Ila Marco daah...ameniliza sana huyu kaka😭😭 MUNGU awatie nguvu hiki kipindi ni kigumu mnoo...apumzike kwa amani Marco (kila nikimuangalia mke wake na wale watoto 😢 naumia sana)
Inauma sana kifo cha MARKO MUNGU ailaze pema Nafisi yake. alijitwisha huzuni zetu akayachukuwa masikitiko yetu adhabu yetu iko juu yake ISAYA 53:4 na Mungu awambariki sana Zabron Singers moyo unauma machozi yanatililika kila niwatazamapo maumivu nimakali kwagu sijui kwenu amani ya Bwana iwe pamoja nanyi pamoja na taifa kwaujumla by
Ndo maana haulizi maana hakuna ambaye angekubali. Kazi yake hashirikishi mwanadamu, yeye anajua kwanini😭😭, cha muhimu tutende yanayostahili ili zamu zetu zikifika tupumzike kwa amani. Faraja toka juu ifurike mioyoni mwenu
Ni Zito Sana kuamini Mpaka Saà hii kuhusu huo Msiba wa Marco Joseph Mungu awatie nguvu awafariji wote Familia.Na Mke.na Watoto.Mungu anajua.Yote.na Sababu yoteMarco Joseph Apumziķe kwa Amani From Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Mungu ailaze roho ya marehem mpendwa wetu Marco zabron sisi tulimpenda sana lakini mungu alimpenda zaidi mungu ajawai mtupa mtu yeyote yupo pamoja na nyi kwakila jambo tumshukuru yeye
Pole sana,lets just trust in God, while waiting for that beautiful morning,we shall meet with Marko jitie nguvu na neema ya Mungu iwe nanyi mafarijike wapendwa.
Mkapate faraja kutoka kwa Bwana,just pray God to guide all your steps,its soo painfully 😢😢😢😢 to lose the love once but we are human beings we can't do anything and that's the only way to everyone, thats why God hide it from us.ila jiulize ukiitwa sahii utakuwa tayari,,,from kenya
😔My Heart felt Condolences....it is at this moment that you understand that life is the most precious Gift in which God bestowed in us,... loosing one of your loved ones, is the most and the hardest feeling on earth which can't be explained till Eternity 🤔😔😔🥲
We will miss you more brother Marco😭I was blessed through your Singing.. May God comfort Zabron family, friends and Neighbors us who we loved your Ministering🙏So sorry for the lost of Brother Marco, from Eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Inauma sana ila kwa kila anaeamini neno la Mungu, kifo ndiyo mlango wa kuingia mbinguni. Pole sana kwa familia ya mpendwa wetu Marco. Wanakikundi twawaombea kupata nguvu mpya kutoka kwake Mungu Muumba mbingu na ardhi. From Burundi
Hakika na kwangu hili linaniuma hata sasa nalia sijawahi kumuona live ni kw mtandao tu lkn inavyoniuma ni sawa na mwana Zablon 😭😭😭😭 dah Mungu mpokee Marco hakika naumia moyo jamani
😢😢poleni makiwa kwa familia Rip mtumishi wa mungu pumzika kwa amanii Asante kwa ku rekebisha hapa ma "marico aendee"mkaweka mpendwa watu aende" ime fanyia wengi wepesi wa kuutumia huu uwimbo kwa msiba wao pia pasipo Kutaja Jina la marehemu
Wapendwa poleni Sana. Ila tufahamu kuwa Kifo sio kazi ya Mungu. Kuna mambo Mungu hurusu Ila sio mapenzi yake na pia kuna matokeo ya dhambi duniani...sio kazinya Mungu wapendwa...alikuja tuwe nao uzima tena Tele
Jaman mm nililia kama mtoto Kila nikimuona zabron na Victoria pamoja na zabron singers naona wamepoteza mtu muhimu sana kia's kwamba SI rahisi kidonda kupona kwa muda mfupi mm Bado Kuna mda siamin MUNGU awatie nguvu msonge mbele Tanzania tunawapenda Saba your my favorite always ❤❤❤❤❤❤❤❤
Poleni sana wapendwa katika BWANA hicho nikindoda kisichopona lakini kwa yote hayo Tumuombee kwa MUNGU amupoke kwa mkono wake wakuume na amfugulie malango ya mbiguni pia family nawapa pole na wanakikundi cha ZABRON SINGERS mfaliji wetu ni YESU naumia sana kwawimbo huu nikiusikiliza Mungu awatie nguvu msoge mbele msikate shauli ❤😂😢❤❤❤❤
Iyi nyimbo iniliza kilasiku nifiria maisha ya mwanadamu pumzika kwaamani kakayangu zabron wewe mbele Sisi nyuma Yako rest in peace condolences wana family
Hapa hawajamwimbia MAREHEMU TU,SASA NI WIMBO WA KILA MMOJA AMBAYE ANAWEZA KUMUIMBI mpendwa wake aliyetangulia MBELE za haki,ndo maana wametoa picha za marehemu ili pia wengine tuutimie HUU WIMBO.
Pole sana bro japhet kwa pingo kubwa ulilolipata wacha mungu akufariji na akufanyie wepesi juu sio rahis kubebaa familia mbili pasipo matarajio yako lkn mungu yuko pamoja from kenya
Ila Marco daah...ameniliza sana huyu kaka😭😭 MUNGU awatie nguvu hiki kipindi ni kigumu mnoo...apumzike kwa amani Marco (kila nikimuangalia mke wake na wale watoto 😢 naumia sana)
Poleni 😭😭😭😭
Huyuu kaka ameniumz mnoo munguu ampnguziee adhabu yakaburi
Bado tunaomboleza mungu awe mfariji wapekee
Inauma sana kifo cha MARKO MUNGU ailaze pema Nafisi yake. alijitwisha huzuni zetu akayachukuwa masikitiko yetu adhabu yetu iko juu yake ISAYA 53:4 na Mungu awambariki sana Zabron Singers moyo unauma machozi yanatililika kila niwatazamapo maumivu nimakali kwagu sijui kwenu amani ya Bwana iwe pamoja nanyi pamoja na taifa kwaujumla by
Ni uchungu Sana mkipoteza mpendwa
Poleni sana Wana zabron singers
Poleni wapendwa you are always in our prayers
Ndo maana haulizi maana hakuna ambaye angekubali. Kazi yake hashirikishi mwanadamu, yeye anajua kwanini😭😭, cha muhimu tutende yanayostahili ili zamu zetu zikifika tupumzike kwa amani. Faraja toka juu ifurike mioyoni mwenu
May only God interven coz it's so hard to accept. This song is always in my mind. This world is not our home 😢😢
It's really
Ni Zito Sana kuamini Mpaka Saà hii kuhusu huo Msiba wa Marco Joseph Mungu awatie nguvu awafariji wote Familia.Na Mke.na Watoto.Mungu anajua.Yote.na Sababu yoteMarco Joseph Apumziķe kwa Amani From Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Poleni saana wapendwa, Acha maulana awatie nguvu
Poleni Sana family ya zabulon hata Sisi tunaumwa Sana waja mungu awake roho yake mahali pema
Marco wetu apumzike kwa amani,
Mungu aliyenipa nguvu wakati nilipoteza babangu awatie nguvu wanazabron singers
It's at this point you have to comfort God and tell him how you feel ,when I lost my ten years old sister four months ago I told God all I felt 😢😢😢😢😢
Poleni sana mungu awatie nguvu naawape tumaini jipya pamoja nautulivu ndani yamiyoyenu
Poleni kwa kweli,,japo kazi ya mungu haina makosa
Rip marko.mungu awape nguvu,sio rahisi
Sorry please 🙏🙏🙏 God has a purposes of everything may God protect you always i am praying for you and his family all shall be fine
Poleni sana ndugu katika Bwana awatie nguvu by Rich from Nyang'hwale
Mungu ailaze roho ya marehem mpendwa wetu Marco zabron sisi tulimpenda sana lakini mungu alimpenda zaidi mungu ajawai mtupa mtu yeyote yupo pamoja na nyi kwakila jambo tumshukuru yeye
Mung awabariki 🇦🇪🇦🇪🇦🇪 mmeonesha upendo wenu kwa sablon
Pole sana,lets just trust in God, while waiting for that beautiful morning,we shall meet with Marko jitie nguvu na neema ya Mungu iwe nanyi mafarijike wapendwa.
Poleni sana watu wa mungu kwa kipindi. Hiki cha majonzi mungu awatie nguvu
Poleni saana jamani Mungu awape faraja😢nashindwa kuvumilia pia machozi yanitoka
Poleni sana wapendwa, mwenyezi MUNGU awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
Poleni sana jamani, MUNGU awatie nguvu Kwa kipindi hiki kigumu, pia MUNGU ampe pumziko la milele
Poleni sana wapendwa kwa kumpoteza mmoja Kati yenu siku za kuoshi ni za kuhesabu yote pia iwe jambo la kushukuru
Poleni sana ndugu zangu tuzidi tu kumwomba mungu aina budi kusema tu Asante kwa yote
Poleni sana inauma sana kwan haraka ila kazi ya mungu haina makosa
Usiumie shukuru Mungu kwa nafsiyote , Mungu ameruhuzu . God shall wipe their tears at the end 🙏 🙌
Mkapate faraja kutoka kwa Bwana,just pray God to guide all your steps,its soo painfully 😢😢😢😢 to lose the love once but we are human beings we can't do anything and that's the only way to everyone, thats why God hide it from us.ila jiulize ukiitwa sahii utakuwa tayari,,,from kenya
Poleni ndugu wa zabron..mungu awafariji katika wakati huu mgumu..rest easy servant of God 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole kaz ya Mungu aina makosa msife moyo wapendwa
😔My Heart felt Condolences....it is at this moment that you understand that life is the most precious Gift in which God bestowed in us,... loosing one of your loved ones, is the most and the hardest feeling on earth which can't be explained till Eternity 🤔😔😔🥲
Poleni sana Yesu kristo awafunge mkanda😭🙏
We will miss you more brother Marco😭I was blessed through your Singing.. May God comfort Zabron family, friends and Neighbors us who we loved your Ministering🙏So sorry for the lost of Brother Marco, from Eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
poleni sana family nzim😢ya zabron mungu awe mfariji wenu katika kipindi hiki na pia mungu aiweke roho ya mtumishi wakw marko mahala pema peponi amen 🙏
Poleni sana tumshukuru mungu kwa kila jambo❤
Mungu aedele kuwaongezea nguvu,ndugu apumzike salama
I cant avoid listening to this song every day. May God comfort you.
Mungu awape subra,conniie from kenya
Pole sana msikate tamaa msipozimia mioyo mtalipwa
Mungu ndo ajuaye kesho ya mtu! Duuuuh poleni sana!
Inauma sana ila kwa kila anaeamini neno la Mungu, kifo ndiyo mlango wa kuingia mbinguni. Pole sana kwa familia ya mpendwa wetu Marco. Wanakikundi twawaombea kupata nguvu mpya kutoka kwake Mungu Muumba mbingu na ardhi. From Burundi
Mungu awape nguvu mpya poleni sana msiba
Polen wapendwa...MUNGU hawatie nguvu
Poleni sana watu wa Zabron God will walk with you
Poleni Sana Mungu awe mfariji kwenu kweli inauma ila kazi ya Mungu haina makosa😭😭
Hakika na kwangu hili linaniuma hata sasa nalia sijawahi kumuona live ni kw mtandao tu lkn inavyoniuma ni sawa na mwana Zablon 😭😭😭😭 dah Mungu mpokee Marco hakika naumia moyo jamani
Mungu awe faraja kwenu zabron singers
Poleni sana. katika Bwana Yesu kristo
Poleni sana wanazabron,mungu awatie nguvu pomoja na familia ya marco
Mungu awatie nguvu wapendwa ktk bwana yesu kristo
Mungu naomba ndugu zangu uwape nguvu waweze kuzoeya matokeo nawapenda sana❤❤❤❤
Kweli limeniliza..I feel for u my siblings frm Tanzania
May God comfort you Zabron singers and everyone.God has good plans for you.
Poleni sana zablon singers, may God comfort you.
Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu, sote tumeumizwa sana
Poreni sana sote time umuha kwasababu tunawapenda sana
poleni sana ndugu Mungu Awatie nguvu Awatie
😢😢poleni makiwa kwa familia Rip mtumishi wa mungu pumzika kwa amanii Asante kwa ku rekebisha hapa ma "marico aendee"mkaweka mpendwa watu aende" ime fanyia wengi wepesi wa kuutumia huu uwimbo kwa msiba wao pia pasipo Kutaja Jina la marehemu
Poleni sana mungu awe mfariji wenu
Poleni xaana,mungu azidi kuwafariji
Mungu ailaze roho ya Marco Joseph mahali pema mbinguni
polen sana jaman polen mungu awatanguliy
Wapendwa poleni Sana.
Ila tufahamu kuwa Kifo sio kazi ya Mungu.
Kuna mambo Mungu hurusu Ila sio mapenzi yake na pia kuna matokeo ya dhambi duniani...sio kazinya Mungu wapendwa...alikuja tuwe nao uzima tena Tele
Jaman mm nililia kama mtoto Kila nikimuona zabron na Victoria pamoja na zabron singers naona wamepoteza mtu muhimu sana kia's kwamba SI rahisi kidonda kupona kwa muda mfupi mm Bado Kuna mda siamin MUNGU awatie nguvu msonge mbele Tanzania tunawapenda Saba your my favorite always ❤❤❤❤❤❤❤❤
Polen sana kila nkiangalia h nymbo nalia
Poleni sana wapendwa katika BWANA hicho nikindoda kisichopona lakini kwa yote hayo Tumuombee kwa MUNGU amupoke kwa mkono wake wakuume na amfugulie malango ya mbiguni pia family nawapa pole na wanakikundi cha ZABRON SINGERS mfaliji wetu ni YESU naumia sana kwawimbo huu nikiusikiliza Mungu awatie nguvu msoge mbele msikate shauli ❤😂😢❤❤❤❤
Polenisana wapendwa wetu kwetu nimbinguni ndugu yetu anatanguriya burundi tuna wapenda sana mungu wetu wambinguni akipenda tutaonana macho kwa macho
Mungu awatie nguvu katika hili nami nimeumia sana someni Wafilipi 4:13
It is well guys...
Our brother is resting😢
God's comfort be with you❤❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu awatie nguvu,,, muendelee kumtumainia yeye
@wangui
Its very painful We will miss the voice of Marcos
Mungu amfariji wanazabron
Poleni sana
Kazi ya mungu haina makosa hakika tutonana nae mji mpya
Inauma sana,Mungu awatie nguvu pamoja na familia yake, apumzike kwa amani Marco
Poleni sana wasukuma wenzangu mwendo ameumaliza
Poleni sana sana Mungu awape faraja kuu.
It hearts poleni sana mungu awasaidie
May our almighty God comfort you and give you strength
His wife has the best voice 🔥🔥🔥🔥take Heart my dear it's well
😭😭😭polen saaana wapendwaaaa wa munguu.akika mungu na awe falaja yenu nasisi soteee tulioguswa na huu msiba wa mpendwa wetuu
Polen jmn mungu awatiwe nguvu katika hiki kipindi kigumu
Polen Sana jaman lakin msiache kumshukuru mungu kwasababu neno la mungu ndio mfariji wenu😢
Ila huu wimbo haukustahili kuuzwa jamani msiba ulikuwa bado mbichi sana jamani hapo tu mkaenda na kushuti dahh Mungu ampumzishe kwa amani😢
Mungu awazidizie uvumilivu wapendwa🙏🙏
Mungu hawabariki n hawatie nguvu zabron singers 🙏🙏🙏 RIP 😭 Marco
Inauma sana hasa pale alipokuwa na furaha Kwa ndege na anawaaga kama anakwenda hospital tumuombeee do 😭😭😭😭
Poleni sana, mungu awatie nguvu
Sorry for the lose my dear brethren.keep heart.God loved him so much
Iyi nyimbo iniliza kilasiku nifiria maisha ya mwanadamu pumzika kwaamani kakayangu zabron wewe mbele Sisi nyuma Yako rest in peace condolences wana family
Mungu awapiganie ktk wakati huu mgumu.. The song is touching.. This world isn't ours!
mungu awatie nguvu maana bila mungu hili harivumiliki
Polen San MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu awe nanyi
Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu katika yote
Pole sana watumishi was MUNGU
It shall be well it shall be well...take heart,kweli sisi sote tumeumia sana..
Poleni sana zabroni's family na wa TZ wote hasa shahabiki wa gospel music😭😭, lkn yote kwa yote 2mwamin MUNGU Kwn lko 2main ng'ambo ya kaburi
😢😢poleni sana,hakuna msiba unao fanana na mwingne,R.I.P Marko"mpendwa Mungu
Nyimbo nzuri sema picha ya marehem au crip za marehem zingetawala humu
Hapa hawajamwimbia MAREHEMU TU,SASA NI WIMBO WA KILA MMOJA AMBAYE ANAWEZA KUMUIMBI mpendwa wake aliyetangulia MBELE za haki,ndo maana wametoa picha za marehemu ili pia wengine tuutimie HUU WIMBO.
exactly @@israelkisaila8401
Pole sana bro japhet kwa pingo kubwa ulilolipata wacha mungu akufariji na akufanyie wepesi juu sio rahis kubebaa familia mbili pasipo matarajio yako lkn mungu yuko pamoja from kenya
Poleni sana kunasababu aikuwa bure mungu alipanga 😢
Poleni kwa familia ya Marco zabron singers God knows why
It's pain my heart alot😢😢 when I hear this song and when I see his wife
May God give u strength poleni sana sanaaa
Polen sana jmn tuwe wavumilivu haya ni mapito 2 Kila binadamu atapitia amen🙏🙏🙏
Poleni mungu awatie guvu Katika kipindi hiki kigumu.
Poleni 😢😢😢 yauma sana