Dr Chris Mauki : Mambo matatu (3) yatakayo kusaidia kubadilisha tabia yako

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 чер 2020
  • Mabadiliko ya tabia ni suala mtambuka. Kubadili tabia ni kitu endelevu kwenye Maisha, ili ubadilike lazima ujifunze vitu muhimu kwenye mabadiliko hayo. Ndio maana wengi wanatabia fulani zinazowasumbua na bado wanapata shida sana kubadilika hata kama wanajua madhara na athari za tabia hizo. Je unajua nini cha kuzingatia pale unapotaka kubadili tabia yako? Fuatilia somo hili muhimu sana

КОМЕНТАРІ • 36

  • @careencharlescharles9749
    @careencharlescharles9749 4 роки тому +2

    asante sana sana umenibadilisha mno na masomo yako MUNGU akubariki sana

  • @esthermichael3989
    @esthermichael3989 Рік тому

    Kweli ushauri wa kisaikolojia ni tiba. Endelea kubarikiwa sana Mr. Chris Mauki

  • @ladyfausta7448
    @ladyfausta7448 4 роки тому +6

    Mm jamani ninashida kila nikianzisha mawasiliano hayadumu ninakuwa na hasira cjui tatizo nn hapo kaka angu unaweza nisaidia

  • @davidshedrack6038
    @davidshedrack6038 3 роки тому

    Nimeifurahiyaa somo yako kweli Dr

  • @janiphacosmas1777
    @janiphacosmas1777 2 роки тому

    Asante kwa. Somo zri

  • @lydiamuhando2803
    @lydiamuhando2803 3 роки тому

    Nabarikiwa na mafundisho yako mtumishi

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 3 роки тому

    mada imenisaidia sanaaaa safi sanaaaaa

  • @estherkabeya4453
    @estherkabeya4453 4 роки тому

    Iyo ni kweli kabisa , ubarikiwe sana.

  • @aminaely3263
    @aminaely3263 4 роки тому

    Nzuri Sana kaka umenisaidia

  • @rukiajumaa574
    @rukiajumaa574 4 роки тому

    Asante dr

  • @swalhinajuma4149
    @swalhinajuma4149 4 роки тому +2

    Umenikuza sana kiakili

  • @shanihamimu5288
    @shanihamimu5288 2 роки тому

    Hbr..NahitAji.unisaidie.je.mapenzi.ni.pesa

  • @darejoTV
    @darejoTV 4 роки тому +1

    Nice

  • @fatmamapinda7222
    @fatmamapinda7222 4 роки тому

    Asante

  • @episawaki3240
    @episawaki3240 4 роки тому +1

    Ninashort temper sana najaribu kuiacha lkn niliyenae ndo so ya kuirejesha sababu ya makwazo yake

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 роки тому

    Amen

  • @luciananyarash1681
    @luciananyarash1681 2 роки тому

    Nna mwenza tumepanga kuingia kwenye ndoa lkn yuaniambia hayuko tayari nimpe muda ajipange ntafanyaje

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 4 роки тому +1

    Nataka kubadilika nisimpoteze niliye nae sasa lakini nina wivu sana na hunipelekea kuongea maneno ambayo yanamchukiza mwenzangu.

  • @suleimansalum9675
    @suleimansalum9675 2 роки тому

    Dokta mm ntk nibdilik kuhus Ii masterbation mbn cbdilki

  • @esterbarinaba5891
    @esterbarinaba5891 4 роки тому

    Asante doctor ulinitumia number ya mawasiliano nikaambiwa nitatumiwa muongozo nikawa nawakumbushia sikupewa jibu Hadi leo Nilitaka kuonana na wewe

    • @rhodasaid3262
      @rhodasaid3262 2 роки тому

      Doctor Mimi nipo Bagamoyo, nimetoka Tabora naomba nipate ssfac ya kuonana na wewe ana kwa ana tafadhali, naomba msaada huo please!please!

  • @DaveHumphrey2514
    @DaveHumphrey2514 4 роки тому +2

    Nilifanya diet, motivation yangu ilikuwa suruali ya besti angu flani ivi. Nikasema, nitapungua ili nivae suruali yake. Ila sasa... Celibacy ndo ninaaim, ila cjui manufaa yake ila i want to be so

  • @angelkanyambokanyambo3750
    @angelkanyambokanyambo3750 4 роки тому +1

    Umenifungua kiukwel

    • @jacobkilimba748
      @jacobkilimba748 4 роки тому

      Powerful Talk am Psychology Student I wish One Day Nisimame Ukumbi mmoja naww Kiongozi , am inspired by ur life story

  • @fatmadevd8072
    @fatmadevd8072 4 роки тому +1

    Nkwel mm binafs nataman kbadirk lkn nmeshindwa so na fanya nn?..

  • @ramseywanjala6295
    @ramseywanjala6295 4 роки тому +2

    Dr Chris Mimi nina matatizo naomba mawasilino yako nisha kata tamaa na hii dunia naomba number ya WhatsApp am imo kwamana niko ije ya inji Mimi David

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 роки тому +1

      0713407182

    • @janethmakaranga7709
      @janethmakaranga7709 4 роки тому

      Ramsey wanjala kila mtu Ana matatizo ktk dunia hii. Hutakiwi kukata tamaa. Anyway fuata atakachosema mr mauki uko mikono salama. He is indeed a GENIUS

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 4 роки тому

    Mm uongeajii jaman naongea Sana et alaka alaka yaan natakan niwe naongea polepole Ila nashindwa