MAFUTA 5 MAZURI KWA WATU WENYE CHUNUSI NA KWA NGOZI ZA MAFUTA/best moisturizer for oily skin

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • je unatamani kung'arisha na kulainisha ngozi yako bila kuichubua?
    video hii itaenda kukuonesha lotion na mafuta mazuri ya kupaka ilikung'arisha ngozi yako bila kuichubua.hizi lotion ni nzuri kwa ajili ya watu weuPE haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
    #chunusi #urembo #howtotreatacne
    Disclaimer
    Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
    bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
    • JINSI YA KULAINISHA MI...
    Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
    • JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
    Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
    • MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
    Jinsi ya kufanya face steaming
    • UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
    ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
    • FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
    #chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
    #swahilination
    tibu michirizi,punguza unene,jinsi ya kupunguza tumbo
    swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
    ,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline

КОМЕНТАРІ • 87

  • @Sabrinaomary-k7h
    @Sabrinaomary-k7h Місяць тому

    Mm nimeshahangaika sana niambie sabuni nzuri ya kutumia pamoja na mafuta yk Nina ngozi ya mafuta na chunusi nyingi please nisaidie

  • @carinensingi6324
    @carinensingi6324 3 місяці тому

    Mbona hio cerave hapo juu imeeandikwa for normal to dry skin , mimi uso wangu wa mafuta naomba unieleweshe plz

  • @jokhajj
    @jokhajj 6 місяців тому

    Asante sana dada ❤

  • @zannachrischen791
    @zannachrischen791 Рік тому +11

    Mimi nimaji ya kunde ninamabaka uson na vipele vidogo dogo Kama chunusi nimafutagan yananifaa

  • @Ngowi05
    @Ngowi05 8 місяців тому

    Dada unaelimisha vzr,but ungeweka majina kwenye description maana hapo unaongea spid

  • @HappnessFaustine
    @HappnessFaustine Рік тому +2

    Naomba

  • @MagrethMgalla
    @MagrethMgalla 2 місяці тому

    Mimi Kila nikipaka mafuta napata MBA usoni tu sijui nitumie kitu gani!
    Na haya mafuta yanapatikana wapi
    Ambayo umeyaelezea

  • @JacobMaiko-f7y
    @JacobMaiko-f7y 8 місяців тому

    Madam za uzima....me nina tatizo la chunusi na nimetumia karibu sabuni za aina zote na nikitumia zinatoka ila zikipita siku nne vinaludi tena nisaidie nitumie nini

  • @JudyThadeo
    @JudyThadeo 10 днів тому

    Unauza sh ngapi? Nayataka

  • @Tifaabubakar
    @Tifaabubakar 9 місяців тому

    Mm nina weusi wa saizi kila mafta ninayo paka yananitoa chunusi vipele vidogo vidogo na yananifanya nizidi kuwa mweusi zaidi na yananiachia mabaka ngozi yangu inamafta sana

  • @NuruSinkala-v9j
    @NuruSinkala-v9j 9 місяців тому

    Mbona ujibu me uso wangu ni wa mafuta kira nkipaka rosheni inanitoa viper je nipake mafuta gani

  • @mariammalale3729
    @mariammalale3729 Рік тому +1

    Haya mafuta yanapatikana wapi, nimesha tafuta Sana kwenye maduka ya vipodozi hata hawayajui

  • @fatmasaid9556
    @fatmasaid9556 Рік тому +1

    Dada miki clair je inachu chubua

  • @queengerald-o3z
    @queengerald-o3z 7 місяців тому +1

    Naipataje

  • @saumuminja6929
    @saumuminja6929 3 місяці тому

    Nayapataje dr

  • @judithlaswai220
    @judithlaswai220 5 місяців тому

    Namba zako mbna hutoi unapatikana wapi?

  • @julianakajiba8411
    @julianakajiba8411 Рік тому

    Samahani dada eti sabun ya mena papaya naweza kutumia ngozi ya maji ya kunde

  • @KejaChora-yb2ds
    @KejaChora-yb2ds 9 місяців тому

    Dada UK naitaji mafuta nitumie namba zao ili niweze kuwatafuta jmn

  • @zuuhnassor6688
    @zuuhnassor6688 Рік тому +1

    Jamn me usoo Wang inakataa kila lotion sijui nifanyejee na ninachunus

  • @EvelinePhilipo
    @EvelinePhilipo Місяць тому

    Mimi nimweupe la kinininamafuta mengi nachunusi nisaidie

  • @Riziki-gd1pn
    @Riziki-gd1pn 5 місяців тому

    Habari naitaji kesho napatikana kinondoni

  • @collethageorge512
    @collethageorge512 4 місяці тому

    Habar dada najapataje lotio the ordinary moest

  • @GloryMbano-mx6fs
    @GloryMbano-mx6fs 3 місяці тому

    mimi nimweusi lakini machunusi yamejah sana usoni afu nimepaka vingi lakini wapi nata nijalibu mafuta uliosema ayo yakwanza ya cetraphil oil control moisturizing zisipo toka sijuh nifanyaje

    • @AgnesMnzava
      @AgnesMnzava Місяць тому

      Nenda kwenye duka kubwa pharmacy waambie unataka ADAPALANE Acne gel haizidi elfu 25, unapaka usiku tu alafu unapaka moisturizer yako BAs baada ya muda utaona matokeo utakuja kunishukuru baadae

    • @AjibAjib-k7t
      @AjibAjib-k7t 11 днів тому +1

      ​@@AgnesMnzavanamb yk

  • @meshackkelson
    @meshackkelson 6 місяців тому

    Uwe unaonyesha hizo aina za mafuta unazotaja hatutaki majina tu

  • @michaelalphinus1256
    @michaelalphinus1256 8 місяців тому

    Mm ni mweupe nna mabaka ya chunus ntumie lotion gan

  • @Monica-et1oe
    @Monica-et1oe Рік тому

    Naweza kupataje hivyovitu

  • @JoyceMwambopo
    @JoyceMwambopo 9 місяців тому

    Namba

  • @Monica-et1oe
    @Monica-et1oe Рік тому

    Habar ninatatizo sugu lachus na mafuta uson

  • @InnocentShayo-q8q
    @InnocentShayo-q8q Місяць тому

    mm ni mweup lkn nina chunusi na madoa naomb unisaidie

  • @HellenAbby-qv3vv
    @HellenAbby-qv3vv Рік тому

    Hi mm natumia ct+ mwili mzm lkn nawashwa

  • @neemaseverine6164
    @neemaseverine6164 Рік тому

    Haya mafuta yanapatikana shopaz au FAMAS

  • @jacklinemollel5823
    @jacklinemollel5823 Рік тому

    Naoambaa niandikie mafuta ya kwanza kutajaa maana uso umeharibika mno

  • @priscawilson4419
    @priscawilson4419 Рік тому +2

    Kwa dar duka gani

  • @JuliethMazima
    @JuliethMazima 3 місяці тому

    Zinapatikana wapi

  • @justerrungwa1305
    @justerrungwa1305 8 місяців тому

    Dada naomba utupe namba ya simu

  • @VERONICAPASCHAL-pt7mk
    @VERONICAPASCHAL-pt7mk 5 місяців тому

    Yanapatikana wap??

  • @LatifaWilliam-ng8hr
    @LatifaWilliam-ng8hr Місяць тому

    Dad tuma ayo mafuta kweny coment

  • @AssaBuliba
    @AssaBuliba 7 місяців тому

    Naomba namba yako dada 5:04

  • @RamadhanBurugusu
    @RamadhanBurugusu 7 місяців тому

    Sasa tunyapataje tuelekeze B's

  • @EdwardGodfrey-p9x
    @EdwardGodfrey-p9x 13 днів тому

    Wewe hupaka mafuta gani

  • @HellenAbby-qv3vv
    @HellenAbby-qv3vv Рік тому

    Uso wang n wa mafuta n nna chunus zisizoisha nitumie mafuta gan

  • @Yasinta1988Patrick
    @Yasinta1988Patrick 8 місяців тому

    Tunayapata wapi

  • @rahelafrican7027
    @rahelafrican7027 Рік тому +2

    Sorry hayo ni mafuta ya usooo tu au mwil wote

  • @BetinaJackson-z6y
    @BetinaJackson-z6y 7 місяців тому

    Ayo mafuta nitumie kwanjia ya mtandao

  • @gregorymathayo2428
    @gregorymathayo2428 Рік тому +2

    Mafuta yapi yanweza kutoa vitundu katika uso(pores)

    • @Dayanar_skincaretips
      @Dayanar_skincaretips  Рік тому

      Vitundu huwa havitokagi mpendwa Bali vinapungua ukubwa

    • @gregorymathayo2428
      @gregorymathayo2428 Рік тому +2

      Vinapungzwa kwa kutumia nini madam

    • @mwidinytwahily7990
      @mwidinytwahily7990 Рік тому

      Uso wa mdogo wangu umeharibika sana na anaareji na rosheni na mafuta akipaka tu anatoka upele mwingi usoni je atumie nini nisaidie dada

  • @MbokelaLukangira
    @MbokelaLukangira 9 місяців тому

    Kuwa unasema na bei zake

  • @fatmasaid9556
    @fatmasaid9556 Рік тому +5

    Dada naweza kupata namba yako

    • @mwidinytwahily7990
      @mwidinytwahily7990 Рік тому

      Naomba namba yako mdogo wangu anasumbuliwa na uso na ana areji

  • @RamadhanBurugusu
    @RamadhanBurugusu 7 місяців тому

    Mimi ni mweusi ilausowangu unamafuta

  • @LawrenciaKabanga
    @LawrenciaKabanga 5 місяців тому

    Andika yanakopatikana

  • @JudyThadeo
    @JudyThadeo 10 днів тому

    Naomb namba ako

  • @Saudi-d8x
    @Saudi-d8x Рік тому

    Natak no yak plz

  • @GiznesWilla
    @GiznesWilla 4 місяці тому

    Corx shingp

  • @ruthngatunga-gl2og
    @ruthngatunga-gl2og Рік тому

    Mm ninangoz ya mafta na chunus sug na roshen nying zinanikataa nitumie roshen gan

  • @GiznesWilla
    @GiznesWilla 4 місяці тому

    Namba yako plz

  • @JoyceMwambopo
    @JoyceMwambopo 9 місяців тому

    Namba yako naomba

  • @rodgerszoya3425
    @rodgerszoya3425 Рік тому

    Haya mafuta anaweza ktumia n'a mtu mweus piah au

  • @FatumaKasiganya
    @FatumaKasiganya 7 місяців тому

    Namb yak dada

  • @LoyceRameck
    @LoyceRameck 3 місяці тому

    Unauza shingap

  • @RizikiSaitoti
    @RizikiSaitoti 10 місяців тому

    Yanapatkana wap

  • @Saudi-d8x
    @Saudi-d8x Рік тому

    Niamb

  • @누구미담
    @누구미담 7 місяців тому

    Mafuta yote hayo hayapo bongo

  • @HappnessFaustine
    @HappnessFaustine Рік тому +1

    Naomba namba yako

  • @vardahuseen6887
    @vardahuseen6887 Рік тому

    Haya mafuta tunayapata wap

  • @priscawilson4419
    @priscawilson4419 Рік тому +1

    Haya mafuta uliyoyasema yanapatikana wap

  • @rodgerszoya3425
    @rodgerszoya3425 Рік тому +1

    Samahani ni mafuta gan unayotumia usoni wewe,nimependa Ngozi yako

    • @Dayanar_skincaretips
      @Dayanar_skincaretips  Рік тому

      Mimi natumia ya cetaphil mpendwa..asantee

    • @mosesvipodozi3219
      @mosesvipodozi3219 Рік тому

      Nahitaji niko Mikoani nitapataje?

    • @lindastephano2946
      @lindastephano2946 Рік тому

      @@Dayanar_skincaretips dear Cetaphil nitapata WAP nimetafta maduka menge nimekosa nipo dar,,,
      Na Mimi uso Wang unamafuta mengi mno
      Na sabun ya Neutrogena nimetafta naho nmekosa

  • @fransiscamallya1968
    @fransiscamallya1968 Рік тому +1

    Zinapatikana wapi

  • @fatmasaid9556
    @fatmasaid9556 Рік тому

    Dada miki clair je inachu chubua

  • @HappnessFaustine
    @HappnessFaustine Рік тому

    Naomba namba yako