1ub5sv1t 10 місяців тому

    Kama mm ninvyojifunza kutoka kwako

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 Рік тому +2

    Noted🙏

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 9 місяців тому

    Asante sana kaka

  • @paschalmtaki8117
    @paschalmtaki8117 Рік тому

    Safi sana kaka

  • @ibrahimpius5766
    @ibrahimpius5766 Рік тому

    Ahsante Sana Mr joel

  • @deuxmsigala5010
    @deuxmsigala5010 Рік тому

    ❤️❤️ my brother 🙏

  • @adamkanja6449
    @adamkanja6449 Рік тому

    keep going broh👍👍

  • @evancebartlomeo
    @evancebartlomeo Рік тому

    Thanks Brother Joel .. makosa yote hayo . Am there You help me alot 🙏🏽