SERUM NZURI ZA KUNG'ARISHA NGOZI , KUONDOA MADOA USONI NA MAKUNYAZI/Best serums for skincare
Вставка
- Опубліковано 23 вер 2021
- Habari..je unasumbuliwa na chunusi kwa mda mrefu na umejaribu njia zote bila mafanikio .kwenye hii video nakuelezea sabuni nzuri zitakazo weza kutibu chunusi zako haraka na kuondoa madoa usoni
#chunusi #urembo #sabuniya
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
#swahilianimation
#swahilikatuni #katunizakiswahili2021 #madoa#acneskin #oilyskin #mafutayachunusi #ngoziyamafuta
#ondoamadoa #urembo #ngozi #ngozilaini #carrymastory #chunusinamadoa #makeup #acne #nyweleasili #afya #mafutayanywele #katunikiswahili #katuni #wasafi #wemasepetu #urembo #kitambi#afya#asili#ireneuwoya #bongofleva#tanzaniayoutuber #nyweleasili #bongo1media #millardayo #tanzaniacomedy #eatv #style#diamondplatnamz#wasafi #bongofleva#madoa #mapenzi #tanzania #tanzaniamovies #kiswahili #bongomovies #swahilicomedy#dizzimonline
Asantee sana
nimekuelewa sana sana! asante
Hiyo vtamn c ceram bei gn? Je naweza ichanganya kwa rotion?
Sawa sawa ,niko na ngozi kama yako nishauri nitumie nini ningae kaa wewe
Hongera kwa kutuelimisha
Karibuu!!
Ingekuwa poa basi kama hayo mafuta utujulishe mikoani ipo kwenye cosmetic vipi? Au tutumie ipi kama mbadala?
Weka namba yko y simu mbon ujiamini
Dada naomba namba yako bac ninatatizo lagozi goziyangu inamafuta Sana
Dada naomba unambie sabun nzr y kutoa chunus n cream nzr y kutoa chunus
Dada hiyo botwaa naweza kutumia na serum yeyote????
Naweza zitumia zote Kwa pamoja
Nasema hivyo naweza kukosa wakati niliyotumia mwanzo imeisha.nikenda Dukani ikakosa Basi nikitumia moja wapo haiwi mbaya
Bei gani
Asante sana madem kwa kutufunzq but mimi nilikuwa nina
Je nikitumia serum napaka pamoja na cream nitayo tumia au natumia kwa muda tofauti
Baada ya kupaka serum unapaka na cream yako hapohapo..karibu sana!
@@Dayanar_skincaretips asante sana dada naomba tuelimishe kuhusu cream nzuri pls mmy thanks
@@Dayanar_skincaretipsvip km ukichanganya na loshen ya kawai2 iyo seramu jee inafa
Tuoneshe mpangilio wa kutumia km unatumia vyote ivyoo
Dada kama ukitumia serum kuna haja pia ya kutumia moisturiser
Ni shingapi vitamin c
Asante dada mm uso wangu unamafuta sana
Natafuta hyo set ya iunik sijapata ombi naweza ipata wap
Maduka ya vipodoz
ni lazima kutumia zote kwa pamoja??na kama ninatumia aloe jelly ya Dr c tuna na cream yake natakiwa nianze kupaka nn?
Hizo serum unapaka zote kwa pamoja
Je Vitamin c serum inaweza kuondoa vitundu usoni
Asante dad Kwa elim nzur ila unaweza paka celam na lotion Kwa pamoja py naomba namba zako Kwa ushaur zaid my
Nitajuaje kama ni original dr rashes serum
Nmetumia disaar vitamin c serum na imenitoa upele mdogo mdog usoni shida ni nini hasa
Mpnz wangu c ungetupa hata namba zako tuwez kuuliza hata maswal yenye kupata majibu
Me nauliz hizi serum hazina kemikali?
Me natumia mafut ya cocopup je nichanganyie nin ili Ning ae
Abari zako naomba kujuwa je unaweza kuchanganya kwamfano mafuta ya jojoba na serum ya vitamin c na roition unijibu tafazari.
Napaka kila siku
Sh. Ngap
serum ya dianaa ikoje
Naomba kujua vzr matumizi ya serum na km inaweza kuchanganywa na rosheni
Inawezekana
Naomba namba yako
Hizo serum hazichubui??
Kuna mpangilio wakutumia hayo mafuta?kama labda unatumia serum, tonner na cream?
Liiu
Hzo serum hazchubui lkn
Ninamafuta unanishaur nitumie ip na ninamakovu pia
Inatumika mchana au usiku?
🤣🤣🤣
Nahitaji napataje
Ntmie namb yako whatsap
Shingap
Hiyo vtamn c ceram bei gn? Je naweza ichanganya kwa rotion?