CCM WAMEJICHANGANYA KWA SHEKHE "MTU ANAKWAMBIA CCM IMENILEA KWANZA HUNA FADHILA KWA WAZAZI WAKO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchavua Ipinda Online tv........Usisahau kusubscribe Channel yetu

КОМЕНТАРІ • 35

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 24 дні тому +7

    Hongera sana shehe kwa kuwajuza raia juu ya nchi inavyo liwa na CCM

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7x 24 дні тому +7

    Nimekukubali sana 2

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 24 дні тому +5

    Huyu ni sheikh kweli. Naweza hata kumsindikiza msikitini nikaswali nae!!
    Anajitambua

  • @paulsenyael7154
    @paulsenyael7154 24 дні тому +7

    At least hata robo ya wananchi wangekuwa hivi nchi yetu ingekuwa mbali sana.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 21 день тому +1

    Safi sana shehe Mungu akulinde

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 24 дні тому +2

    Good presentation of facts

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 20 днів тому

    Point sana

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 24 дні тому +2

    Safi sana Shekhe, umesema kweli kabisa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 24 дні тому +1

    Huyu sheikh anaongea points sana yaani unashawishika.Mungu ambariki sana.

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 24 дні тому +1

    Noma Sanaa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 24 дні тому +4

    Washa Moto Shekhe Hawa CCM Wametufikisha Pabaya Mpaka Tuwaondoe Tumechoka Kuongozwa Kienyeji "

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 16 днів тому

    HAKUNA SHEIKH HAPO.
    ALLAH NDIYE ANAYETURUZUKU. KILA JAMBO.

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g 24 дні тому +4

    Shekhe unafaa kuwa katibu mwenezi

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 24 дні тому +3

    Nondo za maana sn mkuu,umeeleweka

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 24 дні тому +2

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya vichwani mwa watanganyika waliopo mbele yako imeelewa, Mungu yupo pamoja nawe

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 24 дні тому +2

    Kadogoo heshima kwako wakati mwingine wakupangie mkutano wako.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 24 дні тому +1

    Unajua shekh unajua, wenzako Wana wivu unaeleweka

  • @abdallaahabdallaahibrahim6719
    @abdallaahabdallaahibrahim6719 23 дні тому +1

    Kadoo anafaa kuwa mwenezi wa chama mwenyekiti muangalie huyoo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 24 дні тому +1

    chadema mkipata watu kama hawa 5 ccm inaangukaa ,lisuu na mbowe wanatakiwa wapunguze maneno nwapewee hawaa

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z 17 днів тому

    Love kwa CHADEMA ❤❤❤❤👏👏👏👏👏🔥🔥🔥❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾🤸🏾

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 22 дні тому

    Kweli kabisa sisi tunaweza kujenga nyumba kila sehemu nyumba nzuri makazi safi hii yote maono madogo wao viongozi ni madalali tu nyumba kibogo hazina ghalama hata kidogo uongo kikubwa ni mipango

  • @salama1113
    @salama1113 22 дні тому

    Jitafutie majibu kwa mungu achana na mashekhe chumia matumbo wataenda kujibu kwakutokemea maovu 😂😂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 21 день тому

    Vitu vimepanda bei sukar chai hatunywi

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 23 дні тому

    Mashehe ote wagekua kama ww tugekua mbali

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 23 дні тому

    Chadema huyu jamaa ni Hazina azunguke nchi nzima

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 21 день тому

    Dah ila ukifikiria kiukweli hakuna usawa hata kidogo kwamba mwingine analipwa m1.8 Kwa mwezi laki5 Kwa Kila kikao Walimu na mwingine laki 3k CCM hawana huruma kabisa

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 22 дні тому

    Huyo Kawa Shehena, hakuna Sheikh atakayetetea watu wanaoshabikia ushoga

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 24 дні тому

    Kadogo mbona humakizii gari la miloni miatani la kifahari inambeba mtu wa kilo 80 or 90 105 wengine km kina acson tulia ndio kilo 70 labda Bora hiyo pesa wangenunua miradi ya ccm lngewasadia wana ccm wenzao waliochoka mbaya

  • @hakiyangu
    @hakiyangu 24 дні тому

    Kama cdm ni ya wachaga basi hata ccm ni ya pwani, maana viongozi wakuu wenye sauti ni wa ukanda wa pwani

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 23 дні тому

    Maharage ya Mbeya mapema yameiva!

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 24 дні тому

    Siyasa ya cdm tunaiyerewa xan xhida jexhi rimekuwa rakujipendekeza

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h 24 дні тому

    Kiongozi yoyote unae muona anaisifia ccm ujue anakula keki ya taifa tofauti nahivyo yoyote masikini wa nchi anaeishabikia ccm ujue ni tahila maana akipeleka ndugu yake hospital ya serikali hakuna dawa shule za masikini nchi hii wanafunzi eluf moja mia 2 matundu yavyoo kumi dalasa moja watoto mia 40 alafu mtu mwenye maisha magumu kabisa anakwambia ccm oyee nchi hii watu wanalaana vichwani mwao

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 24 дні тому

    😂