Nampongeza sana Mpina ni shujaa mtetezi wa wa Tanzania, Na binge la Tanzania Halifai kabisaa. Asanteni saana Mawakili kwa hatua hiii nzuri ya kumuunga mpina kututetea wa Tanzania.
Hatua ya Kizalendo sana hongereni sana, muwe makini msichukuwe mapandikizi humo kwenye jopo la utetezi wa Mheshimiwa Mpina dhidi ya genge la majizi ya nchi yetu.
Viongozi wa Tanzania wamewafanya watanzania mazuzu. Speaker alivyofanya vibaya sana. Utafikiri watanzania hawana macho wala akiri ya kufahamu yanayoendelea. Mtu anatowa taarifa ya wizi,, Speaker anamufukuza bila ya kuchambuwa ushahidi, na watu kuona. Kamuziba mudomo bila kujali, na kusema beba Mizigo yako, toka bungeni utafikiri anamufukuza mtoto. Imetuuma sana watanzania. Asante sana mawakili kuwasaidia watanzania wasiokuwa na sauti.
Hongereni sana mawakili kwa kuliona hili kama ingekuwa nchi nyingine wananchi wangeingia barabarani kwa kumsurpot mh mpina lakini watanzania sijui tutatoka lini kujua haki zetu
Ubarikiwe wakili kijana tatizo la nchi yetu vijana wengi hawaelewi mambo yanayoendelea bungeni wako busy kushabikia mambo ya mpira na kubet daily vyombo vya habari viko busy kupromote mpira wa Yanga na Simba hawajui nchi yao inaendeshwaje
Uwoga wetu sio uwoga wa hekima , mbali ni uwoga wa kijinga na upumbavu . Ni bora ufe kuliko kukaa kama kiglagosi kwenye ichi yetu . Watanzania wengi tunaishi kama wapangaji tu kwenye ichi yetu . Sasa uwoga hautatutaidia tutaendelea kuumizwa inapaswa tuamke sasa @@allymganga3223
Mawakili mkiamuamka mtatusaidia sana maana hata tunavyokamuliwa na kodi mbali mbali na shuru mbali mbali halafu watu wanaishi maisha ya anasa!!! Inauma sana.
Hongereni Mawakili, na Mh Mpina yapo mambo mengine yana mashiko lakini anapuuzwa Vyombo k m Takukuru ingepaswa ifanyie kazi na kutoa taarifa kama si kweli, lakini ukimya wa wachunguzi unatia mashaka.
Hongera sana bwana Basila kwa hiyo fikra yaani hii nchi ni kazi mipira,kubet na viongozi wetu wamezidi kwa maslahi yao krb kuna dalili nzuri hii nchi c tunaona majirani
Yaani Tumefikia Hatua Watanzania Tunakubali Kuonewa na Haki Nyingi Tunanyimwa Na Hawa Wenye Mamlaka Na Tunakubali Kabisa Kukandamizwa Wakati Uwezo Wa Kupinga Na Kukemea na kukomesha Uovu Tunao Kabisà Yaani. Wananchi Tuamke Tupinge Uonèvu Huu Na Kulinda Haki Zetu Kwa Hali na Mali iwezekanavyo"
"CHOMBO tulichokipa dhamana na kukasimiwa na katiba kuisimamia serikali....kutetea maslahi ya umma.... Leo kinaona kinyaa...."! Maneno haya ni mazito, yanatia simanzi! Mungu ibariki Tanzania!
Hili la msingi sana,inabidi watu wanaotambua haki kama hawa binafsi naungana nao na kuwaombea wafanikiwe ktk hili,mpina anajambo kubwa sana la kuikomboa hìi nchi kama viongozi wa chadema ambao wamejitolea kwa kila hali mpaka leo wako hapa walipofikia.
Wakili amegusia kitu muhimu sana sio tu kwenye hilo suala tu bali hata kitaifa yaani vetting (upekuzi ). Vetting kwa nafasi mbalimbali ni eneo linalohitaji kutazamwa kwa kina.
Bunge linaendeshwa na serikali,ASAD alisema huo ndo ukweli hakuna bunge hapo,ila nyie ccm msikalili maisha huo utawala wenu utaanguka tu siku moja ni swala la mda tu
Hawa viongozi sio kabisa. Ni mambo ya ajabu na ya hovyo, poa ya kusikitisha sana tunayo yaona katika karne hii. Watu wote wanajua haki ni nini. Uzalendo ni ni nini, lakini bado mnawafanya watu wajinga. That's absolutely crazy 😏😏 inatia hasira sana kwa kweli
Haya maamuzi yanayotokea bungeni ndio picha halisi ya yale yanayofanyika katika vyombo vya haki na mahakama. Kuna Viongozi wapo kwenye office za umma kupindisha Sheria kwa faida na maslahi yao binafsi na inapotokea wao kukosolewa ili wajirekebishe, wao Kwa sababu ya madaraka na dhamana waliyo nayo wakosoaji hugeuziwa kibao kuwa wao ndio wakosaji. Mfano katika Bunge letu, Mpina alileta hoja kuwa Kuna dosari na utata katika manunuzi ya sukari mambo yakawa vice versa Mpina akaonekana mgonjwa wa akili na asiyeendana na matakwa ya wengi. Kwenye kutetea haki hasa katika chombo kikubwa kama bunge kusiwe na kuzuia pingamizi au kulazimisha wabunge wote kukubali kupitisha hoja tata.
Eti amemfukuza mpina ,halafu wakaendelea kujadili matatizo yaleyale aliyozungumza mpina !! Kwa kweli jaribuni kupunguza Hali ya makundi demokrasia iwe Pana ndani ya taasisi zetu
Safi sana mawakiri wetu mungu awbariki sana kwa hatua mnayochukukua tunawapenda nchi yetu hii ccm inaiharibu sana mpaka wananchi tumechoka sana na bunge la upendeleo lianasimama kwa wala nchi tupo pamoja kwa maombi kwa mungu na kumchangia kama Kuna Cha kuchangia
Serikali yetu sio ya haki, Serikali yetu ni ya kidikteta, haipendi kuambiwa ukweli. Ni serikali ya hovyo na ya ajabu, kati ya zile. serikali za hovyo ambazo zimewahi kutokea duniani
Nawaunga mkono kwa uamuzi wenu kwa kuwa mmesoma sheria kusimamia haki kwa waonewa kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu asimame ndani yenu na kuuondoa uvundo huo unaowatesa wananchi na kuuondoa Heshima ya Bunge tuliyoizoea kipindi cha Spika Marehemu Mzee Samweli Sitta Mungu ailaze Roho yake mahala pema Mbinguni.
What should I say for my beloved Tanzania. Although we may do a lot of good things as a country but something is not okay with those who stand with people
Wanasheria Asante kwa umoja wenu katika kutetea haki bila kuogopa watanzania wengi wanaonewa kwa kukosa msaada wa kusaidiwa kisheria, swala la mpina ni la maonezi kabisa.
Nitashangaa sana na nitashukuru saana kama mawakili wata simamia haki ya kisheria kwa jambo la kitaifa, Kwani Muheshimiwa marehemu magufuli na muheshimiwa Mama Samia walisha kemea mahakama kuto tendea haki wahukumiwa kwa sababu zisizo eleweka!
Huyu ni mbaguzi watanzania ni wote haijalishi kama ni mzungu mwarabu awe yeyote yule aache ujinga wake aangalie nani aliesabanisha uhuru wa nchi hii upatikane hata muwe mawakili mia
Nampongeza sana Mpina ni shujaa mtetezi wa wa Tanzania, Na binge la Tanzania Halifai kabisaa.
Asanteni saana Mawakili kwa hatua hiii nzuri ya kumuunga mpina kututetea wa Tanzania.
Hatua ya Kizalendo sana hongereni sana, muwe makini msichukuwe mapandikizi humo kwenye jopo la utetezi wa Mheshimiwa Mpina dhidi ya genge la majizi ya nchi yetu.
Ukweli Mawakili tunawashukuru sana kwahilo, kwani nchi yetu Sasa uonezi umezidi sana, Wapigaji wote wanamuAndama Mhe. Mpina.
Hongera saana kwa kujali nakuiona sheria inakanyagwa kanyagwa na wchumia tumbo wanaipleka wapi nchi yeetu,,mungu atawasimamia
Mpina ndo mbunge peke yake mwenye haki mzalendo. Hongereni sana mawakili kusimamia swala hili mkweli Tanzania hana haki
Mwenyez mungu awatangulie kwenyekila jambo lenye kheli mawakili pamoja na wanzania wote kwaakika tutashinda Amina Allah atuongoze
Big up Mungu awatangulie
Kwenye mkataba wa DP World ndipo nilijua hatuna bunge Tuna genge la wapuuzi wezi waliovaa vizuri
Kwaiyo bunge ni zaifu kama kauri ya .....😅😅😅
@@bonnymakuke3153Aisee 😂
Mpina tumsaidie,haki ipiganiwe,amen.❤
Mpina ni kama mimi.Namkubali sana, Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.Taifa linahitaji watu kama Mpina.
Bac ni Kama sisi
Viongozi wa Tanzania wamewafanya watanzania mazuzu. Speaker alivyofanya vibaya sana. Utafikiri watanzania hawana macho wala akiri ya kufahamu yanayoendelea. Mtu anatowa taarifa ya wizi,, Speaker anamufukuza bila ya kuchambuwa ushahidi, na watu kuona. Kamuziba mudomo bila kujali, na kusema beba Mizigo yako, toka bungeni utafikiri anamufukuza mtoto. Imetuuma sana watanzania. Asante sana mawakili kuwasaidia watanzania wasiokuwa na sauti.
Well-done Moses and your colleagues - ninyi ni wazalendo - pia, mnafanya kazi ya Mungu 🙏
Hongera sana Mawakili na Hongera sana Mh. Mpina kwa kututetea watanzania 🙏🙏
Viva mpina
Tunakukubali mheshimiwa
Hongereni sana mawakili kwa kuliona hili kama ingekuwa nchi nyingine wananchi wangeingia barabarani kwa kumsurpot mh mpina lakini watanzania sijui tutatoka lini kujua haki zetu
Siku tukitoka watajuta kuna muda uvumilivu unaisha wewe tulia si wanataka shari
Naumia sana wazarendo kama hawa akina mpina kupuuzwa na kuchukulia mgonjwa wa akili wakati.ni mtu makini na mtetez wa wananchi wa Tanzania 🇹🇿
Ndo maana Professor Asad alisema bunge ni dhaifu.
Na ni dhaifu kweli ,hakukosea
Nidhaifu 100%
Professor akisema nani wa kupimga ????!!!! Uzoefu wake unatijaaa
Ubarikiwe wakili kijana tatizo la nchi yetu vijana wengi hawaelewi mambo yanayoendelea bungeni wako busy kushabikia mambo ya mpira na kubet daily vyombo vya habari viko busy kupromote mpira wa Yanga na Simba hawajui nchi yao inaendeshwaje
Watu wanaelewa kila kitu lkn wanaogopa watu wasiojulikana watawapoteza
Uwoga wetu sio uwoga wa hekima , mbali ni uwoga wa kijinga na upumbavu . Ni bora ufe kuliko kukaa kama kiglagosi kwenye ichi yetu . Watanzania wengi tunaishi kama wapangaji tu kwenye ichi yetu . Sasa uwoga hautatutaidia tutaendelea kuumizwa inapaswa tuamke sasa @@allymganga3223
Tutasimama nanyie kwa Kila nukta haya Mambo yakome
Kwel bro
Kwel bro
Huyo msomali mbona Spika amemtetea katika sakata la sukari? Ana maslahi gani katika hili suala?
Sema Bashe siyo Msomali
Kwani Bashe siyo msomali?? @@edsonnelson4464
Raia tuko tayari kuchangia kwa hali na mali. Always forward, barkward never.
Asante sana tena sana kwakuwa wa zarendo wa nchii yetu Mpina hakuenda kusifia watu bungeni yupo kizarendo zaidi kuwa tetea watanzania
Mawakili mkiamuamka mtatusaidia sana maana hata tunavyokamuliwa na kodi mbali mbali na shuru mbali mbali halafu watu wanaishi maisha ya anasa!!! Inauma sana.
Naona Tanzania...kumeaanza kukucha,.🔥🔥Ahsante.
Gen Z taratibu tutafika Canaan soon
NGUVU YA UMMA INAKUJA TANZANIA....ITAITWA GEN. T
Hongereni Mawakili, na Mh Mpina yapo mambo mengine yana mashiko lakini anapuuzwa Vyombo k m Takukuru ingepaswa ifanyie kazi na kutoa taarifa kama si kweli, lakini ukimya wa wachunguzi unatia mashaka.
Shukrani kwa wakenya kwakufanya na cc tunatoka usingizini😂😂😂
Upo sawa mheshimiwa
HAKI HUINUA TAIFA
Hongera sana bwana Basila kwa hiyo fikra yaani hii nchi ni kazi mipira,kubet na viongozi wetu wamezidi kwa maslahi yao krb kuna dalili nzuri hii nchi c tunaona majirani
Yaani Tumefikia Hatua Watanzania Tunakubali Kuonewa na Haki Nyingi Tunanyimwa Na Hawa Wenye Mamlaka Na Tunakubali Kabisa Kukandamizwa Wakati Uwezo Wa Kupinga Na Kukemea na kukomesha Uovu Tunao Kabisà Yaani. Wananchi Tuamke Tupinge Uonèvu Huu Na Kulinda Haki Zetu Kwa Hali na Mali iwezekanavyo"
Mungu awatangulie katikakazihiyo tunajua nikazingumu ilamungu akawalinde mtusemee tusionasauti
"CHOMBO tulichokipa dhamana na kukasimiwa na katiba kuisimamia serikali....kutetea maslahi ya umma.... Leo kinaona kinyaa...."! Maneno haya ni mazito, yanatia simanzi! Mungu ibariki Tanzania!
Hili la msingi sana,inabidi watu wanaotambua haki kama hawa binafsi naungana nao na kuwaombea wafanikiwe ktk hili,mpina anajambo kubwa sana la kuikomboa hìi nchi kama viongozi wa chadema ambao wamejitolea kwa kila hali mpaka leo wako hapa walipofikia.
Mpina yuko vizuri
Ibara ya 8 ya katiba yetu imeporwa na wachache!
Hapa suala ni moja tuwekama Kenya kulinda malixetu wenyew tuwang'oe vibwengo ikulu😮😮😮
Upo Sahihi Ndugu "
@@JacksonFrancesexactly
MPINA HAKUKOSEA. MPINA HANA KOSA. HII SIO KUHUSU CHAMA AMA UPINZANI. HII NI KUTAFUTA HAKI KWA WATANZANIA WOTE
Wakili amegusia kitu muhimu sana sio tu kwenye hilo suala tu bali hata kitaifa yaani vetting (upekuzi ). Vetting kwa nafasi mbalimbali ni eneo linalohitaji kutazamwa kwa kina.
Labda ni ulimbukeni au ushamba ndio unaoleta matatizo haya katika nchi yetu
Mwenyezi Mungu akujaalieni katika kutetea haki na uzalendo kwaajili ya watanzania.
Sawa kabisa...... Tumechoka na utawala wa kikoloni
Utwala uliopo unamfanya mtanzania yeyoote kuwa masikini sababu ya uoga waake ,,na ndani ya nchi yake
Bunge linaendeshwa na serikali,ASAD alisema huo ndo ukweli hakuna bunge hapo,ila nyie ccm msikalili maisha huo utawala wenu utaanguka tu siku moja ni swala la mda tu
Nimekuelewa sana Kaka we will be together!!
ccm nimadhalimu tu hawatuelezi chochote
Hawa viongozi sio kabisa. Ni mambo ya ajabu na ya hovyo, poa ya kusikitisha sana tunayo yaona katika karne hii. Watu wote wanajua haki ni nini. Uzalendo ni ni nini, lakini bado mnawafanya watu wajinga. That's absolutely crazy 😏😏 inatia hasira sana kwa kweli
Haya maamuzi yanayotokea bungeni ndio picha halisi ya yale yanayofanyika katika vyombo vya haki na mahakama.
Kuna Viongozi wapo kwenye office za umma kupindisha Sheria kwa faida na maslahi yao binafsi na inapotokea wao kukosolewa ili wajirekebishe, wao Kwa sababu ya madaraka na dhamana waliyo nayo wakosoaji hugeuziwa kibao kuwa wao ndio wakosaji. Mfano katika Bunge letu, Mpina alileta hoja kuwa Kuna dosari na utata katika manunuzi ya sukari mambo yakawa vice versa Mpina akaonekana mgonjwa wa akili na asiyeendana na matakwa ya wengi.
Kwenye kutetea haki hasa katika chombo kikubwa kama bunge kusiwe na kuzuia pingamizi au kulazimisha wabunge wote kukubali kupitisha hoja tata.
Hili jambo la sukari lilileta mjadala mrefu bungeni wakifanya marekebisho kisheria ili kujilinda dhidi ya Mpina.
Laminitis na were Ndugu Wakili hocho unachoongea kite kiko ndani ya MOYO WAKO.ISIWE UNAUTASH WA KIUSHABIKI
Eti amemfukuza mpina ,halafu wakaendelea kujadili matatizo yaleyale aliyozungumza mpina !! Kwa kweli jaribuni kupunguza Hali ya makundi demokrasia iwe Pana ndani ya taasisi zetu
Alichofanyiwa Mpina ni ubaguzi wa waziwazi.
Hatimaye👏🏾
Kazeni Mawakili mpaka spika na huyo waziri wa kilimo wajiuzulu.
Safi sana mawakiri wetu mungu awbariki sana kwa hatua mnayochukukua tunawapenda nchi yetu hii ccm inaiharibu sana mpaka wananchi tumechoka sana na bunge la upendeleo lianasimama kwa wala nchi tupo pamoja kwa maombi kwa mungu na kumchangia kama Kuna Cha kuchangia
Vzr ssns
Tunawapongeza sana kwa hatua hii
Nina imani na mzalendo ndugu Luhaga Mpina. Nitasapoti shauri hili kwa moyo wangu wote. Nahitaji maelekezo tu ya namna ya kufanya hivyo.
Mpina oyeeeh
Tatizo hata mahakama zinatumika na watawala haohao ma Ccm.hapo haki itapatikana!!?
Gen TZ, Tunakuja
Tusaidieni kabisa, Nchi Ni ya wote
NCHI ISIANGAMIE KWA KUKOSA MAARIFA
Mungu wa mbinguni atutangulie huko mahakamani mpina ndo kaka wa taiga
Nipongeze sana juhudi ya mawakili kufungua shauli hili, pamoja sana
Mungu awatangulie sana tunawaombea
NA PIA AWALINDE SANA
Serikali yetu sio ya haki, Serikali yetu ni ya kidikteta, haipendi kuambiwa ukweli. Ni serikali ya hovyo na ya ajabu, kati ya zile. serikali za hovyo ambazo zimewahi kutokea duniani
SIJUI HAWA WATU WAMEPATWA NA NINI.
Amina sanaaa wakili nchi imefika pabaya
Asante sana ndugu!
Mungu niwetu pamoja na mpina kwa ushindi mkubwa
Mungu awabariki
Mungu awabariki sana wanasheria wetu wazalendo.
TAKUKURU MNASUBILI AGIZO. HEBU TUONYESHENI HAKI ILIPO
Hongera sana ❤
Tutafika uonevu umezidi mungu ibariki Tanganyika.
Nawatakia kazi NJEMA mawakili mnaoungana na mheshimiwa mpina
Nyie nimawakili wazalendo mwenyez mungu akasimame nanyi popote pale. Nchi ya kwetu lakn tumekuwa Kama wagen
Mungu mwema tunakuomba uliokoe taifa letu na tamaa zisizokupendeza wewe ili tupate mwisho mwema. Amina.
Nawaunga mkono kwa uamuzi wenu kwa kuwa mmesoma sheria kusimamia haki kwa waonewa kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu asimame ndani yenu na kuuondoa uvundo huo unaowatesa wananchi na kuuondoa Heshima ya Bunge tuliyoizoea kipindi cha Spika Marehemu Mzee Samweli Sitta Mungu ailaze Roho yake mahala pema Mbinguni.
Nenda kwenye point bsi mbona unalalamika sana ww wakil mpina Angekua mzalendo asingekua ana Pima samaki kwa rula ana ameshapikwa😢😢
Stupid
What should I say for my beloved Tanzania. Although we may do a lot of good things as a country but something is not okay with those who stand with people
Ndio nchi ya kidemokrasia inavyotakiwa viva advocate mosses basila and your able colleagues
Safi sana Mungu awatangulie daima.
Wananchi tunashirikije?
Nyisimnajifanya mumesomasan mungu ndiokibokoyenu.
Wanasheria Asante kwa umoja wenu katika kutetea haki bila kuogopa watanzania wengi wanaonewa kwa kukosa msaada wa kusaidiwa kisheria, swala la mpina ni la maonezi kabisa.
Uko sahiii
It is fair enough to be supported.
Nitashangaa sana na nitashukuru saana kama mawakili wata simamia haki ya kisheria kwa jambo la kitaifa, Kwani Muheshimiwa marehemu magufuli na muheshimiwa Mama Samia walisha kemea mahakama kuto tendea haki wahukumiwa kwa sababu zisizo eleweka!
Tajeni naba marakwa mara
Sahihi kabisa mkuu
Amen
Uzuri bunge likifanyika tunawangalia,one day yes
Mungu awasimamie
Angalia sana usije ukapotezwa
Ukatupwa bahari I au kitavi
Hao watu hawataki kukosolewa hiyo ndio democracy ya TZ
Acha uoga wewe hata uwe mpole siku ikifika Dunia tutaiacha.
Unaweza kuogopa kutekwa nyoka ikakuuma ukafa kwa machungu
Kadri unavyoogopa ndivyo unakuwa lijinga ambalo litakufa kwa kukosa haki za msingi
Wewe zezeta, hufai na huna maana ya kuishi..... Usitie watu ujinga, kama huna hoja si ukae kimya!
Kwa uamuzi huu ni sawa kabisa HAKI haijawahi kuombwa. Inapiganiwa
Gen Z ya Tanzania itakuja kwa style tofauti na wenzetu na ktk hili tumwombe Mungu atusimamie na haki heshima na utu wa mtanzani vipatikane
Huyu ni mbaguzi watanzania ni wote haijalishi kama ni mzungu mwarabu awe yeyote yule aache ujinga wake aangalie nani aliesabanisha uhuru wa nchi hii upatikane hata muwe mawakili mia
Safi kabisaaa
Akina makofi na kusifia wamfumba kinywa mtetezi anayeona ya kesho mungu awatangulie mpate kibali kwa mungu asiye na upendeleo
Endeleeni kuwatetea mapapa wa sukari, mkishashinda muhakikishe na bei inashuka.
Umefanana sana na Mzee Mengi!
Kuna vitu vingi vya kuweka sawa ili kurejesha mamlaka kwa wananchi.
dunia tunapita hayo yote haijalishi unaitwa na nani unacheo gani .Haki tutaipata Kwa Mungu pekee
Hakika ni jambo la msingi sana
Mungu na awasimamie.