"Waziri amepewa mamlaka na nani?" Mpina afunguka MAZITO kuhusu hoja kuongeza MAKALIO
Вставка
- Опубліковано 14 лют 2024
- Mbunge wa Kisesa (CCM) , Luhaga Mpina akizungumza nnje ya Bunge kuhusu hoja yake aliyokuwa akiichangia kwenye Taarifa ya Shughuli za Kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya Afya na Ukimwi kwa mwaka 2023.
Mpina wewe ni mbunge wa kweli,upo bungeni kiukwelikweli. Wewe unawakilisha wananchi wa Tanzania nzima,wala sio kisesa peke yake. Bando yangu inatumika kihalali kabisaa. Big up mpina
Tuheshimu uumbaji wa mungu,maana kufanya hivi ni kumkufuru mungu.
Tema madin mbunge wngu.❤
Mkuu ongera sana, mbunge pekee, anejipambanua kujenga hoja na kukosoa mambo ya hovyo
Mr. Mpina, your argument is a moral argument...this is a demonstration of total mediocrity and immorality....mawaziri wa afya...God is watching!!
Duuuh! Neno la Mungu linahitajika sana kwa viongozi wetu wa juu na wasomi wetu ili tuwe salama!
Mpina uko sawa kabisa wanakufuru 👍🤝🤝🎉🎉🎉
Mheshimiwa Mpina. Unayosena ni sahihi kabisa. Madhara ni makubwa saana. Hata huku ughaibuni tunaona watu wanavyoteseka na huo upasuaji. Wengine wana bleed sana . Kuna effects zaidi ya 15. Inasikitisha sana majibu ya waziri wa afya kwa kauli yake.
Yaani Bunge zima ni Mh.Mpina pekee anayeliona jambo zito namna hii kweli?
Tanzania Tanzania yangu unaelekea wapi huko. Mbona mnaharibu hata uumbaji wa Mungu.
Hakika unaona mbali sana hongera mkuu
Hiyoo ni kweli hata nchi zilizoendelea Hakuna bali wa clinic zao Za binafsi SIO hospital Za serikali au jamii Kwanza wengi wanahathirika,pia ni hatari sana.
Tunashidwa kuwasaidia kusafishwa Figo Bure mnaleta ujinga Huo na mweyezi mtungi katupa shepu Za makalio jmn wasiposikia unachoongea Wacha wake waoze. Na yapasuke ujinga mtupuu
Tunashidwa kuwasaidia kusafishwa Figo Bure mnaleta ujinga Huo na mweyezi mtungi katupa shepu Za makalio jmn wasiposikia unachoongea Wacha wake waoze. Na yapasuke ujinga mtupuu
Mpina yuko sahihi. Watu watawekeana vitu vya ajabu mwilini. Kama hamna sheria. Ulaji hui wa watu.
Hoja ya mheshimiwa mpina iko sawa kama ukichukua mda kufikiria na ukirejea kwa mujibu wa sheria zetu lakini ukiwa mvivu wa kufikiri utabaki na majibu yako ya kienyeji
Hongera sana Mpina, hao wenzako wapo bungeni kupiga makofi tu, kulinda maslahi yao, tatizo kwa waliopewa madaraka huwa hawana ujasiri wa kuhoji kazi yao ni kukurupuka kama kwenye mikataba, sasa ikitokea tatizo wala hawajali ni watu hatari sana
🙏🙏
Congratulations mpina😮😮
Uko sahihi mh,mpina vibuli vimewajaa serikali kama nb waziri yule hamna kitu mle
Shabibi nae kahonga watu kwenda bungeni kulinda maslahi yake. Hivi kuna mgogo au mwafrika ataende uarabuni apewe ubunge? Hata angekuwa na fedha kuliko mfalme wa saudia?
Hii nchi bwana inatawaliwa na watoto na vijukuu ya watumwa na watwana. Tunatakiwa tuirudishe kwa wenye nchi.
Barrack Obama alikuwa Rais wa USA na asili yake ni Kenya. Hivyo physical appearance na uraia ni vitu tofauti. Mhe. Shabibi ni Mtanzania ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kama Mtanzania yoyote mwenye sifa.
Mama yake ni Mkaguru pure.
Achanana nae
Ummi akaongeze ya kwake ili awe wa mfano kwa mama na dada zetu
❤❤❤❤❤❤❤
Na vilevile Sasa hata kama makalio na matiti yake ni ya kuzaliwa nayo atakejeliwA kwamba kaongeza makalio! Kina mama hawatakuwa na heshima Tena.
Hii nchi bhaaana Ina mambo mazito sometimes Aaaah!
Mheshimiwa Mpina, sasa hapo ujue ni bunge la namna gani tulilo nalo🤔
Waziri mkuu wa moyo wangu
Mpina mimi nakukubali lakini hili ni baya lakini sio muhimu. Matabaka yapo tayari na yanasababishwa na wezi wa mali za Uma kuanzia juu mpaka chini. Pigania kumaliza wizi na ubadhirifu wa mali za utapunguza matabaka, pigania wananchi watibiwe bure wenye hela za makario na matiti waache waweke.
Wambie mkuu
Laana inaitambaa nchi hii
😂inchi inategemea mapato ya makalio na matiti.
Unasema ukweli. Mantiki kabisa.
Wamelewa madaraka,
Hivi mawaziri wengine wanafanya Nini ? Nadhani huyu anastahili kuwa waziri mkuu pia Rais mtarajiwa. ni mengi tumemsikia. Haya yote ni hujuma za kimataifa kupitia vibaraka mawaziri na wabunge
Aliye toa ruhusa mwenyezi mzungu amulaani kumkufulu mwenyezi mungu aliye tuomba hiyoo Waziri moreli bungeni alitaka kukufanyasisi wajinjinga hivyo ninataka kutuletea magonjwa.mapato ndio tutor utu wetu ndo mwaziri wa vyeti feki
Aiseee kweli wasiri kweli una akili sana
😂
Kaka mpina komaa na mambo ya msingi, hivi vingine vinatupotezea mda. Watu wanaangaikia miswada ya uchaguzi na katiba mpya. Engine wanaomboleza msiba wa Mzee Lowasa wewe bado unaangaika na matiti na makalio.