Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼 Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
hakika wewe ni zaid ya mwalimu mungu azidi kukupa afya njema uzidi kutufundisha
Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Thanks you sir niko Gold
Joel hii nikweri kabisa,mm ni gold mume wangu ni orange,but maisha na hawa watu ni ngumu sana.
Mungu ni Mwema Sana Mimi Hapa Nisha Jiona Kabisa Ni Gold🌟🌟🌟 Kabisa
Waooo pamoja
Gold naitaji blue❤ ubarikiwe bure kaka joel nakupenda bure
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, mm ni Gold na mume wangu ni blue, Thank you very much kwa kutufundisha
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼
Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Is Gold
Mungu azid kukuinua sichok kukufwatilia ❤ mim ni blue na gold kidog
Asante bro mungu akubariki sana..
Natamani siku moja nikuone mungu anipe kibari umenibadirisha sana
Ukienda kumwona nipitie Mimi mwenyew nataka nitengeneze bango niweke dkn kwangu ILi kila anae pita nimuelezee
Ubarikiwe sana kaka kwa somo zuri, kupitia somo ili litanisaidia namna ya kuhusiana na watu
Maana mm nishajijua mimi ni rangi ipi.
Gold mtupu frampa boy
blue color
Kaka angu hii inanihusu mimi..🙏🏿🙏🏿💪🏿
Am greeen😂
Mwenzangu😂
Kaka Upon vizuri Sana
Mimi Nana Ni Gold nahitaji green
Gold
Barikiwa sanaaaa nanauka
Green 😂😂 Duh nakubali sana
Amen
Najiona kwenye Gold.
Gold is good
I am blue,I need gold or green to make a perfect match.
Nakufatilia bro Joel
Barikiwa kaka,mimi ni blue
Shukraan kaka Joel
Wao so nice
Mimi ni Gold
Je hizi personality zinaweza baadliika (mean kuna uwezo wakubadili personality)
Ni ngumu sana juu ni tabia na nadhani tabia haina dawa.
@@minaaminaa1781 tabia haina dawa ila sikuna namna ya kureplace tabia fulani kwa kuingia kwenye uraibu wa tabia fulani
Pengezi kwa wazazi wako ..... na kwako shukran ubarikiwe
Ameen Ameen Ahsante sana
Balikiwa Sana Kaka Joel🙏🏽🙏🏽,me blue. kila nikifungua page yako lazima nitoke na mmb mapya ,
Shukrani 🙏🏽
Kaka J skuiz unakua chibonge.
Umeniandikia Meseji kwa herufi kubwa 😁 chanzo cha kuachana
Mimi ni Gold...Namtaka Green akamilishe mapungufu kidogo
Blue
Nimesikiliza kwa umakini na nimejigundua nipo kwenye kundi la GOLD
Mimi gold wife blue asante sana Coach hivi sasa tuna miaka 30 ya ndoa! Kumbe ilikuwa ni chemistry nzuri
Nashukuru sana kwa darasa zuri kaka @Joel Nanauka. Mimi Ni Green🟢
Safiiii👏🏻👏🏻
Mimi ni blue I think nahitaji gold ili twende sawa👍 Asante sana Mungu akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
Yaani hii orange ni kama umeniongelea mm hakuna hata kimoja nilichokosa😂😂😂
Mini blue color.
Amina sana
Gold.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yani mi hapo ni orange 💯
BLUE HEBU NJOENI KWANZA JAMANI MM BLUE 😢KABISA JAMANI KABISAAAA
Mke wangu ni orange mimi ni gold nifanyeje.
Am green sir joel..ebu nishauri mke wa namna gani anani fit apo😢
Green
🔥🔥🔥
God bless you brother
Blue colour 🎉❤
Good leo nimetambua kuwa mimi ni ORANGE 🍊 axante 💯🙏
Hongera sana kwa kujitambua👏🏻👏🏻
Asante Sana nimejijua leo mm ni bluu
@@joelnanaukaAsante🎉
Mimi gold mke wangu orange bac nahic niko vizuri.
Hivi vitabu vyako tunavipataje tulio nje ya Tanzania?
🎉🎉
Mimi najiona kwenye Green nina hitaji watu wa BLUE
Green 💚
Mimi ni bluu
🔵 BLUE kabisa hapa😂
Mimi hapo blue 💙
Asante kaka apa mm ni blue 99% lkn kwa swala la biashara ni orange lkn nimejifunza niwe na wa kala gani ili mambo yaende.
Kumbe mimi ni Gold corol(melacolin)mke wangu ni orange(sungwin
Mimi ni Green
asee nimejiina ni green 100%
mimi ni Blue walah
Mimi ni 🔵 blue. Na gold ndani yake gold
Leo nimeelewa kwa nini nazozana sana na mtoto wangu,kumbe yy ni orange hana hisia hajali wala nini.
Am typical GREEN...
Mbona tumo kote inakuwaje?
Mimi yangu blue aisee ila iyo orange naona sifa zote husband anazo
Blue 🔵
Dominant colour Yangu ni Blue
ASANTE
Blue hyo nahitaj gold
Blue. Pia nahitaji mtu wa green
Blue nimimi Waka huja msema mwingine Sasa nifanyeje kuji balance?
Daaa, mbona mimi nipo kwenye magroup matatu tofauti yaani Blue,Gold na Green?
😅😅😅😅😅😅😅😅
BLUE COLOR
Kaka Joe Mimi ni orange 🧡 please help me 😂❤
Mm ni blue colour
Mimi ni blue kabisaa ila Nina vi element vya kidogo gold nadhani namuhitaji green
Brother me Ni blue
Me langi yangu ni Gold namwitaji green color
Je gold na green wana mapungufu gani?
am green color, need blue color. Thanks
Orange nipo hapa😂😂😂😂
Mimi ni gold,na nimejipenda kua gold nahitaji blue.
Aisee mimi ni orange kabisa, hapa naitaji msaada ili kuweza kuwa sawa
Ila orange jmn.Yaan kuandika meseji kwa herufi kubwa ni kosa
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Safi Hongera kwa kujijua na kujua unachohitaji
Mimi no gold ni mimisi orange
Im green
iam blue😂😂
Swali kwako life coucher je unaweza kuwa co-color?
Zuj,h,h,h,h,h,h,h,h,h,,h,,,,,,h,,
Mm mbona nipo blue automatic na yellow kidogo??
Hongera kwa kujitambua 👏🏻👏🏻
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
My dominant color is green 😂
Green😂
Typical orange😂
na hii orange ina watu wengi😅😅😅 ushindani mwingi
😅😅