MAFUTA 5 MAZURI KWA WATU WENYE CHUNUSI NA KWA NGOZI ZA MAFUTA/best moisturizer for oily skin
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- je unatamani kung'arisha na kulainisha ngozi yako bila kuichubua?
video hii itaenda kukuonesha lotion na mafuta mazuri ya kupaka ilikung'arisha ngozi yako bila kuichubua.hizi lotion ni nzuri kwa ajili ya watu weuPE haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
#chunusi #urembo #howtotreatacne
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
tibu michirizi,punguza unene,jinsi ya kupunguza tumbo
swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline
Mm nimeshahangaika sana niambie sabuni nzuri ya kutumia pamoja na mafuta yk Nina ngozi ya mafuta na chunusi nyingi please nisaidie
Mbona hio cerave hapo juu imeeandikwa for normal to dry skin , mimi uso wangu wa mafuta naomba unieleweshe plz
Asante sana dada ❤
Mimi nimaji ya kunde ninamabaka uson na vipele vidogo dogo Kama chunusi nimafutagan yananifaa
CeraVe
Dada unaelimisha vzr,but ungeweka majina kwenye description maana hapo unaongea spid
Naomba
Mimi Kila nikipaka mafuta napata MBA usoni tu sijui nitumie kitu gani!
Na haya mafuta yanapatikana wapi
Ambayo umeyaelezea
Madam za uzima....me nina tatizo la chunusi na nimetumia karibu sabuni za aina zote na nikitumia zinatoka ila zikipita siku nne vinaludi tena nisaidie nitumie nini
Unauza sh ngapi? Nayataka
Mm nina weusi wa saizi kila mafta ninayo paka yananitoa chunusi vipele vidogo vidogo na yananifanya nizidi kuwa mweusi zaidi na yananiachia mabaka ngozi yangu inamafta sana
Mbona ujibu me uso wangu ni wa mafuta kira nkipaka rosheni inanitoa viper je nipake mafuta gani
Haya mafuta yanapatikana wapi, nimesha tafuta Sana kwenye maduka ya vipodozi hata hawayajui
Kariakoo yote yanapatikana
Dada miki clair je inachu chubua
Naipataje
Napataje hay mafta dada mm npo mbali
Nayapataje dr
Namba zako mbna hutoi unapatikana wapi?
Samahani dada eti sabun ya mena papaya naweza kutumia ngozi ya maji ya kunde
Dada UK naitaji mafuta nitumie namba zao ili niweze kuwatafuta jmn
Jamn me usoo Wang inakataa kila lotion sijui nifanyejee na ninachunus
Tumia CeraVe
Mimi nimweupe la kinininamafuta mengi nachunusi nisaidie
Habari naitaji kesho napatikana kinondoni
Habar dada najapataje lotio the ordinary moest
mimi nimweusi lakini machunusi yamejah sana usoni afu nimepaka vingi lakini wapi nata nijalibu mafuta uliosema ayo yakwanza ya cetraphil oil control moisturizing zisipo toka sijuh nifanyaje
Nenda kwenye duka kubwa pharmacy waambie unataka ADAPALANE Acne gel haizidi elfu 25, unapaka usiku tu alafu unapaka moisturizer yako BAs baada ya muda utaona matokeo utakuja kunishukuru baadae
@@AgnesMnzavanamb yk
Uwe unaonyesha hizo aina za mafuta unazotaja hatutaki majina tu
Mm ni mweupe nna mabaka ya chunus ntumie lotion gan
Naweza kupataje hivyovitu
Namba
Habar ninatatizo sugu lachus na mafuta uson
mm ni mweup lkn nina chunusi na madoa naomb unisaidie
Hi mm natumia ct+ mwili mzm lkn nawashwa
Haya mafuta yanapatikana shopaz au FAMAS
Naoambaa niandikie mafuta ya kwanza kutajaa maana uso umeharibika mno
Kwa dar duka gani
Zinapatikana wapi
Dada naomba utupe namba ya simu
Yanapatikana wap??
Dad tuma ayo mafuta kweny coment
Naomba namba yako dada 5:04
Sasa tunyapataje tuelekeze B's
Wewe hupaka mafuta gani
Uso wang n wa mafuta n nna chunus zisizoisha nitumie mafuta gan
Tunayapata wapi
Sorry hayo ni mafuta ya usooo tu au mwil wote
Ayo mafuta nitumie kwanjia ya mtandao
Mafuta yapi yanweza kutoa vitundu katika uso(pores)
Vitundu huwa havitokagi mpendwa Bali vinapungua ukubwa
Vinapungzwa kwa kutumia nini madam
Uso wa mdogo wangu umeharibika sana na anaareji na rosheni na mafuta akipaka tu anatoka upele mwingi usoni je atumie nini nisaidie dada
Kuwa unasema na bei zake
Dada naweza kupata namba yako
Naomba namba yako mdogo wangu anasumbuliwa na uso na ana areji
Mimi ni mweusi ilausowangu unamafuta
Andika yanakopatikana
Naomb namba ako
Natak no yak plz
Corx shingp
Mm ninangoz ya mafta na chunus sug na roshen nying zinanikataa nitumie roshen gan
Namba yako plz
Namba yako naomba
Haya mafuta anaweza ktumia n'a mtu mweus piah au
Ndio hata mtu mweusi anatumia
Dada ayo mafta nayapataje me naitaj
Namb yak dada
Naomba namba yak dada
Unauza shingap
Yanapatkana wap
Niamb
Mafuta yote hayo hayapo bongo
Naomba namba yako
Naomba namba yako
Haya mafuta tunayapata wap
Haya mafuta uliyoyasema yanapatikana wap
Cheki maduka ya vipodozi ya online ya instagram
Samahani ni mafuta gan unayotumia usoni wewe,nimependa Ngozi yako
Mimi natumia ya cetaphil mpendwa..asantee
Nahitaji niko Mikoani nitapataje?
@@Dayanar_skincaretips dear Cetaphil nitapata WAP nimetafta maduka menge nimekosa nipo dar,,,
Na Mimi uso Wang unamafuta mengi mno
Na sabun ya Neutrogena nimetafta naho nmekosa
Zinapatikana wapi
Kariakoo yote yanapatikana dear
Dada miki clair je inachu chubua
Naomba namba yako