Kwaya Ya Mtakatifu Thomas More chuo kikuu Mzumbe Wamtumainio Bwana

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 143

  • @DeogratiusKitebo
    @DeogratiusKitebo Рік тому +4

    Kazi ya mikono ya wanakwaya Wote na jumuia ya Mt.Thomas More
    Bwana Mungu na Aithibitishe daimaa na mafanikio katika masomo

  • @thobietakasuga4987
    @thobietakasuga4987 Рік тому +3

    Waooo! Hongereni sanaa wana Thomas Moore kwa kazi nzuri!

  • @aggymenty7559
    @aggymenty7559 Рік тому +3

    Waooooh hongera kwa utume nyimbo ni nzuri xana

  • @gabrielnyange421
    @gabrielnyange421 Рік тому +5

    KAZI nzuri ajabuu hongereni sn na Mwenyezi Mungu azidi kupewa sifa daima

  • @sautiyafaraja5921
    @sautiyafaraja5921 Рік тому +4

    Wimbo Umenibariki sana Hongereni sana Vijana ,

  • @gilberttesha2405
    @gilberttesha2405 Рік тому +2

    Asee nimefurahi sana😊😊 Mzumbe
    Mungu awabariki sana sana
    Na Mwalim Robert
    Namwona Edina❤❤😊

  • @FredrickKaboja-ht7fo
    @FredrickKaboja-ht7fo Рік тому +2

    Big up saaaana,be blessed ndg zangu kwa kaz nzuri🙏🙏🙏👍

  • @agostinojoseph1951
    @agostinojoseph1951 Рік тому +2

    Hongereni wanakwaya wote na big gap kwa mtunzi🌷🙏

  • @ibrahmuzanye819
    @ibrahmuzanye819 Рік тому +3

    Mbarikiweee sanaa Wapendwa na Mungu Mwenyezi awainue zaidi katika Utumee wenu 🙏🙏

  • @WisterPacficus-tt7zz
    @WisterPacficus-tt7zz Рік тому +3

    MUNGU aibariki zaidi kwaya MT.THOMAS MORE

  • @KelvinFelician-j4w
    @KelvinFelician-j4w Рік тому +6

    Kazi hii irudiwe asee. Ninzuri Sana Mwenyezi atutie nguvu zaidi

  • @MasungaJoseph-p6d
    @MasungaJoseph-p6d Рік тому +3

    Yes.......bravo bravo wana familia, hakika mmetisha sana Thomas More, Mungu Awaongoze katika utume wenu huo
    NB:Wimbo huu kila nikiusikiliza kuwa unanitouch sana.............Hongereni

  • @IRENELUKAZA
    @IRENELUKAZA Рік тому +2

    Kwa kweli mmeimba vizuri sana...lakini Mungu pia awabariki na kuwabariki

  • @TalentedMusiciansTMO
    @TalentedMusiciansTMO Рік тому +2

    Hongereni Sana Kwa Utume 🎶🎶🎶

  • @JohnsonMsumanje-qc1xn
    @JohnsonMsumanje-qc1xn Рік тому +3

    Hongereni sana nyimbo ni nzuri

  • @MaryEdson-y5b
    @MaryEdson-y5b Рік тому +4

    Hongereni sanaaaa ndugu zangu, MUNGU azidi kuwaongoza ktk utume wenu

  • @nyaki5510
    @nyaki5510 Рік тому +3

    Hakika ukimtumaini Mungu hautatikisika kamwe. Ujumbe mzuri kwa watu wote.🎉🎉🎉🎉

  • @RaphaelPeter-msimbe
    @RaphaelPeter-msimbe 25 днів тому +1

    kazi nzuri ya muda wote

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Рік тому +4

    Hakika inapendeza kumtumainia bwana.barikiwa sana wainjilishaji kamwe hamtatikisika🙏

  • @loycekitoboi1467
    @loycekitoboi1467 Рік тому +2

    Kaz nzuri... Mungu awabarik🎉

  • @Amatha_K
    @Amatha_K Рік тому +4

    ❤❤❤❤❤Mzumbe yangu, I miss the place

  • @arnoldkagaruki5277
    @arnoldkagaruki5277 Рік тому

    Wimbo ni mzuri unavutia kusikiliza, kuona na ujumbe wake ni mzuri, Hongereni...

  • @magangaalphonce2305
    @magangaalphonce2305 Рік тому +8

    Hongeren sana Wana Thomas More mzumbe, Hakika mnaendeleza walimopita kaka zenu, Kaz nzr sana, mbarikiwe sana

  • @GerardKinyamagoha-zv7di
    @GerardKinyamagoha-zv7di Рік тому +4

    Hongereni kwa utume wa uinjilishaji hakika mungu awatangulie 🙏🙏🙏

  • @alexliheta3197
    @alexliheta3197 Рік тому +1

    Hongereni sana vijana kwa utume, mzidi fanyika baraka.

  • @daisynyerere5730
    @daisynyerere5730 Рік тому +1

    Hongereni, kazi nzuri... Mwenyezi Mungu awabariki

  • @gressigotti3653
    @gressigotti3653 Рік тому +2

    Waoooh !! Congratulations God bless them

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Рік тому +4

    Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume.

  • @maltinamlowe1132
    @maltinamlowe1132 Рік тому +2

    Hongeren sana wanakwaya ❤

  • @mjunsylivanus5125
    @mjunsylivanus5125 Рік тому +2

    Kaz nzuriiiii 🔥🔥🔥

  • @KelvinKamugisha-wq8qp
    @KelvinKamugisha-wq8qp Рік тому +6

    Mambooo ni motoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hii sasa ndo Thomas moreee, mkuuu nyaki, mkuu kitebo, mkuuu elpidius, mkuuu ndanga, mkuuu Adidas, mkuuu wenslaus, mkuuu dayana, mkuuuuu ambaye kila video yupooo MENRADOOOO wakuuu wote wanamoreee mungu awabariki sana tena sana,
    Mkuuu Shimanyi, mkuuu Mdete, mkuuu Duke na CGEN PRO nzima mungu awabariki sana quality kali sana🙏🙏🤝🤝🤝

  • @JosephPaul-qm1gu
    @JosephPaul-qm1gu 9 місяців тому

    Mungu atukuzwe daima nikiwa na shida yeyote ya kisaikolojia basi hii ni tiba yangu siku zote

  • @revucatusbutawantemi
    @revucatusbutawantemi Рік тому +4

    Mmeupiga mwingi hongereni sanaaaaaaaaa.

  • @CatherineGervas-zb8sz
    @CatherineGervas-zb8sz Рік тому +6

    Congrats Kwa wanakwayaa wetyu 🙏🙏🙏🙏

  • @EmmanuelFuraha-kk3xq
    @EmmanuelFuraha-kk3xq Рік тому +4

    Hongera Sana jmn Mungu aendelee kuwabariki

  • @eliflidamamela
    @eliflidamamela Рік тому +4

    Nazi nzuri...Mungu awabariki San kwa utume

  • @elizabethwanyonyi609
    @elizabethwanyonyi609 Рік тому +1

    I love this song, I have listened to it uncountable times. The melodies are uplifting and soothing to the soul.

    • @kmtmmzumbe
      @kmtmmzumbe  Рік тому

      Thank you so much, may the Lord God grant you all necessities! keep on praising him and we are much a proud of you people of GOD keep on visiting our account as we are still uploading our works. 🙏

  • @mykebrand9033
    @mykebrand9033 Рік тому +6

    Hongern sana wimbo ni Mzuri Mungu azidi kuwabariki😊

  • @veronicachacha9468
    @veronicachacha9468 Рік тому +7

    Hongereni sanaaaa,,,,wimbo mzuri sanaaaa🥰

  • @menradjosephat8482
    @menradjosephat8482 Рік тому +1

    Mungu awabariki sana hii ni fireeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @PeterKahabuka
    @PeterKahabuka Рік тому +1

    Nyimbo nzuri sana

  • @kalolontungo8476
    @kalolontungo8476 Рік тому +5

    Mbarikiwe watu wa Mungu

  • @paulonyaki5512
    @paulonyaki5512 Рік тому +3

    Mbarikiwe Sana. Katika wito wenu wawaimbaji

  • @CLENSENCIAWILLSON
    @CLENSENCIAWILLSON 10 місяців тому +1

    hongereni sana. mungu awabariki

  • @RashdyMussa-uj7nm
    @RashdyMussa-uj7nm Рік тому +5

    UDOM tunawapenda sana all the best 💗💗🎶🎶🎵

  • @fancepiusmatiku2476
    @fancepiusmatiku2476 Рік тому +1

    Hakika wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni ambao hautatikisika milele,

  • @mjunsylivanus5125
    @mjunsylivanus5125 Рік тому +4

    Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri,,,,, hakika mtafika mbinguni mkizid kumtumainia Bwana ♥️♥️♥️♥️ kama ujumbe usemavyo,,,,,,,, 🎉🎉🎉🎉

  • @beatricenyarubakula2017
    @beatricenyarubakula2017 Рік тому +4

    Hongereni sana, Mungu awabariki🔥🔥🔥🔥 kazi nzuri

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Рік тому +4

    Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu.

  • @BoniphasIgnas
    @BoniphasIgnas Рік тому +1

    Pongezi kwenu mungu awabariki

  • @mathiaskiyabo2556
    @mathiaskiyabo2556 Рік тому +4

    Soso Domi re fa 🎵 mambo fire

  • @JudithMambile
    @JudithMambile Рік тому +2

    Kaz nzr mbarikiwe Sana❤❤❤

  • @mashimbaPro
    @mashimbaPro Рік тому +5

    wow! wanakwaya..na mbinguni tutaimbaaa..
    Tomas More mmetisha sanaa..hongeren sana na Mwenyez Mungu awape iman ili kuimba kwenu vizur kukamtukuze bwana daima...
    Awaongezee..Iman..Matumain na mapendo thabiti ili mdumu katika imani yenu..Amen❤

  • @patrickfulano5282
    @patrickfulano5282 Рік тому +8

    🎉🎉Kama milima, inavyo uzunguka mji wa sayuni 🔥🔥,
    Congratulations Thomas More Mzumbe 🙏

  • @NeemaWillyiam
    @NeemaWillyiam Рік тому +6

    Hakika wimbo mzuri sana Mungu yupamoja nanyi daima 🙏🙏🙏

  • @spicarkilapilo
    @spicarkilapilo Рік тому +5

    Huu ndio muziki Mtakatifu. Safi sana

  • @SamuelJohn-wm8rg
    @SamuelJohn-wm8rg Рік тому +5

    Nimependa nyimbo nzur kutoka kwa vijana hawa hakika wamemtukuza Mungu hongereni sana na Mungu awabariki sana

  • @ridahamis6202
    @ridahamis6202 Рік тому +2

    Hakika ujumbe unagusa Moyo mbarikiwe

  • @GETRUDAUWAMBE-lu1di
    @GETRUDAUWAMBE-lu1di Рік тому +4

    MUNGU azidi kuwatia nguvu katika kazi yenu🙏🙏

  • @PaskalinaDaniel-w3x
    @PaskalinaDaniel-w3x Рік тому +1

    God bless more

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Рік тому +3

    Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi nzuri yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho Mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina.

  • @sylivesterkessy7644
    @sylivesterkessy7644 Рік тому +1

    nice song

  • @MaryMinja-vr4oo
    @MaryMinja-vr4oo Рік тому +3

    Ni fire🔥 🔥 asee bigup kwa wanaTomasi moree 🙏🤲

  • @SilvesterMikael65
    @SilvesterMikael65 Рік тому +5

    Hahahah hakikaa ujumbe umefika.
    True ❤❤❤ to all members blessed sanaaaa!!!!

  • @elipidiusemmanuel173-hw7ll
    @elipidiusemmanuel173-hw7ll Рік тому +5

    Nyimbo iko vizuri sanaa hii ongera kwa utumishi mzuri wana Thomas more🤝🤝kongole kwenu

  • @LightTarimo-zl4ww
    @LightTarimo-zl4ww Рік тому +2

    HONGERENI Sana 🙏🙏🙏😘

  • @martinimatutuli5575
    @martinimatutuli5575 Рік тому +2

    Safi Sana MU

  • @CharlesKibandiko-ir9hc
    @CharlesKibandiko-ir9hc Рік тому +7

    May God bless you brothers and sisters,you did a great job.
    Hakika wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni.

  • @josephmwamdughe9381
    @josephmwamdughe9381 Рік тому +2

    Mbarikiwe sana

  • @fabianmelkiades
    @fabianmelkiades Рік тому +1

    Njema sanaa🎉

  • @paschalmwalongo4991
    @paschalmwalongo4991 Рік тому +3

    Waooo hakika vijana munaendelea kuthibitisha ni vijana wa namna ganiii kwa kuendelea kupiga injili kwa njia ya nyimbo kongerini nyingiii sana wana St. Thomas more

  • @nyaki5510
    @nyaki5510 Рік тому +3

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥

  • @pambajrtv2186
    @pambajrtv2186 Рік тому +4

    Big Respect my family

    • @RosePeter-rb9jh
      @RosePeter-rb9jh Рік тому

      Mungu aendelee kuwapa nguvu na wepesi katika utume 😍

  • @josephmondi6115
    @josephmondi6115 Рік тому +1

    Hongera Sana kwa Kaz nzur,,,naomba kupata namba ya mtunzi

  • @leahjilya5137
    @leahjilya5137 Рік тому +3

    Hongereni Sana familia ❤

  • @EliaTumaini-mj9tw
    @EliaTumaini-mj9tw Рік тому +1

    ❤ hongereni sana mungu awabariki

  • @juhavestudio
    @juhavestudio Рік тому +6

    very fantastic and impressive, may almighty God bless Thomas More Mzumbe

  • @sacredmusic9753
    @sacredmusic9753 Рік тому +3

    Hongereni sana, Kwa utulivu na sauti za kumsifu Mungu. 🎉🎉

  • @Andrew.sonda035
    @Andrew.sonda035 Рік тому +7

    Hongereni ndg zangu. Wimbo ni mzuri mmefanya wonders. Mungu AWABARIKI pia mtoe nyimbo zingine pia🙏🙏

  • @WisterPacficus-tt7zz
    @WisterPacficus-tt7zz Рік тому +6

    MUNGU awabariki wote mlioshiriki katika kazi hii takatifi na hongereni sana Kwa kazi nzuri mliofanya

  • @AdamCharles-ei3ts
    @AdamCharles-ei3ts Рік тому +2

    Mbarikiwe zaidi na zaidi watumishi wa Mungu.

  • @RobySon23
    @RobySon23 Рік тому +5

    Ni wimbo mnzuri kwa kweli na sauti zilizopangiliwa zenye kuleta utukufu, hongereni sana. Mungu azidi kuwapigania katika ipawa chenu kuieneza injili yake🙏🙏🙏

  • @GabrielJoseph-e4g
    @GabrielJoseph-e4g Рік тому +4

    Hooray Thomas More Choir!
    Jina la bwana lihimidiwe na neno lake lienee kwa mataifa kupitia utume wenu na kazi nzuri mnazofanya katika kuinjilisha kupitia nyimbo nzuri kabisa hizi!
    Thomas More Choir forever 👍❤

  • @silviekenyatta2419
    @silviekenyatta2419 Рік тому +6

    Nice song .👏👏

  • @RaphiaMhapa
    @RaphiaMhapa Рік тому

    ❤❤mbarikiwe zaidi ktk Kaz zenu

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Рік тому +2

    ❤❤❤❤❤

  • @aggiepeter2707
    @aggiepeter2707 Рік тому +1

    I see you shining 🤠🤠

  • @pastorysylvester4480
    @pastorysylvester4480 6 місяців тому +1

    Waooooh ! Hongera sn Mwl.wangu Aloice Family kwa utunzi Mzuri uliotukuka mkuu hongeren pia Wanakwaya kwa Uimbaji mzur mbarikiwe sn 🙏

  • @STEPHANIADEOGRATIAS-ws6ev
    @STEPHANIADEOGRATIAS-ws6ev Рік тому +1

    Kazi nzuri mno MUNGU awabariki kwa utumishi wenu🙏

  • @anselmopolycarp604
    @anselmopolycarp604 Рік тому +6

    May the Almighty God bless you all who participated in the singing of this beautiful and fantastic hymn..be blessed all 🙏🙏

  • @eliassimeo1616
    @eliassimeo1616 Рік тому +6

    Congrats. You have sung like Angels in heaven 🙏🙏

  • @AliyuAshimu-bc4xm
    @AliyuAshimu-bc4xm Рік тому

    Mungu awabaliki Sana Iko vizur sana

  • @kevinliberatus5049
    @kevinliberatus5049 Рік тому

    Good work much congratulations

  • @826tushabe
    @826tushabe 7 місяців тому

    hongeren kazi nzuri , mwenyezi mungu awe nanyi, wimbo mzuri na endleeni na kazi ya kuinjilisha kwan siku zote mungu ni mwenye nguvu kwa wanadamu

  • @angelmwoleka7892
    @angelmwoleka7892 Рік тому +2

    🎉🎉❤❤

  • @frederickantony5349
    @frederickantony5349 2 місяці тому

    Pongezi sana kwa mtunzi, walimu na waimbaji wote, nimeipenda sana melody ya wimbo na ujumbe pia

  • @KelvinRespicius-su3hb
    @KelvinRespicius-su3hb Рік тому

    Barikiweni vijana🙏

  • @anithawalter1838
    @anithawalter1838 Рік тому

    Congratulation kwa ujumbe mzur

  • @ElizabethKilonde
    @ElizabethKilonde 6 місяців тому +1

    Wimbo unanibariki😍😍

  • @AngelYakobo
    @AngelYakobo Рік тому +2

    Blessed sons of God. You did well congratulations ❤❤❤