Ma wakili mnatupa hali/wakati mgumu! Tume ya J.nyalali na nyengine,ziisha toa hoja zote (hata sheria mbovu 40) Hadi ss hakuna kitu chchte kilichoboreshwa. Tume ya J.Warioba iko wazi japo kw sasa nayo itakuwa imepitwa na wkt flani. Sasa,nyie,kwa hiyo semina mnaona kuna dirisha la kutufikisha kwenye katiba mupia? Kama hakuna,rudini mkafundishe nadharia viuoni!
Kwa kweli mijadala imetuchosha tunahitaji Katiba Mpya
NI MOJA KATI YA MKAKATI WA KUCHELEWESHA UPATIKANAJI WA KATIBA.
TUNATAKA KATIBA MPYA SASA IS HIVII
Tunataka Katiba mpya hatutaki uchambuzi mnatuchosha
Ma wakili mnatupa hali/wakati mgumu!
Tume ya J.nyalali na nyengine,ziisha toa hoja zote (hata sheria mbovu 40)
Hadi ss hakuna kitu chchte kilichoboreshwa.
Tume ya J.Warioba iko wazi japo kw sasa nayo itakuwa imepitwa na wkt flani.
Sasa,nyie,kwa hiyo semina mnaona kuna dirisha la kutufikisha kwenye katiba mupia?
Kama hakuna,rudini mkafundishe nadharia viuoni!
Tumechoka namijadala yenu watanzania tumechoka tunataka katiba mpyaaa
Wasomi wa nchi hii mnatuchosha kwa kurudiarudia hatuhitaji ufundi wa maelezo yenu tunataka hatua za utekelezaji
KABISAA HATUHITAJI KUELEWESHWA CHOCHOTE TUME YA WARIOBA ILISHAMALIZA KILA KITU. UTEKELEZAJI UNACHELEWESHWA