Huyu naye ni Boya tuu.Wakandarasi wengi ni Maboya hata kama wanajua kujenga. Sasa Huyu anaongea nini badala am wite aliyesema aongee naye eti anaita Waandishi wa Habari. Shenzy sana.. Mali zenu mambo yenu huko Ndani kwenu sio mke kutuhemea wasiohusika. Most likely Huyu Jamaa ni Chadema na ndio sababu hana kazi na ndio kisa cha kulalamika ni Hela hana
Aibu ya mwaka kwa kweli alijitapa sana huyo.mkandarasi du
Hata.chama.cha.walimu.waliochanga.kwa.samia.ni.wapumbavu.machawa.mafala.watanzania.wanateseka.hakuna.ajila.maiti.zinalipiwa.madawa.hakuna.hospitali.mlo.mmoja.mafuta.bei.juu.samia.anakosa.milioni.moja?ya.fomu.?
Tasnia ya uandisi inaingiliwa na siasa😂😂
Kazi ina faida mpaka zinachanganya
Takukuru wamfatie huyo aliyotia hiyo hela na anayepokea
Huyu ndie mkandarasi mwenye kujielewa kasema ukweli sio yule kada wa CCM anayejikomba naye awe amesema kitu
Taasisi za kitaalamu zimetekwa nyara na Watawala. Hata wafanye CCM lazima itaanguka tu. Imewadhulumu Watanzania na hususani Watanganyika.
Uko sahihi Engineer,yule Bwana ni mpumbavu,hajui ile aliyoitangaza ni Rushwa
Nakupongeza mhandisi kujitokeza wazi umeonyesha wazi uzalendo Kwa wananchi. Sis watanzania tulijua huyo ni chawa wa C CM. hongera sana
Hyo binafsi nilitafsiri kama rushwa Fulani. Na Sheria za utumishi wa Umma , Rais akipewa zawadi inatakiwa aikabidhi utumishi.
Kuna Kitu huyo Baba Anakikwepa.
Hiyo ni Rushwa ya kuomba kazi
Uko sawaa akili kubwa
Wakandarasi mmepiga pesa mpaka zimewachanganya
Mumelewa pesa kibao! Mumnunulieni meli pia! Jambo la kawaida, pesa zenu!
Akiri.kubwa.sana.mwenzenu.huyo.ni.chawa
Pesa ya walipa kodi ileile hiyo danganya.toto
Mnatifanya sisi ni wajinga siyo
Huyu naye ni Boya tuu.Wakandarasi wengi ni Maboya hata kama wanajua kujenga. Sasa Huyu anaongea nini badala am wite aliyesema aongee naye eti anaita Waandishi wa Habari. Shenzy sana.. Mali zenu mambo yenu huko Ndani kwenu sio mke kutuhemea wasiohusika. Most likely Huyu Jamaa ni Chadema na ndio sababu hana kazi na ndio kisa cha kulalamika ni Hela hana
Baba umenyoka tuwachama kingine
Imetosha imetosha