Dr Chris Mauki : Mambo matatu (3) yatakayo kusaidia kubadilisha tabia yako
Вставка
- Опубліковано 14 чер 2020
- Mabadiliko ya tabia ni suala mtambuka. Kubadili tabia ni kitu endelevu kwenye Maisha, ili ubadilike lazima ujifunze vitu muhimu kwenye mabadiliko hayo. Ndio maana wengi wanatabia fulani zinazowasumbua na bado wanapata shida sana kubadilika hata kama wanajua madhara na athari za tabia hizo. Je unajua nini cha kuzingatia pale unapotaka kubadili tabia yako? Fuatilia somo hili muhimu sana
asante sana sana umenibadilisha mno na masomo yako MUNGU akubariki sana
Kweli ushauri wa kisaikolojia ni tiba. Endelea kubarikiwa sana Mr. Chris Mauki
Mm jamani ninashida kila nikianzisha mawasiliano hayadumu ninakuwa na hasira cjui tatizo nn hapo kaka angu unaweza nisaidia
Nimeifurahiyaa somo yako kweli Dr
Asante kwa. Somo zri
Nabarikiwa na mafundisho yako mtumishi
mada imenisaidia sanaaaa safi sanaaaaa
Iyo ni kweli kabisa , ubarikiwe sana.
Nzuri Sana kaka umenisaidia
Asante dr
Umenikuza sana kiakili
Asante sanaa
Hbr..NahitAji.unisaidie.je.mapenzi.ni.pesa
Nice
Asante
Ninashort temper sana najaribu kuiacha lkn niliyenae ndo so ya kuirejesha sababu ya makwazo yake
Amen
Nna mwenza tumepanga kuingia kwenye ndoa lkn yuaniambia hayuko tayari nimpe muda ajipange ntafanyaje
Nataka kubadilika nisimpoteze niliye nae sasa lakini nina wivu sana na hunipelekea kuongea maneno ambayo yanamchukiza mwenzangu.
Hongera sana kutufamisha
Dokta mm ntk nibdilik kuhus Ii masterbation mbn cbdilki
Asante doctor ulinitumia number ya mawasiliano nikaambiwa nitatumiwa muongozo nikawa nawakumbushia sikupewa jibu Hadi leo Nilitaka kuonana na wewe
Doctor Mimi nipo Bagamoyo, nimetoka Tabora naomba nipate ssfac ya kuonana na wewe ana kwa ana tafadhali, naomba msaada huo please!please!
Nilifanya diet, motivation yangu ilikuwa suruali ya besti angu flani ivi. Nikasema, nitapungua ili nivae suruali yake. Ila sasa... Celibacy ndo ninaaim, ila cjui manufaa yake ila i want to be so
Inawezekana kabisa
Umenifungua kiukwel
Powerful Talk am Psychology Student I wish One Day Nisimame Ukumbi mmoja naww Kiongozi , am inspired by ur life story
Nkwel mm binafs nataman kbadirk lkn nmeshindwa so na fanya nn?..
Tafta pesa @fatma d
Dr Chris Mimi nina matatizo naomba mawasilino yako nisha kata tamaa na hii dunia naomba number ya WhatsApp am imo kwamana niko ije ya inji Mimi David
0713407182
Ramsey wanjala kila mtu Ana matatizo ktk dunia hii. Hutakiwi kukata tamaa. Anyway fuata atakachosema mr mauki uko mikono salama. He is indeed a GENIUS
Mm uongeajii jaman naongea Sana et alaka alaka yaan natakan niwe naongea polepole Ila nashindwa
😀😁😂😃😄punguza idadi ya meno kwa mdomo
@@sheddykayanda4369 😆😆😆
@@sheddykayanda4369 😆😆😆😆😆