MAFUTA MAZURI YA KUTIBU CHUNUSI
Вставка
- Опубліковано 30 січ 2022
- Habari..je unasumbuliwa na chunusi kwa mda mrefu na umejaribu njia zote bila mafanikio .kwenye hii video nakuelezea mafuta mazuri yatakayo weza kutibu chunusi zako haraka na kuondoa madoa usoni
#chunusi #urembo #mafutayachunusi
MAFUTA NILIYO TAJA
Clin cap
Benzac AC,5
Himalaya pimple Clear
PanOXLY
Cera ve
Soft n White gel acne
Botuoer Anti acne
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
#swahilianimation
#swahilikatuni #katunizakiswahili2021 #madoa#acneskin #oilyskin #mafutayachunusi #ngoziyamafuta
#ondoamadoa #urembo #ngozi #ngozilaini #carrymastory #chunusinamadoa #makeup #acne #nyweleasili #afya #mafutayanywele #katunikiswahili #katuni #wasafi #wemasepetu #urembo #kitambi#afya#asili#ireneuwoya #bongofleva#tanzaniayoutuber #nyweleasili #bongo1media #millardayo #tanzaniacomedy #eatv #style#diamondplatnamz#wasafi #bongofleva#madoa #mapenzi #tanzania #tanzaniamovies #kiswahili #bongomovies #swahilicomedy#dizzimonline
Habari dada me uso wangu ni wamafuta na ninasumbuliwa na chunusi mda mrefu sana co nilikuwa naomba ushauri nipake mafuta gan kati ya hayo uloyasema
Nimafuta gan ya nawez tibu chunusi.
Mambo dada mm nasumbiliea na chunusi Sanaa Tena Sanaa nataka dawa nishashoka
Makovu je
Nimependa San somo lako m n mkaz wa mbeya nilikuw naomba unielekez napataje ayo mafuta make ninachunusi mpk cio pw
Dada za wewe tuma namba basi tufanye mawasiliano
Dada ake habar
Samahan hayo ya mwisho naomba uniandikie jina lake
Tunaomba naomba kwa mawasiliano
Uso. Yangu ni mbaya na pimorisi
Siju nitayapata wapi
Hello mamy naomba ushauri nimenunua lotion ya fair white je ni mazur?ya carrot
Naomba sana
Mm nimenunuwa sabuni ya ditoli nimeambiwa nizuri sana
Je, naweza nikapaka serum ya TEA TREE RELIEF SERUM alf kwa juu nikapaka hayo mafuta ya CLIN-CAP na ikafanya kazi
Kwan hiyo botwaa zipo za aina ngapi mbon hyo box lake kma green
Zipo za aina nyingi..ila iyo ya green ndio iliuonisaidia
Ngozi yangu ni ya mafuta
@@Dayanar_skincaretips asante momy
Oyo mafuta ulio taja mwisho yanapatkana wp
Cheki maduka ya vipodozi au instagram
Naomba namba yako
Naomba namba
Naomb namb yako dad
Habari dada
Dada Mimi uso wangu Niwamafuta sanaaa na ninachusi mno nametumia dawa nyingi lakini inashindikana hapa siku za karibu niliona crip yako uloongelea T3 mycin nilinunua lkn tangu nimeeza kupaka namemaliza week Sasa lkn ndio Kwanza natokwa na chunusi kubwa kubwa naomba nisaidie nifanye nn nimechoka na hi sura
Pole sana..sijajua ngozi yako ni ya aina gani kwaiyo jaribu kutafuta mafuta yanayoendana na ngozi yako
Mambo,nikupe ushauri tuuu dear,ukitumia kitu jaribu kutumia mpaka kiiishe,then utapata matokeo mazuri mnooo
@@mosweaty5886 Asante kwa ushauri wako my dear nitaufanyia kazi
Hayomafuta yaliyotumia ww nimenunua ila nimeupe kama maji is nimazito je nisawa
Naomba namba yako
Naomb namb yako dad
Naomb namb yako dad
Naomba namba yako
Naomba namba yako