MAWAKILI 18 WAOMBA KUSIMAMIA KESI YA MPINA KUWASHTAKI SPIKA NA BASHE"WANATUMIA MAMLAKA KWA FAIDA YAO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024
  • #uhondotv #uhondo

КОМЕНТАРІ • 280

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 23 дні тому +31

    Nampongeza sana Mpina ni shujaa mtetezi wa wa Tanzania, Na binge la Tanzania Halifai kabisaa.
    Asanteni saana Mawakili kwa hatua hiii nzuri ya kumuunga mpina kututetea wa Tanzania.

  • @akilimali8726
    @akilimali8726 23 дні тому +22

    Hatua ya Kizalendo sana hongereni sana, muwe makini msichukuwe mapandikizi humo kwenye jopo la utetezi wa Mheshimiwa Mpina dhidi ya genge la majizi ya nchi yetu.

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 24 дні тому +19

    Ukweli Mawakili tunawashukuru sana kwahilo, kwani nchi yetu Sasa uonezi umezidi sana, Wapigaji wote wanamuAndama Mhe. Mpina.

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 23 дні тому +11

    Hongera saana kwa kujali nakuiona sheria inakanyagwa kanyagwa na wchumia tumbo wanaipleka wapi nchi yeetu,,mungu atawasimamia

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 23 дні тому +9

    Mpina ndo mbunge peke yake mwenye haki mzalendo. Hongereni sana mawakili kusimamia swala hili mkweli Tanzania hana haki

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 23 дні тому +12

    Mwenyez mungu awatangulie kwenyekila jambo lenye kheli mawakili pamoja na wanzania wote kwaakika tutashinda Amina Allah atuongoze

  • @nestor384
    @nestor384 23 дні тому +19

    Kwenye mkataba wa DP World ndipo nilijua hatuna bunge Tuna genge la wapuuzi wezi waliovaa vizuri

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d 23 дні тому +11

    Mpina tumsaidie,haki ipiganiwe,amen.❤

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 23 дні тому +11

    Mpina ni kama mimi.Namkubali sana, Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.Taifa linahitaji watu kama Mpina.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 23 дні тому +13

    Viongozi wa Tanzania wamewafanya watanzania mazuzu. Speaker alivyofanya vibaya sana. Utafikiri watanzania hawana macho wala akiri ya kufahamu yanayoendelea. Mtu anatowa taarifa ya wizi,, Speaker anamufukuza bila ya kuchambuwa ushahidi, na watu kuona. Kamuziba mudomo bila kujali, na kusema beba Mizigo yako, toka bungeni utafikiri anamufukuza mtoto. Imetuuma sana watanzania. Asante sana mawakili kuwasaidia watanzania wasiokuwa na sauti.

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba 23 дні тому +6

    Well-done Moses and your colleagues - ninyi ni wazalendo - pia, mnafanya kazi ya Mungu 🙏

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 23 дні тому +7

    Hongera sana Mawakili na Hongera sana Mh. Mpina kwa kututetea watanzania 🙏🙏

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 23 дні тому +22

    Viva mpina
    Tunakukubali mheshimiwa

  • @ImeldakokusimaChristian
    @ImeldakokusimaChristian 23 дні тому +6

    Hongereni sana mawakili kwa kuliona hili kama ingekuwa nchi nyingine wananchi wangeingia barabarani kwa kumsurpot mh mpina lakini watanzania sijui tutatoka lini kujua haki zetu

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 23 дні тому

      Siku tukitoka watajuta kuna muda uvumilivu unaisha wewe tulia si wanataka shari

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 24 дні тому +28

    Naumia sana wazarendo kama hawa akina mpina kupuuzwa na kuchukulia mgonjwa wa akili wakati.ni mtu makini na mtetez wa wananchi wa Tanzania 🇹🇿

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 23 дні тому +27

    Ndo maana Professor Asad alisema bunge ni dhaifu.

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 24 дні тому +21

    Ubarikiwe wakili kijana tatizo la nchi yetu vijana wengi hawaelewi mambo yanayoendelea bungeni wako busy kushabikia mambo ya mpira na kubet daily vyombo vya habari viko busy kupromote mpira wa Yanga na Simba hawajui nchi yao inaendeshwaje

    • @allymganga3223
      @allymganga3223 23 дні тому +3

      Watu wanaelewa kila kitu lkn wanaogopa watu wasiojulikana watawapoteza

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 23 дні тому

      Uwoga wetu sio uwoga wa hekima , mbali ni uwoga wa kijinga na upumbavu . Ni bora ufe kuliko kukaa kama kiglagosi kwenye ichi yetu . Watanzania wengi tunaishi kama wapangaji tu kwenye ichi yetu . Sasa uwoga hautatutaidia tutaendelea kuumizwa inapaswa tuamke sasa ​@@allymganga3223

    • @MkudeSimba-fg1sf
      @MkudeSimba-fg1sf 23 дні тому +2

      Tutasimama nanyie kwa Kila nukta haya Mambo yakome

    • @user-ev2xf1tv3w
      @user-ev2xf1tv3w 22 дні тому

      Kwel bro

    • @user-ev2xf1tv3w
      @user-ev2xf1tv3w 22 дні тому

      Kwel bro

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 23 дні тому +19

    Huyo msomali mbona Spika amemtetea katika sakata la sukari? Ana maslahi gani katika hili suala?

  • @user-ji8bw7jx6h
    @user-ji8bw7jx6h 23 дні тому +6

    Raia tuko tayari kuchangia kwa hali na mali. Always forward, barkward never.

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 23 дні тому +4

    Asante sana tena sana kwakuwa wa zarendo wa nchii yetu Mpina hakuenda kusifia watu bungeni yupo kizarendo zaidi kuwa tetea watanzania

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 23 дні тому +6

    Mawakili mkiamuamka mtatusaidia sana maana hata tunavyokamuliwa na kodi mbali mbali na shuru mbali mbali halafu watu wanaishi maisha ya anasa!!! Inauma sana.

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v 23 дні тому +7

    Naona Tanzania...kumeaanza kukucha,.🔥🔥Ahsante.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 23 дні тому +2

    NGUVU YA UMMA INAKUJA TANZANIA....ITAITWA GEN. T

  • @drp3721
    @drp3721 23 дні тому +3

    Hongereni Mawakili, na Mh Mpina yapo mambo mengine yana mashiko lakini anapuuzwa Vyombo k m Takukuru ingepaswa ifanyie kazi na kutoa taarifa kama si kweli, lakini ukimya wa wachunguzi unatia mashaka.

  • @salama1113
    @salama1113 23 дні тому +4

    Shukrani kwa wakenya kwakufanya na cc tunatoka usingizini😂😂😂

  • @EzekielMateru
    @EzekielMateru 23 дні тому +12

    Upo sawa mheshimiwa

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g 23 дні тому +9

    Hongera sana bwana Basila kwa hiyo fikra yaani hii nchi ni kazi mipira,kubet na viongozi wetu wamezidi kwa maslahi yao krb kuna dalili nzuri hii nchi c tunaona majirani

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 23 дні тому +6

    Yaani Tumefikia Hatua Watanzania Tunakubali Kuonewa na Haki Nyingi Tunanyimwa Na Hawa Wenye Mamlaka Na Tunakubali Kabisa Kukandamizwa Wakati Uwezo Wa Kupinga Na Kukemea na kukomesha Uovu Tunao Kabisà Yaani. Wananchi Tuamke Tupinge Uonèvu Huu Na Kulinda Haki Zetu Kwa Hali na Mali iwezekanavyo"

  • @deogratiustweve2611
    @deogratiustweve2611 23 дні тому +4

    Mungu awatangulie katikakazihiyo tunajua nikazingumu ilamungu akawalinde mtusemee tusionasauti

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 23 дні тому +3

    "CHOMBO tulichokipa dhamana na kukasimiwa na katiba kuisimamia serikali....kutetea maslahi ya umma.... Leo kinaona kinyaa...."! Maneno haya ni mazito, yanatia simanzi! Mungu ibariki Tanzania!

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 23 дні тому +4

    Hili la msingi sana,inabidi watu wanaotambua haki kama hawa binafsi naungana nao na kuwaombea wafanikiwe ktk hili,mpina anajambo kubwa sana la kuikomboa hìi nchi kama viongozi wa chadema ambao wamejitolea kwa kila hali mpaka leo wako hapa walipofikia.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 23 дні тому +6

    Mpina yuko vizuri

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d 23 дні тому +7

    Ibara ya 8 ya katiba yetu imeporwa na wachache!

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 24 дні тому +9

    Hapa suala ni moja tuwekama Kenya kulinda malixetu wenyew tuwang'oe vibwengo ikulu😮😮😮

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 23 дні тому +5

    MPINA HAKUKOSEA. MPINA HANA KOSA. HII SIO KUHUSU CHAMA AMA UPINZANI. HII NI KUTAFUTA HAKI KWA WATANZANIA WOTE

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p 23 дні тому +3

    Wakili amegusia kitu muhimu sana sio tu kwenye hilo suala tu bali hata kitaifa yaani vetting (upekuzi ). Vetting kwa nafasi mbalimbali ni eneo linalohitaji kutazamwa kwa kina.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 24 дні тому +8

    Labda ni ulimbukeni au ushamba ndio unaoleta matatizo haya katika nchi yetu

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 21 день тому +1

    Mwenyezi Mungu akujaalieni katika kutetea haki na uzalendo kwaajili ya watanzania.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 23 дні тому +8

    Sawa kabisa...... Tumechoka na utawala wa kikoloni

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 23 дні тому +2

      Utwala uliopo unamfanya mtanzania yeyoote kuwa masikini sababu ya uoga waake ,,na ndani ya nchi yake

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 23 дні тому +4

    Bunge linaendeshwa na serikali,ASAD alisema huo ndo ukweli hakuna bunge hapo,ila nyie ccm msikalili maisha huo utawala wenu utaanguka tu siku moja ni swala la mda tu

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 23 дні тому +2

    Nimekuelewa sana Kaka we will be together!!

  • @shaksbinsalim
    @shaksbinsalim 24 дні тому +7

    ccm nimadhalimu tu hawatuelezi chochote

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 24 дні тому +6

    Hawa viongozi sio kabisa. Ni mambo ya ajabu na ya hovyo, poa ya kusikitisha sana tunayo yaona katika karne hii. Watu wote wanajua haki ni nini. Uzalendo ni ni nini, lakini bado mnawafanya watu wajinga. That's absolutely crazy 😏😏 inatia hasira sana kwa kweli

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 23 дні тому +4

    Haya maamuzi yanayotokea bungeni ndio picha halisi ya yale yanayofanyika katika vyombo vya haki na mahakama.
    Kuna Viongozi wapo kwenye office za umma kupindisha Sheria kwa faida na maslahi yao binafsi na inapotokea wao kukosolewa ili wajirekebishe, wao Kwa sababu ya madaraka na dhamana waliyo nayo wakosoaji hugeuziwa kibao kuwa wao ndio wakosaji. Mfano katika Bunge letu, Mpina alileta hoja kuwa Kuna dosari na utata katika manunuzi ya sukari mambo yakawa vice versa Mpina akaonekana mgonjwa wa akili na asiyeendana na matakwa ya wengi.
    Kwenye kutetea haki hasa katika chombo kikubwa kama bunge kusiwe na kuzuia pingamizi au kulazimisha wabunge wote kukubali kupitisha hoja tata.

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 23 дні тому +3

    Hili jambo la sukari lilileta mjadala mrefu bungeni wakifanya marekebisho kisheria ili kujilinda dhidi ya Mpina.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 23 дні тому +3

    Laminitis na were Ndugu Wakili hocho unachoongea kite kiko ndani ya MOYO WAKO.ISIWE UNAUTASH WA KIUSHABIKI

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 23 дні тому +9

    Eti amemfukuza mpina ,halafu wakaendelea kujadili matatizo yaleyale aliyozungumza mpina !! Kwa kweli jaribuni kupunguza Hali ya makundi demokrasia iwe Pana ndani ya taasisi zetu

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 23 дні тому +3

    Alichofanyiwa Mpina ni ubaguzi wa waziwazi.

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama 24 дні тому +5

    Hatimaye👏🏾

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 23 дні тому +11

    Kazeni Mawakili mpaka spika na huyo waziri wa kilimo wajiuzulu.

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete 22 дні тому

    Safi sana mawakiri wetu mungu awbariki sana kwa hatua mnayochukukua tunawapenda nchi yetu hii ccm inaiharibu sana mpaka wananchi tumechoka sana na bunge la upendeleo lianasimama kwa wala nchi tupo pamoja kwa maombi kwa mungu na kumchangia kama Kuna Cha kuchangia

  • @BonifaceEdward-pc1dd
    @BonifaceEdward-pc1dd 24 дні тому +7

    Vzr ssns

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 23 дні тому +3

    Tunawapongeza sana kwa hatua hii

  • @sylvestermavanza1154
    @sylvestermavanza1154 23 дні тому +3

    Nina imani na mzalendo ndugu Luhaga Mpina. Nitasapoti shauri hili kwa moyo wangu wote. Nahitaji maelekezo tu ya namna ya kufanya hivyo.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 23 дні тому +4

    Mpina oyeeeh

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 23 дні тому +3

    Tatizo hata mahakama zinatumika na watawala haohao ma Ccm.hapo haki itapatikana!!?

  • @richardrobert2203
    @richardrobert2203 20 днів тому +1

    Gen TZ, Tunakuja

  • @gabrieltheodory4090
    @gabrieltheodory4090 23 дні тому +4

    Tusaidieni kabisa, Nchi Ni ya wote

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 23 дні тому +10

    Mungu wa mbinguni atutangulie huko mahakamani mpina ndo kaka wa taiga

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 22 дні тому

    Nipongeze sana juhudi ya mawakili kufungua shauli hili, pamoja sana

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 23 дні тому +2

    Mungu awatangulie sana tunawaombea

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 24 дні тому +4

    Serikali yetu sio ya haki, Serikali yetu ni ya kidikteta, haipendi kuambiwa ukweli. Ni serikali ya hovyo na ya ajabu, kati ya zile. serikali za hovyo ambazo zimewahi kutokea duniani

  • @peterkiswaga2491
    @peterkiswaga2491 21 день тому

    Amina sanaaa wakili nchi imefika pabaya

  • @patrickkigola9215
    @patrickkigola9215 23 дні тому

    Asante sana ndugu!

  • @GODFREYNTANGANA
    @GODFREYNTANGANA 22 дні тому

    Mungu niwetu pamoja na mpina kwa ushindi mkubwa

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 17 днів тому

    Mungu awabariki

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 22 дні тому

    Mungu awabariki sana wanasheria wetu wazalendo.

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA 23 дні тому

    TAKUKURU MNASUBILI AGIZO. HEBU TUONYESHENI HAKI ILIPO

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 23 дні тому

    Hongera sana ❤

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e 21 день тому

    Tutafika uonevu umezidi mungu ibariki Tanganyika.

  • @senimwigulu1217
    @senimwigulu1217 22 дні тому

    Nawatakia kazi NJEMA mawakili mnaoungana na mheshimiwa mpina

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo 23 дні тому

    Nyie nimawakili wazalendo mwenyez mungu akasimame nanyi popote pale. Nchi ya kwetu lakn tumekuwa Kama wagen

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz 21 день тому

    Mungu mwema tunakuomba uliokoe taifa letu na tamaa zisizokupendeza wewe ili tupate mwisho mwema. Amina.

  • @donaldmachisu3626
    @donaldmachisu3626 23 дні тому

    Nawaunga mkono kwa uamuzi wenu kwa kuwa mmesoma sheria kusimamia haki kwa waonewa kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu asimame ndani yenu na kuuondoa uvundo huo unaowatesa wananchi na kuuondoa Heshima ya Bunge tuliyoizoea kipindi cha Spika Marehemu Mzee Samweli Sitta Mungu ailaze Roho yake mahala pema Mbinguni.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o 23 дні тому +1

    Nenda kwenye point bsi mbona unalalamika sana ww wakil mpina Angekua mzalendo asingekua ana Pima samaki kwa rula ana ameshapikwa😢😢

  • @colmanmwero7473
    @colmanmwero7473 21 день тому

    What should I say for my beloved Tanzania. Although we may do a lot of good things as a country but something is not okay with those who stand with people

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 22 дні тому

    Ndio nchi ya kidemokrasia inavyotakiwa viva advocate mosses basila and your able colleagues

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 23 дні тому

    Safi sana Mungu awatangulie daima.

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 23 дні тому +2

    Wananchi tunashirikije?

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t 8 днів тому

    Nyisimnajifanya mumesomasan mungu ndiokibokoyenu.

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 23 дні тому

    Wanasheria Asante kwa umoja wenu katika kutetea haki bila kuogopa watanzania wengi wanaonewa kwa kukosa msaada wa kusaidiwa kisheria, swala la mpina ni la maonezi kabisa.

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q 22 дні тому

    Uko sahiii

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 23 дні тому

    It is fair enough to be supported.

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose 19 днів тому

    Nitashangaa sana na nitashukuru saana kama mawakili wata simamia haki ya kisheria kwa jambo la kitaifa, Kwani Muheshimiwa marehemu magufuli na muheshimiwa Mama Samia walisha kemea mahakama kuto tendea haki wahukumiwa kwa sababu zisizo eleweka!

  • @user-mj3si9bz9p
    @user-mj3si9bz9p 24 дні тому +2

    Tajeni naba marakwa mara

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 23 дні тому

    Sahihi kabisa mkuu

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 23 дні тому

    Amen

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 21 день тому

    Uzuri bunge likifanyika tunawangalia,one day yes

  • @mosesbarnaba7851
    @mosesbarnaba7851 21 день тому

    Mungu awasimamie

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 23 дні тому +2

    Angalia sana usije ukapotezwa
    Ukatupwa bahari I au kitavi
    Hao watu hawataki kukosolewa hiyo ndio democracy ya TZ

    • @obedidamasi3537
      @obedidamasi3537 23 дні тому +2

      Acha uoga wewe hata uwe mpole siku ikifika Dunia tutaiacha.
      Unaweza kuogopa kutekwa nyoka ikakuuma ukafa kwa machungu

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 23 дні тому

      Kadri unavyoogopa ndivyo unakuwa lijinga ambalo litakufa kwa kukosa haki za msingi

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 23 дні тому

      Wewe zezeta, hufai na huna maana ya kuishi..... Usitie watu ujinga, kama huna hoja si ukae kimya!

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 21 день тому

    Kwa uamuzi huu ni sawa kabisa HAKI haijawahi kuombwa. Inapiganiwa

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 23 дні тому

    Gen Z ya Tanzania itakuja kwa style tofauti na wenzetu na ktk hili tumwombe Mungu atusimamie na haki heshima na utu wa mtanzani vipatikane

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 23 дні тому +1

    Huyu ni mbaguzi watanzania ni wote haijalishi kama ni mzungu mwarabu awe yeyote yule aache ujinga wake aangalie nani aliesabanisha uhuru wa nchi hii upatikane hata muwe mawakili mia

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 23 дні тому

    Safi kabisaaa

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 23 дні тому

    Akina makofi na kusifia wamfumba kinywa mtetezi anayeona ya kesho mungu awatangulie mpate kibali kwa mungu asiye na upendeleo

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 23 дні тому

    Endeleeni kuwatetea mapapa wa sukari, mkishashinda muhakikishe na bei inashuka.

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 23 дні тому

    Umefanana sana na Mzee Mengi!

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 23 дні тому +1

    Kuna vitu vingi vya kuweka sawa ili kurejesha mamlaka kwa wananchi.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 19 днів тому

    dunia tunapita hayo yote haijalishi unaitwa na nani unacheo gani .Haki tutaipata Kwa Mungu pekee

  • @jameskibona9074
    @jameskibona9074 23 дні тому

    Hakika ni jambo la msingi sana
    Mungu na awasimamie.