Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
I stand with you learned counsel
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
I stand with you learned counsel
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!