Naomba unishauli me ni mfanyakaz selikali natamn kufanya biashar lakn sijui nifanye biashara gan moyo wangu umejaa hofu mno yaan daaah naomba ushari na mimi nipate kuendelea kiuchumi
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you" Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
Mm ni kijana mdogo sana nipo diploma nilikuwa naomba utusaidie njia nzur ya sisi kusoma tukiwa chuoni kwa sababu watu wengi wana hangaika na hilo ili wote tuweze kufika mbali kama ww naamini hili litasaidia watu wengi
Joel mungu akulinde na kukutunza siku zote.umekuwa msaada mkubwa sana kwangu ubalikiwe sana mdogo wangu.
Asnte San japo Mimi nimchoma mahind namkulima mdogo sana inanipaujasiri San Mungu akupe maisha marefu,
Naomba unishauli me ni mfanyakaz selikali natamn kufanya biashar lakn sijui nifanye biashara gan moyo wangu umejaa hofu mno yaan daaah naomba ushari na mimi nipate kuendelea kiuchumi
Nilishakufuatilia sana ila nitakufuatilia vzr 2024 after 6 year nitaona mafanikio MUNGU AKUPE MAISHA MAREF @JOEL NANAUKA
Hii ni video bora kwangu kwa mwaka huu 2024🙏💥💥
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako ubarikiwe sana
Joel nanauka ameniokoa sana mungu akusaidie sana
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Wewe ni zaidi ya mwalimu ubarikiwe sana, ninachokifanya ni kuhakikisha sipitwi
Be blessed kaka Joel 🙏🏽.
Shukrani sana kila siku najifunzifunza mapya.. asante kaka "njia bola ya kujilinda Ni kushambulia🙏🏽🙏🏽
Bro wewe nitaa yangu nitaendelea kufata nyayo zako mpaka mwisho wangu maana najiona miaka 10 ijayo Mimi nitakuwa JOEL NANAUKA wa Pili,🙏🙏✍️✍️💪💪💪
HAPANA UWEZI KUWA JOEL NANAUKA WA PILI,YEYE NI YEYE NA WEWE NI WEWE,ME NITAKUWA MSEMAJI MZURI SABABU NIMEJIFUNZA MENGI KUPITIA YEYE
Kung'ang'ania kuendelea kuwepo wakati nguvu zinakuishia, ni kuendelea kujimaliza. Nakuelewa sana Joeli
Ahsante sana Kaka joel kwa darasa YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Duuuh leo nlitakiwa niipate hii asante mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki Kaka yangu, wewe ni malaika anaye vaa mwili kwa hiki kizazi changu
asante mtumishi maneno ya busara na ya kutia moyo
Kaka Joel sinà mengi ya kusema zaidi ya kusema Mungu akutunze🙏
Mungu akubariki navuna vingi kutoka kwako.
Asante sana joel nitaumbia ivyo mlima ulioko mbele yangu)
Hii nimependa Zaidi❤
Asante kaka umenigusa na hali niliyonayo saiv inabid nikae kimya2
Wao waoo, I just stumbled across this 💯🔐
Hakika nimejifunza Jambo jipya kwangu ambalo limenipa hatua nyingine,MUNGU akuinue zaidi.
Nabarikiwa Sana na masomo yako ❤
Unajua Sana brother Mungu akijalie
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Ahsante kwa elimu bora
Ninapenda sana kukufatilia kak vp na vipataje vitabu vyako
Nice presentation ✨
Joeli nanauka wewe ni mwalimu wangu
Nice message my brother
Nashukuru sana Joel nimejifunza kitu naendelea kukusikiliza kila siku. U inspire me a lot🎉🎉
Best❤
Brother. Madini yako ni chakula changu kwenye Maisha ya utafutaji siku zote. Mungu akupe afya njema.
Nimefuatilia vingi ila hii imenipa somo kubwa sana
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Pamoja mkuu 🤴🤴
Asante mtumishi kachawamaisha
Kaka Joel nakushukuru kwa elimu yako.
Asante kaka kwa kunitia moyo me ni mkulim umenifundisha vitu vikubwa San mwalim Joel nanauka big up San by juliaus
Thank you my brother,
Habari naitaji kitabu cha elimu ya pesakama skkosei kinaitwa ivo na mifumo inayotawala dunia navipataje
Asante sana broo kwa Maarifa
Kweli kabisa
Asante sana kwa somo mwalimu, wewe ni taa inayotutoa kwenye giza ❤❤🙏🙏🙏
Pia nataman kukutana na ww siku moja coz unatusaidia sana rolemodel
Natamano siku nikuone live bro unanisaidia sana
Be blessed Joel waniinua sana
Mungu akujalie maisha marefu brother Joel,nakukubali sanaaaa👍👍👍💪
Safi Kwa kutuhimalisha watanzania wenye ndoto kubwa endelea kutujengea misuli ya mafanikio
yanii hii inaniumiza sana mm umenigusa mimi najiona
Ahsante sana Joel Mungu akubariki
Thanks so much the video find me in the right time
Your speaking with my soul,thank you brother JOEL NANAUKA. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
100% ulicho kisema ni sahihi
hii ndo master piece.kak anatufungua san kiakili kam unatekeleza hiv anavyovfundsha.
ishii daima kaka
Asante Kwa ujumbe mzuri nimejifuza kitamu umeongea vitu ambavyo vimeshanitokea na kbs mungu akubarik sana kwa mafundisho yako
Great appreciation to you bro umenisaidia kuifungua akili yangu❤❤❤
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope
Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you"
Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
I like this brother.. Your doing a very good job..🎉🎉🎉 watanzania tulipo mbali tunakufuatilia sana
Njia Bora ya Kujirinda ni Kushambulia- Asante Baba Nanauka👍💪👊
Bloo unazungumza ukweli mtupu 🙏
Asante kaka Joel nimejifunza kitu, barikiwa sana
Madini🎉
Hakika unatuokoa tulio wengi maana Tunaangamia kwa kukosa maarifa
Nakushukur sana kaka nimepitia Wakt mgumu sana nilivyoachishwa kazi. Watu waliongea sana lkn sijajibu chochte mbk sasa .
😂😂😂😂 dah umenigusa Mimi kabisaaa 2023 nimepitia changamoto za aibu za kusemwa dawa ilikuwa ni hiyo kudisapper tu
pole
Umenigusa sana..
Asante Sana uko kama umeniona
Asante nimejifunza kitu hapa
Kweli mwalimu mimi nikombali na kwenye nilikuwa na nimejipangha na kwenye nilikosea nimejirekebisha pia
Hakika upo sahihi kbs
Nikweli kabisa hata mimi nilisha wai kupitia kipindi kigoumu ila nilipotea kidogo nilipo rudi watu wote walishangaa kwa nguvu mupya nilio rudi nayo
Thank you Kaka Joel one day I Wish to meet with you coz I like to do as you do
Mungu akubariki sana
Barikiwa sana
Asante sana kaka,kwa madini ya maana,nimeelimika.
Exactly🤝
Hakika nimekuelewaa
❤❤❤ubarikiwe sana
Asante sana nimebarikiwa sana.
Thank you brother Joe ❤
U always feed my mid
thanks so much my life coach ...see you too at the top
Shukrani 👏🙌🙌
Iyo kweli sana kabisa
Mm ni mfanya biashar mdogo mdogo natak niiendee biashara kubwa au kupanua soko nishaaur namna au njia sahh ya kuongez uwigo wa kibiashara.
Bro we ni fundi
🔥🔥🔥🔥🔥
Thanks broo Joel Nanauka 🙏
Thank so much my brother
Asant sana, ulichokisema ni ukweli, namna gan naeza fanya iliyo ndoto yang ikiwa rasilmal na mtaj sina?
God bless you
Mm ni kijana mdogo sana nipo diploma nilikuwa naomba utusaidie njia nzur ya sisi kusoma tukiwa chuoni kwa sababu watu wengi wana hangaika na hilo ili wote tuweze kufika mbali kama ww naamini hili litasaidia watu wengi
Wewe pia ni kama Mimi, ila jawabu lako la Njia nzuri za kukusaidia kusoma ni Wewe kuamua na kuanza kusoma Leo😊
@@thomasgrafx yea ni kweli kabisa
Njia nzuri ya kufaulu chuoni huzuria vipindi vyote vya lecture, hakikisha unaelewa ukiwa ndani y lecture room, ukishidw kuelew fanya discussion.
level yoyt ya elim inahitaj nidham ndg,hasa unapokuw chuon jitahd kuish katk micng ya course yako bas utapta majibu namn ya kupg msul kijan.
Focus kwenye masomo hakuna shortcut , jitambue jiamini
Ww jamaa ni jin'az
Gud advice
Amina
🙏
👏👏🙌🙌🙌🙏
My brother nilikuwa naomba ya kupata kile kitabu cha how to pass exams.