VITAMIN C SERUM KWA KUONDOA MADOA NA KUNGARISHA NGOZI/Vitamin c serum for glowing skin
Вставка
- Опубліковано 15 січ 2023
- je unatamani kung'arisha na kulainisha ngozi yako bila kuichubua?
video hii itaenda kukuonesha serum nzuri za kupaka ilikung'arisha ngozi yako bila kuichubua.hizi lotion ni nzuri kwa ajili ya watu wote haijalishi ni mwanaume au mwanamke.hiya mafuta yanafaa ngozi za aina zote ikiwemo ngozi kavu,ngozi mchanganyiko,ngozi za kawaida na ngozi za mafuta mengi
#chunusi #urembo #howtotreatacne
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
tibu michirizi,punguza unene,jinsi ya kupunguza tumbo
swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline
Asante dd nimekuerewa visuri
Ahsante kipenzi kwa Mambo mazury .
Karibu mpendwa 😊
Unaweza kupaka mwili mzima
Thanks @Dayanar
You’re welcomed
Bei gan
Nitaipataj min USO wangu n chunus n madoa n no shilling ngap 6:18
Hizo serum hazichubui??
Cerave ni bei gani kwa set zima
Je inaondoa madoa kwa muda au siku ngapi
Mpenz kuna video ulionesha lotion unayoitumia we nlikuw nauliz jin lak n bei
Mm nina wekundu machoni na mba nitumie sirm ya ainagni
Unaweza ukachanganya na lotion ?
Na seram ya dr rashel skin white ni nzuri pia??
Ni nzuri pia mpendwa
Asantee dear
Uwe unaongea Kwa nguvu basi mm sikusikii jamn
Safari hii tunaomba video ya Nivea firming tuijue inasaidia nn....
Nitalifanyia kazi
Naweza kupata namba yako niweze kuongea nawe
Haichubui
Hapana
Me nachunus na madoa serum gn itanisaidia
tafuta sabuni ya RHOMIE na mafuta ya perfect glow ...utumie angalizo zinafanaya kuwa mweupe so kama hupendi ukipona unatumia kwa kuruka siku mbili kisha ya tatu unapaka
Hizo serum hazichubui??